dr_mbuya_255

dr_mbuya_255

Share

DR MBUYA HEALTH AND CONSULTANT SOLUTION
Tuna toa huduma ya tiba na ushauri kwa kutumia virutubisho asilia
Unaweza kuwasiliana nasi kwa msaada zaidi

25/09/2021

* MADHARA YA KUPIGA UKE DEKI (KITENDO CHA KUOSHA SEHEMU ZA NDANI ZA UKE) *
💎SEHEMU YA (1)

📖UTANGULIZI
🍎Uke ulivyoumbwa ulitengenezwa kwa ajili ya kujisafisha wenyewe kwa msaada wa ute asilia unaotengenezwa kutoka kwenye kuta zake na shingo ya uzazi. Uke huanzia kwennye shingo ya kizazi mpaka kwenye uwazi unaonekana kwa nje.
🍎Ukiachana na damu anayotoka mwanamke wakati wa mzunguko wake wa kawaida wa hedhi; si jambo la kushangaza kwa yeye kutokwa na ute mweupe au k**a maji kutoka ukeni. Mabadiliko katika wingi wa ute huu huendana na mabadiliko ya homoni kwenye mwili wake wakati wa mzunguko wa hedhi, ujauzito au ukomo wa hedhi.
🍎Wakati mwingine ute huu hubadilika na kuwa mzito na unaovutika na huu huwa ni wakati yai linatolewa kwenye o***y (ovulation). Wakati wote huo zingatia kwamba ute wa kawaida huwa hautoi harufu kali wala rangi tofauti na rangi tajwa hapo juu. Endapo utaona mabadiliko ya ute tofauti na ulivyozoea wewe hasa kwenye rangi, harufu au kuleta muwasho, tafadhali tembelea kituo cha afya.
🍎Jinsi ya kujisafisha uke
🍎Unachotakiwa kuosha wewe mwenyewe ni sehemu ya nje inayozunguka uke yaani mashavu [v***a] , na maeneo ya karibu kuzunguka uke na sio katika tundu la uke wala sehemu za ndani, maana sehemu ya ndani inajisafisha yenyewe.
🍎Muhimu ni kuhakikisha unajisafisha kila siku kwa kutumia sabuni isiyo na madawa au harufu kali ( Mfano sabuni ya kipande ya Jamaa, kwani huweza kuua bakteria wanaolinda uke ambayo inaweza kupelekea kwa baadhi kupata muwasho au ukuaji wa fangasi, baada ya hapo jisuuze vizuri kwa maji ya kutosha kuondoa sabuni yote.
K**a unapata muwasho unapotumia sabuni yoyote ile basi tumia maji masafi peke yake yanatosha pia
🍎Ni muhimu pia kusafisha eneo lililopo kati ya uke na sehemu ya haja kubwa kila mara unapooga kuepuka kutunza uchafu.
🍎Wakati wa hedhi inashauriwa kujisafisha zaidi ya mara moja.
ITAENDELEA.... 🙏

18/08/2021

K**a ulishawai kuambiwa kizazi kimejaa maji maji sasa utakuta kuna inflammation kwenye mirija
Kikawaida mirija haina uwezo wa kutanuka ndo maaana baada ya mbegu za kiume kukutana na yai la k**e na kuanza utungisho baada ya hapo humove kwenda kwenye uterus kwa ajli ya ukuaji

Kwa mantic hio sababu ambayo itafanya mimba itunge nje ya kizazi ni hizo infection ulizonazo kwa mda mrefu bila kuchukua jukumu la kujitibia kwa ufasaha

Nakukumbusha tena madhara ya kukaa na PID sugu kwa mda mrefu Kwanza kabisa

📌PID imewachelewesha wanawake wengi kushindwa kunasa mimba kwa haraka na unaweza ukanasa baada ya mda ikaporomoka tu

📌.Kizazi kujaa maji maji
Hi hupelekea kutokwa na maji maji yenye harufu mbaya na kuchafu chupi yako

📌.Mirija kuvimba
Hi ni hatari mirija ikishakuwa over size ukifanyiwa operation ya mirija sahau kuhusu mimba maana katk wanawake 100 wenda 2 tu wanaweza bahtika kunasa may be ukapandikize na kupandikiza 20ml

📌.kizazi kulegea
Hi ni hatari unaweza bahatika kunasa mimba ikatoka tu mapema maana misuli na mishipa ya kizazi haina nguvu

📌.Saratani ya shingo ya kizaz
Hi sasa hatari mno maana how fangas Candida's ni korofi na wanatabia ya kushambulia shinho ya kizazi na kuwa nyekundu mno mwisho cancer

4.Hormonal imbalance
PID husishwa pia katk kuvuruga uwiano wa hormones so PID plus hormonal imbalance husababisha uvimbe kwenye kizazi inaweza kuwa (polycystic ovarian syndrome ,faibroids,myomas au ovarian cyst) maana hakuna uvimbe unaweza akutokea bila kuwepo na ttz la hormones

6.Ugumba infertility
sasa k**a kizazi kimelegea ,kizazi kimejaa maji maji ,mirija imevimba na hormonal imbalance unawezaje kunasa mimba Sasa dear

Kwa ushauri na tiba njoo dm
.

07/08/2021

Bado nakukumbusha kuwa ukiona umeanza kutokwa na uchafu kiasi cha kuchafua nguo ya ndani wenyewe,uchafu wenye harufu mbaya k**a shombo la samaki jua kabisa huo uchafu umeanza kuleta side effect kuanzia kwenye

🌷 Ovaries
🌷 Fallopian Tube
🌷 Uterus
🌷 Cervix
🌷 Va**na

KIVIPI SASA ANAANDIKA dr mbuya

📌Ovaries
Hapa unaweza ambiwa uko PCOS (Polycystic ovarian cyst) vimbe maji au ovarian Cyst kabisa , sometime ovaries unaweza ambiwa zimevimba

📌Fallopian Tube
Utaambiwa mirija imejaa maji maji k**a sio kuziba kabisa ,na usiombe mirija ikavimba ikawa ovar size oparesheni ya mirija ni risk ,pia mirija ikiziba kunakuwa na uwezekano wa kupata ectopic pregnancy mimba kutunga nje ya kizazi

📌Uterus
Uchafu unajaa kwenye kuta za mji wa mimba,au unaweza ambiwa una maji maji nyuma ya Kizazi. Kumbuka kuta za mji wa mimba ni soft sana sasa uchafu unapoganda hapo na izo ni infection zinaanza kutengeneza makovu huko kwenye kizazi kitu ambacho kitakuchelewesha sasa kunasa mimba

📌Cervix
K**a uchafu utaendelea kwepo hapo kwenye mlango wa kizazi kwa muda wote Kumbuka hizo ni infection zinaanza kushambulia shingo ya kizazi hasa fangasi Aina ya Candida's hi ni hatari k**a Fangasi sugu zisipopatiwa suluhisho la uhakika unaweza pelekea saratani ya shingo ya kizazi

📌Va**na
kwenye uke wa mwanamke kuna bacteria wazuri waishio hapo kwa ajili ya ulizi wa tunda hilo tamu 😋 sasa kitu chochote kinaweza haribu uwiano wa bacteria wazuri na kufanya kuanza kutokwa na mauchafu ya ajabu ajabu mweupe k**a maziwa mtindi,njano kahawia,n.k

NB: Kikawaida uke hujisafisha wenyewe automatic so my dear usipige deki uke 😳 kwa kutumia masabuni yenye chemical na manukano huko chini na sometimes infection mnajiambukiza nyie wenyewe unashauriwa kujisafisha kuanzia mbele (uke) kwenda nyumba (Haja ndogo) wewe unaanza nyumba kuja mbele ndo maana several time case ni U.T.I

Hakikisha unapata suluhisho sahihi la kutatua hi changamoto ya PID,fangasi,na U.T.I sugu nikwambie tu katika wanawake 8 wenye PID mmoja anakuwa mgumba
PID imewachelewesha wanawake wengi kushindwa kunasa mimba kwa wakati

