Mr Godfrey

Mr Godfrey

Share

NAWASADIA WANAUME NA WANAWAKE KUTATUA CHANGAMOTO ZA KIAFYA ZITOKANAZO NA UPUNGUFU WA KINGA MWILINI

07/11/2024

UTAJUAJE K**A UNA FANGASI SUGU?

Kuna dalili nyingi zinazoonyesha kuwa una fangasi ukeni k**a zifuatazo;


1.Kuwa na miwasho sehemu za siri mara kwa mara

2.Vipele vidogo vidogo ukeni

3.Kutokwa na uchafu mweupe au wa rangi ya kijivu ukeni wenye harufu mbaya

4.Vidonda au kuwa na michubuko ukeni

5.Kutokwa na harufu mbaya ukeni

6.Kupatwa na maumivu makali wakati wa tendo la ndoa.

7.Kuvimba au kuwa mwekundu katika mdomo wa nje ya uke.

8.Kuwaka moto ndani na nje ya uke.

Je una dalili hizi tunayo tiba kwa ajili ya wanawake ambayo itakusaidia kutibu fangasi sugu na magonjwa Mengine Ya sehemu za siri

Wasiliana nasi kwa namba
0683 253 844 622672458

Diamond Platnumz
Cheka Upate AFYA Habari na matukio
Simba Simba Simba Wanawake katika harakati za kupinga ukatili wa kijinsia - Tanzania Wanawake live
_______________________

18/09/2024

*FAHAMU MADHARA YA UGONJWA WA BAWASIRI (HEMORRHOIDS) K**A HAUTATIBU MAPEMA*

Tatizo la BAWASILI ni mojawapo ya matatizo ambayo maranyingi yanapotokea humfanya muathirika kuona aibu kuelezea au kwenda hospital ili kupata tiba kwa sababu wengi huhisi wakisema wanaweza kudhaniwa kua wamefanya mapenzi kinyume na maumbile kitu ambacho sio tija unapokua unahitaji tiba.

Bawasili husababishwa na kuvimba kwa mishipa ya damu aina ya vena katika eneo la mfereji wa haja kubwa.

NINI KINASABABISHA BAWASILI?

•Tatizo sugu la kuharisha

•Kupata haja kubwa au kinyesi kigumu

•Uzito kupita kiasi

•Mapenzi kinyume na maumbile

•Umri mkubwa

•kukaa kwa mda mrefu chooni bila kupata choo

DALILI ZA BAWASILI

•Kinyesi kuchanganyika na damu wakati wa kujisaidia

•Maumivu au usumbufu katika njia ya haja kubwa

•kutokwa na kinyesi bila kujitambua(kuvuja kinyesi)

•Kiuvimbe katika eneo la tundu (mlango wa kutolea haja kubwa)

•Ngozi katika eneo la tundu la haja kubwa kuwasha

•Bawasili kutoka nje wakati wa kujisaidia haja kubwa

FAHAMU MADHARA YA BAWASILI

Bawasili ni tatizo ambalo huanza kawaida lakini kadri linavoongezeka huleta madhara makubwa yafuatayo

•Upungufu wa nguvu za kiume

•Kukosa hamu ya tendo la ndoa

•kuathirika kisaikolojia

•Kukosa morari ya kufanya kazi kutokana na kua na maumivu makali

•Kutoa kinyesi kinachonuka sana kutokana na damu kuvuja.

🔹Kuganda kwaa damu ambako Ni hatari zaidi, kwani damu hiyo huweza kusafirishia kwenda sehemu mbalimbali za mwili na kukwama mahali na kuzuia usafirishaji wa damu na kupelekea kupata madhara makubwa.

NINI UFANYE KUJILINDA NA TATIZO HILI?

*Unatakiwa kunya maji mengi kuanzia kwa siku

*Punguza kukaa kwa muda mrefu chooni bila kupata choo

*Kula mboga za majani na matunda na nafaka zisizokobolewa kwa wingi

Hitimisho

K**a unahangaika na tatizo hili bila matokeo wasiliana nas G-SOLUTION +255683-253-844
tukusaidie

18/09/2024

*Madhara 10 ya unene uliopitiliza na vitambi (Obesity) ni:-*

1. *Magonjwa ya Moyo*- Hupandisha shinikizo la damu na kuongeza hatari ya mshtuko wa moyo.
2. *Kisukari cha Aina ya 2*- Inaongeza upinzani wa insulini na kusababisha kisukari.
3. *Shinikizo la Damu* - Huongeza hatari ya shinikizo la damu.
4. *Shida za Kupumua* - Huweza kusababisha ugumu wa kupumua au hali k**a vile sleep apnea.
5. *Magonjwa ya Mifupa na Viungo* - Uzito mkubwa huathiri magoti na nyonga.
6. *Kiharusi* - Huweza kusababisha kuganda kwa damu, kuongeza hatari ya kiharusi.
7. *Saratani* - Inaweza kuongeza hatari ya aina fulani za saratani k**a ya matiti na utumbo mpana.
8. *Tatizo la Kuzalisha* - Inaweza kusababisha matatizo ya homoni na uzazi kwa wanawake na wanaume.
9. *Afya ya Akili* - Unene uliopitiliza unaweza kusababisha msongo wa mawazo na kujithamini kwa kiwango cha chini.
10. *Figo Kushindwa Kufanya Kazi* - Inaongeza hatari ya matatizo ya figo kutokana na athari za magonjwa k**a kisukari na shinikizo la damu

Kwa ushaul na msaada zaidi wasiliana nasi kwa namba hizo:-
G-SOLUTION
+255 622-672-458
0683 253 844


ya akili

Diamond Platnumz Cheka Upate AFYA
Habari na matukio Vero Sanga

17/09/2024

*ZIJUWE TABIA KUMI MBAYA ZINAZO WEZA KUWA ADUI MKUBWA WA FIGO ZAKO*.

