Maisha YETU
Peace&Love
07/11/2025
MACHOZI YAMEMTOKA ANTHONY MTAKA MBELE YA WANANCH WA MKOA WA NJOMBE MAKAMBAKO
Wakazi wa Makambako, mkoani Njombe, wakiongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Anthony Mtaka, wametafakari kwa kina na kwa hisia kali matukio yaliyojitokeza wakati wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.
Tafakari hiyo imefanyika leo, Novemba 6, 2025, katika eneo la soko la Makambako, ambapo wananchi walitoa maoni yao mbele ya Mkuu wa Mkoa, aliyekuwa akizungumza nao kwa lengo la kupata mwelekeo wa pamoja baada ya kumalizika kwa zoezi la uchaguzi.
Mkutano huo umebeba uzito kwa kuwa ni sehemu ya juhudi za kuimarisha mshikamano wa kijamii, utulivu wa kisiasa, na kuendeleza mazungumzo ya wazi kati ya serikali na wananchi kuhusu mustakabali wa taifa.
Maisha YETU
JAMANI YOUTUBE INAGOMA MBONA?
16/09/2025
Simba Sc
Yanga sc
!??
TUMKUMBUKE MUNGU KWA DINI ZOTE TUOOMBEE AMANI KWENYE INCH YETU KULEKEA UCHAGUZI ILI TUENDELEE KUWA SALAMA🙏🙏
SABATO NJEMA WATU WA MUNGU 🙏🙏
KUTOKA 20:8-10
MAISHA YA DUNIA HII NI MAFUPI SANA NDUGU ZANGU TUZIDI KUMUOMBA MUNGU.
04/09/2025
HAYA NDIYO MAPENZI SASA
Nilianza kuyashangaa mapenzi pale yule aliyehongwa duka, alipoanzisha mahusiano na mteja wake🤔.
Nikaja nikamuona mwenye pesa akiachwa kwasababu anakosa mda wa kuwa karibu na mpenzi wake🤔.
Sijakaa sawa nikaona mwenye mda bila hela akionekana msumbufu msumbufu kwa mpenzi wake 🤔.
Mda huo huo mdada mzuri na mwenye shepu yake nzuri washikaji wamechagua kumchezea huku yule wa kawaida na sura ya baba yake akiolewa kwa harusi shangwe na vifijo🤣.
Hapa nimemuona Girlfriend mmoja mrembo akisalitiwa na boyfriend wake kwa kununua wanawake MABARABARANI🙄🥺.
Aliyehongwa gari kwa upendo na boyfriend wake, amempa bishoo mwenye six pack aliendeshe.
Kila kitu fanya kwa kiasi, mimea mingi haijafa kwasababu ya ukame, bali ni kumwagiliwa maji mengi kupita kiasi.
Maisha YETU
MAHUSIANO/NDOA
Kurshimiana na kudumu kwa wapinzi au wanandoa kwenye ndoa ama mahusiano inategemea na wao wenyewe wanaishije.
25/07/2025
NDIVYO AU SIVYO?
Hata katika mitandao hatuna umakini kabisa. Unaweza muonea wivu mtu anayetakiwa kuonewa huruma Haya mambo haya!🤣🤣🤣
Unaenda kanisani umechelewa, ukifika ni kuchati mwanzo mwisho na kunong'onezana na uliyekaa naye. Unakosa umakini hadi kwa Mungu unategemea nini?
Huko kwenye kuongea ndiyo kabisaaa, watu wanaropoka badala ya kuzungumza. Neno likitoka mdomoni halirudi. Think before you speak!
Hata umakini katika kuoa uko chini sana. Mtu anaoa kwa sababu kaona makalio makubwa na kifua kipana! Kifua kipana? Utapigwa vibaya sana.
Click here to claim your Sponsored Listing.