Kwa ushauri na suluhisho
Call me 0747207803
0689089177

26/07/2021
02/07/2021

TIBA YA UHAKIKA YA UGONJWA WA FIGO

Magonjwa ya figo huwa magonjwa yanayoingia mwilini kimya kimya na hayatoi dalili zozote hadi yafikie hatua ya kuimarika. Mbinu sahihi na bora lakini inayotumika kwa nadra sana ni uchunguzi wa mara kwa mara. Utambuzi wa mapema na kuzuia magonjwa ya figo inaweza kufanyika tu kwa uchunguzi wa kila mwaka. Ni Ugonjwa hatari sana na Wenye madhara makubwa kiafya.

Faida Za Tiba Zetu Za Magonjwa ya Figo

✍🏻 Anti-oxidants, Anti-inflammatories, Vitamins, Madini Huimarisha na kurudisha ufanyaji Kazi wa figo na kukaa sawa.

👉🏿Tiba zitakusaidia hata k**a Figo limefeli, au limeathirika vipi, hata k**a unafanya Dialysis, utakaa sawa 100%.
👉🏿 Huzuia na kutibu Kuvimba uso kunakotokea baada ya figo kupata shida (Nephritic Syndrome)
👉🏿Huimarisha kiwango cha damu mwilini (Hemoglobin Level)
👉🏿 Huimarisha Mfumo wa utoaji Takamwili hasa mkojo
👉🏿Huimarisha mzunguko wa damu kwa wagonjwa wenye Shinikizo la juu la damu
👉🏿Hukinga na kutibu Ugonjwa wa figo unaosababishwa na Kisukari (Diabetic Polyneuropathy) kwa Kuimarisha kiwango cha Sukari Kwenye damu
👉🏿Hukinga na kulinda Mfumo wa mkojo dhidi ya ugonjwa sugu wa UTI sugu ambao pia huathiri
👉🏿Tiba ya ugonjwa wa mawe Na kuvimba kwa tezi dume (BPH) ambavyo huhusishwa na Ugonjwa wa figo
👉🏿Hutibu na kukinga ugonjwa sugu wa figo
👉🏿Tiba zetu huondoa ongezeko la umajimaji wa kreatinini katika damu na figo
👉🏿Hutibu kupungua kwa ukubwa wa figo/kusinyaa kwa figo.
👉🏿 Huongeza uwezo mkubwa wa figo kufanya kazi unaopunguzwa na Matumizi ya dawa holela, kuhara, kutapika, malaria (hasa aina ya falsiparumu), maaambukizo katika damu (sepsis), madawa mengine (

01/07/2021

Tatizo la Mimba Kutoka Mara kwa Mara

✍🏻Ikiwa mama mjamzito atakuwa akitokwa na vipande vya nyama sehemu za siri ni dalili mbaya sana. Kutokwa na vipande vya nyama sirini ni kuashiria kwamba kuna mtoto ameharibika tumboni na mama huyu anatakiwa asafishwe kuondoa masalio yaliyobaki ili mama asiweze kupata madhara zaidi.

SABABU

👉Matatizo ya mji wa mimba ya kuzaliwa nayo (Congenital Malformation). Kizazi huwa hakina umbo au nafasi ya kutosha kuruhusu mtoto akue mpaka kuzaliwa.
👉Mjamzito kuwa na vivimbe vya mji wa uzazi (Uterine Fibroids)
👉Shingo ya uzazi kulegea (Cervical Incompetence). Shingo ya kizazi kulegea na Kukosa uwezo wa kushikilia mimba Kwa muda mrefu. Kadiri mimba inavyokua, shingo ya uzazi hushindwa kuhimili na hivyo mimba hutoka.
👉Kushikana kwa kuta za mji wa mimba (Asherman’s Syndrome)
👉Mjamzito kuwa na kisukari
👉Kuwa na ugonjwa wa vivimbe vya ovari (Polycystic Ovarian Syndrome)
👉Kuwa na upungufu wa homoni ya tezi ya shingo Hypothyirodism
👉Mjamzito kuwa na ugonjwa wa Thrombophilia.