*1. Kutokunywa maji ya kutosha (Dehydration 2-3 Liters kwa siku)*.

*2. Kula chumvi nyingi kwenye chakula (Salt not > 2 grams kwa siku).*

*3. Matumizi ya kupita kiasi ya dawa za maumivi (Pain killer medication) NSAIDS.*

*4. Matumizi ya pombe kupita kiasi (Excessive Alcohol Intake)*

*5. Kufanya mazoezi Kupita Kiasi (Excessive Exercise)*

*6. Matumizi ya madawa ya kulevya (Using illicit drugs)*

*7. Matumizi ya vyakula vyenye Sukari kupita Kiasi (Eating food with high sugar amount)*

*8. Uvutaji wa sigara kupita kiasi (Cigarette Smoking)*

*9. Ukosefu wa usingizi wa kutosha (Inadequate Sleep)*

*10. Ulaji wa nyama kupita kiasi (Eating too much meat)*

G-SOLUTIO:'0683-253-844

Habari na matukio
Juni Kid 0683 253 844
Vero Sanga Jacqueline Alex Peter
Diamond Platnumz
Yanga Bigwa Simba Simba Simba
Cheka Upate AFYA

01/02/2024

🛑UGONJWA WA MAWE YA NYONGO (GALLSTONE
G SOLUTION
0683 253 844

♻️Mawe ya nyongo ni vitu vigumu vinavyopatikana kwenye mfuko wa nyongo unaoitwa gallbladder.

♻️kazi ya mfuko huu ikiwa ni kuhifadhi nyongo iliyozalishwa na ini.

♻️Mawe haya ya nyongo kitaalamu huitwa gallstones au cholelithiasis. Yanafanyika kwa muunganiko wa chembechembe za mafuta, madini ya calcium na chembechembe zingine zinazopatikana kwenye nyongo.

🔺MADHARA YA MAWE YA NYONGO🔺

👉k**a maumivu chini ya mgongo,

👉 tumbo kujaa gesi,

👉kutapika

👉Chakula kutosagwa vizuri tumboni.

👉Kukosa hamu ya Kula,

👉Maumivu ya Tumbo,

👉Kuvimba Kwa Tumbo

👉Kuhisi Homa,

👉Kuwa na Kichefuchefu

👉Mate kujaa mdomoni

👉Kujisikia Uchovu MDA wote

👉Maumivu ya Kichwa

👉Kansa ya Utumbo

👉Kukosa hamu ya Tendo la Ndoa

👉Kupunguza Uzito Kwa ghafla n.k

🔺 DALILI ZA KUONYESHA UNA MAWE YA NYONGO 🔺

🌿Maumivu ya tumbo na kujiskia kutapika
🌿Kuvurugika kwa tumbo baada ya kula vyakula hasa vyenye mafuta
🌿Maumivu makali juu ya tumbo kulia yanyokuja kwa haraka na kuisha baada ya nusu saa.
🌿Maumivu chini na nyuma ya bega la kulia

🛑JE, NANI YUPO KWENYE HATARI ZAIDI YA KUPATA MAWE YA NYONGO❓❓

Makundi gani ya watu yapo kwenye hatari zaidi ya kupata mawe ya Nyongo; Makundi haya ni pamoja na
✅Wanawake
✅Watu wenye umri zaidi ya miaka 40
✅Wenye uzito mkubwa na kitambi (hasa wenye nyama uzembe nyingi kwenye eneo la tumbo)
✅wanaopata lishe duni
✅Wanaopoteza uzito mkubwa kwa haraka sana kwa kujinyima kula
✅wajawazito
✅Wagonjwa wa kisukari
✅Familia yenye historia ya kuugua mawe ya ini
✅Wasiofanya mazoezi ya viungo na
✅Wenye upungufu wa mafuta mazuri mwilini(good HDL)









Oscar oscar
Habari na matukio
Jacqueline Alex Peter
Vero Sanga

26/01/2024

*NAMNA YA KUTIBU BAWASIRI BILA UPASUAJI ( HEMORRHOID )*
G-SOLUTION+255 0683 253 844

Watu wengi husumbuliwa na hemorrhoids au kwa kiswahili (bawasiri).........
..... Tatizo ambalo huwa fanya kuwa na uoga na aibu wa kuelezea na kushindwa hata kwenda Hospitali kupata tiba......

Najua Wenda ata wewe unayesoma, Wenda unajiuliza siku zote ya kuwa Bawasiri ni Ugonjwa gani?....
...Naomba nikusaidie kujibu hili Swali naamini utanielewa vyema Sana na utaweza kujua Bawasiri Ni Ugonjwa gani.....

