Mwanaume Rijal+99

Mwanaume Rijal+99

Share

Nawasaidia Wanaume Kwenye Afya Ya Uzazi Kwa Njia Sahihi Na Kupata Matokeo Mazuri.

16/10/2023

Mabadiliko ya Kisaikolojia na Kimwili: Anapaswa kuelewa kuwa balehe ni wakati wa mabadiliko makubwa katika mwili na akili yake. Kuna uwezekano wa kujitokeza kwa hisia za utambulisho, hisia za kimapenzi, na hisia nyingine za kujitambua.

Afya ya Kibinafsi: Kujifunza kuhusu jinsi ya kudumisha afya bora ni muhimu. Hii inaweza kujumuisha lishe bora, mazoezi, na kujitambua kuhusu afya ya kijinsia.

Elimu ya Kijinsia: Ni muhimu kuelewa jinsi mwili wa mwanaume unavyofanya kazi na masuala ya kijinsia k**a vile uzazi, kinga dhidi ya magonjwa ya zinaa, na jinsi ya kujilinda na mimba zisizotarajiwa.

Elimu ya Kijamii na Maadili: Kujifunza kuhusu maadili, heshima kwa wengine, na jinsi ya kujenga uhusiano mzuri na familia na marafiki ni sehemu muhimu ya kukua na kuwa mwanamume mwenye maadili.

Malengo na Ndoto: Kuweka malengo na ndot
Kwa ushauri zaidi ÷
Whatsapp no+255694765153/Piga simu.

08/10/2023
20/09/2023

Hivi unajuwa kwamba 70% ya mahusiano Tanzania huvunjika na kukosa amani kutokana na afya ya tendo kwa mwaname kuwa haipo Vizuri.

Je! hii ndio hali unayokutana nayo
kwenye mahusiano yako?
1. Kushindwa kurejea tendo baada bao mbili za mwazo...

2. Kukosa hamu ya tendo kabisa...

3.Mashine kulala ghafla wakati mechi inaendea...

4. Mbegu unazo angusha sio za kutosha na hazina nguvu ya kuogelea na kueza kutunga ujauzito...

Ina maana utakua unapoteza furaha
ya mahusiano yako...
Mahusiano ambayo yameanza kuwa na mizozano isio ya kutegemea kabisa na hofu inazidi kuengezeka pale ukiwaza mahusiano yako kuvunjika kutokana na kushindwa kuchezesha mechi bara bara.
Na Inakuwa ni rahisi sana mwenza wako kutoka nnje ili kukidhi mahitaji unayoshindwa kuyatimiza.

Hivyo kubakia kumlaumu bure kumbe chanzo ni wewe mwenyewe na ikiendelea hali hiyo itakuletea fedheha katika ndoa yako...

Hata ivyo, utaendelea kuzalisha matatizo mengine mengi ,kutokana na mawazo utakayo yapata

Yatakupelekea kuzalishwa cholestrol ya kutosha, inaweza kukupelekea hupata sukari na hata kupata strok kwa badae...

Kwa bahati nzuri, tumekuja na suluhisho la kudumu la kipekee ambalo litaondoa tatizo lako la Ukosefu wa nguvu za kiume ....

Inazingatia taaluma sahihi ya tendo, Mazoezi, lishe bora ya vyakula na virutubisho lishe,Vilivyo okoa ndoa zaidi ya 200 mwaka huu...

Kupata taluma na huduma hizi wasiliana nami kupitia Link ya whatsap 👇🏽👇🏽

http://wa.me/message/NGHDUMXXNXRFB1

Kwa Huduma Ya Haraka Nipigie Kupitia,
Whatsap Number;-(255) 0687903249.

05/09/2023

Siri Imefichuka!!

Je! Changamoto Yako Ya Nguvu Za Kiume Imekusumbua Sana? Na Umeshapoteza Hela Sana Bila Mafanikio !! Hadi Ndoa Yako Imepoteza Furaha Na Kuonekana Hufai? Hilo Sio Jambo La
Kufumbia Macho Na Kuliacha.

K**a
Hautochukua Hatua Muda Sio Mrefu Ndoa yako Inaweza Kuvunjika Na Athari Zitazidi Mara Mbili Zaidi, Kumbuka Mwanzo Ulikuwa Imara Kiasi Gani!! Ila k**a
Imeshafikia Hatua Hiyo Lazima Uchukue Hatua Za Haraka.

Ni K**a Bahati Kwako, Kwa Sasa Kuna Njia
Rahisi 5 Ya Kumaliza Kabisa Tatizo Hilo Inayoitwa “Njia Asilia Za Kuboresha Nguvu Za Kiume”

1.Mazoezi Ya Mfumo Wa Uzazi Wa Mwanaume
2. Vyakula Vya Kuimarisha Mfumo Uzazi wa Kiume.
3. Style/Mbinu za Kutumia Katika Tendo.
4. Namna Ya Kupumzika Kiafya
5. ...........

Ili kupata Huduma Hii Tuma Ujumbe Sasahivi Kwenda
+255694765153, Offer ni ya watu 5 tu Ndani Ya Masaa 24,
Itafanyika Mara 2 Tu Kwa Mwezi.

13/08/2023

UVUTAJI SIGARA........

Matumizi makubwa na yakupindukia ya uvutaji wa sigara si salama kwa afya kwani ni chanzo kikubwa ya matatizo mbali mbali ya kiafya.

Kumbuka hata wanaotengeneza sigara teari wamekuekea tahadhari kwamba
"(Uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya yako)"

Kwa ushauri zaidi wasiliana nasi Whats app (+255)0694765153/Piga simu.

13/08/2023

ULAJI MBOVU...........

Hii inachangiwa na life style ya sasa tulio nayo watu wengi kwani ni mienendo yetu ya maisha upande wa nyakula pamoja na vinywaji umekuwa mbovu sana kwa asilimia kubwa.
Vyakula tunavyo tumia vingi vimekuwa havina ubora (virutubisho) vinavyo hitajika mwilini ili kuweza kusaport mifumo mbali mbali ya mwili.

Vyakula vingi tunavyo tumia kwa sasa kwa asilimia kubwa vinakuwa na kemilali ambazo si salama kwa afya zetu na tumesahau kabisa ulaji wa vyakula asili mboga mboga za majani , matunda, tunapo tumia vyakula vya chemikali kwa kiasi kikubwa zinaathir afya pamoja na mifumo ya mwili ikiwemo na mfumo wa uzazi na huu ulaji mbofu unapelekea pia kujitengenezea magonjwa ambayo yasiyo ya kuambukizwa(life style disease)

Je ulaji wako uko sahihi?

Ushauri/Tiba wasiliana nasi
Whatsapp(+255) 0694 765 153 /Piga simu.

03/08/2023

Sababu nyengine za kupunguwa kwa nguvu za kiume.
Hapa chini kuna sababu nyengine za ED:

Unene kupita kiasi ,shindikizo la damu,na cholesterol nyingi.

Matatizo ya homoni k**a testosterone ya chini ikiwa ni pamoja na matatizo ya kisaikolojia matatizo ya wasiwasi na uyogovu.

Matatizo ya mfumo wa neva pamoja na uharibifu wa uti wa mgongo au ubongo.

Kuvuta sigara kunywa pombe kupita kiasi na kutumia dawa za kulevya.

Dawa nyingine k**a zile zinazo chukuliwa kwa shindikizo na damu na unyogovu.

Kuumia kwa nyonga au upasuaji kwenye tezi dume,utumbo au kibofu cha mkojo kunaweza kusababisha uharibifu wa mishipa iliyo unganishwa na uume.

Uharibifu huu wa neva pia unaweza kusababisha ED
Kwa ushauri wa bure usio kuwa na garama tuma neno" Mwanaume "kwenda
Whatsapp(+255 ) 0694 765 153 /piga simu .

31/07/2023

AFYA YA MWANAUME.

Mambo muhimu yakuzingatika katika afya ya mwanaume kwa ajili ya kulinda furaha yake,

1 .Kuwa na uwezo wa kusimamisha kwa uimara na kwa mda mrefu.

2.Uume wake uwe na nguvu madhubuti.

3.Awe na nguvu na kuweza kurudia mara moja zaidi .

4.Mishipa yake iwe na uwezo wakupitisha damu ya kutosha kwenye uume.

5.Asiwe mtu wakuchoka ovyo wakati wa tendo .

6.Aepukane na maumivu ya viungo.

7.Aepukane na athar za kupiga punyeto.

8.Awe na nguvu za kiume madhubuti ambazo hazija athirika na kujichua.

Ikiwa yote haya yanakosekana kwako au kuna moja unalikosa ambalo linakunyima furaha na heshima ya ndoa.
Wasiliana na sisi Whatsapp(+255) 0694 765 153 /piga simu.

31/07/2023

Najuwa kuwa hadi sasa ukifanya tafiti kwa vijana wa umri wa miaka 20 hadi 35 ndio wanao ongoza kusumbuka kwa matatizo haya ya nguvu za kiume.tofauti na matarajio yetu wote kuwa tatizo hili tunasema kuwa linawapata wazee.
Swali la kujiuliza kwanini sasa vijana tena katika umri mdogo?

Ndio maana nimeamua kukuandalia makala hii,Ambapo k**a ni miongoni mwa watu wanaosumbuka na hili tatizonina uhakika tatizo lako utapata suluhisho kutokana na elimu hii.
Pia inawezakana ukawa na mwenza wako na unamvumilia mengi kutokana na tatizo hili.

Usiache kufatilia page yangu kwa ajili ya kuzifunza mengi juu ya "Afya ya mwanaume"
Kwa ushauri zaidi wasiliana nasisi "Whatsapp (+255 )0694765153/piga simu .

30/07/2023

K**a changamoto ya nguvu za kiume au tezi tume kwako yamekuwa matatizo sugu na umejaribu kutumia dawa nyingi bila ya mafanikio basi nikutoe shaka!

Tiba ipo lakini je! upo tayari kuondokana na hilo tatizo?

Unafahamu vyanzo hasa vinavyo kupelekea kuwa na changamoto?

Basi k**a ndio upo teari na unahitaji kuondokana na iyo changamoto ,Tiba ipo na ushauri utakao kusaidiya wew kuondokana na changamoto iyo unayo ipitia.

Wasiliana nasi Whatsapp (+255 )0694765153/piga simu usaidiwe haraka.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Zanzibar City?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address

Michenzani Mall Floor Ya3 Room 302
Zanzibar City
7011