DALILI

✍🏻Tatizo hutokea mimba ikiwa bado changa, dalili zikijionesha wiki ya 10 au kuendelea kidogo. Mimba inayofuata kuharibika huwa katika wastani wa umri uleule wa mara ya kwanza au chini ya hapo kidogo. Dalili kuu huwa ni;

➡️Kutokwa na damu ukeni,
➡️Mjamzito kusikia maumivu ya tumbo hasa chini ya kitovu na kiunoni
➡️Kutoa uchafu au sehemu ya mimba iliyoharibika.
➡️Homa na kutapika vinaweza kuambatana na dalili hizo.

Choleduz Omega-3 Supreme Huzuia Matatizo ya Mimba Kutoka

✍🏻Husaidia Kuimarisha misuli ya Kizazi (Uterus) na Shingo ya Uzazi (Cervix). Huzuia mimba kuharibika (Miscarriage) ya mara kwa mara, kutokana na misuli ikiwa Imara, mimba ikiingia Cervix hufunga vizuri.
➡️Huwasaidia akina mama wanaotokwa damu wakiwa na Ujauzito kukoma.
➡️ Huimarisha afya ya mama na mtoto tumboni
➡️ Huzuia kuzaa mtoto mgongo wazi
➡️ Huimarisha ukuaji wa mifupa ya mtoto
➡️ Huimarisha Afya ya ubongo

Tunza Afya ya Ujauzito na Choleduz Omega-3 Supreme

15/06/2021

Tujifunze tatizo la kuziba mirija ya uzazi ( fillopian tube obstruction) kuziba kwa mirija ya mayai ya uzazi ni moja ya sababu kubwa inayoweza kupelekea wanawake wengi kushindwa kupat ujauzito.
Mirija hii ya uzazi ndimo ambapo mayai ya mwanamke hupita. Mirija ikiziba ni kusema yai halitaweza kupita ili kukutana na mbegu za mwanaume ili mimba iweze kutungwa na hii ndio moja ya dalili kuu za mirija ya uzazi kuziba.

Sababu kuu ya kuziba kwa mirija ya uzazi ni maambukizi ya mara kwa mara ukeni ambayo hujipenyeza hadi ndani ya kizazi na kushambulia sehemu ya ndani ya kizazi na mirija. Maambukizi haya huambatana na muwasho, usaha ukeni, kutokwa na damu na uchafu wakati wa tendo la ndoa na kusikia maumivu chini ya kitovu.
Kuna wakati mirija haizibi bali hutokea mirija kuongezeka umbo sababu ya maji kujaa katika mirija ya uzazi hivyo kupelekea mbegu za mwanaume kushindwa kupita kirahisi ili kukutana na yai. Halii hujulikana kitaalamu k**a ‘hyrosalapinx’.

Dalili zitakazokuonyesha una tatizo la kuziba mirija ni pamoja na:

1. Maumivu chini ya kitovu ya mara kwa mara

2. Kusikia maumivu wakati wa tendo la ndoa

3. Kushindwa kupata ujauzito

4. Kutokwa na uchafu ukeni wenye harufu kali

Sababu ya mirija ya uzazi kuziba:

>Magonjwa ya zinaa (PID)
>Upasuwaji uliopita wa sehemu ambazo si za kawaida k**a katika tumbo na katika kizazi
>Mimba kutunga katika mirija ya uzazi (extopic pregnancy)
>Yai kutunga katika mdomo wa kizazi
>Utowaji mimba kila mara
>Mwili kuchafuka tu kwa ujumla

Nini unaweza kufanya ukigundulika mirija ya uzazi imeziba?

