Jenga afya_tz
Tunahusika na kutatua changamoto mbali mbali za kiafya kwa kutumia virutubisho
07/04/2023
Ndoa nyingi au mahusiano mengi yanavunjika na ukichunguza kwa ukaribu sana chanzo kikubwa cha kuvunjika huko ni kutoridhishana katika tendo la ndoa. Hii ni kutokana kwamba changamoto ya nguvu za kiume imekua kubwa sana kwa wanaume wengi kwa sasa.
Changamoto hii inatatulika.
Tuwasiliane kwa namba +255 752 319 732
03/04/2023
PUNYETO NI NINI?
Punyeto ni usuguaji wa tupu ya mbele kwa kutumia mkono au mashine ili kutoa manii k**a njia ya kujiridhisha kimapenzi.
Zipo njia nyingi za kupiga Punyeto hasa inayojulikana kwa kutumia mkono, ila kutokana na ubunifu wa binadamu kuubana uume katika mapaja. Zimeongezeka njia nyingine ya kutumia mto(pillow) n.k
KWA NINI MTU HUFANYA PUNYETO.
Zipo sababu nyingi zinazomfanya mtu ahusike katika kufanya punyeto baadhi yake ni;
• MAZINGIRA
Hasa shule za bweni, malezi ya ndani maarufu k**a (geti Kali).
• UPWEKE
Kukaa mwenyewe bila kuwa na mwingiliano wa watu.
• KUTAZAMA PICHA ZA NGONO
• KUTORIDHISHWA NA MWENZA WAKO.WOGA WA KUTONGOZA.MAKUNDI YA UJANANI.
MADHARA YA KUPIGA PUNYETO
Uume kusinyaa kila ukijaribu kubadilisha style au mtindo.
👉 Woga wa kushiriki tendo na mwenza wako Kwa kuhofia kutomridhisha.
👉 Kuingia katika matumizi ya dawa za kuboost (Vi**ra, mkongo)
👉Uume kusimama kwa ulegevu baada ya kumaliza bao la kwanza.
👉Kupata bao lenye maumivu hasa kuanzia bao la pili na kuendelea.
👉Kukosa hisia kabisa baada tu ya kufika kileleni safari ya kwanza
👉Kuchoka sana baada ya kufanya mapenzi.
👉Uume kutosimama ukiwepo na mwenza wako lakini akiondoka unaona unapata hamu na uume unasimama vizuri.
👉Kufika kileleni haraka sana na baada ya kufika unashindwa kurudia tena.
👉Kushindwa kumuandaa mpenzi wako, kuhofia utafika kileleni kabla ya mchezo.
👉Kutoa mbegu hafifu hadi kusababisha kushindwa kumpa mkeo ujazuzito.
👉 Kushindwa kujizuia kuacha
👉 Uume kurudi ndani na kuwa mdogo (kibamia)
Kam unapitia changamoto hizo tajwa juu, tatua changamoto hiyo mapema maana kukaa nayo Kwa mda mrefu huleta madhara zaidi ya hayo hapo juu. Wasiliana nami Kwa +255752319732
24/03/2023
UGONJWA WA SHINIKIZO LA DAMU ( BLOOD PRESSURE) NA NAMNA YA KUTATUA CHANGAMOTO HII:
Nini maana ya shinikizo la damu?
Ni msukumo wa damu ulio juu kuliko inavyotakiwa kwa muda mrefu. Msukumo wa damu huhitajika mwilini ili kusaidia usambasaji wa chakula (hasa nutrients muhimu baada ya kumeng'enywa), oksijeni na kutoa uchafu uliopo mwilini.
Shinikizo la damu hupimwa kwa kutumia kifaa kinachoitwa SPHYGMOMANOMETER.
CHANZO/ SABABU ZINAZOPELEKEA MTU KUPATWA NA SHINIKIZO LA DAMU.
