BWANA SALUD

BWANA SALUD

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from BWANA SALUD, Health/Beauty, Ubungo Plaza, 1st floor, Dar es Salaam.

Nawasaidia Wanawake Wenye Changamoto za Homoni imbalance, Hedhi,UTI,PID, Uzazi
Presha, Moyo,Figo, Kansa & Kisukari Kwa Program ya Siku 27 tu.

📲 Tuma Neno “AFYA” Kwenda

WhatsApp: +255 755 982 222 Upate Ushauri wa Bure

11/05/2026

Hivi ndivyo wanawake wengi hupata U.T.I bila kujua!
Tabia hizi za kila siku zinaweza kuwa chanzo cha maambukizi.
Moja ya sababu kubwa ya U.T.I ni bacteria kuingia kwenye njia ya mkojo. Hii inaweza kutokana na usafi usio sahihi baada ya kutumia choo.
Pia kushikilia mkojo muda mrefu huongeza nafasi ya bacteria kukaa kwenye kibofu. Wanawake wengi wenye kazi nyingi hupuuza kwenda chooni kwa wakati....
Vilevile kunywa maji kidogo huifanya njia ya mkojo ishindwe kujisafisha vizuri. Mwili unahitaji maji ya kutosha kusaidia kuondoa uchafu.
Je wewe unakunywa glasi ngapi za maji kwa siku? Comment hapa chini.

11/05/2026

Je, Wewe Huwa Unakojoa Mara kwa mara? Usipuuzie!
Dalili hizi zinaweza kuwa ishara ya U.T.I inayokutesa kimya kimya...
U.T.I ni maambukizi kwenye njia ya mkojo yanayosababishwa zaidi na bacteria. Wanawake wengi hupata tatizo hili lakini hulichukulia kawaida...
Dalili za mwanzo huweza kuwa kukojoa mara kwa mara, maumivu wakati wa kukojoa, harufu kali ya mkojo maumivu ya chini ya tumbo.
Ukiona dalili hizi mapema, ni muhimu kuchukua hatua kabla maambukizi hayajasambaa, Afya yako ni muhimu sana...
📩 Tuma neno “UTI” inbox ili upate ushauri wa kitaalam Bure.

04/05/2026

Je, Mwanamke Unajua Kinachoendelea ndani mwili Wako..."

Mwili wako unakwambia kitu. Je, unasikia?

Jua kuwa uchovu wa asubuhi, uzito unaoongezeka bila sababu, Hasira inayokuja bila kutarajia, Ngozi inayobadilika, Usingizi usioisha au usiku mzima upo macho...
Hizi si dalili za "uzee" tu. Ni HOMONI ZAKO ZINAPIGA KELELE...
Homoni husimamia kila kitu kinachoendelea ndani ya mwili wako, uzito, nguvu na hisia...

Homoni zikivurugika, maisha yote yanabadilika. Mwanamke mmoja aliniambia...

"Nilikuwa ninalia kila usiku bila kujua kwa nini."
Hilo halikuwa udhaifu ilikuwa mwili wake ukiomba msaada...

Usisubiri mwaka mwingine upite ukijisikia hivi....

👉 Tuma neno "HOMONI" kwenda WhatsApp 0755 982 222 Nitakwambia hatua ya kwanza ya kuanza safari yako ya kupona...

03/05/2026

K**A UNA TATIZO LA FIGO AU UNAMJUA ANAYESUMBULIWA—SOMA HII HARAKA

Watu Wengi Wanapambana Kimya Kimya na:-

❌ Maumivu ya mgongo wa chini
❌ Kukojoa mara kwa mara au kwa shida
❌ Mwili kuvimba (Miguu/Uso)
❌ Uchovu usioeleweka

Wengi hudhani ni kawaida, kumbe ni dalili za tatizo la figo...

Mteja wetu alikuwa akisumbuliwa na dalili za figo kwa muda mrefu…
Baada ya kutumia Salud kwa maelekezo sahihi:-

✔ Hali yake imeimarika
✔ Maumivu yamepungua
✔ Mwili umeanza kurudi kawaida


Watu wengi wanakosea kwa kuhangaika na dalili badala ya chanzo cha Tatizo...
Kutokufuata mfumo sahihi wa matumizi
Ndiyo maana matokeo hayadumu

Sisi Tunakuongoza hatua kwa hatua mpaka Upate matokeo kamili.

📲 Kwa Ushauri na Msaada Zaidi tuna neno "AFYA" Kwenda WhatsApp:- +255 755 982 222

Nikushauri Bure Kulingana na Tatizo Lako

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Address

Ubungo Plaza, 1st Floor
Dar Es Salaam
255