Dr Najm

Dr Najm

Share

Health consultant|| founder detox Tea|| Afya ya tumbo kwa njia asili�||kuimarishammeng’enyo. Uzito

06/08/2026

CHALLENGE YA SIKU 7 YA KARAFUU NA SWAUMU 🧄
Karafuu na swaumu ni viungo vya asili ambavyo vimetumika kwa mamia ya miaka katika tamaduni za Afrika, Asia na Mashariki ya Kati. Mbali na kuongeza ladha kwenye chakula, vilitumika pia katika tiba za jadi kwa imani kwamba vinaweza kusaidia afya ya mwili.

🌍 Asili ya kitamaduni

🧄 Swaumu kiliheshimiwa katika jamii nyingi k**a kiungo muhimu cha chakula na afya. Katika baadhi ya tamaduni, watu walikitumia wakati wa mafua au walipojisikia dhaifu.

🌸 Karafuu, ambayo inajulikana sana Zanzibar na maeneo mengine ya Bahari ya Hindi, ilitumika kwenye vinywaji, chakula, kutunza afya ya kinywa na k**a sehemu ya tiba za jadi.

🔬 Sayansi inasemaje?

🧄 Swaumu
• Kina kiambato kinachoitwa allicin, ambacho kimefanyiwa tafiti kuhusu sifa zake za antioxidant na antimicrobial.
• Kinaweza kuchangia afya ya moyo na kinga ya mwili kinapotumiwa k**a sehemu ya lishe bora.

🌸 Karafuu
• Ina kiambato kinachoitwa eugenol pamoja na antioxidants.
• Misombo hii imefanyiwa tafiti kuhusu uwezo wake wa kulinda seli dhidi ya uharibifu unaosababishwa na free radicals na kuhusu sifa zake za antimicrobial katika maabara.

🥣 Jinsi ya kuandaa

✔️ Vikombe 2 vya maji.
✔️ Punje 3–5 za karafuu.
✔️ Punje 1–2 za swaumu zilizopondwa.
✔️ Chemsha kwa dakika 5–10.
✔️ Chuja, acha ipoe kidogo, kisha unywe.

🌙 Watu wengine hupendelea kunywa jioni au usiku k**a sehemu ya routine yao ya afya.

02/08/2026

Body nzuri, afya njema na confidence ni zawadi ambayo hakuna anayeweza kukunyang’anya. ❤️
📩 Njoo inbox tuanze safari yako ya kuondoa kitambi, kupunguza uzito au kuongeza uzito kwa mpango unaokufaa.

👇 Team Love Pain au Gym Pain? Andika kwenye comments. 😂

01/08/2026

Nimepata njia ya kupata surprise yako siku k**a hizi special… lakini siyo kwa kulalamika kwa baby wako 😂Badala ya kusubiri maua, zawadi au message ambayo haiji 💔, anza kujifanyia surprise wewe mwenyewe
Umechoka kuwa mwembamba? 😩
Umechoka na kitambi?
Unataka mwili wenye confidence na shape nzuri?
Njoo tuongee, tukusaidie kuanza safari ya kubadilika

Maana surprise kubwa kuliko zote ni siku utakapojiangalia kwenye kioo na kusema: “Wow, nimebadilika!”

📩 Njoo inbox tuanze journey yako leo.

Photos from Dr Najm's post 01/08/2026

Last night I watched War Room, and one lesson stayed with me
The strongest people are not those who argue the most… they’re the ones who pray the most
Sometimes we spend hours trying to change people, when we should spend minutes talking to God.

📖Be still, and know that I am God.” Psalm 46:10

Happy blessed weekend! May God fight every battle you don’t have the strength to fight
BlessedWeekend

31/07/2026

✨ MAJI YA BAMIA – KINYWAJI CHA ASILI KINACHOWEZA KUWA SEHEMU YA LISHE YENYE AFYA 🌿

Maji ya bamia yaliyolowekwa usiku yanaweza kuwa nyongeza nzuri kwenye mtindo wa maisha wenye afya.

✅ Yana nyuzinyuzi (fiber) zinazochangia afya ya mmeng’enyo wa chakula.
✅ Husaidia kuongeza ulaji wa maji mwilini.
✅ Yana vitamini na madini muhimu k**a vitamini C, vitamini K, folate na potasiamu.
✅ Yana antioxidants zinazosaidia kulinda seli za mwili.
✅ Yanaweza kuongeza hisia ya kushiba na kusaidia kufuata lishe yenye mpangilio.

👨 Kwa wanaume: Yanapoweza kuwa sehemu ya lishe bora na mtindo wa maisha wenye afya, yanaweza kuchangia afya ya mwili kwa ujumla.

👩 Kwa wanawake: Yanapoweza kuwa sehemu ya lishe yenye matunda, mboga na vyakula vingine vyenye virutubisho, yanaweza kuchangia afya ya mmeng’enyo wa chakula na ustawi wa mwili.

🥒 Jinsi ya kutumia:
• Osha bamia 2–4 vizuri.
• Kata vipande na viweke kwenye glasi moja ya maji.
• Loweka usiku kucha (takriban saa 8–12).
• Kunywa maji yake asubuhi ukiwa umeamka au wakati wowote unaopendelea k**a sehemu ya lishe yako.

💬 Je, umewahi kuyajaribu? Tuambie uzoefu wako kwenye maoni.

31/07/2026

Mapenzi ni k**a gym… ukichagua mtu asiye sahihi, unaumia kila siku. 😂💪

27/07/2026

Punguza nyama za mokono rahisi nyumban

26/07/2026

Ukihisi hakuna anayekupenda… kumbuka glutes zako zinakutegemea. 😂🍑

25/07/2026

🔥 DAY 7/7 🧄🌱 CHIA SEEDS + KITUNGUU SWAUMU CHALLENGE IMEKAMILIKA!

🌱 Chia seeds zina virutubisho muhimu k**a:
✅ Fiber inayosaidia mmeng’enyo wa chakula
✅ Omega-3 inayosaidia afya ya mwili kwa ujumla
✅ Protini na madini muhimu yanayosaidia mwili kujijenga

🧄 Kitunguu swaumu kina antioxidants na virutubisho vinavyosaidia:
✅ Kuimarisha kinga ya mwili
✅ Kusaidia afya ya moyo
✅ Kulinda seli za mwili dhidi ya msongo wa oksidishaji
Pia virutubisho hivi vinaweza kusaidia mwili kupata mazingira bora ya afya ya ngozi kwa kusaidia mwili kupata antioxidants na lishe muhimu.

Kumbuka: Ngozi yenye afya huanzia ndani maji ya kutosha, lishe bora na consistency ni muhimu.





Je ungejaribu challenge hii ya siku 7? 🔥

24/07/2026

Salute to push up😅😅nimeongeza set nying sms haijajibiwa na zoez limegoma 🫡

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Mwanza?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address

Mwanza