Utamuwangu2022

Utamuwangu2022

Share

Nawasaidia wanawake wenye changamoto ya miwasho sehemu za siri,kutokwa na uchafu,kukosa hamu ya tendo

06/05/2025

Mimi safari yangu ya kusaidia wanawanke ilianza baada ya Mimi kuwa muhanga wa magonjwa haya ya wanawake
Hivyo. Mwananke mwenzangu nakulewa mnoo unaposema umehangaika umetumia madawa umefanya kila unachokijua ila haujapona

Sasa iko hivi wengi tumekuwa wahanga wa haya magonjwa sababu ni mmoja hatutibi chanzo cha tatizo tunatumia vitu vya kutuliza ugonjwa kwa mdaa tu

Ndio maana unajikuta unatumia madawa afu bdaee ugonjwa unajirudia

Hivyo basi k**a weww ni mwanamke na umehangaika na madawa lakini haujapata solution yoyote nipo kukuambia inaweza nikakusiadia kabisa na ukarudi kuwa k**a zamani

Muhimu fanya mawasilano na sisi kwa number

07633930951

Photos from Utamuwangu2022's post 27/04/2025

Kwenye pita zangu nikakutana na hii

Nyuma ukipitia post zangu nimewahi kuongea kitu hichi
Wanaume huwa ni ngumu kuelewa kwamba mwanamke kuwa na harufu ukeni kuwa sio uchafu ila ni matat tu ya kiafya

Sasa kwako mwanamke k**a unapitia changamoto yoyote ukeni kwako basi

Usisite kuwasiliana nasi kwa number
0763393051

Ili kuweza kukusadia kuondokana na changamoto hiyo

23/04/2025

Mazoezi haya yanaitqa kegeli yanamsaidia mwanamke kwenye mfumo wake wa uzazi

Hasa hasa kwenye kubana uke wako

Hivyo k**a mwanamke hautakiwi kuacha kabisa kufanya mazoezi haya atleast ata Mara mbili mpaka tatu kwa week

Note:mazoezi peke yake hayawezi saidia k**a waona k yako haijabana vipi virutubisho vinaweza kukusaidia wewe kubana k yako bika kuku athiri

Wasiliana nasi kwa number ๐Ÿ“ž0763393051 kwa maelezo zaidi

22/04/2025

Kipenzi changu
Za asbh umeamkaja mumy.
So kwenye pita pita zangu nikawa nangalia hii video nikawa nimewaza kitu hapa
Ujue wanawake wengi swala la issue ya kutokwa na uchafu na miwasho au harufu ambayo sio nzuri ukeni wengi huwa hatuchukulii seriouc

Nikawa nawaza why hatuchukulii serious nikipata jibu ni kwasababu wengi tunaona ndani hauonenakai unajipa moyo kwamba ndani huko nani atajua unaumwa

Hivyo unaweka nguvu nje kwenye muonekano wako wa nje kuliko huko kwenyw shida zaidi

Bila kujia unaweza jikuta siku utatumia ghatama kubwa kuondoa hiyooo wakati ulikuwa na uwezo wa kusolve issue hiyoo kipindi bado ndogo

Nini nilitaka kusema k**a ambavyo unajali kuhusu muonekano wako wa nje basi hakikisha na nunu ndani msafi haipendezi njee uwe umepeendeza afu ndani huko hakueleweki

Mgeni anapokuja anatamani anachokiona nje basi na ndani kiwe hivyo๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹ hii itakupunguzia vitu vidogo Kuna watu akiwa na Mwanaume faragha hajiamini kabisa

Yangu ni hayo kwa msaada zaidi basi waeza wasiliana na kwa ajili ya kupata msaada

๐Ÿ“ž0763393051

20/04/2025

Mvuruguko wa hormone usababishiwa na vitu vingi ikiwemo
Na magonjwa k**a pid za kujirudia rudia
Kutozingatia kwenye lishe yetu
Matibabu ambayo sio sahihi

Kwa maelezo zaidi namna ya kuondoa tatizo la hormone imbalnce unaweza wasiliana nasi kwa number

0763393051

19/04/2025
18/04/2025

Kupenzi hakuna mwanaume anaweza vumulia hali hii ukiwa nayo ya mdaa kwa mdaa mrefu
Nataka nikupe sababu za kwanini unatakiwa uchukue hatua za haraka saba unapoona una hii shida ya kutokwa na uchafu

1. Harufu na Muonekano wa Uchafu Huvuruga Mvuto wa Kijinsia

Wanaume wengi huvutiwa na muonekano na harufu nzuri ya uke.

Ikiwa kuna harufu mbaya au uchafu unaoonekana k**a usaha au unyevu wenye rangi isiyo ya kawaida, hutengeneza athari ya kisaikolojia kwa mwanaume, kumfanya ajisikie k**a "hapokelewi vizuri kingono".

2. Kukosa Uelewa wa Kiafya

Wanaume wengi hawajui kuwa kutokwa na uchafu si dalili ya uchafu wa maisha, bali ni tatizo la kiafya linaloweza kutibika.

Kwa kukosa elimu, wanaume hufikiri mwanamke ni mchafu, hajijali, au ana magonjwa ya zinaaโ€”hata k**a si kweli.

3. Aibu ya Kusema

Baadhi ya wanaume huogopa kumwambia mwanamke wake kuhusu harufu au hali ya uke wake. Badala ya kuzungumza, huchagua kujiondoa taratibu au kupunguza ukaribu wa kimapenzi.

4. Kukosa Kuvutiwa Tena Kisaikolojia

Wanaume hufanya "connection" ya mvuto wa mwili na hali ya uke. Ikiwa mvuto wa asili unapungua kwa sababu ya uchafu, hupunguza hamu yao ya tendo la ndoa, hivyo kuathiri uhusiano mzima.

5. Hofu ya Kuambukizwa Magonjwa

Ikiwa mwanaume hana elimu ya kutosha, ataogopa kufanya tendo la ndoa kwa hofu ya kuambukizwa, hata k**a siyo ugonjwa wa zinaa.

6. Msongo wa Mawazo Kwenye Mahusiano

Mwanamke akiwa na hali hii kwa muda mrefu bila tiba, ngono inakua na msukumo wa aibu au kukataliwa. Hii huumiza hisia za mapenzi, uaminifu, na hata heshima baina ya wapenzi.

SULUHISHO:

Mwanamke anapaswa kuchukua hatua ya haraka ya kutibu chanzo cha uchafu, iwe ni fangasi, PID, bakteria, au mabadiliko ya homoni.

Elimu ya afya kwa mwanaume pia ni muhimuโ€”ili asiwe mwepesi wa kuhukumu bali awe sehemu ya msaada.

Kwa msaada haraka usisite kuwasiliana nasi kwa number

๐Ÿ“ž0763393051.

17/04/2025

Kipenzi tuachane na mambo yote ujue nini ukiskia k ya mwanamke inatakiwa iwe na mnato na kubana

Usiweke akili k**a ni umalaya hapana kipenzi mwanamke kuwa na uke wenye mnato na uke wenye kubana sio sababu amridhishe mwanaume

Ingawa pia hii nayo ni sababu muhimu๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹

Leo nataka tujifunze kwanini wewe k**a mwanamke watakiwa kabisa kuwa na uke wenye mnato na uke ulio Bana

Zinatofuata hapa ni sababu kwanini mwanamke awe na uke wenye mnato na ulio bana

1.napoonglea mnato hapa naongelea k yako inakuwa na unyevu nyevu sio kavu yaani ute wa kutosha

Uke ukiwa na unyevu nyevu wa kutosha hukusaidia wewe k**a mwanamke usipate michubuko wakati wa kufanya mapenzi

Lakini pia hukusaidia usipate maumbikizi maana Kuna uwezokano wa kupata kabisa magonjwa k**a uke wako ukiwa mkavu

Ukiachana na hivi lakini uke wenye unyevu nyevu yaani mnato humsaidia ata mwanamke asipate maumivu wakati wa tendo

Hivyo kujikuta hufurahia tendo hilo la ndoa kwa furaha na amani bila maumivu

2.mwanamke kuwa na uke ulio Bana sio kwasababu tu ya kumridhisha mwanaume ingawa nayo ni kipaumbele ๐Ÿ˜

Wanaume wanapenda vilivyo Bana usije jidanganya tu huko kwamba mimi sijui nini ๐Ÿ˜๐Ÿ˜

Bhana hakuna mwanaume hapendi k iliyo Bana

Aya tuachane na hayo ๐Ÿ˜ nilichotaka kusema ni kuwa uke ulio Bana humsaidia kumlinda mwanamke kuvamiwa na magonjwa magonjwa

Ukiwa na uke wako umebana fresh ata vi fungus fungus ukeni utakuwa wavisikia kwa jirani

Hivyo wewe k**a mwanamke ni muhimu mnoo k yako kuwa na mnato na iwe imebana

Kwako sasa ambae unatamani kuwa na hivi vyote sisi k**a feme tuna suluhisho la uhakika

Kwa kutumia virutubisho vyetu
SAFI 1/2 vinaenda kukupa uke ulio Bana na wenye mnato

Afu uzuri wa hivi ukitumia ni matokeo ya mmoja kwa mmoja sio kwamba itakubidi utumie kila ukitaka kushiriki tendo la ndo hapana

Unatumia ukitumia ndio unapata matokeo ya mmoja kwa mmoja hivyo

Kwa maelezo zaidi tupigie number ya simu O763393051

Bei ya dozi

Full dozi 75000 badala ya 150000

Nusu dozi 55000 badala ya 75000

16/04/2025

Leo tujifunze kitu inakuwa vipi mwanamke anapata vipele hii sio kwa mwanamke tu ni kwa wote mwanaume na mwanamke

Wengi wamakuwa wakipata hii shida baada ya kunyoa kupata vipele
Leo nataka nikupe sababu ni kwanini unapta hali hii

Soma taratibu na kwa utulivu ili uweze kuelewa somo๐Ÿ˜Š

1.Skin irratation ( ngozi ikiwa sensitive ni rahisi mnoo mtu kupata vipele au viuvimbe k**a vijipu vidogo vidogo )

2.nywele kuota ikiingia ndani badala ya kutoka njee na hii mara nyingi inatokea wakati unanyoa nywele zako unapeleka upande wa nywele ambao sio ndio unapelekea nywele kuota kwa ndani na hii kusababisha mtu kupata vipele

3.kutumia.kifaa ambacho kinabacteria au umekitumia mdaa mrefu hivyo ni vizuri uwe unabadilisha una chonyolewa mara kwa mara na hakikisha unatumia kitu kwa ajili ya kuua bacteria

4. Nyingine na hii kutonyoa uelekeo usio sahihi wa nywele ndio hii inafanya nywele inaoota kwa ndani ndio kupelekea k**a vijipu au vipele

5.wakati wa kunyoa k**a usipo tumia maji mengi ,au gelly au sabuni ambayo itapunguza mikwarauzano basi wenda ikapelekea kabisa mtu kupata vipele

6.nyingine ni allergies k**a ana shida hii basi wenda akitumia kitu ambacho kikasababisha mtu kupata vipele ukeni

Imeandikwa na feme
Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kwa number
๐Ÿ“ž0763393051

26/03/2025

Leo tujifunze hapa kipenzi
Angalizo hichi naoenda kufundisha hapa

K**a ugonjwa ni wa mdaa mrefu sana wenda isikupe matokeo ya haraka sana

Maana ugonjwa k**a ni wa mdaa mrefu ata Kinga za mwili zinakuwa zimepungua

Hivyo ikikupendeza nitafute nikupe matibabu sahihi

Basi tuachane na hayo kipenzi iko hivi k**a unasumbuliwa na vifuungus ukeni

Hii ndio njia rahisi ya wewe kujitibu

Njia za Kujitibu Fangasi Ukeni Ukiwa Nyumbani ๐ŸŒฟโœจ

1๏ธโƒฃ Mtindi wa Asili โ€“ Unao probiotic (bakteria wazuri) wanaosaidia kurekebisha uwiano wa bakteria ukeni. Tumia kikombe kimoja kwa siku.

2๏ธโƒฃ Mafuta ya N**i โ€“ Yanayo uwezo wa kuua fangasi. Paka kidogo nje ya uke mara 1-2 kwa siku.

3๏ธโƒฃ Kitunguu Saumu โ€“ Kina sifa za kupambana na fangasi. Kula punje 1-2 kwa siku au tumia mafuta yake kupaka nje ya uke.

4๏ธโƒฃ Maji ya Mwarobaini โ€“ Safisha uke kwa maji yaliyochemshwa na majani ya mwarobaini mara 1 kwa siku.

โš ๏ธ Ikiwa dalili hazipungui baada ya siku chache basi njoo kwangu nikupe matibabu mengine ambayo yatakupa.matokeo kwa haraka

Fanya hivi mfululizo week mbili(siku kumi na nne)

Kwa usaidizi wakaribu na matibu ya haraka wasiliana nasi wa number

0763393051 ..

25/03/2025

Mumy tuendelee kujifunza wenda kikakusaidia kwa namna mmoja au nyingine

Kwanini mwanamke anashauriwa akimaliza kufanya mapenzi akojoe hizi ndio sababu

Kwanza ukiwa unaenda fanya s*x jitahidi unywe maji mengi ili ndio iwe rahisi kwako ukimaliza kwenda kukojoa

Kwanini ukojoe sasa baada ya kufanya mapenzi ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

1.kuondoa bacteria - kwa kukojoa inasiadia kuondoa bacteria ambao wameingia kwenye njia ya mkojo wakati wa kufanya mapenzi ..

2.kukojoa baada ya kufanya mapenzi inakupunguzia athari ya kupata UTI sisi njia yetu ya mkojo ni fupi hivyo ni rahisi kupata UTI lakini ukiweza kukojoa baada ya kufanya mapenzi wenda ikakusaidia kabisa kuepukana na Hali hii.

3.lakini pia kukojoa baada ya s*x hufanya uke wako kuwa msafi na kukupunguzia athari za wewe kupata fungus ..

Natumaini itakusaidia kwa namna mmoja au nyingine

Lakini K**a umekuwa na UTI ya kujirudia rudia Mara kwa mara sisi tuna suluhisho la kudumu

UTI ya kujirudia rudia inaweza sababisha madhara kwenye Figo

Tupigie 0763393051

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Mwanza?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address

Mwanza