Chynazan

Chynazan

Share

Center for Hygiene and Nutrition Awareness We have started our minor activities since May 2017 but we came into official registration by 30/05/2019.

We were mainly inspired to establish our organization; Center for Hygiene and Nutrion awareness because, most research findings indicated that one of the aspect that hinder development of community health is poor hygiene and nutrition awareness of people. There fore it is the aim of our organization to establish the network of health stakeholders so that new strategies against the problems will be

Photos from Chynazan's post 05/08/2022

FAIDA ZA UNYONYESHAJI KWA MTOTO

1)Maziwa ya mama husaidia kuweka mtoto wako na afya,
2) Humlinda mtoto dhidi ya maambukizo, k**a magonjwa ya sikio. Inachukuliwa kwa urahisi,
3) Maziwa ya mama ni rahisi kumeng'enywa kuliko maziwa ya kupo,
4) Unyonyeshaji huleta mapenzi kwa mtoto na mama.

Photos from Chynazan's post 05/08/2022

Kila ifikipo tarehe 1 mpaka 7 mwezii wa nane dunia huadhimisha wiki ya unyonyeshaji duniani.

Pichani ni wanachynazan wakishirikiana na baraza la maafisa afya katika redio ya 94.9 habari,, katika kufikisha elimu hio kwa jamii

Maziwa ya mama ni bora kwa afya na kinga ya mtoto dhidi ya maradhi....

05/05/2022

Tujitahidini tunapoenda viwanja vya kusherekea yafuatayo:-
1) Tununue chakula ambacho kimefunikwa uzur, maana inzi πŸͺ°sasa hivii wamejaa katika viwanja vyetu na hivoo kupelekea hali hatarishi hasaaa ikiwa chakula kimewekwa wazi
2) Tuhakikishe muuzaji hak**ati chakula πŸ—πŸŸπŸ•πŸ‘πŸ©πŸ”πŸŒ­ anachokuwekea kwa ajili ya kula, kwa kutumia mkono πŸ–οΈmtupu badala yake atumie banio maalumu kwa ajili ya kushika chakula.
3) Tujitahidi kutupa taka zetu katika madoo πŸͺ£ ya taka yaliyopo katika viwanja hivoo. K**a hakuna angalau chukua mfuko weka taka ukifika katika doo la taka ziweke Ili kusaidia kupunguza mafuriko ya taka
4) Chukua maji ya kunywa πŸ₯€kutoka nyumbani au nunua maji special ambayo yanauzwa madukani, tusiruhusu mtoto kunywa maji ovyo maana mingine huona kila mtoto akitumbukiza mikono katika maji hayo, hivo kuharibu usalama wa afya ya mtoto pindi akinywa maji hayoπŸ‘§πŸΏπŸ‘ΆπŸΌπŸ‘©πŸ»

Tunawaombea mue na iddy njema kutoka kituo cha uhamasishaji elimu ya usafi na lishe Zanzibar

*_ *

🍊🍊🍊🍊🍊🍊🍊🍊🍊🍊🍊🍊🍊🍊🍊

04/12/2021

FAIDA ZA KUSUGUA MENO USIKU
1) Kupunguza matatzo ya meno k**a vile meno kuoza, kutoboka, fizi kuuma na kutoka damu,
2) Kuondoa harufu mbayaa ya kinywa wakati unaamka asubuhi, morning breath harufu hiii huzalishwa na bakteria ambao huozesha chakula kilichobaki mdomoni hivo basi k**a hatutosafisha vinywa vyetu bakteria hao huzalisha harufu mbayaa
3) Husaidia sana kupunguza utokaji wa udenda wakati wa kulala

Tukumbuke ya kua baada ya kusugua meno hatupaswi kula chochote wakati huo labdaa maji na k**a tutakula tujitahidi kuosha tenaa kinywa chetu, tukumbuke chakula kubali mdomoni kwa mudaa mrefu kinawapa muda mzuri wa mashambulizi bakteria

Photos from Chynazan's post 13/03/2021

ATHARI ZA USAFI DUNI WA MWILI.

Kua na usafi sahihi wa mwili ni muhimu katika maisha ya kila siku.
Miongoni mwa mambo ya kila siku ni kueka mwili katika hali ya usafi, mfano kuosha nywele, kutumia vitakasa harufu, na kusugua mwili wako kwa kutumia maji safi na sabuni n.k.

Ikiwa mambo haya yatapuuzwa, huleta matokeo ya kukuza matatizo ya kiafya katika jamii. Tutaenda kuaziangalia athari 4 za usafi duni :-

01. Mwili Kutoa harufu mbaya

02. Kinywa kua na harufu mbaya

03. Matatizo ya meno

04. Kupata chawa wa wa mwili na katika nywele
Chawa ni wadudu wanaokua katika nguo na vitanda, wadudu hawa hutafuna sehemu za kiuno, kwapani, na sehemu ya chini ya tumbo, hizi sehemu ni rahisi kwao kuenda katika ngozi kutoka katika nguo.
Ni lazima kuoga Mara kwa Mara na kuvaa nguo safi pamoja na kusafisha mashuka na kitanda chotee Mara kwa Mara ili kuepuka wadudu.

Usikose kusoma taarifa nyingine zinazohusu usafi Na lishe katika ukurasa huu wa Chynazan
Na kwa maoni ushauri au swali kuhusu usafi Na lishe usisite kuwasiliana nasi.
Ahsanteni.

30/01/2021

NAMNA SAHIHI YA UTENGEZAJI WA JUISI YA CARROT

Habari za wakati huu!

Siku iliyopita tulijua umuhimu wa kutumia juisi ya carrot na tukaona faida mbali mbali lakini ili kuweza kupata faida zile lazima kue na njia sahihi za utengezaji wa juisi hio bila kuharibu virutubisho vilovyomo. Makinika nasi kujua njia sahihi za utengezaji huo:-

1. Tafuta karoti kuanzia 3,4, mpaka tano ziwe za kiasi yaani zisiwe ndogo sanaa la zikiwa ndogo tutahitaji kuzidisha Mara 2 yake.

2. Zichukue na uoshe katika maji ya uvugu uvugu ili kuondoa vijidudu, tunafanya hivi kwasababu hatuzimenyi karoti ili kupata virutubisho vyotee.

3. Zikate vipande vya kiasi

4. Weka katika blenda au jagi la kusagia juisi pamoja na maji kiasi hakikisha juisi yako huipi maji mingi kwa ajili ya kutozimua sanaa na kufanya virutubisho kuendelea kubaki.

6. Saga ukitaka waweza weka tangawizi kwa ladha zaidi.

7. Baada ya hapo chuja uzuri.

8. Waweza weka chungwa lililokamuliwa na asali kijiko 1 cha kula.

Ni tamu na inafaida kiafya.
Ni nzuri kunywa kila siku asubuhi kabla ya chakula cha awali.

Kwa maoni maswali usisite kutufatilia kupitia anuani zifuatazo:-

TEL: +255773041809
Email: [email protected] www.facebook.com/Chynazan1/Address: fuoni mtundani, Zanzibar

Ahsanteni na weekend njema.

29/01/2021

FAIDA 3 ZA KUNYWA JUISI YA CARROT KILA SIKU

Habari wapendaa!

Katika siku ya leo tuangalie faida 3 za kunywa juisi ya carrot

Wengi hupendea carrot katika kueka sehemu mbali mbali lakini carrot ambayo haijapikwa inakua na virutubisho kamili katika chakula kikuu.
Pia juisi ya karoti inakua na virutubisho vya kutosha na inakua na umuhimu wa kutukinga na matatizo mengi ya kiafya.
Ili kuweza kujua kivipi soma faida za kunywa juisi ya carrot k**a ifuatavyo:-

1) kuondokana na tatizo la gesi tumboni:
Mkusanyiko wa gesi tumboni huweza leta maumivu makali na huu ni wakati mtu anahisi kuvimba (kutokana na gesi). Ile dawa ya asili iliyomo katika juisi ya karoti inapunguza kuhifadhiwa kwa gesi ndani ya tumbo pia katika utumbo hivo kukupa msaada mzuri.

2) Huboresha afya ya kinywa:
Juisi ya karoti inajulikana kua ya ajabu ya umuhimu wa afya ya kinywa, Juisi hii ya karoti inapelekea ufizi wako kua na afya na kua na ufanisi mkubwa kukifanya kinywa kua na ufanisi wa hali ya juu na kinywa kua na afya.
Juisi ya karoti inamadini ya kutosha ambayo inaongeza njia ya kuongezeka kwa mate, mate yana alkali ya asili ambayo inasaidia kupigana na uvamizi wa bakteria katika mdomo.

3)Huimarisha afya ya jicho:
Juisi ya karoti ina vitamin A ambayo husaidia kukulinda kuzorota kwa seli za macho.
Ni vizuri kutafuta karoti ambayo rangi yake imekooza kwasababu huongezeka kiwango cha virutubisho.

Tumia juisi ya karoti ona mabadiliko.

Kwa swali maoni usisite kuuliza kupitia ukurasa huu wa Facebook, pia waweza kuja kituoni fuoni mtundani.

Ahsanteni

Photos from Chynazan's post 21/11/2020

Maadhimisho ya Siku ya vyoo duniani. Mafunzo ya usafi Wa vyoo Skuli ya Sekondari Fuoni.
Wanachynazan wakishirikiana Kutoa elimu juu ya mada hii.
Yaliofanyika tarehe 19/11/2020

19/11/2020

Kupitia siku ya vyoo duniani November 19 ya mwaka huu wanachynazan tunaungana mkono na wenzetu duniani kote hivyo tunaikumbusha jamii kuwa na tabia ya kujenga vyooo kuvitumia na kuvisafisha ili kujikinga na maradhi mbali mbali.
"vyoo kwa afya bora"

18/11/2020

Watendaji Wa Chynazan katika kikao cha tathmini ya kazi kwa mwaka 2020

18/11/2020

Kikao cha pamoja, wageni kutoka Zapha* walipotembelea Chynazan kujadili mashirikiano.

Photos from Chynazan's post 18/11/2020

Wanachynazan wakishiriki katika Kutoa mafunzo ya unyonyeshaji Kituo cha Afya Magogoni,

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Zanzibar City?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address

Fuoni Mtundani
Zanzibar City

Opening Hours

Monday 08:30 - 15:30
Tuesday 08:30 - 15:30
Wednesday 08:30 - 15:30
Thursday 08:30 - 15:30
Friday 08:30 - 15:30