Phat afya solution

Phat afya solution

Share

MTAALAMU WA UZAZI KWA WANAUME & WANAWAKE
0743304302

15/06/2026

Unasumbuliwa na changamoto fulani Dada Unasumbuliwa na PID fungus, UTI, PID SUGU KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA, UKAVU UKENI,miwasho ukeni na unatafuta suluhisho la kuaminika? πŸ€” Ucjal tuna product nzur sana kwa ajiri Yako
@
πŸ“² Wasiliana nasi WhatsApp sasa kwa maelezo zaidi hakikisha haupitwi na OFFER hii

08/06/2026

Miwasho,kutokwa harufu mbaya ukeni, kutokwa uchafu mweupe,kutokwa uchafu wa kahawia, ni dalili za UTI sugu na PID. Wahi mapema kuepusha changamoto zitokanazo na magonjwa haya,ikiwemo kukosa mtoto, kupata uvimbe na saratani ya kizazi

Photos from Phat afya solution's post 08/06/2026

Hii kitaalamu tunaita umbilical hernia ( Ngiri ya kitovu ) , k**a unavyoona picha ya pili , utumbo au organs zingine katika mfumo wa chakula hupenya na kupita kuta za ndani zinazofunika tumbo kabla ya kufikia ngozi ya nje , ndio maana unaona hapo kwenye picha ( Picha ya 2 ) utumbo umevuka kuta za ndani na muonekano kwa nje utakua k**a unavyoona picha ya kwanza )

Sasa hii inaweza isha yenyewe kwa watoto wadogo au mara chache ikakua zaidi , mara nyingi k**a kitovu kitaendelea kukua au hakitaikaa sawa tiba ya uhakika ni upasuaji ( Mtoto atafanyiwa tu upasuaji k**a atafikisha umri wa miaka 3 - 4 na bado kitovu kimekua kikubwa au kimeongezeka zaidi na hapajakaa sawa ) , au hata kabla hajafikisha umri huo k**a tatizo litakua kubwa sana kiasi cha kutovumilika kusubiri

Mambo k**a vile mtoto kulia sana , kukohoa na vingine vitakavyomfanya akaze tumbo lake basi huchangia kuongeza zaidi ukubwa wa tatizo, hasa kwa watoto ambao wazazi wao wana historia ya changamoto hii , au watoto waliozaliwa kabla ya wakati n.k

Kufunga kitovu cha mtoto au kutumia njia zozote za kukandamiza lile eneo haishauriwi kitaalamu, kwa sababu wakati mwingine unaweza ongeza tatizo au kusababisha majeraha ya ndani au nje kwa kulazimisha kukandamiza eneo lile
πŸ”Š SHARE POST HII NA WENGINE WAJIFUNZE ( Usiache kunitag k**a uta repost ❀️🀝 )

08/06/2026

Umuhimu na faida Za halimayat detox protection
First tunafanya mengi kupitia uke
Kujifungua
Abortion
S*x
Bado wale wanaoweka au kuunga viungo ili uke uwe tight (ubane)
AntibiΓ³tics Za kuweka kwenye uke na kumeza mara kwa mara
Bado chemicals zinazowekwa ili uke uwe msafii
Lakini hakuna anaewaza baada ya yote hayo uke wake utarudije kuwa na afya k**a mwanzo

Halimayat detox protection

Itakusaidia kurudi afya ya uke wako na PH ya uke kubalance k**a mwanzo
Itakusaidia kukuepusha na magonjwa ya infection k**a
UTI,Fungus, PID
Itakusaidia kuepukana na harufu wala kutokwa uchafu
Itakusaidia pia uke wako kuwa na unyevunyevu bila kuwa na tatizo la ukavu
Itakusaidia kuwa na uke tight bila kukuachia madhara yeyote
Itakusaidia pia kuenjoy kwenye tendo la NDOA

05/06/2026

1. Kunywa maji ya kutosha
β€’ Mwili ukikosa maji, ute hupungua.
2. Kula chakula bora
β€’ Matunda, mboga za majani, parachichi, karanga
β€’ Vyakula vyenye omega-3 (samaki)
3. Epuka msongo wa mawazo (stress)
β€’ Stress huathiri homoni na kupunguza ute.
4. Hakikisha mzunguko wa homoni uko sawa
β€’ Hedhi isiyo sawa au matatizo ya homoni yanaweza kupunguza ute.
5. Epuka sabuni kali ndani ya uke (douching)
β€’ Huharibu bakteria wazuri na kukausha uke.
6. Tumia muda wa foreplay wakati wa tendo la ndoa
β€’ Husaidia mwili kutoa ute wa asili zaidi.
7. Fanya mazoezi mara kwa mara
β€’ Huboresha mzunguko wa damu na afya ya uzazi.