- Unene na uzito kupita kiasi
- Upungufu wa madini ya potassium
- Upungufu wa vitamin D
- Umri mkubwa
- Uvutaji wa sigara
- Matumizi ya pombe
- Ongezeko la kemikali iitwayo RENIN kwenye Figo
- Kushindwa kufanyakazi kwa kichocheo au homoni ya insulin
*Uanishaji wa shinikizo la damu
- Presha ya kawaida 120/80
- Presha inayoelekea kupanda 120-139/80-89
- Presha hatua ya 1 140-159/90-99
- Presha hatua ya 2 160-179/100-109
- Presha hatua ya 3 180/110
DALILI ZA SHINIKIZO LA DAMU ( BLOOD PRESSURE)
- Maumivu ya kichwa (Haswa nyuma ya kichwa mara nyingi nyakati za asubuhi)
- Mapigo ya moyo kwenda haraka
- Kusikia kelele masikioni ( mvumo masikioni)
- Kuchanganyikiwa,
- Kizunguzungu,
- Kutoweza kuona vizuri
- Matukio ya kuzirai.
- Uchovu/kujisikia kuchokachoka
- Damu kutoka puani
Shinikizo la damu (hasa la juu) ni kiashiria cha mwili kupungukiwa maji kwa kiwango kikubwa, ni wakati ambapo mwili unajaribu kujizoesha na upungufu wa jumla wa maji wakati kunapokuwa hakuna maji ya kutosha kuijaza mishipa ya damu yenye kazi ya kusambaza maji kwenye seli mhimu.
Mishipa imeundwa maalumu kuendana na mtiririko uliosawa wa ujazo wake wa damu na mahitaji mbalimbali ya tishu kwa kufunga na kufungua mishipa mbalimbali ya damu ndani ya mwili.
Figo hushtuka upesi kulingana na mtiririko wa damu. Hili linaposhindikana, yaani iwapo mtiririko au ujazo wa damu utapungua, basi Figo huitoa homoni iitwayo ‘renini’ ambayo yenyewe huzarisha kitu kiitwacho ‘angiotensini’ ambayo huwa na matokeo mawili; kwanza huzibana ateri na kupandisha shinikizo la damu, pili huisababisha tezi ya ‘adreno’ kutoa homoni iitwayo ‘aldosteroni’ ambayo huzifanya figo kuishikilia chumvi na hivyo kusababisha kupanda kwa shinikizo la damu.
Asilimia 94 ya damu ni maji. Kwa ujumla kila seli ndani ya miili yetu ina bahari ya maji baridi ndani yake na bahari ya maji chumvi nje yake. Afya bora inategemea uwiano mzuri wa maji ya bahari hizo mbili.
Chumvi inayashikilia na kuyalazimisha baadhi ya maji kubaki nje ya seli (osmotic retention) na potasiamu inayashikilia maji ndani ya seli.
Wakati mwili unapokuwa katika upungufu wa maji mwili utaongeza ujazo wa maji chumvi kwenye bahari ya nje ya seli.
Wakati mwili unapokuwa katika upungufu wa maji kwa mfano kutokana na kutokunywa maji ya kutosha; asilimia 66 ya kuishiwa maji inajionesha kwa kupungua kwa ujazo wa seli, asilimia 26 inapotea toka ujazo wa umajimaji uliopo sehemu ya nje ya seli na asilimia 8 tu inapotea toka katika ujazo wa damu.
Shinikizo la juu la damu ni kiashirio cha mwili kupungukiwa maji kwa asilimia 8 tu, lakini madhara yanajitokeza sababu ya asilimia 66 ya kupunguwa kwa ujazo wa seli.
Maji na chumvi vitasaidia kulirudisha shinikizo la damu katika hali yake ya kawaida.
