Pango Mshauri

Pango Mshauri

Share

TUNATOA ELIMU, USHAURI, MWONGOZO NA MATIBABU SAHIHI KUHUSU MAGONJWA YANAYOAMBUKIZA NA YASIYOAMBUKIZA. 0790141423/
0758262611 /
0674769934

16/06/2026

Ulaji unachangia kwa kiasi kikubwa sana kwenye sintofahamu za afya ya mwili na akili, sasa Kuna aina tofauti tofauti za ulaji mbaya k**a
1. Kula Hadi kupitiliza
2. Kula vyakula ambavyo ni sumu ya mwili
3. Kula vyakula vyenye virutubisho aina Moja tu
4. Kula na kushiba sana na kulala
5. Kula mara Kwa mara bila kuzingatia lishe

Na udhibiti wa ulaji mbaya unaweza kukuokoa na maradhi menhi mno hata k**a ni kwa baadae maana Kuna baadhi ya athari huwezi kuziona Leo Wala kesho.
Kuwa mwangalifu kwenye chakula chako na hata vinywaji vyako

Na ili kuliepuka hili ni muhimu kujua na kuwa na Ratiba nzuri ya mlo kwa siku na hata Kwa wiki ba mwezi pia ili ujue unakula Nini na kina faida Gani?

Mfumo wa mmeng'enyo wa chakula unaweza kuharibiwa kwa ulaji mbaya na kupelekea changamoto k**a kiungulia, gas, acid reflux, vidonda vya tumbo,

Ni muhimu kuwa mwangalifu zaidi ili usijutie kile unachofanya, pole kwa mateso unayopitia ila k**a tayari umeshaathirika mfumo wa mmeng'enyo wa chakula na unateseka sana bila msaada nipigie au fika officen Mlimani city kupata Elimu, ushauri, muingozo na matibabu sahihi
Mimi ni mshauri wako kwenye afya Dr. Ally pango
0790141423, 0674769934, 0758262611

15/06/2026

Tambua thamani ya afya ya in Lako ni muhimu zaidi.
Sasa unaweza kupata Elimu, Ushauri, Muongozo na Matibabu Sahihi

14/06/2026

Understand how can you protect yourself...

14/06/2026

Mwili sio kiwanda cha kuzalisha mavi,
Virutubisho mwilini ni muhimu zaidi...

14/06/2026

Safiri Bila wasiwasi,
Anza chanjo mapema,
Epuka usumbufu usio wa lazima,
Fanya check up mara Kwa mara
Hii video ni kwaajiri Yako....

14/06/2026

Tusiwatenge wagonjwa wa Hepatitis na video hii ni kwaajiri yeti....

14/06/2026

Chukua Tahadhari, Pata chanjo mapema, kuwa mwangalifu, jilinde walinde na wengine...

14/06/2026

Wagonjwa wa homa ya ini wanaohisi maumivu, kukosa hamu ya kula, uchovu na jaundice hii video ni kwaajiri yenu..

14/06/2026

Unahisi mwili wako unatembelewa na vijidudu?
Video hii ni kwaajiri yako....

14/06/2026

Unapohisi maumivu makali ya Tumbo kwanza usifanye maamuzi ya kutumia Dawa za maumivu Moja Kwa kwa Moja.
Na video Hii ni kwaajiri Yako....

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Address

Kimara Stopover
Dar Es Salaam