*Bawasiri au hemorrhoids* ..Ni ugonjwa unao tokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nje ya sehemu ya haja kubwa.......
... na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa..........
....... na kusababisha kujitengeneza vimbe au kinyama ambavyo huweza kubakia kwa ndani, au kujitokeza kwa nje wakati wa kujisaidia haja kubwa..........
....Sasa bila Shaka umeiona Bawasiri jinsi ilivyo.............
.... Naomba nikuonyeshe Aina za Bawasiri.......

1.Bawasiri ya ndani

Hii Ni Aina ya Bawasiri Ambayo vinyama hubakia ndani bila ya kujitokeza kwa nje....
...hasa huambatana na dalili za Kupata choo kigumu.........
......Kupata miwasho sehemu ya haja kubwa......
....Mara nyingine huambatana na kuwepo kwa damu kwenye choo ...

2.Bawasiri ya nje.... Hii ni Aina ya Bawasiri Ambayo kinyama au vimbe hujitokeza kwa nje.....

Aina hii imegawanyika maeneo makuu matatu...

*..Bawasiri stage 1.......*
Hi ni Aina ya Bawasiri ya nje Ambayo kinyama kinajitokeza nje wakati wa kujisaidia na hurudi...... chenyewe baada ya kujisaidia haja kubwa....

*... Bawasiri stage ya 2.*..hii ni stage ya pili ya Bawasiri Ambayo kinyama hujitokeza nje wakati wa haja kubwa....
...na kurudi kwa kurudishwa kwa Kutumia mkono.......

*.. Bawasiri stage ya 3..*....hii Ni stage ya Bawasiri ambapo vinyama hujitokeza na hairudi kwa kuirudisha na mkono..



𝙙𝙖𝙡𝙞𝙡𝙞 𝙯𝙖 𝙗𝙖𝙬𝙖𝙨𝙞𝙧𝙞
👉Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa............

👉kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia..........

👉kutokea uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa......

👉kujitokeza kwa kinyama katika eneo la tundu hilo.......

👉Choo(kinyesi) kuwa na damu na kunuka harufu mbaya sana.......

👉Kushindwa kukaa kwaamani muda mwingine........

*Nini husababisha Bawasiri kutokea*
..Kuna Mambo mengi Sana Ambayo hupelekea Kupata Tatizo la Bawasiri.................. K**a vile:-

👉Kukaa mahali au kwenye kiti kwa muda mrefu.....mfano wa maofisini, madereva n.k

👉Ulaji mbovu unaopelekea kuwa na shida ya Kupata choo kigumu au kukosa choo........

👉Kufanya mapenzi kinyume na maumbile....

👉Mwanamke mjamzito.

👉Kutokunywa maji ya kutosha, na Kuto kula vyakula vyenye nyuzinyuzi........

👉Kufuga Tatizo la kukosa choo au Kupata choo kigumu kwa muda mrefu.........

𝙢𝙖𝙩𝙞𝙗𝙖𝙗𝙪 𝙣𝙖 𝙟𝙞𝙣𝙨𝙞 𝙮𝙖 𝙠𝙪𝙚𝙥𝙪𝙠𝙖 𝙩𝙖𝙩𝙞𝙯𝙤 𝙡𝙖 𝙗𝙖𝙬𝙖𝙨𝙞𝙧𝙞

Hapa najua wengi wanahangaika mnoo namna ya Kupata suluhisho la kudumu juu ya Bawasiri, .........
....leo nakujuza matibabu yote ya hospitali na ya Kutumia package maalumu ya virutubisho ya kuondoa Tatizo pamoja na kujenga upya mfumo.....
.....matibabu ya bawasiri hutegemea na Aina ya bawasiri pia tiba iliyozoeleka............... ni kukatwa kinyama. japo tiba hii haina matokeo mazuri kwa zaidi ya asilimia 75 kwani hutokea wengi Tatizo hujirudia baada ya Kufanyiwa upasuaji na kukaa miezi kadhaa au miaka michache mbeleni........
.. kwasababu huwa haitibu chanzo cha tatizo hivyo huwa rahisi kujirudia..
.Naomba nikusaidie kukushauri juu ya namna sahihi ya kuweza kupona Bawasiri bila Kufanyiwa upasuaji wowote na Tatizo lisijirudie Tena....
...Mimi K**a Dokta wako na mshauri wako wa afya.........
Ningependa Sana nikushauri Kutumia zaidi package maalumu za supplements ambazo Ni virutubisho maalumu kwa asilimia 100% hazina kemikali kabisa.......
....Ni Suluhisho pekee kwa shida hii kwani imeonekana kuwasaidia wengi Sana wenye changamoto hii na wamepata matokeo mazuri na Tatizo halijarudi....
...hii Ni kwasababu ni package maalumu Ambayo inaenda kujenga mfumo Kwanza pamoja na kuondoa Tatizo husika..... Na kupelekea muhusika Kupata matokeo endelevu ya kudumu........

Hizi pia, zitakusaidia sio tu kwenye bawasiri lakini pia K**A UNA CONSTIPATION(KUTOPATA CHOO/KUPATA CHOO KIGUMU SANA) zitakusaidia kupata choo vizuri kuodoa mawe kwenye figo, kuondoa uric acid. ...........Pamoja na hayo bawasiri ni ugonjwa unaoweza kuepukika kwa kuzingatia............

