AFYA YA UZAZI

AFYA YA UZAZI

Share

HEALTH AND WEALTH

06/12/2022

Hii nimeweka special kwa wanawake wanaochanganya UTI na Fungus/PID/bacterial vaginosis(kutokwa uchafu unaonuka)....

unakuta mtu anakwambia Dr natoka Sana uchafu unajaa kwenye Chupi..

nimeaambiwa Ni UTI,nimetumia sana madawa haiponi,unabaki HUELEWI🥲🥲🥲

📌Mwanamke ana Vishimo viwili,cha juu ni NJIA ya mkojo,hapa mkojo Tu Hupita,na shimo la Chini ni VAGINA,UKE wenyewe hapa uume

hupita,mtoto hupita wakati wa kuzaliwa lakin pia mwanamke akiwa period,damu Hupita Hapo..

UTI inahusiana na Njia ya JUU tu,yaan njia ya mkojo,na dalili

👉zake ni kuumia wakati wa kukojoa,kukojoa mara kwa mara mkojo kidogo,kutoa mkojo wenye harufu kali sana n.k

🌹kutoka Uchafu unaonuka sana,

🌹kuwashwa Ukeni kwa ndani,maumivu wakati wa sex,chanzo ni NJIA hiyo ya chini,Vagina...

inaweza kuwa Vaginal candidiasis yaan👇

Fungus,PID,au hata vaginosis,ila SIO UTI📌..

Wasiliana nami Kwa ushauri na tiba;
☎️0622201672.
☎️0767721672.

06/12/2022

FAIDA ZA FEMALE USE PACKAGE KATIKA SEHEMU ZA SIRI ZA MWANAMKE/MFUMO WA UZAZI:
-Hutibu tatizo la uke kuwa mkavu.
- Hutibu U.T.I sugu
- Hutibu tatizo la fungus ukeni
-Huzibua mirija ya uzazi iliyoziba
-Huondoa tatizo la uke kujaa maji mengi wakati wa sex/tendo la ndoa.
- Huondoa hali ya uke kupwerepeta
- Huondoa tatizo la mwanamke kukosa hisia ya mapenzi
- Huufanya uke kubana/kuwa mnato
- Huondoa harufu mbaya ukeni
- Hutibu tatizo la kutokwa uchafu wenye harufu mbaya ukeni
- Huondoa maumivu kipindi cha hedhi
- Hurudisha furaha na kuleta heshima ya ndoa kwa mwanamke.
- Huufanya uke kuwa mdogo na misuli kubana na huondoatatizo la misuli kulegea
na uke kuwa mpana/mkubwa sana. nk.
- Huua bacteria wanaosababisha magonjwa ukeni/uzazi
- Hutibu tatizo la ugumba
- Hutibu P.I.D ukitumia na YUNZHI.
FEMALE USE PACKAGE HUTUMIWA ENDAPO HAUUMWI K**A KINGA,USAFI SEHEMU ZA SIRI,KUONGEZA HALI YA KUJIAMMINI ZAIDI MWANAMKE.
INASHAURIWA MWANAMKE ATUMIE FEMALE USE PACKAGE MARA KWA MARA ILI KUONDOA MAAMBUKIZI UKENI.

Wasiliana nami ili uweze kuipata Female Use Package!
☎️0622201672.
☎️0767721672.

Gusa link kuja Whatsapp 👇
https://wa.me/message/M7AD4WEE3KQVL1

16/04/2022

Njia Rahisi Ya Kutokomeza Maumivu Ya Mifupa Na Maungio bila upasuaji.

Hakuna kitu kinakera kwa waliowengi k**a kupatwa na maumivu ya mifupa na maungio…
Tatizo hili limewafanya watu wengi kushindwa kukaa na kutembea umbali mrefu.
Mbaya Zaidi limewaondolea watu ule uwezo wa kushiriki kwenye michezo na shughuli zingine za kujenga uchumi.
Cha kusikitisha zaidi endapo tatizo hili usipolitibu mapema linaweza kukuondolea uwezo wa kutembea milele.
Kubwa Zaidi Wengi wamekuwa wakihangaika kupata Suluhu ya kudumu bila mafanikio.
Wengine wamekuwa wakipata tiba za kutuliza maumivu na baada ya muda mfupi tatizo linarudi tena.
K**a na wewe umekuwa ukihangaika kupata suluhu la hili tatizo
Basi Nina habari Nzuri kwako.
Nimekuandalia Makala Maalum BURE, itakayokuelekeza hatua kwa hatua …
Namna sahihi ya kuondoa tatizo hilo bila kufanyiwa upasuaji
Kupata makala yako BURE save namba yangu 0622201672 (Dr.Ibrahim) kisha ntumie ujumbe (Makala) Kwenda whatsApp kisha nitakutumia makala yako BURE.
N.B: Ujumbe hautokuwepo Online Muda wote Chukua hatua kabla ujumbe huu haujapotea.

13/04/2022

Njia Rahisi Ya Kuondoa changamoto ya kuwahi kufika kileleni na kushindwa kurudia tendo ndani ya siku 7 tu!

Hakuna kitu kinakera kwa mwanaume k**a kuwahi kufika kileleni na kushindwa kurudia tendo

Tatizo hili limewafanya wanaume wengi kushindwa kufurahia maisha

Mbaya Zaidi limewaondolea amani na ujasili kwenye mahusiano yao

Cha kusikitisha zaidi endapo tatizo hili usipolitibu mapema linaweza kukuondolea uwezo wa kushiriki tendo la ndoa milele.

Habari mbaya zaidi Wengi wamekuwa wakihangaika kupata Suluhu ya kudumu bila mafanikio.

K**a na wewe umekuwa ukihangaika kupata suluhu la hili tatizo

Basi Nina habari Nzuri kwako.

Nimekuandalia Makala Maalum BURE, itakayokuelekeza hatua kwa hatua …

Namna sahihi ya kuondoa tatizo hilo bila kutumia madawa yenye madhara

Kupata makala yako BURE save namba yangu 0622201672 (Dr Ibrahim) kisha ntumie ujumbe (Makala) Kwenda whatsApp kisha nitakutumia makala yako BURE.

N.B: Ujumbe hautokuwepo Online Muda wote Chukua hatua kabla ujumbe huu haujapotea.

11/04/2022

*Usiulize Ni dawa gani nitumie ili nishike Ujauzito maana hakuna dawa inayosababisha Ujauzito*

👉Bali tuna program ya Magonjwa sugu ambayo yanazuia usishike Ujauzito

*Mfano*👇👇

❄️ Kuziba Kwa mirija ya kupitisha mayai.
❄️ Ovari kushidwa kutoa mayai ya uzazi au kutoa mayai yasiyokuwa na nguvu.
❄️ Ugonjwa wa PID(Pelvic Inflammatory Disease) na hormone Imbalance (mvurugiko wa homoni).
❄️ Mirija ya mayai kujaa maji.
❄️ Utoaji mimba usio Salama.
❄️ Upasuaji maeneo ya kiuno.
❄️ Ugonjwa wa Endometriosis.
❄️ Sababu ya Ovari kutoa mayai yasiyokuwa na nguvu

*Wahi kutibu Tatizo Lako kabla halijawa sugu ili lisikusumbue zaidi.*

Wasiliana nami tafadhali Kwa msaada zaidi 0622201672/0767721672.

11/04/2022

*JE UMEKUA UKIFANYA KOSA MOJA KATI YA HAYA MATANO(5)?*

1. Unahisi miwasho ukeni lakini unapuuzia.

2. Ukivua chupi jioni unakuta imechafuka lakini unaona kawaida.

3. Uchafu unatoka K**a maziwa , na mda mwngn unarangi zingine lakini bado unachukulia poa.

4. U.T.I inakurudia mara kwa mara ila unaona sawa tu.

5. Ukijamiana unapata maumivu unatoka damu, hauna hisia na wala huchukui hatua yoyote.

*USIENDELEE KUFANYA MAKOSA HAYO!!*

Tafiti zinaonyesha kati ya wanawake 10 waliofanya kosa moja wapo kati ya hayo, 8 wamekumbwa na madhara yafuatayo;

1. Kupata kansa ya kizazi hapo baadae.

2. Kushindwa kushika ujauzito na kupata ugumba au kutoka kwa mimba mara kwa mara.

3. Kushindwa kufurahia tendo la ndoa na kuvuruga mahusiano.

4. Msongo wa mawazo ambao hupelekea kuvuruga homoni na kusababisha kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi kunakoambatana na maumivu makali.

5. Tatizo la harufu mbaya na ukavu uliopitiliza ukeni.

*USIENDELEE KUPUUZIA*

Habari njema nikwamba wataalamu wa afya kutoka nchini Marekani wamevumbua siri ya kumfanya mwanamke kurudi kwenye asili yake na kuishi maisha yenye furaha milele bila ya kusumbuliwa na fangasi, uchafu, miwasho au harufu mbaya.

Kwa kutumia mchanganyiko wa madini chumvi maalum, virutubisho vya vitamin B, C, D na E pamoja na mchanganyiko wa mafuta maalum yanayotokana na mimea vitakufanya kurudisha uke wako kwenye asili yake.

Tiba ya mchanganyiko huo itaenda kukuondolea matatizo yote yanayokabili uke K**a uchafu, kulegea kwa misuli ya uke, miwasho, ukavu na U.T.I sugu.

Kitu kizuri zaidi mchanganyiko wa tiba hii Husaidia kutoa ulinzi kwa uke usishambuliwe na magonjwa hapo baadae.

Kumbuka thamani ya afya yako ni kubwa kuliko kitu chochote hapa duniani.

*USHAURI NI BURE KABISA*
Call/WhatsApp no:0622201672/0767721672.

09/04/2022

*HAUPONI TATIZO LA NGUVU ZA KIUME KWA SABABU UNAFANYA HAYA MAKOSA KILA SIKU...*
Ninaposikia mtu anasema siamini dawa za mitandaoni au hawa ni waongo huwa sishangai kabisa maana naelewa wazi kwa asilimia 70% huyu mtu anafanya haya makosa ndio maana hapati matokeo. Inawezekana na wewe unaesoma ujumbe huu haya makosa unayafanya au ushayafanya au bado unaendelea kuyafanya..
Je Ni Makosa Gani Hayo Yanayofanywa? Soma Kwa Makini👇🏻
Kosa1.. Unakurupuka kutumia dawa za kuongeza nguvu za kiume bila kujiuliza k**a hiyo dawa inahusiana vipi na tatizo ulilonalo.. haiwezekani dawa moja ikatibu kila mtu..
Kosa 2.. Hutatui chanzo au vyanzo vya tatizo lako... na inawezekana mpaka sasa ukawa bado hujui chanzo cha tatizo lako ni nini? Tatizo la nguvu za kiume haliji kwa bahati mbaya lina chanzo na lazima kuondoe chanzo cha tatizo kwanza.. kutokuwa na uwelewa juu ya tatizo lako ndio maana kila siku unatumia dawa na hupati matokeo yeyote.
Kosa 3. Ulaji wako bado mbovu, unakula vyakula vile vile kila siku. Unakula kushiba sio kuujenga mwili. Hupati matokeo sababu unaulisha mwili vyakula ambavyo sio sahihi. Kwenye kuimarisha nguvu zako za kiume chakula ni 70% sasa wewe unapuuzia hili hizo nguvu zitatokea wapi.?
Kosa 4. Unapuuza mazoezi. Huna ratiba ya mazoezi alafu unataka uwe imara kitandani. Umeona wapi Ronaldo kuwa Mfungaji Bora wa bao Bila ya kufanya mazoezi? Unataka uwende nusu saa mazoezi hufanyi iyo pumzi utaitolea wapi..
Je Umejua ulipokuwa unakosea.?..
CALL/WHATSAPP:0622201672/0767721672.

03/04/2022

Changamoto ya kutokupata mtoto inatatulika!!!

USIKATE TAMAA.

02/04/2022

Njia Rahisi Ya Kutokomeza Maumivu Ya Mifupa Na Maungio bila upasuaji

Hakuna kitu kinakera kwa waliowengi k**a kupatwa na maumivu ya mifupa na maungio…

Tatizo hili limewafanya watu wengi kushindwa kukaa na kutembea umbali mrefu.

Mbaya Zaidi limewaondolea watu ule uwezo wa kushiriki kwenye michezo na shughuli zingine za kujenga uchumi.

Cha kusikitisha zaidi endapo tatizo hili usipolitibu mapema linaweza kukuondolea uwezo wa kutembea milele.

Kubwa Zaidi Wengi wamekuwa wakihangaika kupata Suluhu ya kudumu bila mafanikio.

Wengine wamekuwa wakipata tiba za kutuliza maumivu na baada ya muda mfupi tatizo linarudi tena.

K**a na wewe umekuwa ukihangaika kupata suluhu la hili tatizo

Basi Nina habari Nzuri kwako.

Nimekuandalia Makala Maalum BURE, itakayokuelekeza hatua kwa hatua …

Namna sahihi ya kuondoa tatizo hilo bila kufanyiwa upasuaji

Kupata makala yako BURE save namba yangu 0622201672 (Dr.Ibrahim) kisha ntumie ujumbe (Makala) Kwenda whatsApp kisha nitakutumia makala yako BURE.

N.B: Ujumbe hautokuwepo Online Muda wote Chukua hatua kabla ujumbe huu haujapotea.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Mwenge
Dar Es Salaam