JENGA AFYA YAKO
Health care penda AFYA yako
18/06/2022
*UTAMBUE UGONJWA WA BARIDI YABISI (ARTHRITIS) NA SULUHISHO LAKE.
.....................
Kuwasiliana na mshauri wa afya
WhatsApp 0769044226
Piga cm 0782711079
Baridi yabisi ni moja ya magonjwa kwenye kundi la (autoimmune diseases) magonjwa yanayotokana na kinga ya mwili kushambulia tishu za mwili na kupekelea tishu hizi kututumka na kuvimba. Tatizo hili huathiri maeneo ya maungo na kuletekeza maumivu makali yasiyokwisha, kuvimba kwa joint na kusababisha ugumu kukunja viungo. Tatizo linaweza kuwa kubwa pale mpambano kwenye joint (inflammation) unapokuwa mkubwa na baadae maumivu hupungua.
Kwa mgonjwa mwenye baridi yabisi ni muhimu kurekebisha lishe na mtindo wa maisha k**a ambavyo nitaelekeza hapa chini ili kupunguza makali ya ugonjwa. Ugonjwa wa baridi yabisi k**a usipochukuliwa hatua za haraka kuudhibiti unaweza kusababisha matatizo makubwa k**a kuharibika kwa maungio, neva na athari kwenye mishipa ya damu.
Baridi yabisi husababishwa na muunganiko wa sababu ikiwemo lishe, vinasaba, mtindo wa maisha, vichocheo pamoja na kinga ya mwili.Tafiti zinasema kwamba kwa mgonjwa anayeanza tiba mapema hupata nafuu zaidi na kuepuka madhara ya baridi yabisi. Pamoja na dawa za hospitali wataalamu wa tiba asili tunashauri mgonjwa azingatie zaidi lishe na mazoezi ili kupunguza maumivu.
*Dalili za Mgonjwa Mwenye Baridi Yabisi*
Dalili za Baridi yabisi hutokana na kupotea kwa utando mweupe uliopo mwishoni mwa mfupa (cartilage) ambao hupunguza msuguano kati ya mfupa na mafua, kuvimba kwa tishu zinazozunguka jointi na kukaza kwa joint. Kwa mgonjwa mwenye baridi yabisi ute uliopo kati ya mfupa na mfupa hupungua na kufanya mifupa kusagana. Dalili kuu za mgonjwa mwenye baridi yabisi ni ;-
*🔘Maumivu ya joint*
-Kuvimba kwa tishu zinazozunguka maungio ya mifupa husababisha maumivu makali kwa mgonjwa. Jointi zinazoathirika zaidi ni kwenye mikono, enka, vidole vya miguuni na kwenye magoti.
🔘Ngozi ya joints kuwa nyekundu, laini na inayochoma k**a vile imeungua moto.
🔘Maumivu na kushindwa kusonga mbele baada ya kuamka asubuhi, hali hii huchukua dakika 30 na baaade mgonjwa anaweza kuendelea kutembea.
🔘Mwili kufa ganzi na maumivu ya misuli
Kupata ugumu kwenye kutembea, kushika kitu, kufanya mazoezi na kupanda ngazi.
🔘Kwa baadhi ya wagonjwa hupoteza hamu ya kula na kupata homa za muda mfupi.
*Madhara gani ya Muda Mrefu Anaweza Kupata Mtu Mwenye Baridi Yabisi.*
Kwa baadhi ya wagonjwa wenye baridi yabisi hupata madhara ya kiafya ya muda mrefu mwilini. Tafiti zimebaini matatizo haya huzaliwa na uwepo wa arthritis.
✅Kuongezeka kwa hatari ya kupata magonjwa ya moyo na kiharusi.
✅Maumivu ya kifua, pumzi kukata na kushindwa kupumua kutokana na athari kwenye mapafu.
✅Maumivu ya kichwa yasiyoisha.
✅Matatizo ya figo na kujikusanya kwa maji mwilini.
✅Maumivu na kudhoofika kwa mifupa
Kuishiwa damu na kupata ganzi.
✅Kuota vinyama vidogo vidogo kuzunguka eneo la maungio ambavyo huongeza ukali wa maumivu.
MATIBABU KAMILI:
Ugonjwa huu Unatibika kwa kutumia bidhaa za asili zenye virutubisho thabiti,sababu hutibu tatizo na chanzo cha tatizo.
Na matokeo kamili kwa Uhakika.
Kwa msaada na huduma zaidi wasiliana nasi
WhatsApp 0769044226
Call 0782711079
20/05/2022
*UTAMBUE UGONJWA WA BARIDI YABISI (ARTHRITIS) NA SULUHISHO LAKE.
.....................
Kuwasiliana na mshauri wa afya
Piga cm/ whatsup inbox
WhatsApp 0769044226
Call. 0782711079
Baridi yabisi ni moja ya magonjwa kwenye kundi la (autoimmune diseases) magonjwa yanayotokana na kinga ya mwili kushambulia tishu za mwili na kupekelea tishu hizi kututumka na kuvimba. Tatizo hili huathiri maeneo ya maungo na kuletekeza maumivu makali yasiyokwisha, kuvimba kwa joint na kusababisha ugumu kukunja viungo. Tatizo linaweza kuwa kubwa pale mpambano kwenye joint (inflammation) unapokuwa mkubwa na baadae maumivu hupungua.
Kwa mgonjwa mwenye baridi yabisi ni muhimu kurekebisha lishe na mtindo wa maisha k**a ambavyo nitaelekeza hapa chini ili kupunguza makali ya ugonjwa. Ugonjwa wa baridi yabisi k**a usipochukuliwa hatua za haraka kuudhibiti unaweza kusababisha matatizo makubwa k**a kuharibika kwa maungio, neva na athari kwenye mishipa ya damu.
Baridi yabisi husababishwa na muunganiko wa sababu ikiwemo lishe, vinasaba, mtindo wa maisha, vichocheo pamoja na kinga ya mwili.Tafiti zinasema kwamba kwa mgonjwa anayeanza tiba mapema hupata nafuu zaidi na kuepuka madhara ya baridi yabisi. Pamoja na dawa za hospitali wataalamu wa tiba asili tunashauri mgonjwa azingatie zaidi lishe na mazoezi ili kupunguza maumivu.
*Dalili za Mgonjwa Mwenye Baridi Yabisi*
Dalili za Baridi yabisi hutokana na kupotea kwa utando mweupe uliopo mwishoni mwa mfupa (cartilage) ambao hupunguza msuguano kati ya mfupa na mafua, kuvimba kwa tishu zinazozunguka jointi na kukaza kwa joint. Kwa mgonjwa mwenye baridi yabisi ute uliopo kati ya mfupa na mfupa hupungua na kufanya mifupa kusagana. Dalili kuu za mgonjwa mwenye baridi yabisi ni ;-
*🔘Maumivu ya joint*
-Kuvimba kwa tishu zinazozunguka maungio ya mifupa husababisha maumivu makali kwa mgonjwa. Jointi zinazoathirika zaidi ni kwenye mikono, enka, vidole vya miguuni na kwenye magoti.
🔘Ngozi ya joints kuwa nyekundu, laini na inayochoma k**a vile imeungua moto.
🔘Maumivu na kushindwa kusonga mbele baada ya kuamka asubuhi, hali hii huchukua dakika 30 na baaade mgonjwa anaweza kuendelea kutembea.
🔘Mwili kufa ganzi na maumivu ya misuli
Kupata ugumu kwenye kutembea, kushika kitu, kufanya mazoezi na kupanda ngazi.
🔘Kwa baadhi ya wagonjwa hupoteza hamu ya kula na kupata homa za muda mfupi.
*Madhara gani ya Muda Mrefu Anaweza Kupata Mtu Mwenye Baridi Yabisi.*
Kwa baadhi ya wagonjwa wenye baridi yabisi hupata madhara ya kiafya ya muda mrefu mwilini. Tafiti zimebaini matatizo haya huzaliwa na uwepo wa arthritis.
✅Kuongezeka kwa hatari ya kupata magonjwa ya moyo na kiharusi.
✅Maumivu ya kifua, pumzi kukata na kushindwa kupumua kutokana na athari kwenye mapafu.
✅Maumivu ya kichwa yasiyoisha.
✅Matatizo ya figo na kujikusanya kwa maji mwilini.
✅Maumivu na kudhoofika kwa mifupa
Kuishiwa damu na kupata ganzi.
✅Kuota vinyama vidogo vidogo kuzunguka eneo la maungio ambavyo huongeza ukali wa maumivu.
MATIBABU KAMILI:
Ugonjwa huu Unatibika kwa kutumia bidhaa za asili zenye virutubisho thabiti,sababu hutibu tatizo na chanzo cha tatizo.
Na matokeo kamili kwa Uhakika.
Kwa msaada na huduma zaidi wasiliana nasi,
WhatsApp 0782711079
Call. 0769044226
16/04/2022
UFAHAMU UGONJWA WA BAWASILI, VYANZO VYAKE,DALILI,MADHARA NA MATIBABU YAKE.
🍀BAWASILI/MGOLO🍀
☇bawasili ni ugonjwa unaotokea katika njia ya haja kubwa, hujitokeza k**a uvimbe au kinyama ambacho huweza kuonekana hadi nje.
☇kwa kiingereza hujulikana k**a piles.
☇na kitaalam hujulikana k**a haemorrhoids/piles
🍀AINA ZA BAWASILI🍀
👉1. BAWASILI YA NJE
Aina hii ya bawasili hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa na kuambatana na maumivu makali, pamoja na kuwashwa kwa ngozi katika eneo hilo. Mara nyingine mishipa hiyo ya damu (veins)hupasuka na dam kuganda hivyo kusababisha na kusababisha aina hii ya bawasili ambapo kitaalam inafahamika k**a Thrombosed haemorrhoid.
👉2.BAWASILI YA NDANI
Aina hii ya bawasili hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa, na huwa haiambatani na maumivu.
☇Aina hii imeainishwa katika madaraja manne yafuatayo
👉Daraja la 1. Bawasili kutokea katika pahala pake pa kawaida
👉Daraja la 2. Bawasili kutoka wakati wa haja na kurudi yenyewe baada ya haja (kujisaidia)
👉Daraja la 3. Bawasili kutoka wakati haja kubwa na mtu kuweza kuirudisha baada ya haja.
👉 Daraja la 4. Bawasili kutoka wakati wa haja kubwa na vigumu kuirudisha baada ya haja.
🍁BAWASILI HUSABABISHWA NA NINI?
👉Kufunga choo au kukosa choo kwa muda mrefu
👉Ujauzito-wakati wa ujauzito watu wengine wanaweza kupatwa na bawasili kwasababu ya msukumo wa mtoto karibia na sehem ya haja kubwa
👉kushiriki penzi kinyume na maumbile
👉Uzee- kadri miaka inavyosogea ndivyo inavyokuwa rahisi kwako kupatwa ugonjwa huu kwa baadhi ya watu.
👉Sababu za kurithi- baadhi ya watu wanaweza kurithi udhaufu wa ukuta huo wa njia ya haja kubwa ingawa ni kwa asilimia chache.
👉kuharisha sana kwa muda mrefu
👉kutumia vyoo vya kukaa
👉kunyanyua vyuma vizito
👉mfadhaiko stress
👉uzito na unene kupita kiasi
🍀DALILI ZA BAWASILI 🍀
👉maumivu wakati wa kujisaidia haja kubwa
👉Damu kutoka wakati wa kujisaidia
👉kupata muwasho sehem ya haja kubwa
👉uvimbe au kinyama kuota sehem ya haja kubwa
👉hajakubwa yaweza kujitokea mda wowote
👉choo kuwa kigumu au muda mwingine kukosa choo kwa siku hata tatu
👉maumivu makali ya kiuno na mgongo
👉tumbo kujaa gesi mara kwa mara
👉kutokushiba vizuri au kupata njaa baada ya muda mfupi kumaliza kula.
👉watu wengine macho kuwa mekundu
🍀ATHARI ZA BAWASILI🍀
👉upungufu wa dam mwilini
👉kinyesi kutoka bila kujitambua
👉kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
👉kupungukiwa nguvu za kiume kwa wanaume
👉kupungukiwa uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
👉kupata tatizo la kisaikolojia
🍀NJIA ZA KUJIKINGA DHIDI YA BAWASILI🍀
👉kula mboga za majani na nafaka zisizokobolewa kwa wingi.
👉kunywa maji mengi lita sita au 12 kwa siku
👉acha kufanya tendo kinyume na maumbile
👉punguza kukaa chooni kwa muda mrefu, kunaweza kusababisa shinikizo la dam sehem ya haja kubwa.
👉MATIBABU👇
MATIBABU YA TATIZO HILI HUHUSISHA UPASUAJI KWA KUKATWA KINYAMA. BAHATI MBAYA NI KWAMBA UKIKATWA BAADA YA MUDA MFUPI KINARUDI TENA NA MADHARA YAKE YANABAKI VILE VILE MAKUBWA CHANZO CHAKE HAKIJATAMBULIWA BADO.
👉👉Bidhaa zilizothibitishwa kitaalam zinazotoa matokeo mazuri kwa watu wenye matatizo haya ni bidhaaa za asili zenye virutubisho mbali mbali vinavyounganishwa kwa pamoja kwa utaalam wa hali ya juu.
