Health is Weath
AFYA YA NGOZI, TEZ DUME, NA MENGINE MENGI, KWA USHAURI NA MATIBABU UNAWEZA KUWASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0672961274WHATSAPP
HEALTH IS WEALTH NI PAGE AMBAYO INAHUSIANA NA AFYA, TUTAKUWA TUNAJIFUNZA MAGONJWA MBALI MBALI K**A VILE KISUKARI, VIDONDA VYA TUMBO, BAWASIRI, UTI SUGU, FANGASI SUGU , UVIMBE KWENYE KIZAZI(FIBROID) .
03/04/2022
TIBA-MAUMIVU YA MIFUPA NA JOINTS
Kwa huduma zaidi piga/njoo whatsup
0683753064/0672961274
DALILI ZA TATIZO
●Kupata Maumivu Ya mgongo,Kiuno,Mabega,Magoti Au Shingoni
●Magoti Kupiga Kelele Ukinyoosha mguu Au Kutembea
●Kushindwa Kutembea Kawaida Mpaka Upate Sapoti
●Joints Kuvimba Na Kuuma,Miguu Kufa ganzi
●Kushindwa Kutembea Au Kufanya shughuli Zako Za Kila Siku
SABABU ZA TATIZO
■Kukosa ute ute(synovial fluid)kwenye joints kutokana kuwa na Uric Acid nyingi
■Kuwa Na Uzani mkubwa kupelekea tishu K**a Sponji zinazoitwa gegedu(cartilage kuzidiwa hivyo kupelekea mifupa kusagika
■Upungufu wa madini muhimu Calcium Ambayo hupelekea mifupa Kuwa na Uzani Mdogo
■Kukoma Kwa Hedhi Kwa Akina Mama
■Kufanya Mazoezi Ya Viungo Bila Kuzingatia Lishe Nzuri
■Umri Mkubwa,Kupata Majeraha,Kurithi
TIBA ZETU
Tunatibu kwa Dawa za tibalishe Asilia Zilizofanyiwa utafiti Na Kuthibitishwa Kutatua Shida za Mifupa👇
●Zina Madini Ya Calcium ambayo ni muhimu kuongeza uhai wa mifupa na kufanya repair ya majeraha
●Zina Glucosamine na chrondroitin ambazo huongeza na kusaidia uzalishwaji wa ute ute (synovial fluid) na kuzalisha seli mpya za gegedu(cartilage) ili kuzuia mifupa osisagane
●Zina virutubusho vingine Muhimu K**a Vile Zinc,magnesium,sodium na Amino Acids ambayo huimarisha mifupa na joints kwa kiwango kikubwa Sana
26/09/2021
**UNAWEZAJE KUTIBU UTI* **SUGU,FANGASI SUGU NA UCHAFU* **SEHEMU ZA SIRI KWA WAKATI MMOJA?*
Tumia FEMICARE
Sio Dawa Ya Farmacy,Ninayo Mimi-
0672961274 CALL/SMS/WHATSAPP
Ni tiba maalum kwa kutibu maambukizi katika via vya uzazi kwa mwanamke;
➡️U.T.I. sugu,Kila ukitumia dawa za hospitalini,zinajirudi
➡️Kutokwa uchafu wenye harufu kali ukeni,uchafu huu waweza kuwa wa njano,mweupe au maziwa.
➡️Kuwashwa sehem za siri.
➡️Uke kutoa harufu mbaya
➡️Maumivu Makali ya tumbo chini ya kitovu
➡️uke kuwa na ulaini sana
➡️Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa
➡️kuvurugika kwa hedhi
➡️kutokwa maji maji ukeni kupita kiasi
➡️Maumivu wakati wa kukojoa na haja kubwa.
➡️Homa,uchovu,usingizi saa zote na kukosa ham ya mapenzi
FEMICARE NI MKOMBOZI WA MWANAMKE
0672961274
➡️Huzibua mirija ya uzazi iliyoziba
➡️utibu majeraha kwenye mirija ya uzazi
➡️Hukinga via vya uzazi dhidi ya maambukizi ya UTI,fungus na bakteria wabaya
➡️Husafisha sehmu ya uzazi kwa wanawake na kuweka katika Hali ya usafi na salama(natural cleansing)
*FANYA MAWASILIANO KUPITIA NAMBA 0672961274 KUPATA FEMICARE MKOMBOZ WA MWANAMKE*
26/07/2021
*JE UNATAKA KUPONA BAWASIRI BILA UPASUAJI?* 0672961274
*UJUE UGONJWA WA BAWASILI, MADHARA YAKE*
Bawasiri ni mojawapo ya matatizo ambayo mara nyingi inapotokea humfanya muathirika kuwa na aibu kuelezea au kwenda hospitali ili kupata tiba.Bawasiri husababishwa na kuvimba kwa mishipa ya damu aina ya vena katika eneo la mfereji wa haja kubwa.
A.NINI KINASABABISHA BAWASIR ?
Miongoni mwa visababishi vya bawasir ni;
-Tatizo sugu la kuharisha
-Kupata haja kubwa(kinyesi)kigumu
-Uzito kupita kiasi(OBERSITY)
-Ngono ya njia ya haja kubwa(ANAL S*X)
-Umri mkubwa na mambo yanayoongeza shinikizo katika tumbo.
B.DALILI ZA BAWASIR
-Kinyesi kuchanganyika na damu wakati wa kujisaidia
-Maumivu au usumbufu katika njia ya haja kubwa
-Kutokwa na kinyesi bila kujitambua(kuvuja kinyesi)
-Kijiuvimbe katika eneo la tundu(mlango)wa kutolea haja kubwa.
-Ngozi katika eneo la tundu la haja kubwa kuwasha.
-Bawasir kutoka wakati wa kujisaidia haja kubwa.
C.ATHARI ZA BAWASIR
-Upungufu wa damu mwilini(ANEMIA)
-STRAGULATED HEMORRHOID
-Kinyesi kutoka na kuvuja bila kujitambua na kusababisha kunuka kinyesi saa zote.
-Kukupunguzia morali ya kufanya kazi kutokana na maumivu hasa watu wanaokaa muda mrefu maofisini.
-Kuathirika kisaikolojia
-Kukosa hamu ya tendo la ndoa.
-Kupungukiwa nguvu za kiume. kwa msaada zaidi wasiliana nasi 0683753064 call/sms
*WhatsApp 0672961274
23/07/2021
*JE UNATAKA KUPONA U.T.I SUGU KWA MDA WA SIKU SABA NA USIJIRUDIE TENA?*
Piga namba hii kupata suluhisho
0672961274
*LIFAHAMU TATIZO LA U.T.I DALILI ZAKE NA JINSI YA U.T.I SUGU*
U.T.I. (yaani Urinary Tract Infection kwa kirefu) ni ugonjwa unaotokana na
wa maambukizi (infection) katika mfumo wa mkojo (urinary tract). Maambukizi haya yanasababishwa na
viumbe k**a bakteria, fangasi na virus. bacteria.
Mara nyingi bakteria wanaoingia kwenye mfumo wa mkojo hutolewa na
mwili wenyewe. Lakini wakati mwingine bakteria wanaweza kuzidi kinga ya mwili na kusababisha maambukizi hayo.
U.T.I. inaweza kuathiri vitu vifuatavyo: ureta, urethra, kibofu cha
mkojo na hata figo.
TUANGALIE KIDOGO MFUMO WA MKOJO:
Mfumo wa mkojo ni mfumo wa mwili
unaotumika kuondoa uchafu na maJi ya ziada kupitia njia ya mkojo. Mfumo huu unaundwa na vitu vifuatavyo: figo, ureta, kibofu na urethra.
(Kwa sasa sitachambaua kwa undani hizi sehemu ili kutorefusha sana mada. Ila ukitazama picha hapo chini utaona jinsi hivi vitu vilivyo na namna vilivyo connected.)
KISABABISHI CHA U.T.I.
Mara U.T.I. inasababishwa na
bakteria aitwaye Escherichia coli (E. coli). Yaani 65% ya maambukizi yote ya U.T.I. hutokana na huyu bakteria. U.T.I. nyingine zinaweza kusababishwa na Chlamydia na Mycoplasma na U.T.I. hizi zinaathiri hadi mfumo wa uzazi na hapo wanandoa hupaswa kupata tiba kwa pamoja.
KWANINI WANAWAKE NDO WAHANGA
WAKUBWA?
Wanawake ni wahanga wakubwa sana wa ugonjwa huu kulingana na maumbile yao ya nje.
1.Urethra (mrija wa mkojo kutoka kwenye kibofu) kwa wanawake ni mfupi sana ukilinganisha na kwa wanaume. Hivyo ni rahisi kwa urethra ya mwanamke kuruhusu bakteria kufika kwa haraka hata kwenye kibofu.
2. Pia mrija huo unafungukia sehemu
ambazo zinaweza kuwa ni vyanzo bakteria ambayo ni sehemu ya uke na pili ni re**um.
Kwa wanaume ni vigumu sana kupata U.T.I. ila wakipata tatizo linaweza kuwa zito kutibu tofauti na kwa wanawake.
WATU WALIO KATIKA HATARI YA KUPATA U.T.I.
# Watu wasiojua au wasiozingatia namna sahihi na bora ya kujisafisha mfano kwa kutumia toilet paper. Unapaswa kujisafisha kutoka mbele kurudi nyuma na siyo kutoka nyuma kwenda mbele. Hasa wanawake.
# Mtu yeyote mwenye tatizo katika
mfumo wa mkojo
# Tendo la ndoa linaweza likahamisha
bakteria kutoka kwenye uke kwenda
kwenye urethra. Lakini pia tendo la ndoa kinyume na maumbile linaweza kuhamisha bakteria kirahisi zaidi na kuwafikisha kwenye urethra.
# Baadhi ya njia za uzazi wa mpango k**a kutumia diaphragm, spermicides, kondomu za k**e, nk.
KURUDIARUDIA KWA U.T.I. (yaani U.T.I. SUGU)
Mara nyingi wanawake wakipata U.T.I.
inaweza ikawa inajirudia mara kwa mara kulingana na sababu zifuatazo:
1. Uwezo wa bakteria kujishika kwenye
njia ya mkojo hivyo kutotibika na kurudia tena. Ni muhimu ukajifunza kwa nini hili linaweza kuwa ndo sababu kwako
2. Sababu nyingine ni wanawake kuwa non sector yani kuwa na damu grupu A, B na AB ambao hawawezi kuzalisha kinga nzuri dhidi ya hao bakteria. Au mfumo mzima wa kinga ya mhusika kuwa uko chini mno. Hili ni somo pana ila ukilielewa itakusaidia sana.
3. Lakini pia kushindwa kuzingatia usafi kamili na hivyo kujiambukiza U.T.I. wenyewe kila wakati. Wengi wanadhani wanajua kuzingatia usafi kumbe hawajajua vizuri na hawataki kujifunza. Matokeo yake U.T.I. inazidi kuwatesa kila wakati. U.T.I inaua usiifanyie mchezo U.T.I. siyo kitu cha kuchezea.
DALILI ZA U.T.I.
1. Kukojoa mara kwa mara na maumivu
wakati wa kukojoa. Wengi wanajisikia hivyo lakini wanapotezea tu.
2. Kuhisi kuunguzwa na mkojo kwenye
kibofu au mrija wa mkojo. Wengi Hapa ndo wanaanza kujiuliza kuna nini.
3. Maumivu ya misuli na tumbo. Wengi hapa ndo wanakodi bajaji kwenda hospitali.
4. Mkojo kuwa na harufu mbaya na pia
kubadilika kuwa au rangi ya nk. Wengi hii hawajali. Ndo maana vyoo vya umma vina harufu mbaya mbaya.
5. Kwa mtu aliyeathiriwa figo anaweza
kuwa na maumivu mgongoni au kwenye mbavu (hasa upande mmoja) pia kichefuchefu na kutapika. Wengi hapa wanajua malaria, au typhoid, nk.
6. Kushikwa na hamu ya kukojoa ila mkojo unatoka kidogo. Wengi hii pia huwapa hofu kidogo.
(Ukiona dalili hizo wahi hospitali kwanza au kituo cha afya ukapime. Ukichelewa inaweza kuwa too late)
JINSI YA KUZUIA U.T.I. SUGU
1.Kunywa maji mengi kunasaidia kusafisha bakteria kwenye mfumo
2. Mtu anatakiwa akojoe mara kwa mara kila anapojiskia kukojoa. Kubana mkojo ni chanzo kimojawapo cha kujiambukiza U.T.I. Mkojo ukikaa sana kwenye kibofu unaweza kuzalisha bakteria.
3. Na baada ya kukojoa wanawake
wanatakiwa kujisafisha kuanzia mbele
kurudi nyuma ili kulinda urethra
4. Vaa nguo za ndani za na ambazo hazibani sana kuruhusu hewa kupita vizuri. Epuka jinsi (jeans) zinazobana sana ambazo zinaweza kukusanya na kuleta tatizo.
5. Kwa wanawake tumia pedi zilizotengenezwa kwa pamba
na pedi zenye uwezo wa kuzuia kupata U.T.I. na pia zinaruhusu hewa kupita
vizuri.
Kwa msaada zaidi kuhusu tatizo hili la U.T.I. na matatizo mengineyo au k**a umetumia dawa nyingi lakini hazikusaidii wasiliana nasi kwa: 0672961274
kupata suluhisho la kudumu
20/07/2021
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam
54116