Kwanza fanya vipimo uonapo unatafuta ujauzito na hupati kwa kipindi cha walau mwaka mmoja. Kuna wengine wakiingia tu kwenye ndoa mara moja anahitaji kupata mtoto, hapana unaweza ksubiri hata mwaka ndipo ufanye vipimo. Vipimo vinapobaini ni kweli una tatizo la kuziba mirija ya uzazi unaweza kufanya yafuatayo kujinusuru na hali hiyo:

Njia 6 za kukabiliana na tatizo la kuziba kwa mirija ya uzazi

1. Acha vilevi vyote
2. Acha stress
3. Acha nyama nyekundu
4. Fanya mazoezi ya viungo kila siku
5. Kula sana matunda, mboga majani,

K**a una swali lolote au unahitaji ushauri kuhusu kuziba kwa mirija ya uzazi uliza pia karibu nikuhudumie. Dm

15/06/2021

P.I.D ni ugonjwa gani?
Maambukizi Katika Mfumo wa Uzazi wa Mwanamke (PID)

Maambukizi katika via vya uzazi vya mwanamke hujulikana kwa kitaalamu k**a ‘Pelvic Inflamatory Diseases’ yaani P.I.D

P.I.D ni ugonjwa mpya katika jamii yetu na ni moja ya matatizo ambayo huwaathiri sana wanawake.

Maambukizi haya huweza kuhusisha shingo ya uzazi, yanaweza kuwa pia kwenye nyama ya mfuko wa uzazi, na katika mirija ya uzazi.

NI NINI HASA HUSABABISHA P.I.D?
Huu ni ugonjwa wa unaotokana na bakteria wanaojulikana kwa kitaalamu bakteria wa jamii ya ‘Neisseria Gonorrhoeae’ na kundi lingine la bakteria hawa hujulikana k**a ‘Chlamydia trachomatis’.

Makundi haya mawili ya bakteria ndiyo wanahusika kwa sehemu kubwa na ugonjwa huu wa P.I.D.

JE P.I.D HUAMBUKIZWAJE?
Zipo njia kadhaa ambazo wanawake wanaweza kuambukizwa ugonjwa wa P.I.D.

Baadhi ya hizo njia ni pamoja na:

1. Kushiriki tendo la ndoa bila kinga
2. Maambukizi katika njia ya uzazi baada ya kujifungua
3. Kutoa ujauzito kwa njia zisizo salama
4. Baadhi ya dawa za uzazi wa mpango
5. Kuwa na wapenzi wengi
6. Kuambukizwa kupitia damu yenye vimelea vya PID hasa katika harakati za upasuaji nk.

Dalili za P.I.D
Wapo baadhi ya wanawake ambao wanaweza kuwa na ugonjwa huu na wasionyeshe dalili wala ishara zozote za kuwa nao.

Mwanamke akianza kuonyesha dalili za ugonjwa wa P.I.D anaweza:

1. Kuhisi maumivu ya tumbo hasa maumivu chini ya kitovu
2. Kutokewa na maumivu ya mgongo mara kwa mara
3. Kupata utoko mchafu sehemu za siri ambao huambatana na harufu mbaya k**a shombo ya samaki
4. Kupata maumivu wakati wa kukojoa
5. Kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa
6. Kupata damu bila mpangilio akiwa kwenye siku zake
7. Kuwa na homa mara kwa mara
8. Kichefuchefu na
9. Kutapika

Madhara ya P.I.D
P.I.D inaweza kukuletea madhara yafuatayo usipochukuwa hatua ya kutibu tatizo hili mapema

Inavuruga homoni
Inavuruga mzunguko wa hedhi
Inasababisha uke kuwa mkavu
Inaondoa ute ute wa uzazi (ovulation)
Mirija ya uzazi itajaa maji
Mirija ya uzazi kuziba
Kuvimba mirija ya uzazi
Inaweza kukuletea saratani ya shingo ya kizazi
Inaweza kukufanya kuwa mgumba

NB:Usiendelee kuteseka na Ugonjwa huu hatari kwa Afya ya uzazi wako, njoo utumie Virutubisho

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Mwanza?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address

Mwanza
ROCKCITYSHOPPINGMALL