Dr Latifah
TUNATOA HUDUMA YA AFYA NA USHAURI
08/02/2026
CHAI YA MWANAMKE YA KUTIBU UZAZI MZIMA
———-
——HII KWA MIMBA NI CHAP
*DOCT LATIFAH *
HII MIMBA NI CHAP
PIGA SIMU NIKUHUDUMIE
0613875653
22/11/2025
*Kufanya tendo la ndoa ukiwa na uke mkavu kunaweza kusababisha madhara yafuatayo*
Dawa.doct Latifah uke mkavu k**a k**a kau kau tuna restouzazi dawa
Maumivu wakati wa tendo – Kukauka kwa uke hufanya msuguano kuwa mkubwa, na kusababisha maumivu makali.
Kuchubuka kwa ngozi ya uke– Uke unapokuwa mkavu, unaweza kupata michubuko au majeraha madogo.
Maambukizi– Michubuko hufanya uke kuwa rahisi kushambuliwa na bakteria .
. Kutokwa na damu baada ya tendo– Michubuko inaweza kusababisha kutokwa na damu.
. Kupunguza hamu ya tendo la ndoa – Maumivu na usumbufu vinaweza kupunguza kabisa hamu ya kushiriki tendo.
. Madhara ya kihisia– Kukosa raha au maumivu mara kwa mara huweza kusababisha msongo wa mawazo au matatizo ya mahusiano.
*DOCT LATIFAH whatsup 0673285653
CALL.0613875653
22/11/2025
𝗧𝗜𝗕𝗔 𝗬𝗔 𝗞𝗨𝗗𝗨𝗠𝗨 𝗬𝗔 𝗧𝗔𝗧𝗜𝗭𝗢 𝗟𝗔 𝗕𝗔𝗪𝗔𝗦𝗜𝗥𝗜 (𝗡𝗗𝗔𝗡𝗜 𝗡𝗔 𝗡𝗝𝗘) 👇
DOCT LATIFAH
𝗕𝗔𝗪𝗔𝗦𝗜𝗥𝗜 (𝗛𝗘𝗠𝗢𝗥𝗥𝗛𝗢𝗜𝗗𝗦/𝗣𝗜𝗟𝗘)
👉 Ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa na kuoelekea kuota kinyama sehemu ya haja kubwa
𝗖𝗛𝗔𝗡𝗭𝗢 𝗖𝗛𝗔 𝗕𝗔𝗪𝗔𝗦𝗜𝗥𝗜
(𝗛𝗘𝗠𝗢𝗥𝗥𝗛𝗢𝗜𝗗𝗦)
✓ Tabia ya kukaa sehemu moja kwa muda mrefu mfano (Madereva/Mafundi kushona)
✓ Tatizo sugu la kuharisha
✓ Ujauzito
✓ Uzito wa mwili kupita kiasi
✓ Kufanya ngono Kinyume na Maumbile (kulawitiwa)
✓ Kupata Choo Kigumu
✓ Kua na mgandamizo mkubwa tumboni
✓ Kunywa pombe
✓ Kula sana nyama nyekundu
✓ Vidonda vya tumbo (Ulcers)
✓ Ngiri (Chango/Hernia)
✓ Kula sana pilipili
✓ Kunyanyua vitu vizito
𝗗𝗔𝗟𝗜𝗟𝗜 𝗭𝗔 𝗕𝗔𝗪𝗔𝗦𝗜𝗥𝗜
(𝗛𝗘𝗠𝗢𝗥𝗥𝗛𝗢𝗜𝗗𝗦)
✍️ Kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa
✍️ Kujitokeza kwa kinyama eneo la haja kubwa
✍️ Kutokewa na kiuvimbe katika tundu La Haja kubwa
✍️ Kupata kinyesi chenye damu
✍️ Kupata maumivu makali wakati wa
kujisaidia haja kubwa
✍️ kutokwa na uteute sehemu ya haja kubwa
✍️ Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia haja kubwa.
Piga cm au tuma meseji nikuhudumie.
Daktari Latifah
+255673285653
*Dalili za fibroids*/ Uvimbe
1.Kutokwa damu kwenye via vya uzazi katikati ya mwezi.
2.kutokwa na uchafu wenye kiaharufu mbaya au ambao hauna harufu lakini mwingi na mweupe.
3.maumivi ya kiuno hasa wakati wa
hedhi ambayo husababishwa na kizazi kujaribu kusukuma huo uvimbe..wengi hupata maumivu makali sana.
4.Tumbo kuuma sana chini ya kitovu.
5.hedhi zisizokuwa na mpangilio
6.maumivu wakati wa tendo la ndoa
7.Kukosa hamu ya tendo la ndoa
8.maumivu makali wakati wa hedhi
*Uvimbe unapokua mkubwa unaweza kusababisha dalili zifuatazo*
1.Kukojoa mara kwa mara kwani uvimbe unakandamiza kibofu cha mkojo
2.Mkojo kubaki kwenye kibofu cha
mkojo
3.Haja kuwa ngumu
4.miguu kuvimba
5.kupungukiwa damu
Mawasiliano
255673285653
K**A UNASUMBUKA NA CHANGAMOTO YAKO, UKIFANYA MAAMUZI LEO, NI KWAMBA UTAKUWA UMEBADILISHA HISTORIA YA MAISHA YAKO.UTAPATA MATIBABU SAHIHI YANAYOENDA NA CHANGAMOTO ZAKO.K**A UNASUMBUKA NA UVIMBE KWENYE KIZAZI – UTAISHA.HUJAPATA MTOTO – UTAKUWA NA MTOTO.UTAPONA CHANGAMOTO ZOTE AMBAZO ZIMEKUTESA KWA MUDA MREFU.+ 255673285653
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam
