Utamuwangu2022
Nawasaidia wanawake wenye changamoto ya miwasho sehemu za siri,kutokwa na uchafu,kukosa hamu ya tendo
Mimi safari yangu ya kusaidia wanawanke ilianza baada ya Mimi kuwa muhanga wa magonjwa haya ya wanawake
Hivyo. Mwananke mwenzangu nakulewa mnoo unaposema umehangaika umetumia madawa umefanya kila unachokijua ila haujapona
Sasa iko hivi wengi tumekuwa wahanga wa haya magonjwa sababu ni mmoja hatutibi chanzo cha tatizo tunatumia vitu vya kutuliza ugonjwa kwa mdaa tu
Ndio maana unajikuta unatumia madawa afu bdaee ugonjwa unajirudia
Hivyo basi k**a weww ni mwanamke na umehangaika na madawa lakini haujapata solution yoyote nipo kukuambia inaweza nikakusiadia kabisa na ukarudi kuwa k**a zamani
Muhimu fanya mawasilano na sisi kwa number
07633930951
27/04/2025
Kwenye pita zangu nikakutana na hii
Nyuma ukipitia post zangu nimewahi kuongea kitu hichi
Wanaume huwa ni ngumu kuelewa kwamba mwanamke kuwa na harufu ukeni kuwa sio uchafu ila ni matat tu ya kiafya
Sasa kwako mwanamke k**a unapitia changamoto yoyote ukeni kwako basi
Usisite kuwasiliana nasi kwa number
0763393051
Ili kuweza kukusadia kuondokana na changamoto hiyo
Mazoezi haya yanaitqa kegeli yanamsaidia mwanamke kwenye mfumo wake wa uzazi
Hasa hasa kwenye kubana uke wako
Hivyo k**a mwanamke hautakiwi kuacha kabisa kufanya mazoezi haya atleast ata Mara mbili mpaka tatu kwa week
Note:mazoezi peke yake hayawezi saidia k**a waona k yako haijabana vipi virutubisho vinaweza kukusaidia wewe kubana k yako bika kuku athiri
Wasiliana nasi kwa number ๐0763393051 kwa maelezo zaidi
Kipenzi changu
Za asbh umeamkaja mumy.
So kwenye pita pita zangu nikawa nangalia hii video nikawa nimewaza kitu hapa
Ujue wanawake wengi swala la issue ya kutokwa na uchafu na miwasho au harufu ambayo sio nzuri ukeni wengi huwa hatuchukulii seriouc
Nikawa nawaza why hatuchukulii serious nikipata jibu ni kwasababu wengi tunaona ndani hauonenakai unajipa moyo kwamba ndani huko nani atajua unaumwa
Hivyo unaweka nguvu nje kwenye muonekano wako wa nje kuliko huko kwenyw shida zaidi
Bila kujia unaweza jikuta siku utatumia ghatama kubwa kuondoa hiyooo wakati ulikuwa na uwezo wa kusolve issue hiyoo kipindi bado ndogo
Nini nilitaka kusema k**a ambavyo unajali kuhusu muonekano wako wa nje basi hakikisha na nunu ndani msafi haipendezi njee uwe umepeendeza afu ndani huko hakueleweki
Mgeni anapokuja anatamani anachokiona nje basi na ndani kiwe hivyo๐๐ hii itakupunguzia vitu vidogo Kuna watu akiwa na Mwanaume faragha hajiamini kabisa
Yangu ni hayo kwa msaada zaidi basi waeza wasiliana na kwa ajili ya kupata msaada
๐0763393051
20/04/2025
Mvuruguko wa hormone usababishiwa na vitu vingi ikiwemo
Na magonjwa k**a pid za kujirudia rudia
Kutozingatia kwenye lishe yetu
Matibabu ambayo sio sahihi
Kwa maelezo zaidi namna ya kuondoa tatizo la hormone imbalnce unaweza wasiliana nasi kwa number
0763393051
19/04/2025
18/04/2025
Kupenzi hakuna mwanaume anaweza vumulia hali hii ukiwa nayo ya mdaa kwa mdaa mrefu
Nataka nikupe sababu za kwanini unatakiwa uchukue hatua za haraka saba unapoona una hii shida ya kutokwa na uchafu
1. Harufu na Muonekano wa Uchafu Huvuruga Mvuto wa Kijinsia
Wanaume wengi huvutiwa na muonekano na harufu nzuri ya uke.
Ikiwa kuna harufu mbaya au uchafu unaoonekana k**a usaha au unyevu wenye rangi isiyo ya kawaida, hutengeneza athari ya kisaikolojia kwa mwanaume, kumfanya ajisikie k**a "hapokelewi vizuri kingono".
2. Kukosa Uelewa wa Kiafya
Wanaume wengi hawajui kuwa kutokwa na uchafu si dalili ya uchafu wa maisha, bali ni tatizo la kiafya linaloweza kutibika.
Kwa kukosa elimu, wanaume hufikiri mwanamke ni mchafu, hajijali, au ana magonjwa ya zinaaโhata k**a si kweli.
3. Aibu ya Kusema
Baadhi ya wanaume huogopa kumwambia mwanamke wake kuhusu harufu au hali ya uke wake. Badala ya kuzungumza, huchagua kujiondoa taratibu au kupunguza ukaribu wa kimapenzi.
4. Kukosa Kuvutiwa Tena Kisaikolojia
Wanaume hufanya "connection" ya mvuto wa mwili na hali ya uke. Ikiwa mvuto wa asili unapungua kwa sababu ya uchafu, hupunguza hamu yao ya tendo la ndoa, hivyo kuathiri uhusiano mzima.
5. Hofu ya Kuambukizwa Magonjwa
Ikiwa mwanaume hana elimu ya kutosha, ataogopa kufanya tendo la ndoa kwa hofu ya kuambukizwa, hata k**a siyo ugonjwa wa zinaa.
6. Msongo wa Mawazo Kwenye Mahusiano
Mwanamke akiwa na hali hii kwa muda mrefu bila tiba, ngono inakua na msukumo wa aibu au kukataliwa. Hii huumiza hisia za mapenzi, uaminifu, na hata heshima baina ya wapenzi.
SULUHISHO:
Mwanamke anapaswa kuchukua hatua ya haraka ya kutibu chanzo cha uchafu, iwe ni fangasi, PID, bakteria, au mabadiliko ya homoni.
Elimu ya afya kwa mwanaume pia ni muhimuโili asiwe mwepesi wa kuhukumu bali awe sehemu ya msaada.
Kwa msaada haraka usisite kuwasiliana nasi kwa number
๐0763393051.
17/04/2025
Kipenzi tuachane na mambo yote ujue nini ukiskia k ya mwanamke inatakiwa iwe na mnato na kubana
Usiweke akili k**a ni umalaya hapana kipenzi mwanamke kuwa na uke wenye mnato na uke wenye kubana sio sababu amridhishe mwanaume
Ingawa pia hii nayo ni sababu muhimu๐๐
Leo nataka tujifunze kwanini wewe k**a mwanamke watakiwa kabisa kuwa na uke wenye mnato na uke ulio Bana
Zinatofuata hapa ni sababu kwanini mwanamke awe na uke wenye mnato na ulio bana
1.napoonglea mnato hapa naongelea k yako inakuwa na unyevu nyevu sio kavu yaani ute wa kutosha
Uke ukiwa na unyevu nyevu wa kutosha hukusaidia wewe k**a mwanamke usipate michubuko wakati wa kufanya mapenzi
Lakini pia hukusaidia usipate maumbikizi maana Kuna uwezokano wa kupata kabisa magonjwa k**a uke wako ukiwa mkavu
Ukiachana na hivi lakini uke wenye unyevu nyevu yaani mnato humsaidia ata mwanamke asipate maumivu wakati wa tendo
Hivyo kujikuta hufurahia tendo hilo la ndoa kwa furaha na amani bila maumivu
2.mwanamke kuwa na uke ulio Bana sio kwasababu tu ya kumridhisha mwanaume ingawa nayo ni kipaumbele ๐
Wanaume wanapenda vilivyo Bana usije jidanganya tu huko kwamba mimi sijui nini ๐๐
Bhana hakuna mwanaume hapendi k iliyo Bana
Aya tuachane na hayo ๐ nilichotaka kusema ni kuwa uke ulio Bana humsaidia kumlinda mwanamke kuvamiwa na magonjwa magonjwa
Ukiwa na uke wako umebana fresh ata vi fungus fungus ukeni utakuwa wavisikia kwa jirani
Hivyo wewe k**a mwanamke ni muhimu mnoo k yako kuwa na mnato na iwe imebana
Kwako sasa ambae unatamani kuwa na hivi vyote sisi k**a feme tuna suluhisho la uhakika
Kwa kutumia virutubisho vyetu
SAFI 1/2 vinaenda kukupa uke ulio Bana na wenye mnato
Afu uzuri wa hivi ukitumia ni matokeo ya mmoja kwa mmoja sio kwamba itakubidi utumie kila ukitaka kushiriki tendo la ndo hapana
Unatumia ukitumia ndio unapata matokeo ya mmoja kwa mmoja hivyo
Kwa maelezo zaidi tupigie number ya simu O763393051
Bei ya dozi
Full dozi 75000 badala ya 150000
Nusu dozi 55000 badala ya 75000
16/04/2025
Leo tujifunze kitu inakuwa vipi mwanamke anapata vipele hii sio kwa mwanamke tu ni kwa wote mwanaume na mwanamke
Wengi wamakuwa wakipata hii shida baada ya kunyoa kupata vipele
Leo nataka nikupe sababu ni kwanini unapta hali hii
Soma taratibu na kwa utulivu ili uweze kuelewa somo๐
1.Skin irratation ( ngozi ikiwa sensitive ni rahisi mnoo mtu kupata vipele au viuvimbe k**a vijipu vidogo vidogo )
2.nywele kuota ikiingia ndani badala ya kutoka njee na hii mara nyingi inatokea wakati unanyoa nywele zako unapeleka upande wa nywele ambao sio ndio unapelekea nywele kuota kwa ndani na hii kusababisha mtu kupata vipele
3.kutumia.kifaa ambacho kinabacteria au umekitumia mdaa mrefu hivyo ni vizuri uwe unabadilisha una chonyolewa mara kwa mara na hakikisha unatumia kitu kwa ajili ya kuua bacteria
4. Nyingine na hii kutonyoa uelekeo usio sahihi wa nywele ndio hii inafanya nywele inaoota kwa ndani ndio kupelekea k**a vijipu au vipele
5.wakati wa kunyoa k**a usipo tumia maji mengi ,au gelly au sabuni ambayo itapunguza mikwarauzano basi wenda ikapelekea kabisa mtu kupata vipele
6.nyingine ni allergies k**a ana shida hii basi wenda akitumia kitu ambacho kikasababisha mtu kupata vipele ukeni
Imeandikwa na feme
Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kwa number
๐0763393051
26/03/2025
Leo tujifunze hapa kipenzi
Angalizo hichi naoenda kufundisha hapa
K**a ugonjwa ni wa mdaa mrefu sana wenda isikupe matokeo ya haraka sana
Maana ugonjwa k**a ni wa mdaa mrefu ata Kinga za mwili zinakuwa zimepungua
Hivyo ikikupendeza nitafute nikupe matibabu sahihi
Basi tuachane na hayo kipenzi iko hivi k**a unasumbuliwa na vifuungus ukeni
Hii ndio njia rahisi ya wewe kujitibu
Njia za Kujitibu Fangasi Ukeni Ukiwa Nyumbani ๐ฟโจ
1๏ธโฃ Mtindi wa Asili โ Unao probiotic (bakteria wazuri) wanaosaidia kurekebisha uwiano wa bakteria ukeni. Tumia kikombe kimoja kwa siku.
2๏ธโฃ Mafuta ya N**i โ Yanayo uwezo wa kuua fangasi. Paka kidogo nje ya uke mara 1-2 kwa siku.
3๏ธโฃ Kitunguu Saumu โ Kina sifa za kupambana na fangasi. Kula punje 1-2 kwa siku au tumia mafuta yake kupaka nje ya uke.
4๏ธโฃ Maji ya Mwarobaini โ Safisha uke kwa maji yaliyochemshwa na majani ya mwarobaini mara 1 kwa siku.
โ ๏ธ Ikiwa dalili hazipungui baada ya siku chache basi njoo kwangu nikupe matibabu mengine ambayo yatakupa.matokeo kwa haraka
Fanya hivi mfululizo week mbili(siku kumi na nne)
Kwa usaidizi wakaribu na matibu ya haraka wasiliana nasi wa number
0763393051 ..
25/03/2025
Mumy tuendelee kujifunza wenda kikakusaidia kwa namna mmoja au nyingine
Kwanini mwanamke anashauriwa akimaliza kufanya mapenzi akojoe hizi ndio sababu
Kwanza ukiwa unaenda fanya s*x jitahidi unywe maji mengi ili ndio iwe rahisi kwako ukimaliza kwenda kukojoa
Kwanini ukojoe sasa baada ya kufanya mapenzi ๐๐
1.kuondoa bacteria - kwa kukojoa inasiadia kuondoa bacteria ambao wameingia kwenye njia ya mkojo wakati wa kufanya mapenzi ..
2.kukojoa baada ya kufanya mapenzi inakupunguzia athari ya kupata UTI sisi njia yetu ya mkojo ni fupi hivyo ni rahisi kupata UTI lakini ukiweza kukojoa baada ya kufanya mapenzi wenda ikakusaidia kabisa kuepukana na Hali hii.
3.lakini pia kukojoa baada ya s*x hufanya uke wako kuwa msafi na kukupunguzia athari za wewe kupata fungus ..
Natumaini itakusaidia kwa namna mmoja au nyingine
Lakini K**a umekuwa na UTI ya kujirudia rudia Mara kwa mara sisi tuna suluhisho la kudumu
UTI ya kujirudia rudia inaweza sababisha madhara kwenye Figo
Tupigie 0763393051
Click here to claim your Sponsored Listing.