👉Lishe bora, mbogamboga na matunda............

👉Kunywa maji mengi anagalu glass 6/12 Kwa siku...........

👉Epuka kukaa chooni kwa muda mrefu.....

👉Usiwe unakaa Sana sehemu moja kwa muda mrefu.............

𝙢𝙖𝙙𝙝𝙖𝙧𝙖 𝙮𝙖 𝙩𝙖𝙩𝙞𝙯𝙤 𝙡𝙖 𝙗𝙖𝙬𝙖𝙨𝙞𝙧𝙞
👉kupata upungufu wa damu (anemia).......

👉Kupata tatizo la kutokuweza kuhimil choo..........

👉hupunguza nguvu za kiume na kuondoa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake...............

👉kuathirika kisaikolojia.......

👉kukosa moral ya kufanya Kazi kutokana na maumivu makali, na mateso yanayo sababishwa na Tatizo Hili la Bawasiri..........

*Mwisho*... unaitaji ushauri zaidi na matibabu, Unaweza kuwasiliana nasi au tukakusaidia hata Kupata ushauri bure.....I









Habari na matukio
Oscar oscar
Jacqueline Alex Peter
Vero Sanga
+255683253844

17/01/2024

*𝐌𝐀𝐔𝐌𝐈𝐕𝐔 𝐌𝐀𝐊𝐀𝐋𝐈 𝐘𝐀 𝐍𝐘𝐎𝐍𝐆𝐀, 𝐌𝐈𝐅𝐔𝐏𝐀, 𝐌𝐆𝐎𝐍𝐆𝐎, 𝐊𝐈𝐔𝐍𝐎, 𝐌𝐀𝐆𝐎𝐓𝐈, 𝐒𝐇𝐈𝐍𝐆𝐎, 𝐌𝐈𝐆𝐔𝐔 𝐊𝐔𝐕𝐈𝐌𝐁𝐀 𝐍𝐀 𝐊𝐔𝐖𝐀𝐊𝐀 𝐌𝐎𝐓𝐎.*
G-SOLUTION+255 0683 253 844

Sababu zipo nyingi lakini hizi ni sababu kuu 👇👇;
*1.𝐊𝐮𝐰𝐚 𝐧𝐚 𝐢𝐧𝐟𝐞𝐜𝐭𝐢𝐨𝐧 (𝐦𝐚𝐬𝐡𝐚𝐦𝐛𝐮𝐥𝐢𝐳𝐢 𝐲𝐚 𝐛𝐚𝐤𝐭𝐞𝐫𝐢𝐚 𝐧𝐚 𝐯𝐢𝐫𝐮𝐬𝐢) 𝐤𝐰𝐚 𝐦𝐟𝐚𝐧𝐨 𝐯𝐢𝐫𝐮𝐬𝐢 𝐯𝐲𝐚 𝐢𝐧𝐟𝐥𝐮𝐞𝐧𝐳𝐚, 𝐡𝐞𝐩𝐚𝐭𝐢𝐭𝐢𝐬.*

*2. 𝐊𝐮𝐰𝐚 𝐧𝐚 𝐮𝐳𝐢𝐭𝐨 𝐦𝐤𝐮𝐛𝐰𝐚 𝐤𝐰𝐚 𝐬𝐚𝐛𝐚𝐛𝐮 𝐲𝐚 𝐦𝐚𝐟𝐮𝐭𝐚 𝐦𝐞𝐧𝐠𝐢 𝐦𝐰𝐢𝐥𝐢𝐧𝐢.* Watu wenye uzito mkubwa husababisha kuwa na uvimbe kwenye viungio kitaalamu hutambulika k**a 𝐢𝐧𝐟𝐥𝐚𝐦𝐚𝐭𝐢𝐨𝐧.