Kwa huduma zaidi Wasiliana nasi
- WhatsApp 0769044226
- call 0782711079
FAHAMU KUUSU P.I.D
P.I.D
Ni maambukizi katika via vya uzazi. Wanawake wengi husumbuliwa na tatizo hili kulingana na sababu zifuatazo:-
Matumizi ya antibiotics Kwa wingi, kimsingi matumizi haya huuwa bacteria wote, hivyo wanapokufa unakosa ulinzi wa bacteria wa kupambana na maambukizi.
ujauzito ikiwa ni pamoja na kujifungua. Pia sababu nyingine ni matumizi ya condoms na kufanya ngono zembe.
DALILI ZA UGONJWA WA PID
1️⃣Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa ni mweupe, njano, au maziwa
2️⃣Kuwashwa sehemu za siri
3️⃣Uke kutoa harufu mbaya
4️⃣Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
5️⃣Uke kuwa wa ulaini sana
6️⃣Maumivu wakati wa tendo la ndoa
7️⃣Kuvurugika Kwa hedhi
8️⃣Kutokwa majimaji ukeni kupita kiasi
9️⃣Maumivu wakati wa kukojoa na wakati wa choo kubwa
🔟Homa, uchovu,kizunguzungu na kukosa hamu ya kula
MADHARA YA PID
•Ugumba
•Kansa ya shingo ya kizazi
•Mirija ya uzazi kuziba
•Majeraha kwenye mirija ya uzazi
MATIBABU
inatibika na kupona Kwa haraka
Kwa ushauri au tiba ya tatizo hili waweza wasiliana nasi 0769044226
# P.I.D
N.b - pia maradhi ya mfumo wa uzazi wa mwanamke yamekuwa Mengi ukiona unasumbuliwa na matatizo haya usisite kuwasiliana nasi
* Fungus sugu ukeni
* U.t.i mara kwa mara
* Tatizo la kutopata hedhi kwa wakati
* Maumivu wakati wa hedhi
* Vimbe kwenye kizazi
* Mirija ya uzazi kuziba
* Kutobeba ujauzito
* Kutokwa na uchafu na majimaji yenye harufu ukeni ..
Tiba ipo unapona kabisa bila kujirudia
Kwa mawasiliano zaid na ushari juu ya afya Wasiliana nasi
Whatsapp 0769044226
Call 0782711079
14/03/2022
14/03/2022
afya kwanza
05/02/2022
FAHAMU KUUSU P.I.D
P.I.D
Ni maambukizi katika via vya uzazi. Wanawake wengi husumbuliwa na tatizo hili kulingana na sababu zifuatazo:-
Matumizi ya antibiotics Kwa wingi, kimsingi matumizi haya huuwa bacteria wote, hivyo wanapokufa unakosa ulinzi wa bacteria wa kupambana na maambukizi.
ujauzito ikiwa ni pamoja na kujifungua. Pia sababu nyingine ni matumizi ya condoms na kufanya ngono zembe.
DALILI ZA UGONJWA WA PID
1️⃣Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa ni mweupe, njano, au maziwa
2️⃣Kuwashwa sehemu za siri
3️⃣Uke kutoa harufu mbaya
4️⃣Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
5️⃣Uke kuwa wa ulaini sana
6️⃣Maumivu wakati wa tendo la ndoa
7️⃣Kuvurugika Kwa hedhi
8️⃣Kutokwa majimaji ukeni kupita kiasi
9️⃣Maumivu wakati wa kukojoa na wakati wa choo kubwa
🔟Homa, uchovu,kizunguzungu na kukosa hamu ya kula
MADHARA YA PID
•Ugumba
•Kansa ya shingo ya kizazi
•Mirija ya uzazi kuziba
•Majeraha kwenye mirija ya uzazi
MATIBABU
inatibika na kupona Kwa haraka
Kwa ushauri au tiba ya tatizo hili waweza Fika ofisini kwetu piga simu 0748451134
# P.I.D
N.b - pia maradhi ya mfumo wa uzazi wa mwanamke yamekuwa Mengi ukiona unasumbuliwa na matatizo haya usisite kuwasiliana nasi
* Fungus sugu ukeni
* U.t.i mara kwa mara
* Tatizo la kutopata hedhi kwa wakati
* Maumivu wakati wa hedhi
* Vimbe kwenye kizazi
* Mirija ya uzazi kuziba
* Kutobeba ujauzito
* Kutokwa na uchafu na majimaji yenye harufu ukeni ..
Tiba ipo unapona kabisa bila kujirudia
Kwa mawasiliano zaid na ushari juu ya afya wasiliana nasi
- WhatsApp 0769044226
- call 0782711079
Click here to claim your Sponsored Listing.
