Dr Soud
Karibu katika Ukurasa wa Dr Soud
23/12/2025
22/11/2025
MADHARA YA P.I.D KWA WANAWAKE
PID NI NINI DALILI MADHATA NA TIBA YA UGONJWA HUO PID(Pelvic Inflammatory Disease) Ni maambukizi katika via vya uzazi) Maambukizi haya yanaweza kuletwa na vyanzo mbali mbali k**a vile
✍️ •Magonjwa : kisonono ,Kaswendwe' Uti au fangasi rudizi
✍️•Utoaji Mimba
✍️•Matumizi ya madawa kiholela
✍️• Vizuizi mimba
✍️•Kua na wapenzi wengi
✍️•Mtindo wa maisha(Ulaji mbovu na kutokuzingatia usafi) na nk
HIZI NI BAAADHI YA DALILI ZA PID NI UGONJWA HATARI SANA KWA WANAWAKE NA MADHARA YAKE NI MAKUBWA
1.Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa ni mweupe, njano, au maziwa
2.Kuwashwa sehemu za siri
3.Uke kutoa harufu mbaya
4.Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
5.Uke kuwa wa ulaini sana
6.Maumivu wakati wa tendo la ndoa 7.Kuvurugika Kwa hedhi
8.Kutokwa majimaji ukeni kupita kiasi 9.Maumivu wakati wa kukojoa na wakati wa choo kubwa
10.Homa, uchovu,kizunguzungu na kukosa hamu ya kula .
MADHARA YA PID
👉•Ugumba
👉•Kansa ya shingo ya kizazi
👉•Mirija ya uzazi kuziba
👉•Majeraha kwenye mirija ya uzazi
TIBA YA PID PID inatibika na kupona Kwa haraka Kwa ushauri au tiba ya tatizo hili waweza kuwasiliana nasi ni bure kabisa
☎️🇹🇿0716268847
15/11/2025
UVIMBE KWENYE MLANGO WA UKE / KUVIMBA MASHAVU YA UKE huwatokea zaidi wanawake walio katika umri wa kuzaa.
Uvimbe huu haswa husababishwa na mashambulizi ya muda mrefu ya bakteria au fangasi na mara nyingi hujitokeza baada ya kuugua U.T.I au Matatizo ya P.I.D kwa muda mrefu
Uvimbe unaweza kuwa mdogo au mkubwa kutegemea na sehemu ulipo na muda tangu ulipoanza na unaweza usiwe na maumivu japo hali ya maumivu unaweza kuipata wakati unafanya tendo la ndoa...
AINA ZA UVIMBE
Uvimbe wa mashavu ya uke huwa unatokea kwenye tezi iitwayo “Batholin gland”. Tezi hii huwa haionekani kwa macho na mojawapo ya kazi zake ni kutoa majimaji ya kulainisha uke wakati wa kufanya tendo la ndoa.
* Bartholine cyst:
Huu ni uvimbe mgumu, hutokea pembeni ya shavu la uke kwa ndani. Uvimbe huu mara nyingi huwa hauumi lakini huendelea kukua na kuleta shida wakati wa tendo la ndoa, na hutokea wenyewe.
Uvimbe huonekana kwa macho au mwanamke anauhisi anaponawa ukeni au wakati wa kujamiiana.
* Bartholine Abscess: Aina hii ya uvimbe huwa ni k**a ni jipu kwani ndani yake huwa kuna usaha.
Uvimbe huu huwa na maumivu makali na husababisha ujihisi homa, kushindwa kutembea vizuri na wakati mwingine uvimbe hupasuka na kutoa usaha nje
Baadhi ya dalili unazoweza kupata ukiwa na tatizo hili ni;
--Kuhisi kitu kigumu k**a gololi wakati mwanamke anapojisafisha
--Kizazi kushuka chini
--Maumivu wakati ama baada ya tendo la ndoa
--Kutokwa na uchafu ukeni mara kwa mara unao ambatana na muwasho na harufu mbaya ukeni
--Damu kutoka baada ya tendo la ndoa au kuhisi kitu kinasukumwa kwa ndani wakati wa tendo la ndoa.....
Hatua ya awali ni kumuona daktari wako kwa uchunguzi zaidi ili k**a ni P.I.D, Fangasi na Bakteria Utibiwe
Kwa tiba zetu za asili, ili uweze kuondoa huo uvimbe, CHUKUA MAFUTA ASILI YA HABAT SODA (Black Seed Oil), chonya mafuta kwa kidole kisha upake huo uvimbe kila asubuhi na usiku, kwa wiki mbili mpaka tatu uvimbe huwa unapungua taratibu hadi kuisha kabisa.
Kwa uharaka zaidi unaweza kuwa unatumia mafuta hayo kijiko kidogo kimoja, unachanganya kwenye chai au juisi na kunywa, mafuta haya ni mazuri katika kuondoa maotea / vivimbe kwenye via vya uzazi.
Tuishie hapa kwa leo, nachokusisitiza Endelea kujifunza na kufanyia kazi nayokufundisha, yatakusaidia.
K**a una magonjwa ya uzazi na unataka dawa ya kukusaidia kupona, tumia dawa inaitwa MIXED HERBS POWDER
Ni dawa lishe ambayo imeandaliwa kwa mchanganyiko wa dawa asili za uzazi ambayo
✓ Inakusaidia kusafisha via vya uzazi yaani inasafisha mirija ya uzazi na fuko la uzazi ili kuondoa majimaji au uchafu na fangasi
✓ Inaondoa makovu na vivimbe kwenye fuko la uzazi, mirija na kwenye vifuko vya mayai (fibroids, scars and ovarian cyst)
✓ Kwa kuwa imechanganywa na mrehani ndani yake, dawa hii inakusaidia pia kuondoa changamoto ya mvurugiko wa hedhi kwa wale ambao mnapata tatizo la kukosa hisia, kuwa wakavu ukeni, period kupishana, damu ya hedhi kuwa na utelezi, mayai kutokupevuka n.k....
DOZI HII YA UZAZI, NAKUPA KWA TSH 66,000 tu POPOTE ULIPO
...hakuna gharama ya usafirishaji (free delivery)
Ninapatikana Machinga Complex, KARUME (Dar) na mkoani natuma kwenye Bus
Unaweza kuweka oda yako muda wowote, namba yangu ya simu 0716268847
______________
Karibu Asili Yetu Afrika,
KWA UTATUZI WA CHANGAMOTO ZA UZAZI
14/11/2025
UGONJWA WA HOMA YA INI
Homa ya Ini ni ugonjwa unaoambukizwa kwa njia ya virusi ambavyo vikishaingia mwilini hushambulia ini kabla ya kugeuka maradhi sugu.Virusi hivyo vinaitwa HBV (Hepatitis B Virus).
Virusi hivyo husambazwa kwa njia ya damu au majimaji mengine ya mwilini, mfano mate au jasho. Watu takriban 1,000,000 wanapoteza maisha duniani kote kutokana na ugonjwa wa Homa ya Ini (Hepatitis B).
Ugonjwa huu k**a haujatibiwa hutengeneza uvimbe katika ini na kusababisha kansa ya ini na baadaye Kifo.
JINSI UNAVYOAMBUKIZWA:
Katika maeneo hatari zaidi duniani, Virusi vya Hepatitis B (HBV) kwa kawaida husambazwa kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto wakati wa kuzaliwa au kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine hususan nyakati za utotoni.
K**a ilivyo kwa Ukimwi, Virusi vya Homa ya Ini pia huambukizwa kwa njia ya kujamiiana, mate, jasho na mwingiliano wowote ule wa damu.
Njia kuu za maambukizi :
-Kujamiana bila kinga
-Kunyonyana ndimi 'denda'
-Mama mwenye ugonjwa kumwambukiza mtoto wakati wa kujifungua
-Kuchangia damu isiyo salama
-Kuchangia vitu vya ncha kali k**a sindano, wembe n.k
-Kuchangia miswaki
-kuchangia taulo na mwenye ugonjwa huo
-kubadilishana nguo au kukumbatiana wakati mkiwa mnavuja jasho.
Tafiti za kitaalamu zinaonesha kuwa virusi hivyo ni hatari kuliko hata vya Ukimwi kwa sababu vinaweza kuishi nje ya mwili wa binadamu (yaani nje ya mfumo wa damu) kwa siku saba.
Kutokana na usugu wa HBV, maana yake ni kwamba k**a kirusi kipo kwenye ngozi, kitaendelea kuwa hai kwa siku saba na katika kipindi hicho mtu anaweza kuambukizwa kwa njia ya damu au jasho.
Kwa wastani kirusi cha HBV kikishaingia mwilini, hupevuka ndani ya siku 75, hata hivyo upo uwezekano wa kupevuka kati ya siku 30 hadi 180. Ndani ya siku 30 mpaka 60, mtu mwenye HBV anaweza kugundulika ikiwa atapimwa.
Mtu mwenye Homa ya Ini ana wastani mdogo wa kuishi kuliko mwenye Ukimwi. Kwa maana hiyo, mwenye maambukizi ya Virusi vya Homa ya Ini hufariki dunia haraka kuliko mwenye VVU.
DALILI ZA UGONJWA HUU:
Watu wengi hawaonyeshi dalili yoyote. Kwa maana hiyo mtu anaweza kuishi na HBV na kusababisha maambukizi kwa wengine bila kugundulika.
Hata hivyo, watu wengine husumbuliwa na homa kali na dalili ambazo hudumu kwa wiki kadhaa. Dalili hizo ni:
-Uchovu
-Kichefuchefu
-Mwili kuwa dhaifu
-Homa kali
-Kupoteza hamu ya kula
-Kupungua uzito
-Maumivu makali ya tumbo upande wa ini
-Macho na ngozi kuwa vya njano
-Mkojo mweusi
Kwa wagonjwa wengine, Virusi vya Hepatitis B hukua hadi kusababisha ini kuharibika kabisa (cirrhosis of the liver) au saratani ya ini (liver cancer).
TIBA YAKE:
Homa ya ini inatibika vizuri sana K**a ini halijafikia hatua ya kuharibika. Ugonjwa huo ukishafikia kiwango cha ini kuharibika au kupata saratani ya ini, maana yake kunakuwa na ugumu wa kutibika.
KINGA:
-Chanjo
-Kutumia kinga wakati wa kujamiana
-Kuacha kuchangia vitu vya ncha kali k**a sindano, wembe n.k
-Kutochangia miswaki
-Kuwa na mpenzi mmoja mwaminifu
-Kutochangia damu isiyo salama
Kwa matibabu na dawa ya ugonjwa wa Ini
iliyotengenezwa kwa mimea asilia fika kituo chetu cha tiba Njia panda ya kagera Daressalaam. Au tupigie 0716268847
07/11/2025
🔺UGONJWA WA KASWENDE,CHANZO,DALILI NA MATIBABU YAKE
➖ Kaswende ni Ugonjwa ambao hutokana na maambukizi au matokeo ya kuambukizwa na wadudu wanaojulikana k**a spirochete gram-Negative, Treponema pallidum, subspecies pallidum. Hicho ndyo chanzo cha Mtu kupata Ugonjwa wa kaswende ambapo kitaalam hujulikana k**a Syphilis
(1) Kaswende ya mwanzo (PRIMARY SYPHILIS)
Dalili za kaswende kwa hatua ya maambukizo;
-Dalili zinaonekana siku 10-90 approximately siku ya 21 baada ya kufichuliwa kwa Ugonjwa huu wa Kaswende.
-Dalili kuu ni Uwepo wa vidonda ambavyo havina maumimivu yoyote sehemu za siri kwa kitaalam huitwa chancre ya 2 cm ambapo hutokea sana sana katika Stage ya Mwanzoni ya Ugonjwa wa Kaswende approximately siku ya 21 baada ya kuwepo kwa Treponema Pallidum(Gram negative Spirochaete Bacterium yielding Syphilis)
-Inakua kutoka macule hadi papule hadi kidonda zaidi ya siku 7
-Vidonda hivi havina maumivu na hutokea mara nyingi sehemu za siri (98% maeneo maalum, 31% nyeti)
-Huweza kutokea kwenye eneo la g***s, l***a, fourchette, au perineum
-Hutokea zaidi kwa wanaume ambao hufanya mapenzi na wanaume wenzao au wanawake wanaofanya mapenzi na wanawake wenzao
INAENDELEA.......!!!!!
KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU/TIBA MAWASILIANO NI +255716268847
06/11/2025
UGONJWA WA PRESSURE (SHINIKIZO LA DAMU ) NA TIBA YAKE
Nini maana ya shinikizo la damu?
Ni msukumo wa damu ulio juu kuliko inavyotakiwa kwa muda mrefu. Msukumo wa damu huhitajika mwilini ili kusambaza chakula, oksijeni na kutoa uchafu.
Shinikizo la damu hupimwa kwa kutumia kifaa kinachoitwa Sphygmomanometer
Shinikizo la damu husababishwa na nini?
Vitu vifuatavyo vinaweza kusababisha shinikizo la juu la damu:
- Uvutaji sigara
- Unene na uzito kupita kiasi
- Unywaji wa pombe
- Upungufu wa madini ya potassium
- Upungufu wa vitamin D
- Umri mkubwa
- Ongezeko la kemikali kwenye figo (renin)
- Kushindwa kufanyakazi kwa kichocheo kiitwacho insulin
*Uanishaji wa shinikizo la damu
- Presha ya kawaida
26/10/2025
eternalinternational.health Je, unajua kuwa unachokula kinaweza kuwa sumu kwamwili wako?
Hii si hadithi ya kutisha - ni ukweli unaofichwa kwenye sahani yako kila siku.
Matunda na mboga nyingi tunazonunua zimekuwa zikilimwa kwa kutumia viwangovikubwa vya dawa za kuua wadudu (pesticides), ambavyo hubakia kwenye vyakulahata baada ya kuoshwa. Hili linaweza kuonekana k**a jambo dogo, lakini linamadhara makubwa kwa afya ya binadamu kwa muda mrefu.
Madhara makubwa ya kemikali hizi ni pamoja na:
1.Kuingia kwenye damu na kusababisha saratani- Kemikali hizi zinaweza kuathiriseli za mwili na kuchochea ukuaji wa seli hatarishi, hivyo kuongeza hatari ya kupatasaratani.
2. Matatizo ya ini na figo - Viungo hivi ni muhimu kwa usafishaji wa sumu mwilini.Ukinywa au kula chakula chenye sumu kila mara, ini na figo hujengeka na matatizo,jambo linaloweza kusababisha kushindwa kufanya kazi kwa viungo hivi.
3. Sumu kwenye mifupa na mishipa - Kwa muda, kemikali hizi hujikusanya kwenyemifupa na mishipa, na kusababisha maumivu ya ku
25/10/2025
UJUE UGONJWA WA BAWASILI, MADHARA YAKE NA TIBA.
Bawasiri ni mojawapo ya matatizo ambayo mara nyingi inapotokea humfanya muathirika kuwa na aibu kuelezea au kwenda hospitali ili kupata tiba.Bawasiri husababishwa na kuvimba kwa mishipa ya damu aina ya vena katika eneo la mfereji wa haja kubwa.
■ KUNA AINA MBILI ZA BAWASIRI(HEMORRHOIDS)
1.Ya nje ya puru- Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa na mara nyingi huambatana na maumivu na muwasho katika sehemu hiyo.Mara nyingi mishipa hiyo ya damu(vena)hupasuka na damu huganda na kusababisha hali iitwayo THROMBOSED HEMORRHOIDS kitaalamu.
2.Ndani ya puru/tupu/duburi-Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa na haiambatani na maumivu hivyo kuwafanya wengi kutotambua kuwa wana tatizo hili.
Aina hii imegawanyika katika sehemu zifuatazo;
i.Bawasir kutotoka katika mahali pake(iliyosimama)
ii.Bawasir inayotoka wakati wa haja kubwa kurudi yenyewe baada ya kumaliza kujisaidia
iii.Bawasir inayotoka wakati wa haja kubwa na hairudi yenyewe baada ya kujisaidia mpaka mwathirika airudishe mwenyewe.
iv.Bawasir inayotoka wakati wa haja kubwa na ni vigumu mtu kuirudisha baada ya kumaliza kujisaidia.
■.NINI KINASABABISHA BAWASIR ?
Miongoni mwa visababishi vya bawasir ni;
-Tatizo sugu la kuharisha
-Kupata haja kubwa(kinyesi)kigumu
-Uzito kupita kiasi(OBERSITY)
-Ngono ya njia ya haja kubwa(ANAL S*X)
-Umri mkubwa na mambo yanayoongeza shinikizo katika tumbo.
■ .DALILI ZA BAWASIR
-Kinyesi kuchanganyika na damu wakati wa kujisaidia CHEMATOZECHEZIA
-Maumivu au usumbufu katika njia ya haja kubwa
-Kutokwa na kinyesi bila kujitambua(kuvuja kinyesi)
-Kijiuvimbe katika eneo la tundu(mlango)wa kutolea haja kubwa.
-Ngozi katika eneo la tundu la haja kubwa kuwasha.
-Bawasir kutoka wakati wa kujisaidia haja kubwa.
■ ATHARI ZA BAWASIR
-Upungufu wa damu mwilini(ANEMIA)
-STRAGULATED HEMORRHOID
-Kinyesi kutoka na kuvuja bila kujitambua na kusababisha kunuka kinyesi saa zote.
-Kukupunguzia morali ya kufanya kazi kutokana na maumivu hasa watu wanaokaa muda mrefu maofisini.
-Kuathirika kisaikolojia
-Kukosa hamu ya tendo la ndoa.
-Kupungukiwa nguvu za kiume
■ JINSI YA KUZUIA BAWASIRI
-Kula mboga za majani na matunda na nafaka zisizokobolewa kwa wingi
-Kunywa maji mengi lita sita hadi kumi na mbili kwa siku
-Punguza kukaa kwa muda mrefu chooni bila kutoa choo.
MAWASILIANO;
PIGA 0762101003Dr soud
Click here to claim your Sponsored Listing.