*3.𝐌𝐟𝐮𝐦𝐨 𝐰𝐚 𝐤𝐢𝐧𝐠𝐚 𝐦𝐰𝐢𝐥𝐢𝐧𝐢 (𝐚𝐮𝐭𝐨𝐢𝐦𝐦𝐮𝐧𝐞 𝐝𝐢𝐬𝐞𝐚𝐬𝐞𝐬) 𝐤𝐮𝐬𝐡𝐚𝐦𝐛𝐮𝐥𝐢𝐚 𝐦𝐚𝐞𝐧𝐞𝐨 𝐲𝐚 𝐯𝐢𝐮𝐧𝐠𝐨 na 𝐤𝐮𝐩𝐞𝐥𝐞𝐤𝐞𝐚 𝐢𝐧𝐟𝐥𝐚𝐦𝐚𝐭𝐢𝐨𝐧 𝐚𝐦𝐚 𝐤𝐮𝐮𝐰𝐚 𝐬𝐞𝐥𝐢.*
*4.𝐊𝐮𝐤𝐮𝐬𝐚𝐧𝐲𝐢𝐤𝐚 𝐤𝐰𝐚 𝐚𝐬𝐢𝐝𝐢 𝐲𝐚 𝐮𝐫𝐢𝐜 𝐤𝐰𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐯𝐢𝐮𝐧𝐠𝐨 (𝐮𝐫𝐢𝐜 𝐚𝐜𝐢𝐝) 𝐦𝐚𝐫𝐚 𝐧𝐲𝐢𝐧𝐠𝐢 𝐡𝐢𝐢 𝐡𝐮𝐚𝐭𝐡𝐢𝐫𝐢 𝐦𝐢𝐠𝐮𝐮 𝐧𝐚 𝐮𝐭𝐚𝐡𝐢𝐬𝐢 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐦𝐢𝐠𝐮𝐮 𝐢𝐧𝐚𝐰𝐚𝐤𝐚 𝐦𝐨𝐭𝐨.* Kutokunywa maji kwa wingi kunaweza kuwa moja ya sababu ya hambo hili.
*5. 𝐖𝐚𝐭𝐮 𝐰𝐞𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞 𝐰𝐚𝐥𝐢𝐨 𝐡𝐚𝐭𝐚𝐫𝐢𝐧𝐢 𝐧𝐢 𝐰𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐤𝐮𝐧𝐲𝐰𝐚 𝐩𝐨𝐦𝐛𝐞, 𝐰𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐦𝐚𝐫𝐚𝐝𝐡𝐢 𝐲𝐚 𝐅𝐢𝐠𝐨, 𝐰𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐬𝐡𝐢𝐧𝐢𝐤𝐢𝐳𝐨 𝐥𝐚 𝐣𝐮𝐮 𝐥𝐚 𝐝𝐚𝐦𝐮 (𝐩𝐫𝐞𝐬𝐡𝐚 𝐲𝐚 𝐤𝐮𝐩𝐚𝐧𝐝𝐚), marahi 𝐲𝐚 𝐢𝐧𝐢 𝐤𝐢𝐬𝐮𝐤𝐚𝐫𝐢 𝐧𝐚 𝐬𝐡𝐢𝐝𝐚 𝐤𝐰𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐭𝐞𝐳𝐢 𝐲𝐚 𝐭𝐡𝐲𝐫𝐨𝐢𝐝.*
6. Ongezeko kubwa la uric acid Mwilini.

*7. 𝐊𝐮𝐥𝐚𝐢𝐧𝐢𝐤𝐚 𝐧𝐚 𝐤𝐮𝐯𝐮𝐧𝐣𝐢𝐤𝐚 𝐤𝐰𝐚 𝐦𝐟𝐮𝐩𝐚 𝐥𝐚𝐢𝐧𝐢 (𝐜𝐚𝐫𝐭𝐢𝐥𝐚𝐠𝐞) 𝐤𝐰𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐦𝐚𝐠𝐨𝐭𝐢.*

8. Upungufu wa *𝐤𝐢𝐥𝐚𝐢𝐧𝐢𝐬𝐡𝐨 𝐜𝐡𝐚 𝐦𝐚𝐮𝐧𝐠𝐢𝐨 (𝐬𝐲𝐧𝐨𝐯𝐢𝐚𝐥 𝐟𝐥𝐮𝐢𝐝)* maambukizi ya vijidudu katika moja ya maeneo hayo au mchanganyiko wa matatizo.

9. Ugonjwa huu husababishwa na kuharibika kwa gwegwedu. *𝐊𝐮𝐯𝐢𝐦𝐛𝐚 𝐤𝐰𝐚 𝐯𝐢𝐮𝐧𝐠𝐨 𝐤𝐮𝐧𝐚𝐰𝐞𝐳𝐚 𝐤𝐮𝐬𝐚𝐛𝐚𝐛𝐢𝐬𝐡𝐰𝐚 𝐧𝐚 𝐦𝐟𝐮𝐦𝐨 𝐰𝐚 𝐤𝐢𝐧𝐠𝐚 𝐤𝐮𝐬𝐡𝐚𝐦𝐛𝐮𝐥𝐢𝐚 𝐭𝐢𝐬𝐡𝐮 𝐳𝐚 𝐦𝐰𝐢𝐥𝐢 𝐤𝐢𝐦𝐚𝐤𝐨𝐬𝐚 𝐧𝐚 𝐤𝐮𝐳𝐢𝐡𝐚𝐫𝐢𝐛𝐮 𝐡𝐚𝐬𝐚 𝐮𝐭𝐢 𝐰𝐚 𝐦𝐠𝐨𝐧𝐠𝐨.*
10. Kuwa na majeraha
*11.𝐊𝐮𝐟𝐚𝐧𝐲𝐚 𝐤𝐚𝐳𝐢 𝐧𝐠𝐮𝐦𝐮 𝐤𝐰𝐚 𝐦𝐮𝐝𝐚 𝐦𝐫𝐞𝐟𝐮.*
*12. Kukosa 𝐦𝐮𝐝𝐚 𝐰𝐚 𝐦𝐚𝐳𝐨𝐞𝐳𝐢 𝐚𝐦𝐚 𝐤𝐮𝐤𝐚𝐚 𝐒𝐚𝐧𝐚 𝐊𝐰𝐚 𝐦𝐮𝐝𝐚 𝐦𝐫𝐞𝐟𝐮 (𝐬𝐢𝐤𝐮 𝐧𝐲𝐢𝐧𝐠𝐢).*
13. Kuwa na saratani
*14. 𝐊𝐮𝐦𝐮𝐧𝐠’𝐮𝐧𝐲𝐢𝐤𝐚 na 𝐤𝐮𝐯𝐮𝐧𝐣𝐢𝐤𝐚 kwa 𝐦𝐢𝐟𝐮𝐩𝐚 𝐤𝐮𝐭𝐨𝐤𝐚𝐧𝐚 𝐧𝐚 𝐮𝐠𝐨𝐧𝐣𝐰𝐚 𝐮𝐧𝐚𝐨𝐣𝐮𝐥𝐢𝐤𝐚𝐧𝐚 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐨𝐬𝐭𝐞𝐨𝐩𝐨𝐫𝐨𝐬𝐢𝐬.*
15. Udhaifu wa mifupa na matege kwa sababu ya ukosefu wa madini muhimu kwenye mifupa. *𝐌𝐚𝐝𝐢𝐧𝐢 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐯𝐢𝐥𝐞 𝐙𝐢𝐧𝐜, 𝐂𝐚𝐥𝐜𝐢𝐮𝐦, 𝐌𝐚𝐧𝐠𝐚𝐧𝐞𝐬𝐞, Magnesium, 𝐏𝐡𝐨𝐬𝐩𝐡𝐨𝐫𝐮𝐬 𝐧𝐚 𝐈𝐨𝐝𝐢𝐧𝐞.*

*𝐊𝐮𝐡𝐮𝐬𝐮 𝐭𝐢𝐛𝐚 👇👇👇;*

*𝐈𝐉𝐔𝐄 𝐀𝐑𝐓𝐇𝐑𝐎𝐗𝐓𝐑𝐀 𝐂𝐀𝐏𝐒𝐔𝐋𝐄𝐒 👉𝐊𝐈𝐁𝐎𝐊𝐎 𝐘𝐀 𝐌𝐈𝐅𝐔𝐏𝐀,𝐌𝐀𝐔𝐍𝐆𝐈𝐎 𝐍𝐀 𝐌𝐈𝐆𝐔𝐔 𝐊𝐔𝐖𝐀𝐊𝐀 𝐌𝐎𝐓𝐎👈.*

ArhroXtra capsules ni tib ya kudumu inayotibu na kutokomeza kabsa *𝐌𝐚𝐭𝐚𝐭𝐢𝐳𝐨 𝐬𝐮𝐠𝐮 𝐲𝐚 𝐦𝐢𝐠𝐮𝐮 𝐤𝐮𝐰𝐚𝐤𝐚 𝐦𝐨𝐭𝐨, 𝐤𝐮𝐟𝐚 𝐠𝐚𝐧𝐳𝐢, 𝐦𝐢𝐟𝐮𝐩𝐚, 𝐯𝐢𝐮𝐧𝐠𝐨 𝐤𝐮𝐬𝐚𝐠𝐢𝐤𝐚 𝐧𝐚 𝐦𝐩𝐢𝐬𝐡𝐚𝐧𝐨 𝐰𝐚 𝐩𝐢𝐧𝐠𝐢𝐫𝐢 𝐳𝐚 𝐮𝐭𝐢 𝐰𝐚 𝐦𝐠𝐨𝐧𝐠𝐨.*
*🟢𝐕𝐢𝐚𝐦𝐛𝐚𝐭𝐚 𝐯𝐲𝐚𝐤𝐞*
☆Glucosamine
☆Chondroitin
☆ Madini mhimu mbali mbali (Ca2+, Zink ,Phosphorus n.k)
☆Collagen
☆Protein na Vitamin
☆Hydrochloride