⚠️ Muhimu:
K**a hakuna ute kabisa au kuna ukavu, maumivu, au harufu isiyo ya kawaida, inaweza kuwa ishara ya pid wasiliana nasi inbox upate msaada zaidi

05/06/2026

Sababu za kukosa ute wa ovulation
1 Mabadiliko ya homoni (Estrogen kuwa chini).
2 Upungufu wa maji mwilini.
3 Matumizi ya dawa (k**a za uzazi wa mpango au za mafua).
4 Matatizo ya uzazi (k**a PCOS au kutotoa yai).
5 Umri mkubwa kuelekea ukomo wa hedhi.
6 Msongo wa mawazo (Stress).
7 Uzito mkubwa au mdogo uliopitiliza

05/06/2026

Kila mwezi unajiandaa kisaikolojia kwa sababu unajua maumivu ya hedhi yatakuja tena?

Maumivu makali ya hedhi yanaweza kuathiri kazi zako, usingizi wako, mood yako na ubora wa maisha kwa ujumla.
Ingawa wanawake wengi huyachukulia k**a jambo la kawaida, wakati mwingine yanaweza kuwa ishara kwamba mwili wako unahitaji kuangaliwa zaidi.

Afya ya mwanamke huanza kwa kuuelewa mwili wake.

πŸ“© DM "PERIOD" kwa ushauri wa afya yako.

03/06/2026

Wengi Tunadhani ni kawaida...πŸ‘‡

Wengine huanza kutumia dawa bila kujua chanzo.

Lakini ukweli ni huu πŸ‘‡

Kutoa maziwa bila kuwa mjamzito au kunyonyesha kunaweza kuwa ishara kwamba homoni zako hazipo sawa.

Kitaalamu hali hii huitwa GALACTORRHEA.

Na mara nyingi mwili huwa unajaribu kutoa warning

━━━━━━━━━━━━

🌿 CHANZO KIKUBWA MARA NYINGI NI HOMONI YA PROLACTIN KUPANDA

Homoni hii ndio inayohusika na kutengeneza maziwa kwa mama anayenyonyesha.

Sasa ikipanda bila sababu…

Unaweza kuanza kuona:
❌ Maziwa kutoka kwenye chuchu

❌ Hedhi kuvurugika

❌ Kukosa hedhi

❌ Kupungua hamu ya tendo

❌ Kushindwa kushika mimba

━━━━━━━━━━━━

⚠️ WAKATI MWINGINE CHANZO HUWA HIKI:

βœ”οΈ Matatizo ya tezi ya shingo (thyroid)

βœ”οΈ Dawa za uzazi wa mpango

βœ”οΈ Dawa za presha au Kuwa Katika kipindi Cha stress Sana

βœ”οΈ Kusisimua matiti mara kwa mara

βœ”οΈ Au uvimbe mdogo kwenye tezi ya ubongo

Na wanawake wengi hawajui kabisa πŸ˜”

━━━━━━━━━━━━

K**a:
❌ Maziwa yanatoka mara kwa mara
❌ Hedhi yako imevurugika
❌ Umekuwa ukihangaika kupata ujauzito
❌ Unahisi mwili umebadilika ghafla

Usikae kimya mama.

Kwa sababu prolactin ikiwa juu sana…
Inaweza KUZUIA MAYAI KUPEVUKA vizuri na kufanya ujauzito kuchelewa.

━━━━━━━━━━━━

🌿 NINI UFANYE?

Hatua ya kwanza ni kufanya uchunguzi sahihi.

Vipimo vinaweza kusaidia kuangalia:
βœ”οΈ Kiwango cha prolactin
βœ”οΈ Afya ya thyroid
βœ”οΈ Mfumo wa homoni kwa ujumla

Kwa sababu kutibu bila kujua chanzo…
Mara nyingi kunarudisha tatizo tena na tena.

