GCAT

GCAT

Share

Tunakusaidia kukuponya kwa muda mfupi

17/02/2026

*Tatizo la ganzi mwilini* linahusisha kupoteza au kupungua kwa hisia sehemu fulani ya mwili. Linaweza kutokea ghafla au taratibu, na mara nyingi huambatana na hisia k**a kuchoma sindano, kufa ganzi, au kuwashwa.

*Visababishi vya ganzi mwilini:*
1. *Shida za neva* – k**a vile *neuropathy* kutokana na kisukari.
2. *Shinikizo kwenye neva* – kutokana na kupinda vibaya, majeraha, au mgandamizo wa neva (mf. *carpal tunnel syndrome*).
3. *Kupungukiwa na vitamini* – hasa B1, B6, B12.
4. *Magonjwa ya mgongo au ubongo* – mfano *stroke*, *multiple sclerosis*.
5. *Mzunguko duni wa damu* – damu kutofikia vyema sehemu fulani.
6. *Maambukizi* – k**a vile ukoma (leprosy) au magonjwa ya virusi yanayoathiri neva.
7. *Matumizi ya pombe au sumu mwilini*.

*Madhara ya ganzi mwilini (ikiendelea bila kutibiwa):*
- Kupoteza kabisa uwezo wa kuhisi.
- Majeraha yasiyogundulika mapema kutokana na kukosa hisia.
- Kupoteza usawa wa mwili au uwezo wa kutembea.
- Maumivu ya neva ya muda mrefu.
- Kupooza sehemu fulani ya mwili.

*Ni muhimu kumuona KUTUMIA chai lishe* ili kuondoa chanzo hasa cha ganzi na kupata matibabu Mawasiliano 0798512323

27/01/2026

Chai hii ni maalum kwa ajili ya kusaidia afya kwa njia ya asili. Inafanya kazi zifuatazo:

1. *Husaidia mzunguko wa damu* – Hasa kwa watu wenye shinikizo la damu (presha) ya kupanda.
2. *Hulaza vizuri* – Inasaidia watu wenye changamoto ya kukosa usingizi au kuchoka mara kwa mara.
3. *Husafisha ini na figo* – Husaidia watu wenye matatizo ya ini, figo au sumu mwilini.
4. *Husaidia ganzi ya miguu au mikono* – Kwa wanaopata ganzi mara kwa mara.
5. *Hutibu mfumo wa mmeng’enyo wa chakula* – Kwa wenye gesi tumboni au choo kigumu (constipation).
6. *Husaidia kwa watu wanaotumia vilevi* – K**a pombe au wanaoishi kwenye mazingira yenye hewa chafu.
7. *Hufanya detoxification ya mwili* – Huviondoa sumu na kuimarisha afya kwa ujumla.
8. *Huongeza kinga ya mwili (Immunity)* – Inafaa hata kwa mtu asiye mgonjwa ili kujikinga.
9. *Inafaa kwa mtu aliyeathirika tayari kiafya* – Husaidia kurejesha mwili kwenye hali nzuri.
10:inapunguza uzito &kitambi
*Namna ya kutumia:*
P**i 1 asubuhi na p**i 1 jioni kwa siku 20 mfululizo.
Tumia na *maji ya uvuguvugu bila kuongeza chochote.*

Mawasiliano 0798512323

26/01/2026
Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Address

P. O. BOX70, Segerea, 7, Mtaa Wa Furuha
Dar Es Salaam