*𝐊𝐀𝐙𝐈 𝐊𝐔𝐔 𝐙𝐀 𝐀𝐑𝐓𝐇𝐑𝐎𝐗𝐓𝐑𝐀 𝐂𝐀𝐏𝐒𝐔𝐋𝐄𝐒👇👇*
●Huboresha viungo na kuponesha sehemu zilizoumia kwenye viungo
*●𝐍𝐢 𝐤𝐢𝐛𝐨𝐤𝐨 𝐲𝐚 𝐭𝐚𝐭𝐢𝐳𝐨 𝐥𝐚 𝐦𝐢𝐠𝐮𝐮 𝐤𝐮𝐰𝐚𝐤𝐚 𝐧𝐚 𝐦𝐢𝐠𝐮𝐮 𝐤𝐮𝐟𝐚 𝐠𝐚𝐧𝐳𝐢.*
*●𝐇𝐮𝐟𝐮𝐟𝐮𝐚 𝐍𝐞𝐯𝐚 𝐳𝐚 𝐟𝐚𝐡𝐚𝐦𝐮 𝐳𝐢𝐥𝐢𝐤𝐮𝐟𝐚 𝐊𝐰𝐚 𝐬𝐚𝐛𝐚𝐛𝐮 𝐲𝐚 𝐤𝐢𝐬𝐮𝐤𝐚𝐫𝐢, 𝐩𝐫𝐞𝐬𝐬𝐮𝐫𝐞, 𝐧𝐚 𝐮𝐳𝐢𝐭𝐨 𝐦𝐤𝐮𝐛𝐰𝐚.*
*●𝐇𝐮𝐨𝐧𝐝𝐨𝐚 𝐦𝐚𝐮𝐦𝐢𝐯𝐮 𝐲𝐚 𝐮𝐠𝐨𝐧𝐣𝐰𝐚 𝐰𝐚 𝐦𝐢𝐟𝐮𝐩𝐚 (𝐨𝐬𝐭𝐞𝐨𝐚𝐫𝐭𝐡𝐫𝐢𝐭𝐢𝐬) 𝐧𝐚 𝐮𝐜𝐡𝐚𝐤𝐚𝐯𝐮 𝐰𝐚 𝐦𝐢𝐟𝐮𝐩𝐚.*
●Huimarisha mupishano mzuri wa mifupa kwenye viungo wakati wa kutembea
*●𝐇𝐮𝐨𝐧𝐠𝐞𝐳𝐚 𝐯𝐢𝐫𝐮𝐭𝐮𝐛𝐢𝐬𝐡𝐨 𝐦𝐡𝐢𝐦𝐮 𝐤𝐰𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐦𝐢𝐟𝐮𝐩𝐚 𝐧𝐚 𝐯𝐢𝐮𝐧𝐠𝐨* ●Husaidia kulainisha sehem za viungo kwa sababu ya uwepo wa chondroitin
*●𝐇𝐮𝐬𝐚𝐢𝐝𝐢𝐚 𝐤𝐮𝐢𝐦𝐚𝐫𝐢𝐬𝐡𝐚 𝐭𝐢𝐬𝐬𝐮𝐞 𝐧𝐚 𝐦𝐢𝐬𝐮𝐥𝐢 𝐢𝐧𝐚𝐲𝐨𝐮𝐧𝐠𝐚𝐧𝐢𝐬𝐡𝐚 𝐦𝐟𝐮𝐩𝐚 𝐧𝐚 𝐦𝐟𝐮𝐩𝐚(𝐜𝐚𝐫𝐭𝐢𝐥𝐚𝐠𝐞).*
●Ni nzuri Kwa wenye Uric acid nyingi mwilini, na wenye kuvimba vidole vya mikono na miguu
●Hufungua mishipa ya ateri na veins na kufanya Damu KUWA nyepesi ili kuzunguka vizuri mwilini.
*●𝐇𝐮𝐬𝐚𝐢𝐝𝐢𝐚 𝐤𝐮𝐳𝐚𝐥𝐢𝐬𝐡𝐚 𝐮𝐭𝐞 𝐮𝐭𝐞 𝐤𝐰𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐦𝐚𝐮𝐧𝐠𝐢𝐨 (𝐬𝐲𝐧𝐨𝐯𝐢𝐚𝐥 𝐟𝐥𝐮𝐢𝐝)*
●Husaidia kabisaa kuzuia ugonjwa wa mifupa na viungo(osteoarthritis)
*●𝐇𝐮𝐰𝐚𝐬𝐚𝐢𝐝𝐢𝐚 𝐳𝐚𝐢𝐝𝐢 𝐰𝐚𝐳𝐞𝐞 𝐤𝐮𝐰𝐚 𝐤𝐢𝐧𝐠𝐚 𝐧𝐚 𝐦𝐚𝐠𝐨𝐧𝐣𝐰𝐚 𝐲𝐚 𝐯𝐢𝐮𝐧𝐠𝐨 𝐧𝐚 𝐦𝐢𝐟𝐮𝐩𝐚 𝐤𝐰𝐚 𝐤𝐮𝐰𝐚𝐩𝐚𝐭𝐢𝐚 𝐯𝐢𝐫𝐮𝐭𝐮𝐛𝐢𝐬𝐡𝐨 𝐦𝐡𝐢𝐦𝐮 k**a madini ya 𝐂𝐚𝐥𝐜𝐢𝐮𝐦, 𝐩𝐡𝐨𝐬𝐩𝐡𝐮𝐬, 𝐦𝐚𝐧𝐠𝐚𝐧𝐞𝐬𝐞 𝐧𝐚 𝐜𝐡𝐥𝐨𝐫𝐢𝐧𝐞*
●Husaidia kupona haraka kwa cartilage zilizo athirika
●Huondoa maumivi ya viungo na mgongo
*●𝐍𝐢 𝐧𝐳𝐮𝐫𝐢 𝐳𝐚𝐢𝐝𝐢 𝐤𝐰𝐚 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐰𝐚𝐤𝐞 𝐰𝐚𝐥𝐢𝐨𝐤𝐨𝐦𝐚 𝐡𝐞𝐝𝐡𝐢.*
●Ni nzuri kwa waliosagika pingili za mgongo.

𝐈𝐦𝐞𝐭𝐞𝐧𝐠𝐞𝐧𝐞𝐳𝐰𝐚 𝐤𝐢𝐚𝐬𝐢𝐥𝐢 𝐤𝐰𝐚 100% 𝐧𝐚 𝐯𝐢𝐚𝐦𝐛𝐚𝐭𝐚 𝐚𝐬𝐢𝐥𝐢𝐚 𝐛𝐢𝐥𝐚 𝐤𝐮𝐰𝐚 𝐧𝐚 𝐦𝐚𝐝𝐡𝐚𝐫𝐚 𝐦𝐞𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞 𝐦𝐰𝐢𝐥𝐢𝐧𝐢 𝐦𝐰𝐚𝐤𝐨.
𝐖𝐚𝐬𝐢𝐥𝐢𝐚𝐧𝐚 𝐍𝐚𝐬𝐢
+255683253844


Habari na matukio
Oscar oscar

Jacqueline Alex Peter
Vero Sanga

14/01/2024

*FAHAMU MADHARA YA UGONJWA WA BAWASIRI (HEMORRHOIDS) K**A HAUTATIBU MAPEMA*

Tatizo la BAWASILI ni mojawapo ya matatizo ambayo maranyingi yanapotokea humfanya muathirika kuona aibu kuelezea au kwenda hospital ili kupata tiba kwa sababu wengi huhisi wakisema wanaweza kudhaniwa kua wamefanya mapenzi kinyume na maumbile kitu ambacho sio tija unapokua unahitaji tiba.

