jodan na watoto

jodan na watoto

Share

🩺 Dr. Joram
⬛ Specialist in
⬛ 👶 Child Care ⬛ ❤️ Wellness
⬛ 📞 +2️⃣5️⃣5️⃣7️⃣6️⃣7️⃣0️⃣3️⃣9️⃣2️⃣1️⃣6️⃣
email:[email protected]

28/08/2026

Je, unaamini kumkalisha mtoto mapema siyo sababu ya watoto kupinda mgongo? Karibu katika live zangu uweze kujifunza na kupata uelewa maana bila maarifa ni sawa na bure..
Fanyisha mwanao mazoezi kuanzia miezi 2 au mitatu ambapo tayari kakomaza SHINGO yake itamsaidia viungo kuwa imara..
Na anapokuwa anatomy Kisha umri wa kumtenga kukaa wiki mbili za mwanzo hakikisha unafanyisha mazoezi itamsaidia saana mtoto kuwa imara zinazobakia mkalishe kwa support ya vitu vilivyo round, usimkalishe katika mkeka itasaidia saana mtoto mgongo usipinde
+255767039216

28/08/2026

゚viralシ
+255767039216

27/08/2026

Je, kuna ukweli wowote kuhusu mtoto kufanyiwa Ivi?
+255767039216
Jodan

27/08/2026

💔 “MIAKA 2 NA NUSU IMEPITA… LAKINI MIGUU YAKE BADO HAJAMPELEKA KWENYE HATUA YAKE YA KWANZA.”

Kwa mzazi, kila hatua ya mtoto ni matumaini. Anapofikisha miaka 2½ bila kutembea mwenyewe, swali halipaswi kuwa “atasubiriwa hadi lini?” bali “kwa nini bado hajatembea?”

26/08/2026

Jiungamanishe na shuhuda za Akina mama wengi saana duniani juu ya changamoto za watoto wao wata kusaidia +255767039216

25/08/2026

+255767039216

25/08/2026

Unadhani mazoezi yana msaada kwa mwanao?
Jibu ni Ndiyo K**a mwanao Hana shida zifuatazo
1. Pindi anazaliwa alichelewa kulia
2.Alijasaidia ndani ya tumbo la mama akanywa yale maji
3. Alipatwa MANJANO
4.Alikuwa na Degedege
5. Alizaliwa premature
6.utindio wa ubongo
7. Mgongo umepinda
8.upungufu wa madini
9.kilo za mtoto kuwa chini kulingana na umri
10.maambukizi ya ubongo
+255767039216

24/08/2026

⚠️ MTOTO ANACHELEWA KUONGEA? USIPUUZE!

Kuchelewa kuzungumza kunaweza kusababishwa na tatizo la kusikia, kuchelewa kwa maendeleo ya lugha, kutopata mawasiliano ya kutosha, au changamoto nyingine za ukuaji.

👶 MZAZI FANYA NINI?
✅ Mzungumzishe mtoto mara kwa mara na umsomee vitabu.
✅ Mpe nafasi ya kuwasiliana kwa kumwuliza na kumjibu.
✅ Epuka kumwachia muda mwingi kwenye simu/TV.
✅ K**a unaona mtoto haongei kulingana na umri wake, tafuta tathmini ya kitaalamu mapema.

📞 0767 039 216

❤️ “Mungu amekupa mtoto, mleee na umlinde kwa mapendo mema.”

24/08/2026

🍼 MTOTO AKIMALIZA KUNYONYA, UKIMLaza HARAKA NINI KINAWEZA KUTOKEA?

👶 1. Anaweza kurudisha maziwa (reflux)
Baada ya kunyonya, maziwa yanaweza kurudi kutoka tumboni kwenda juu na mtoto akayatema. Hii hutokea kwa watoto wengi, hasa wakiwa wadogo.

💨 2. Anaweza kusumbuliwa na hewa tumboni
Wakati wa kunyonya mtoto anaweza kumeza hewa. Hii inaweza kumfanya ajisikie vibaya, kujikunja au kulia.

😣 3. Anaweza kuwa na usumbufu tumboni
Mtoto anaweza kuonekana kutulia kwa shida baada ya kunyonya, hasa k**a amemeza hewa nyingi au amekula kiasi kikubwa.

⚠️ 4. K**a reflux ni kali, inaweza kuhitaji uchunguzi
K**a mtoto anatema maziwa mara kwa mara, anakataa kunyonya, haongezeki uzito vizuri au anaonekana kuumia wakati wa kula, si vizuri kudhani ni “gesi” tu.

✅ UFANYE NINI?
Baada ya kunyonya, mshike mtoto akiwa wima kwa muda na msaidie kutoa hewa ikiwa anahitaji. Lakini wakati wa kulala, mlaze CHALI kwenye sehemu tambarare na ngumu.

❌ USIFANYE:
Usimlaze kifudifudi, usitumie mito kumuinua wakati wa kulala, na usimpe dawa za gesi/reflux bila ushauri wa mtaalamu wa afya.

🚨 MWENDE HOSPITALI HARAKA k**a mtoto anatapika kwa nguvu sana, anatapika kijani au damu, anakataa kunyonya, tumbo linavimba, au anaonekana kuwa mgonjwa sana.

📞 USHAURI WA AFYA YA MTOTO:
+255 767 039 216

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address

Posta Ya Zamani
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00