AFYA kwanza

AFYA kwanza

Share

tuna usika ka ushaurii na tiba zid na matatizo mbalimbali yanayo ikumbu jamii ikujumla

02/09/2021

*RUDISHA UJANA WAKO NA NMN*

BF SUMA NMN 4500MG CAPSULES NI NINI?.

Hii ni bidhaa mahsusi kabisa kwa ajili ya kuondoa *uzee na kuhuisha cells katika mwili na kufanya mwili wako uweze kurudi* katika upya. (Recharge aging cells for vigorous life). Watu wengi hujiuliza sana Kwanini Wenzetu waishio nchi zilizoendelea huishi miaka mingi kuliko sisi tuishio kusini mwa jangwa la Sahara (developing countries/nchi zinazoendelea?). Ukweli ni kwamba tatizo kubwa ni hali ya mfumo wa maisha ikiwa ni pamoja na vyakula tunavyokula ambavyo vina sumu nyingi kuharibu na kuzifanya cell zishindwe kufanya kazi vizuri.

*FAIDA ZA NMN 4500 MG CAPSULES.*

⏺Kuongoze nguvu mwilini, ukumbukwe kuwa wazee huwa wanaishiwa nguvu mwilini.

⏺Inaongeza protein aina ya sirtuin ambayo inafanya kazi ya kuhuisha cells na kukufanya uishi miaka mingi bila kuchoka yaani *sura kuzeeka* ngozi kukak**aa, *kuondoa mikunyanzi.*

⏺Inasaidia katika metabolism kubost nishati katika mwili. (NMN help to break down food like sugar into energy).

⏺Inakinga na kutibu kisukari, afya *ya ubongo na moyo* pia inafanya mishipa na misuli ya damu kusafirisha damu vizuri.

*Kwanini utumie BF SUMA NMN 4500MG capsules*.

⏺Inaundwa na content ya hali ya juu. Katika vidonge 30. Kila kimoja kinabeba 150 mg NMN.

⏺ Ni salama hakuna kemikali asilimia mia moja bidhaa hii imeidhinishwa na GRAS na FDA.

Kwa ufanisi wa hali ya juu wa afya hasa ya kuhuisha cell zako kurudi upya k**a kijana tumia NMN kwa dose tumia kopo mbili uone *ufanisi wake tumeshuhudia Watu waliotumia bidhaa hii wamerudi kwenye ujana katika kila kitu kinachohusu m
+255764981041
+255764981041

13/08/2021

Ninahisi miguu ni k**a imekanyaga kaa la moto au miguu imekufa ganzi, Je umeshawahi kupatwa na hali hii au unamjua mtu anaelia na tatizo hili na amezunguka sehemu nyingi bila kupata suluhisho?

TATIZO LA MIGUU/MIKONO KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI
Tatizo la kuhisi miguu imekanyaga makaa ya moto limekuwa ni tatizo kwa watu wengi kwa sasa kutokana na mfumo wa maisha na vyakula,tafadhari ukipata tatizo hili usilipuuzie.

Katika mwili wa binadamu, kuna tatizo la kiafya ambalo huambatana na dalili za mtu kuhisi maumivu, kuhisi kuwaka moto na kufa ganzi kwa viungo vya pembezoni mwa mwili kushindwa kushika au kunyanyua kitu, kuchoka kwa misuli na kadhalika.

Matatizo haya ya kiafya (miguu/mikono kuhisi ganzi, baridi au maumivu) husababishwa na kuumia au kudhoofika kwa neva za pembezoni mwa mwili (miguuni au mikononi) na
hivyo kupoteza uwezo wa kufanya kazi wa neva katika sehemu husika, miguuni au mikononi.

Miongoni mwa mambo ambayo hupelekea neva hizi za pembezoni kudhoofika na kushindwa kufanya kazi vizuri ni haya yafuAatayo:-

1. Kupungua kwa virutubisho mwilini, hasa mkusanyiko wa vitamini B, (Vitamin B Complex).

2. Matumizi ya dawa, mfano dawa za kutibu kifua kikuu au za kupambana na virusi vya ukimwi.

3. Uzito mkubwa wa mwili.

4. Ugonjwa wa kisukari(diabetic neuropathy).

5. Shinikizo la damu.

6. Unywaji wa pombe kupita kiasi.

7. Magonjwa ya figo.

DALILI ZA UGONJWA WA MIGUU KUWAKA MOTO
Ugonjwa huu unadalili nyingi zikiwemo;

1. Kuhisi ganzi.
2. kuhisi kuchomwa na kitu chenye ncha Kali miguuni.
3. kuhisi miguu kuwa na majimaji kwa ndani.
4. joto Kali miguuni,kuhisi k**a unaungua miguuni.
5. kushindwa kushika au kubeba vitu na maumivu makali.

Ili kuzuia tatizo ili fanya mazoezi, kula vyakula vyenye virutubisho, kula mboga mboga na matunda, chua miguu yako kila siku, punguza pombe na sigara na fanya mazoezi kiasi kuondoa tatizo ili.

Good news nikwamba hali hii au ugonjwa huu unatibika. K**a unahisi unazo dalili hizi zilizotajwa au nduguyako anazo basi unaweza wasiliana nasi. Kwa maelezo zaidi piga 0764981041

28/07/2021

JUMATANO YA KUISHINDA ROHO YA MAJI.
- Maji Yamebeba Ufalme katika Ulimwengu wa Roho, Na ni moja Kati ya Silaha zenye Nguvu ambayo Mungu huitumia na Shetani Pia.
Kuna Viumbe wanaishi ndani ya Maji na kuufanya ulimwengu wa Maji (Baharini), kuwa tishio kwa Mwanadamu.

Ufunuo 12:12
Kwa hiyo shangilieni, enyi mbingu, nanyi mkaao humo. Ole wa nchi na bahari! Kwa maana yule Ibilisi ameshuka kwenu mwenye ghadhabu nyingi, akijua ya kuwa ana wakati mchache tu. Joka Anapigana tena katika Dunia.
(Biblia ya kingereza imesema Woe to the inhabiters of the earth and of the sea!)

Wakati Mungu amemruhusu shetani Amjaribu Ayoub, Shetani Hakwenda mwenyewe aliwatuma roho wawili wachafu wenye huduma ya Kuharibu uchumi na mafanikio ya watu kotoka Ulimwengu wa bahari.Roho hizo ni Lewiathani na Behemoth, ambazo hutumika kuharibu uchumi wa watu hata Leo hii. Roho hizi zinatumika kulaani watu, mataifa, miji na Jamii za watu kwa Ujumla. Ndomana watu wengi wanaompenda Mungu Hufilisika Mara Baada ya kuokoka, Na wengi wao wakijaribu kuinuka, hushindwa kuinuka tena. Na watu wabaya walogao watu humwamsha Lewiathani kupitia laana kwenye madhabahu ya Bahari na kumwamsha Lewiathan aharibu maisha ya watu.

Job 3:8
Na waulaani hao waulaanio mchana, Hao walio tayari kumwamsha huyo lewiathani.

👉 Kuna watu walimwamsha Lewiathani kwaajili yako, Akafilisi na Kuharibu uchumi na kazi za mikono Yako, Jumatano ya Kesho
Tutakuwa tukizishinda Roho Hizi za Maji zinazoharibu maisha ya watu. Ibada hii itaambatana na kuoshwa mikono.
Tambua Roho ya Maji Huwezi Kuishinda kwa maombi ya kawaida unaitaji neema na ufunuo wa Roho mtakatifu.

👉Yesu Akamwambia Petro (Mathayo 17:27) Enenda baharini ukatupe ndoana, ukatwae samaki yule azukaye kwanza; na ukifumbua mdomo wake utaona fedha; Ichukue. Yesu Alikuwa hamwambii Petro Alikuwa analiambia kanisa uchumi wake umetekwa na kufungwa baharini.
Kwasabubu chapter ya nyuma (Mathayo 16:18), Alikuwa amesema, Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu;
Kwaiyo Petro alikuwa anawakilisha kanisa na wakristo wote ulimwenguni. Ndomana wengi wanaompenda Yesu, Ikiwemo na watumishi wa Mungu wanaupako wa kufufua na kuponya wengi, Ila wapo blocked.

08/06/2021

NINI HASA KINASABABISHA MIMBA KUHARIBIKA NA KUTOKA KABLA YA WAKATI?

