Pango Mshauri
TUNATOA ELIMU, USHAURI, MWONGOZO NA MATIBABU SAHIHI KUHUSU MAGONJWA YANAYOAMBUKIZA NA YASIYOAMBUKIZA. 0790141423/
0758262611 /
0674769934
Ulaji unachangia kwa kiasi kikubwa sana kwenye sintofahamu za afya ya mwili na akili, sasa Kuna aina tofauti tofauti za ulaji mbaya k**a
1. Kula Hadi kupitiliza
2. Kula vyakula ambavyo ni sumu ya mwili
3. Kula vyakula vyenye virutubisho aina Moja tu
4. Kula na kushiba sana na kulala
5. Kula mara Kwa mara bila kuzingatia lishe
Na udhibiti wa ulaji mbaya unaweza kukuokoa na maradhi menhi mno hata k**a ni kwa baadae maana Kuna baadhi ya athari huwezi kuziona Leo Wala kesho.
Kuwa mwangalifu kwenye chakula chako na hata vinywaji vyako
Na ili kuliepuka hili ni muhimu kujua na kuwa na Ratiba nzuri ya mlo kwa siku na hata Kwa wiki ba mwezi pia ili ujue unakula Nini na kina faida Gani?
Mfumo wa mmeng'enyo wa chakula unaweza kuharibiwa kwa ulaji mbaya na kupelekea changamoto k**a kiungulia, gas, acid reflux, vidonda vya tumbo,
Ni muhimu kuwa mwangalifu zaidi ili usijutie kile unachofanya, pole kwa mateso unayopitia ila k**a tayari umeshaathirika mfumo wa mmeng'enyo wa chakula na unateseka sana bila msaada nipigie au fika officen Mlimani city kupata Elimu, ushauri, muingozo na matibabu sahihi
Mimi ni mshauri wako kwenye afya Dr. Ally pango
0790141423, 0674769934, 0758262611
Tambua thamani ya afya ya in Lako ni muhimu zaidi.
Sasa unaweza kupata Elimu, Ushauri, Muongozo na Matibabu Sahihi
Understand how can you protect yourself...
Mwili sio kiwanda cha kuzalisha mavi,
Virutubisho mwilini ni muhimu zaidi...
Safiri Bila wasiwasi,
Anza chanjo mapema,
Epuka usumbufu usio wa lazima,
Fanya check up mara Kwa mara
Hii video ni kwaajiri Yako....
Tusiwatenge wagonjwa wa Hepatitis na video hii ni kwaajiri yeti....
Chukua Tahadhari, Pata chanjo mapema, kuwa mwangalifu, jilinde walinde na wengine...
Wagonjwa wa homa ya ini wanaohisi maumivu, kukosa hamu ya kula, uchovu na jaundice hii video ni kwaajiri yenu..
Unahisi mwili wako unatembelewa na vijidudu?
Video hii ni kwaajiri yako....
Unapohisi maumivu makali ya Tumbo kwanza usifanye maamuzi ya kutumia Dawa za maumivu Moja Kwa kwa Moja.
Na video Hii ni kwaajiri Yako....
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam
