DR.Ilham
Karibu tukusaidie changamoto yako Eternal international hospital ni kiboko wa matatizo yako jua afya yako leo .Afya bora ni mtaji.
22/12/2025
Unasumbukaje na maradhi na unadhoofishwaje na maradhi ukimuona mtu mwengine ni mzee lakini kumbe ni kijana wa 2000 .Dawa za Eternal ni suluhisho la maradhi yako unachelewaje ndugu kwa mawasiliano zaidi piga 0779107820
Tunapatikana mikoa yote ya Tanzania kwa mawasiliano zaidi piga namba 0779107820
16/11/2025
🌟 OFA KUBWA YA MWEZI HUU NDANI YA CLINIC ZETU! 🌟
Je, unasumbuliwa na magonjwa kwa muda mrefu?
Je, unajali afya yako ya sasa na ya baadaye? 🩺
Kwa 30,000/= tu, fanya CHECK UP YA MWILI MZIMA na upate majibu kamili kuhusu:
âś… Afya ya Uzazi (wanawake na wanaume)
🎗 Mimba kuharibika au kutoshika mimba
🎗 PID (UTI sugu)
🎗 Uchafu ukeni na harufu mbaya
âś… Kwa akina baba
Kulegea kwa uume, kiwango cha mbegu
âś… Mfumo wa Upumuaji
âś… Vidonda vya tumbo & gesi tumboni
âś… Ubongo & mfumo wa fahamu
âś… Ini & Figo
âś… Moyo & Shinikizo la Damu (Presha)
âś… Kisukari
âś… Ngozi & Maumivu ya Mwili
âś… Bawasiri
âś… Misuli & Maumivu ya Viungo
âś… Uchunguzi wa Magonjwa Yanayojificha Mapema
👉 Vipimo hivi vitakusaidia kugundua matatizo ya kiafya mapema kabla hayajawa makubwa.
đź’Ą MATIBABU: Kwa njia ya kuosha, kutibu, na kuongeza kinga ya mwili.
đź’Ą Punguzo la 40% kwenye gharama za matibabu!
📞 Mawasiliano: 0779 107 820
📍 Eternal Health Clinic
Dar es Salaam | Mikoani | Zanzibar
11/11/2025
Huduma Ya Vipimo Vya Mwili Mzima
Je,Unajiuliza Wapi,Utapata Huduma Ya Upimaji Wa Mwili Mzima kwa haraka Na gharama Rahisi Zaidi
Kumbuka Afya Yako Ndio Msingi Wa Mambo Yote....
Tumekuandalia OFA Maalumu Ya Upimaji Wa Mwili Mzima Kuelekea mwisho wa mwezi
utalipia TSH 30,000/= tu k**a nawe Utakuwa Miongoni Mwa Watu 20 Wa Mwanzo
Gharama Halisi za Vipimo ni 150,000/= Lakini k**a Utakuwa Miongoni Mwa Watu Hawa Ishirini Utalipia 30,000/= tu na utaokoa Zaidi Ya Tsh 120,000/= Nzima
Natumaini k**a ni Miongoni Mwa Watu wanaopenda Afya Zao Basi Huwezi Kukosa OFA hii
KIPIMO KINAONYESHA;
1.Tatizo husika
2.Chanzo Cha tatizo
3.Viashiria Vya tatizo lingine
Kipimo kinahusika zaidi na magonjwa sugu ambayo hayaambukizi
Tunafanya Vipimo vya Mwili mzima Katika Mifumo ifuatavyo;
1.Mfumo wa Ubongo
2.Mfumo wa Upumuaji
3.Mfumo wa Tumbo
4.Mfumo wa Ngozi
5.Mfumo wa Mifupa na Misuli
6.Mfumo wa Uzazi Kwa wanawake na wanaume
7.Mfumo wa Macho
Pia Tunatoa huduma ya MATIBABU Kwa Magonjwa sugu k**a Ifuatavyo
_Vidonda Vya Tumbo, Presha, Kisukari,
Moyo, Figo, INI, Cholesterol, Bawasili,
_Tezi dume, fangasi , Uzazi Kwa wanawake na wanaume, Figo, Macho, Allergy, Mifupa, Ngozi
Tunatibu Uvimbe Aina zote bila upasuaje, stroke (Kupooza),Miguu, Magoti, Ganzi,Uzito mkubwa na UneneUvimbe kwenye vyia vya Uzazi, Ukuaji mbovu Kwa watoto n.k
Ili OFA Hii Isikupite basi fanya hivi Piga Simu/Tuma Sms au WhatsApp inbox kwenda namba 0779107820
27/10/2025
*ELIMU YA UGONJWA WA KISUKARI*
Kisukari ni nini?
Kisukari (Diabetes Mellitus) ni ugonjwa sugu unaotokea pale ambapo mwili unashindwa kutumia au kuzalisha insulini kwa ufanisi, hivyo kusababisha ongezeko la sukari kwenye damu. Insulini ni homoni inayozalishwa na kongosho, na inasaidia kusafirisha sukari kutoka kwenye damu hadi kwenye seli ili kutumika k**a nishati.
*AINA ZA KISUKARI*
*1. Kisukari Aina ya 1*
Hutokea wakati kinga ya mwili inashambulia na kuharibu seli za kongosho zinazozalisha insulini.
Wagonjwa wa aina hii hutegemea sindano za insulini maisha yao yote.