* MADHARA YATOKANAYO NA SHINIKIZO LA DAMU
- Kuzibika kwa Ateri za moyo na Ateri ziendazo kwenye ubongo
- Shambulio la moyo (Heart Attack)
- Mishtuko midogo midogo au mikubwa inayopelekea kuzimia
- Ugonjwa wa kibofu cha mkojo
- Kiharusi
- Kupungua kwa nguvu za kiume kwa upande wa wanaume
- Kuharibiwa kwa ubongo na matatizo ya akili k**a vile kupoteza kumbukumbu (Alzheimer).
* Unaweza kupunguza shinikizo la damu kwa :
👉 Kufanya mazoezi mbali mbali ya mwili haswa ya kutembea kwa miguu.
👉 Kunywa maji ya kutosha
👉 Kula vyakula vyenye chumvi kiasi.
Kwa mawasiliano zaidi wasiliana nami
+2557 52319732
22/03/2023
UGONJWA WA JOINTS (ARTHRITIS) (MAUMIVU YA GOTI, MGONGO, VIUNGO NA MIGUU KUWAKA MOTO)
UGONJWA WA ARTHRITIS NI NINI?
Arthritis ni ugonjwa unaotokana na namna yoyote ya hitilafu katika maungio (joints) ya mifupa ya binadamu ambao husababisha maumivu na pengine kuvimba katika sehemu moja au zaidi ya maungio hayo. Tabia kuu ya magonjwa haya ni maumivu kwenye maungo ya mifupa (joints) ambayo ni endelevu na ambayo hutokea eneo hilo moja.
CHANZO CHA ARTHRITIS NI NINI?
Ili kuweza kuelewa chanzo cha ugonjwa huu, ni muhimu kwanza tutazame muundo wa joints. Fikiria goti ambapo mifupa miwili mmoja wa paja na mwingine wa mguu vinapokutana:
> Ligaments: hizi ni chuzi chuzi zinazoshikilia mifupa hii miwili pamoja. Hii ni k**a utepe wa plastiki au mpira unaonyumbuka uliozunguka eneo hilo kwa nje, ukikunja goti inanyumbuka na ukinyoosha mguu inarudi.
> Cartilage: Huu ni utando unaofunika eneo ambalo mifupa hugusana. Cartilage husaidia kuzuia mifupa hii isisuguane moja kwa moja. Utando huu huyawezesha maungio hayo kufanya kazi kiulaini pasipo kusababisha maumivu.
> Capsule: Hiki ni kitu kinachofunika maungio haya kikizunguka pande zote. Ndani ya mfuko huu wa capsule kuna synovial fluid ambayo huzalishwa na synovial membrane. Synovial fluid ni ute wa kulainisha sehemu hiyo ya maungio na synovial membrane ni utando ulio kwenye kuta za ndani za capsule.
Ugonjwa wa arthritis unasababishwa na hitilafu yoyote katika sehemu hizo za maungio ya mifupa. Inaweza kuwa kulika kwa cartilage, upungufu wa synovial fluid, maambukizi ya backteria katika moja ya maeneo hayo au ongezeko la kiwango kikubwa cha acid mwilini ambacho huenda kuathiri mifupa na hatimae kusababisha joint kusagika au yaweza kuwa mchanganyiko wa matatizo yote.
AINA ZA UGONJWA WA JOINTS-ARTHRITIS
Kuna aina nyingi sana za ugonjwa huu wa joints au arthritis. Ila leo tutaangazia aina ambazo ni common sana kwa watu wengi.
Osteoarthritis (OA)
Hii ni aina ya arthritis inayosumbua watu wengi zaidi kuliko aina nyingine zote. Aina hii ya arthritis huwapata zaidi watu wenye umri mkubwa. Osteoarthritis hutokea pale cartilage inapopoteza uwezo wake wa kubonyea na kuwa ngumu hivyo kuharibika haraka. Cartilage ni kiungo cha kuhimili migandamizo ya ghafla (shock absorber). Cartilage hii inapopoteza ubora wake, tendons na ligaments huvutika na kusababisha maumivu. Hali ya uharibifu huu wa cartilage ikiendelea, mwishowe mifupa huanza kusuguana moja kwa moja na ndipo mgonjwa atakapoanza kupata maumivu makali sana.