Bawasili husababishwa na kuvimba kwa mishipa ya damu aina ya vena katika eneo la mfereji wa haja kubwa.

NINI KINASABABISHA BAWASILI?

•Tatizo sugu la kuharisha

•Kupata haja kubwa au kinyesi kigumu

•Uzito kupita kiasi

•Mapenzi kinyume na maumbile

•Umri mkubwa

•kukaa kwa mda mrefu chooni bila kupata choo

DALILI ZA BAWASILI

•Kinyesi kuchanganyika na damu wakati wa kujisaidia

•Maumivu au usumbufu katika njia ya haja kubwa

•kutokwa na kinyesi bila kujitambua(kuvuja kinyesi)

•Kiuvimbe katika eneo la tundu (mlango wa kutolea haja kubwa)

•Ngozi katika eneo la tundu la haja kubwa kuwasha

•Bawasili kutoka nje wakati wa kujisaidia haja kubwa

FAHAMU MADHARA YA BAWASILI

Bawasili ni tatizo ambalo huanza kawaida lakini kadri linavoongezeka huleta madhara makubwa yafuatayo

•Upungufu wa nguvu za kiume

•Kukosa hamu ya tendo la ndoa

•kuathirika kisaikolojia

•Kukosa morari ya kufanya kazi kutokana na kua na maumivu makali

•Kutoa kinyesi kinachonuka sana kutokana na damu kuvuja.

🔹Kuganda kwaa damu ambako Ni hatari zaidi, kwani damu hiyo huweza kusafirishia kwenda sehemu mbalimbali za mwili na kukwama mahali na kuzuia usafirishaji wa damu na kupelekea kupata madhara makubwa.

NINI UFANYE KUJILINDA NA TATIZO HILI?

*Unatakiwa kunya maji mengi kuanzia kwa siku

*Punguza kukaa kwa muda mrefu chooni bila kupata choo

*Kula mboga za majani na matunda na nafaka zisizokobolewa kwa wingi

Hitimisho

K**a unahangaika na tatizo hili bila matokeo wasiliana nas G-SOLUTION 0683-253-844
tukusaidie

18/12/2023

Sikiliza kwa makini maan homa ya ini siyo ugonjwa WA kupuuzia kabsa














Oscar oscar
Habari na matukio
Jacqueline Alex Peter
Vero Sanga
0683 253 844

06/12/2023

Umekuwa ukisumbuka na changa moto ya ya uvimbe kwenye mfukon wakizazi na umejaribu kutafuta msaada wa kupata utatuzi wa hiyo changa moto bila mafanikio ngoja nikupe sili .

Tatizo la uvimbe kwenye kizazi hutokea kwenye tumbo la uzazi au ndani ya kizazi kutokana na kuvurugika kwa hormoni, maranyingi hutokea kwenye misuli laini ya mfukon wa kizazi.

DALILI ZA UVIMBE KWENYE KIZAZI
Zifuatazo ni dalili za uvimbe kwenye kizazi
👉Kupata hedhi nyingi kupita kiasi
👉Hedhi kutoka mda mrefu
👉Maumivu ya nyonga
👉Maumivu ya kiuno hasa wakati wa hedhi nk.

VISABABISHI VYA UVIMBE KWENYE KIZAZI
👉 Kuvurugika kwa homoni
👉Kurithi
👉Ulaji mbaya wa vyakula na madaya yenye chemical nk.

MADHARA YA UVIMBE KWENYE KIZAZI
👉Kukosa mtoto
👉Kuishiwa damu mara kwa mara
👉 Kupata kansa ya mfukon wa kizazi.nk

MATIBABU YA UVIMBE KWENYE KIZAZI
Matibabu ya tatizo hili yapo kwa salimia kubwa sana endapo mtu atawai kupata huduma,lakini maranyingi watu Huwa wanafanyiwa upasuaji jambo ambalo nihatali kwa afya zao kwani kwa wengi wamekua wakipata MADHARA makubwa baada ya upasuaji kufanyika.

Hivyo nakushauli pindi unapokuwa na hii changa moto k**a hii tumia virutubisho kwani vutakisaidia kuujenga upya mfumo wako wa uzazi na kuondoa tatizo hilo bila upasuaji.

KWA USHAULI NA MSAADA KAMILI TUWASILIANE KWA NAMBA HII
0683-253-844 Whatsapp au piga 0622-672-458



















Oscar oscar
Habari na matukio Jacqueline Alex Peter
Vero Sanga
0683 253 844

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Mwanza?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Address

Nyasaka Ilemela
Mwanza