Huonekana zaidi kwa watoto na vijana
*2. Kisukari Aina ya 2*
Hutokea pale ambapo mwili unashindwa kutumia insulini ipasavyo (insulin resistance) au haitoshi.
Mara nyingi huhusiana na mtindo wa maisha usiofaa k**a kula vyakula vyenye sukari nyingi, kutofanya mazoezi, na uzito mkubwa.
Huchangia zaidi ya 90% ya visa vya kisukari duniani.
*3. Kisukari cha Mimba*
Huwapata baadhi ya wanawake wajawazito kutokana na mabadiliko ya homoni.
Mara nyingi huisha baada ya kujifungua, lakini kinaweza kuongeza hatari ya mama kupata kisukari aina ya 2 baadaye.
*DALILI ZA KISUKARI*
â– Kukojoa mara kwa mara
â– Kiu isiyo ya kawaida
â– Njaa kupita kiasi
â– Uchovu usioeleweka
â– Kupungua uzito bila sababu
â– Vidonda vinavyochelewa kupona
â– Maambukizi ya mara kwa mara, hasa kwenye ngozi, fizi, au sehemu za siri
â– Kupungua kwa uwezo wa kuona
*MADHARA YA KISUKARI KISIPOPATIWA MATIBABU*
K**a kisukari hakidhibitiwi, kinaweza kusababisha madhara makubwa k**a:
â– Shinikizo la damu na magonjwa ya moyo
â– Kupungua kwa uwezo wa kuona au upofu
â– Uharibifu wa figo na hatari ya kushindwa kwa figo
â– Kudhoofika kwa mishipa ya fahamu (neuropathy)
â– Vidonda sugu vinavyoweza kupelekea kukatwa viungo (amputation)
*NJIA ZA KUDHIBITI NA KUZUIA KISUKARI*
âś… Kufanya mazoezi mara kwa mara
âś… Kula mlo bora wenye nyuzinyuzi nyingi na mafuta mazuri
âś… Kupunguza matumizi ya sukari na wanga rahisi
âś… Kudhibiti uzito
âś… Kuepuka msongo wa mawazo
âś… Kunywa maji ya kutosha
âś… Kwa walio na kisukari, kufuatilia sukari kwenye damu mara kwa mara na kufuata ushauri wa daktari piga 0779107820
02/10/2025
Huduma Ya Vipimo Vya Mwili Mzima
Je,Unajiuliza Wapi,Utapata Huduma Ya Upimaji Wa Mwili Mzima kwa haraka Na gharama Rahisi Zaidi
Kumbuka Afya Yako Ndio Msingi Wa Mambo Yote....
Tumekuandalia OFA Maalumu Ya Upimaji Wa Mwili Mzima Kuelekea mwisho wa mwezi
utalipia TSH 30,000/= tu k**a nawe Utakuwa Miongoni Mwa Watu 20 Wa Mwanzo
Gharama Halisi za Vipimo ni 150,000/= Lakini k**a Utakuwa Miongoni Mwa Watu Hawa Ishirini Utalipia 30,000/= tu na utaokoa Zaidi Ya Tsh 120,000/= Nzima
Natumaini k**a ni Miongoni Mwa Watu wanaopenda Afya Zao Basi Huwezi Kukosa OFA hii
KIPIMO KINAONYESHA;
1.Tatizo husika
2.Chanzo Cha tatizo
3.Viashiria Vya tatizo lingine
Kipimo kinahusika zaidi na magonjwa sugu ambayo hayaambukizi
Tunafanya Vipimo vya Mwili mzima Katika Mifumo ifuatavyo;
1.Mfumo wa Ubongo
2.Mfumo wa Upumuaji
3.Mfumo wa Tumbo
4.Mfumo wa Ngozi
5.Mfumo wa Mifupa na Misuli
6.Mfumo wa Uzazi Kwa wanawake na wanaume
7.Mfumo wa Macho
Pia Tunatoa huduma ya MATIBABU Kwa Magonjwa sugu k**a Ifuatavyo
_Vidonda Vya Tumbo, Presha, Kisukari,
Moyo, Figo, INI, Cholesterol, Bawasili,
_Tezi dume, fangasi , Uzazi Kwa wanawake na wanaume, Figo, Macho, Allergy, Mifupa, Ngozi
Tunatibu Uvimbe Aina zote bila upasuaje, stroke (Kupooza),Miguu, Magoti, Ganzi,Uzito mkubwa na UneneUvimbe kwenye vyia vya Uzazi, Ukuaji mbovu Kwa watoto n.k
Ili OFA Hii Isikupite basi fanya hivi Piga Simu/Tuma Sms au WhatsApp inbox kwenda namba
0779107820
Tunapatikana Tanzania nzima yaani Tanzania bara na visiwani gusa link apo👇
01/10/2025
OFA YA VIPIMO VYA MWILI MZIMA KWA SHILLING 30,000TU
TUNAPATIKANA DAR SALAMU PAMOJA NA MIKOWANI
KWA MĂ€WASILIANO ZAIDI PG SIMU NAMBA 0779107820
30/09/2025
FURSA ZA KAZI, ZANZIBAR
VIGEZO
UWE ZANZIBAR
UMRI 18 MPAKA 60
ELIMU KIDATO CHA 2 MPAKA CHUO
MAELEKEZO YOTE UTAPATIWA OFISINI KWA MAWASILIYANO ZAID PIGA SIMU NAMBA 0779107820
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam
