Dr. sophie

Dr. sophie

Share

karibu katika ukurasa wa Dr.sophie kwa ajili ya kujifunza mengi kuhusu afya yako

04/10/2025

Wahi sasa so kazi ya kukosa krb eternal health clinic kujibebea fursa ya ajira kwa maendeleo ya maisha ya kila siku
Enternal health clinic ni dunia ya amani upendo na furaha
Kwa maelezo zaid piga sim number
0611508068

30/08/2025

Huduma Ya Vipimo Vya Mwili Mzima

Je,Unajiuliza Wapi,Utapata Huduma Ya Upimaji Wa Mwili Mzima kwa haraka Na gharama Rahisi Zaidi
Kumbuka Afya Yako Ndio Msingi Wa Mambo Yote....

Tumekuandalia OFA Maalumu Ya Upimaji Wa Mwili Mzima Kuelekea mwisho wa mwezi

utalipia TSH 30,000/= tu k**a nawe Utakuwa Miongoni Mwa Watu 20 Wa Mwanzo

Gharama Halisi za Vipimo ni 150,000/= Lakini k**a Utakuwa Miongoni Mwa Watu Hawa Ishirini Utalipia 30,000/= tu na utaokoa Zaidi Ya Tsh 120,000/= Nzima

Natumaini k**a ni Miongoni Mwa Watu wanaopenda Afya Zao Basi Huwezi Kukosa OFA hii

KIPIMO KINAONYESHA;

1.Tatizo husika
2.Chanzo Cha tatizo
3.Viashiria Vya tatizo lingine
Kipimo kinahusika zaidi na magonjwa sugu ambayo hayaambukizi

Tunafanya Vipimo vya Mwili mzima Katika Mifumo ifuatavyo;

1.Mfumo wa Ubongo
2.Mfumo wa Upumuaji
3.Mfumo wa Tumbo
4.Mfumo wa Ngozi
5.Mfumo wa Mifupa na Misuli
6.Mfumo wa Uzazi Kwa wanawake na wanaume
7.Mfumo wa Macho

Pia Tunatoa huduma ya MATIBABU Kwa Magonjwa sugu k**a Ifuatavyo
_Vidonda Vya Tumbo, Presha, Kisukari,
Moyo, Figo, INI, Cholesterol, Bawasili,
_Tezi dume, fangasi , Uzazi Kwa wanawake na wanaume, Figo, Macho, Allergy, Mifupa, Ngozi
Tunatibu Uvimbe Aina zote bila upasuaje, stroke (Kupooza),Miguu, Magoti, Ganzi,Uzito mkubwa na UneneUvimbe kwenye vyia vya Uzazi, Ukuaji mbovu Kwa watoto n.k

Ili OFA Hii Isikupite basi fanya hivi Piga Simu/Tuma Sms au WhatsApp inbox kwenda namba
0747268068

Tunapatikana Tanzania nzima yaani Tanzania bara na visiwani gusa link apo👇https://chat.whatsapp.com/FZuQBGd9Yk8D3apYfzWvvQ?mode=ems_copy_c

30/08/2025

⛑ *FAHAMU KUHUSU UGONJWA WA BRONCHITIS(KUVIMBA KWA NJIA ZA HEWA)*

👉Bronchitis ni hali ya kuvimba kwa njia za hewa (bronchi) zinazobeba hewa kwenda na kutoka kwenye mapafu. Ugonjwa huu unaweza kuwa wa muda mfupi (bronchitis ya papo hapo) au wa muda mrefu (bronchitis sugu).

*Visababishi vya Bronchitis:*

Bronchitis ya papo hapo:

Maambukizi ya virusi (k**a vile homa ya kawaida au mafua).

Maambukizi ya bakteria mara chache.

Vichochezi k**a moshi, vumbi, kemikali au uchafuzi wa hewa.

Bronchitis sugu:

Uvutaji sigara (sababu kuu).

Uchafuzi wa hewa au kazi katika mazingira yenye kemikali zenye madhara.

Magonjwa ya muda mrefu k**a pumu na maambukizi ya mara kwa mara ya njia ya hewa.

*Dalili za Bronchitis:*

Kikohozi chenye makohozi (mara nyingine yanaweza kuwa na rangi ya njano au kijani).

Kupumua kwa shida au kubanwa kifua.

Homa ya chini au baridi kali.

Uchovu au mwili kukosa nguvu.

Maumivu ya misuli na koo.

Bronchitis sugu inaweza kusababisha kikohozi kinachoendelea kwa muda mrefu.

*Madhara ya Bronchitis:*

Pneumonia: Bronchitis ya papo hapo isipotibiwa inaweza kusababisha maambukizi kwenye mapafu (nimonia).

Shida za muda mrefu za kupumua: Bronchitis sugu inaweza kusababisha magonjwa ya kudumu ya njia ya hewa k**a COPD (Chronic Obstructive Pulmonary Disease).

Kudhuru kinga ya mwili: Bronchitis ya mara kwa mara inaweza kudhoofisha kinga ya mwili, na kuathiri ubora wa maisha.

**Tiba na Kinga:*

Tiba ya papo hapo: Kupumzika, kunywa maji mengi, kutumia dawa za kikohozi au inhaler (kwa shida ya kupumua).

Tiba ya sugu: Kuacha kuvuta sigara, kuepuka vichochezi, kutumia dawa za kuzuia uchochezi au bronchodilators.

**King zinaendelea, ni muhimu kumwona mtaalam wa afya kwa uchunguzi zaidi na matibabu sahihi.

🫴🏽Kila pumzi unayovuta ni zawadi, nasi tuko hapa kuhakikisha unazifurahia bila kikwazo.

Mawasiliano zaidi:WhatsApp-0747268068

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Zanzibar City?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address

Kiembe Samaki
Zanzibar City


Impact-Site-Verification: 5f7e650c-011a-4d7e-b989-d3fe8f74c47e