Wakati wa ujauzito mwili hupeleka virutubisho na homoni kwenye kiumbe kinachokua. Hivi vyote husaidia kiumbe kuwa na afya njema na kukua vizuri.

Mimba nyingi zinazoharibika ndani ya miezi mitatu ya kwanza ni kutokana na kiumbe kudumaa.

Kuna sababu nyingi zinapelekea Mimba kuharibika mapema k**a ifuatavyo.

VINASABA:
Karibu 50% ya mimba zinazotoka kabla ya wakati ni kutokana na makosa kwenye vinasaba.
Makosa yanaweza kufanyika pale seli za kiumbe zinapogawanyika au inaweza kutokana na majeraha kwenye mbegu ya kiume au yai la mwanamke.

MATATIZO YA KIAFYA:
Matatizo ya kiafya pamoja na mtindo wa maisha unaweza kuletekeza mimba kutoka hasa kwenye kipindi cha miezi mitatu ya pili (second trimester). .

MAZINGIRA YAFUATAYO YANAWEZA KUHATARISHA MIMBA YAKO:

~ Lishe mbaya inayokosa virutubisho vingi

~ Matumizi ya pombe, madawa na sigara

~ Matatizo kwenye tezi ya thairodi ambayo hayajatibiwa

~ Maambukizi kwenye njia ya uzazi

~ Msongo wa mawazo

~ Uzito mkubwa na kitambi

~ Matatizo kwenye mlango wa kizazi (cervical incompitence)

~ Kulegea kwa mfuko wa mimba

~ Shinikizo la damu kuwa juu zaidi

~ Kutumia chakula chenye sumu na

~ Matumizi ya dawa pasipo ushauri wa Dactari.nk .

05/06/2021

INAENDELEA....
Ugumba
Uharibifu wa viungo vya uzazi huweza kusababisha ugumba
kushindwa kupata ujauzito Kadiri unavyozidi kupata PID mara nyingi zaidi, ndivyo hatari ya ugumba inavyozidi.

Kuchelewa kupata tiba ya PID kunaongeza hatari ya ugumba.
Maumivu sugu ya nyonga PID inaweza kusababisha maumivu ya nyonga yanayoweza kudumu kwa miaka mingi.
Makovu ndani ya mirija ya uzazi na viungo vingine vya uzazi huweza kuleta maumivu wakati wa kujamiiana na wakati yai linadodondoshwa (ovulation).
Tubo-ovarian abscess
PID huweza kusababisha kutunga kwa usaha na kufanya majipu ndani ya njia ya uzazi.
Mara nyingi majibu haya hutokea ndani ya mirija ya uzazi na ovari, ingawa huweza kuota ndani ya nyumba ya uzazi na shingo ya kizazi

K**a tiba haitatolewa, unaweza kupata maambukizi hatarishi kwa maisha na kupelekea CANCER YA KIZAZI

04/06/2021

HAYA NDIO MADHARA YALETWAYO NA TATIZO LA MVURUGIKO WA HOMONI ( HORMONAL IMBALANCE )

~ kubleed dam ya hedhi iliyoganda km maini

~ Kuwa na dalili za ujauzito hali ya kuwa huna mimba

~ Kutokwa chunusi usoni / Kuwa na ngozi yenye muonekano mbaya

~ Kuwa na hasira mara kwa mara

~ Kukosa hedhi kwa muda mrefu

~ Kupata hedhi ya mgando kwa MDA mrefu

~ Matiti kuvimba sometimes kutoa maziwa haliyakuwa hunyonyeshi

~ Uke kuwa mkavu

~ kukosa hisia za tendo la ndoa .

~ kukosa ute wa ovulation

~ Kukosa choo ( constipation )

04/06/2021

Kuleta mtoto duniani si k**a kununua nguo kwamba unaamua tu. Unahitaji kupata ushauri muhimu na kufanya mambo muhimu mno KABLA ya kupata ujauzito.
Weka miadi na daktari ili kupata ushauri muhimu. Daktari huyo atakusaidia mambo mengi wewe na mwenzi wako kiwemo kupima afya zenu kubaini k**a kuna magonjwa yanayoweza kuathiri ukuaji wa mtoto. Hii ni pamoja na kupima magonjwa yaenezwayo kwa ngono k**a kaswende, kisonono, UKIMWI n.k.

Kufanya hivyo itasaidia kupata huduma mapema kabla ya kubeba mimba, kufanya hivyo kutasaidia ukuaji mzuri wa mtoto Wenye afya Bora.

Pia magonjwa tabia (LIFESTYLE DISEASES) lazima yafanyiwe vipimo k**a vile kisukari, na shinikizo la juu la damu kwa mama. Ni kawaida kwa mjamzito kupata shinikizo la juu la damu hasa mimba ikiwa kubwa hivyo k**a ulikuwa na tatizo hilo toka kabla ya kubeba mimba inaweza kuwa shida sana mbeleni. Kubaini hilo kutawasaidia watoa huduma wako kujua namna bora ya kukuhudumia kipindi cha ujauzito.

04/06/2021

HUU NDIO UTE WA MIMBA / UTE UNAOKUONYESHA KUWA UPO KATIKA KIPINDI CHA UTAYARI WA KUBEBA UJAUZITO

UTE WA MIMBA UNATAKIWA UWE NA RANGI NYEUPE K**A YAI BICHI

ute ukiwa katika hali hii ndiyo mzuri kabisaa kwa kusafirisha mbegu za kiume, pia hapa mwanamke anakuwa ameshafika katika kipindi cha joto na hapa tendo la ndoa likifanyika mimba inapatikana kwa asilimia zote k**a hakuna vizuizi kutoka Mungu muumba na vizuizi vingine vya afya vinavyozuia mimba kutunga.

Pia katika kipindi hiki hisia za mwanamke za kufanya tendo la ndoa huwa juu sana na hutamani kufanya mapenzi kila mara especially yai likikaribia kushuka na likishuka.

Ni muhimu sana mwanamke aangalie ute (vaginal mucus) katika kuzifahamu siku zake za kuweza kushika mimba na kutoshika mimba kuliko kutumia calendar ya damu ya mwezi.

Siku za ute ni siku 30 kinyume na siku za damu ya mwezi na pia ni muhimu sana mwanamke kushika ule ute kila siku kwa mkono wake kuangalia rangi na utelezi na harufu.

Ongeza uwezekano wa kupata mimba kwa kutumia virutubisho vya tiba mbadala pamoja na Kuzingatia lishe yako kila wakati..

04/06/2021

Kwa kawaida mtoto huanza kucheza kwa mara ya kwanza, kuanzia wiki ya 16 hadi wiki ya 25 katika kipindi cha ujauzito, K**a ni ujauzito wa kwanza inawezekana usimsikie hadi ikikaribia wiki ya 25. Ujauzito wa pili , mama huanza kumsikia mtoto akicheza mapema kuanzia wiki ya wiki 13.

Mtoto anatakiwa kucheza mara 6-10 ndani ya saa moja. Ile miezi 6 ya mwanzo kucheza kwa mtoto hua sio sana. Kipindi cha usiku ndio muda wa mtoto kupigapiga tumbo la mamaye kuliko mchana.

MTOTO ANAWEZA KUCHEZA MIEZI MITATU YA MWANZO?

Mtoto hua mdogo sana miezi mitatu ya mwanzo. Hua na urefu wa 7.6-10 cm (3-4 inches) na uzito wa gramm 28g (1 ounce) , katika kipindi hiki viungo vya mtoto hua ni vilaini na vinakua havijakomaa hivo kusababisha mtoto kutokusikika akiwa anacheza. Mtoto huwa mkubwa na kuongezeka mwishoni mwa mwezi wa nne (second trisemister).

SABABU ZINAZOMPELEKEA MTOTO KUTOCHEZA AKIWA TUMBONI.
1. Kukosa nguvu za kutosha kutokana na lishe duni ya mama yake.
2. Mama anapotembea sana au kusimama kwa muda mrefu kuna mfanya mtoto achoke hivo kumpelekea kulala na kumfanya asicheze.
3. Mama anapokua na maradhi au matatizo ya kiafya, hudhoofisha afya ya mtoto , hivyo hupelekea mtoto kukosa nguvu na kushindwa kucheza.
4. Mtoto kuwa mdogo sana na uzito mdogo pia humfanya ushindwe kucheza.
5. Mama anapokuwa amechoka kutokana na kazi nzito, mtoto nae huchoka na huhitaji kupumzika na huwa kimya sana.
6. Kupoteza uhai kwa mtoto (kufa)

SABABU ZINAZOWEZA KUMFANYA MTOTO ACHEZE AKIWA TUMBONI.
1. Kunywa maji ya baridi.
2. Fanya kitu cha kustusha kwa sababu maalumu.
3. Kula vyakula vya sukari.
3. Kula vyakula vya pilipili.
2. Ongea na mtoto

USHAURI:
Mama mjamzito, usimposikia mtoto akicheza katika muda ambao anatakiwa acheze ni vema ukafika katika kituo cha afya na kukutana na waatalamu, kwaajiri ya uchunguzi wa hali ya mtoto.

ZINGATIA:
Matumizi ya pombe na sigara ni hatari kwa afya ya mama na mtoto.

04/06/2021

HIZI NDIO NJIA SAHIHI ZA KUTIBU BAWASIRI BILA KUFANYIWA SURGERY TUPIGIE SIMU SASA UWEZE KUPATA USHAURI BURE
0764981041

KUNA AINA MBILI ZA BAWASIRI

1️⃣Bawasiri ya nje:
Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa, na huweza kuambatana na maumivu, pamoja na kuwashwa kwa ngozi katika eneo hilo. Mara nyingine mishipa hiyo ya damu (vena) hupasuka na damu huganda na kusababisha aina kitaalamu inaitwa Thrombosed hemorrhoid.

2️⃣Bawasiri ya ndani:
Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa. Na huwa haimbatani na maumivu na wengi huwa hawatambui kuwa wanatatizo hili.

Aina hii imegawanyika katika mainisho yafuatayo:
•Bawasiri kutotoka katika mahali pake pa kawaida
•Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na kurudi yenyewe baada ya tukio hilo.
•Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kuirudisha mwenyewe baada ya tukio hilo.
•Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na vigumu mtu kuirudisha baada ya tukio hilo.
Bawasiri inatibika bila upasuaji
Tupigie tuweze kukusaidia Kwa tiba mbadala.

:
:
:
:
:
:
:
:
'enyowachakula #

04/06/2021

Tunazo tiba Maalumu zilizotengenezwa kwa mimea, mitishamba, matunda pamoja na mboga mboga ambapo tiba hizi husaidia sana katika kuboresha mfumo mzima wa uzazi na kutibu maambukizi ya aina zote.

Tiba hizo ni

1: TIBA YA NJIA YA MKOJO ( IPO KATIKA MUUNDO WA MAJI MAJI)
Tiba hii huwa tunasafisha na kuondoa bacteria wasiofaa woote katika njia ya mkojo (ukeni) pia Kubalance kiwango Cha bacteria katika uke wa mwanamke na kuweka mazingira mazuri ya mazalia ya bacteria walinzi ukeni ( usiweze kushambuliwa tena ) hivyo husaidia kuondoa Fungus, U.T.I, MIWASHO UKEN PAMOJA NA KUTOKWA MAJI MAJI YENYE HARUFU MBAYA K**A SHOMBO YA SAMAKI.

2: TIBA KATIKA VIA YA UZAZI ( IPO KATIKA MUUNDO WA VIDONGE)
Tiba hii huwa tunasafisha na kuondoa bacteria wote katika via vya uzazi P.I.D, kuondoa makovu, kubalance hormones, kuweka mazingira mazuri ya upevushwaji wa mayai yaliyokomaa ( Utaweza kushika ujauzito kirahisi sana )
utaondokana na tatizo la kukoaa hedhi ama kupata hedhi isiyo na mpangilio sahihi, hedhi kuruka ruka, kalenda itarudi katika mtiririko unaofaa

Dozi zote. Utatakiwa kutumia kwa siku 👇🏽👇🏽👇🏽

1: Dose ya kwanza siku 10

2: Dose ya pili siku 30

Ukitumia hizi hakika utakuja ushuhudie K**a wenzio. Na nitakupa nafasi ya kwenda hospital kupima kila kitu Kisha uje unipe majibu.

Nipigie Sasa hivi kupitia simu namba 0764981041 niweze kukusaidia kuondokana na changamoto hiyo.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


MLIMAN CITY
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00