━━━━━━━━━━━━

🌿 UZAZIRESTORE

Kwa wanawake wenye:
❌ Homoni kuvurugika

❌ Hedhi zisizoeleweka

❌ Changamoto za kushika mimba

❌ Dalili za prolactin kupanda

❌ Mfumo wa uzazi usio sawa

UZAZIRESTORE inasaidia kuimarisha mfumo mzima wa uzazi naturally Bila Kutumia Dawa kali,

kusawazisha homoni na kusaidia mwili kurudi kwenye hali yake ya kawaida.

πŸ“Œ Dose ya siku 30 ni Tsh 260,000/=

03/06/2026

Kukauka kwa uke (vaginal dryness) ni jambo la kawaida lakibj unapokua mkavu muda wote ata ukiandaliwa na hamu ya tendo unakosa hilo ni tatizo na hizi ndio sababu zake:

1. Mabadiliko ya homoni
Homoni za mwili, hasa estrogen, ndio inahusika na kumpatia mwanamke hisia za kimapenzi pamoja na ute ute ukeni kwake inapokua chini lazima utakosa hamu ya tendo pamoja ukavu wa kuzidi.

2. Msongo wa mawazo (stress) au wasiwasi
Stress inaweza kupunguza uzalishaji wa ute wa uke kwa sababu mwili unabadilisha namna unavyotoa homoni.

3. Baadhi ya dawa
Dawa fulani k**a: dawa za kupanga uzazi pamoja na P2 hizi zinaweza kuvuruga homoni zako na kujikuta na ukavu wa kutisha huko kwa bibi.

4. Maambukizi ya ukeni
Uvimbe, maambukizi ya uke (k**a yeast infections), au athari za matumizi ya sabuni/maji ya kuogea vinaweza pia kuathiri unyevu.

Uke unapokua mkavu muda wote unaharibu pH yake hali ambayo huvuruga uwiano wa bakteria walinzi ndio maana wanawake wakavu hukumbwa na fangasi pamoja na UTI zisizo isha

hili tatizo linatibika kirahisi sana kwa kuzingatia vyakula na matumizi ya dawa za kuongeza bakteria walinzi ukeni pamoja na kuboost homoni ya estrojeni

03/06/2026

Ectopic pregnancy (mimba nje ya mfuko wa uzazi) ni hali ambapo yai lililorutubishwa hukua nje ya mfuko wa uzazi, mara nyingi kwenye mrija wa uzazi (fallopian tube) badala ya ndani ya mfuko wa uzazi.

Maana kwa ufupi
Ni mimba isiyo ya kawaida na haiwezi kuendelea salama, kwa sababu sehemu ilipopandikizwa haiwezi kuhimili ukuaji wa mimba.

Dalili za ectopic pregnancy
Dalili zinaweza kuanza mapema au baadaye, na si wote hupata dalili sawa:

1. Maumivu makali ya tumbo (hasa upande mmoja)

2. Kutokwa damu ukeni isiyo ya kawaida

3. Kichefuchefu au kutapika

4. Kizunguzungu au kuzimia (hasa ikiwa mrija umechanika)

5. Maumivu ya bega (dalili ya damu kujaa tumboni)

6. Maumivu wakati wa kukojoa au kujisaidia

Sababu za ectopic pregnancy
1. Sababu kuu ni kuzuia au kuharibu mrija wa uzazi, mfano:

2. Maambukizi ya njia ya uzazi (PID)

3. Historia ya ectopic pregnancy hapo awali

4. Upasuaji wa mirija ya uzazi

5. Matumizi ya kifaa cha uzazi wa mpango (IUD) – kwa nadra

6. Kuvuta sigara

Madhara ya ectopic pregnancy
K**a haitatibiwa mapema, inaweza kusababisha:

1. Kupasuka kwa mrija wa uzazi

2. Kutokwa damu nyingi ndani ya mwili

3. Kupoteza uwezo wa kupata mimba baadaye (hasa k**a mrija utaondolewa)

4. Maumivu ya muda mrefu ya tumbo

5. Hatarishi kwa maisha ya mama (kifo ikiwa damu itapotea sana)

Ectopic pregnancy ni hali hatari lakini inatibika ikiwa itagunduliwa mapema. Mwanamke yeyote mwenye maumivu makali ya tumbo na damu ukeni wakati wa ujauzito wa awali anatakiwa kufanya uchunguzi mapema hospital

Ikiwa unapenda kutotokewa na hii hali basi jitahidi kutibu PID mapema pamoja na sababu zingine k**a nilivyoeleza hapo juu kwenye sababu za ectopic pregnant

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Address

Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 00:00 - 12:00
Sunday 09:00 - 17:00