Athari za ugonjwa huanza taratibu na kuongezeka kadri ya muda. Kutaanza kutokea maumivu kwenye joint baada ya kufanya shuguli fulani au baada ya mapumziko ya muda mrefu. Joints zitakaza, hasa mapema asubuhi unapotaka kuanza shughuli zako za kawaida. Siku zinavyosogea ndivyo utakavyoona ni vigumu zaidi kukitumia kiungo chako. Mara nyingine utaona uvimbe kwenye joint. Osteoarthritis hushambulia zaidi nyonga, mikono, magoti na uti wa mgongo.
Rheumatoid arthritis ( RA)
Ugonjwa huu hutokea pale mfumo wa kinga ya mwili huanza kushambulia viungo vya mwili ikiwa ni pamoja na synovial membrane (synovium) na kusababisha uvimbe na maumivu. Hali hii isipodhibitiwa, huweza kusababisha ulemavu. Aina hii inaweza pia kushambulia macho, ngozi, mapafu, midomo, damu na mishipa ya damu. Huu ni ugonjwa ambao zaidi huwapata wanawake na huwatokea zaidi wawapo kati ya umri wa miaka 40 hadi 60. Mgonjwa atasikia maumivu na kuona uvimbe kwenye joints za pande zote za mwili, yaani k**a ni magoti basi yatakua yote mawili. Viungo vinavyoshambuliwa zaidi ni vidole, viwiko vya mikono na miguu.
Athari zake huonekana zaidi asubuhi unapoamka na maumivu yanaweza kudumu kwa muda wa hadi nusu saa. Muathirika wa ugonjwa huu hujisikia mchovu muda wote, hukosa hamu ya kula na hupungua uzito.
Ugonjwa katika hatua zake za baadaye huleta matatizo katika viungo vyote vya mwili.
Matatizo yanayoweza kujitokeza ugonjwa ukikua ni k**a yafuatayo:
✓ Macho. Ukavu, maumivu, wekundu, kutopenda mwanga na kutoona vizuri
✓Midomo. Ukavu, maumivu na maambukizi ya fizi
✓Ngozi. Vijinundu chini ya ngozi kwenye maeneo yenye mifupa
✓Mapafu. Kushindwa kupumua vizuri
✓ Mishipa Ya Damu. Uharibifu wa mishipa ya damu
✓ Damu. Upungufu wa chembechembe nyekundu za damu
Ukiwa na changamoto k**a hii usisite kuwasiliana nami kwa elimu na ushauri zaidi kupitia namba +2557 52319732
22/03/2023
MULTI MACA Testimonials, Hata wewe changamoto yako inaweza kuisha k**a ukiamua kufuata ushauri na maelekezo sahihi lakini pia utayari wa kuitatua
16/03/2023
FAHAMU KUHUSU MAGROUP YA DAMU NA CHANGAMOTO ZA KIAFYA KWA KILA GROUP:
Je unafahamu ni kwanini watu wamekuwa wakiugua ugua ovyo?
Mara nyingi watu wameugua na hata kupata matatizo kutokana na kutokujua magroup yao ya damu na wanatakiwa wale nini.
Lifahamu group lako la damu na Tabia zake.
GROUP O
1.Wanapenda kazi sana
2.wanapenda kususa sana
3.Hawapendi kusimamiwa
4.Sio watu wa kubebwa bebwa.
5.wana hasira mnoo.
6.Wana msimamo,ni wasuluhishi pia.
7.wanapenda kudominate,wajeuri hata k**a hana kitu.
8.Ni watu wa watu.
VYAKULA.
1.Wana acidi nyingi kuliko magroup mengine ya damu kwahiyo hatakiwi kula vyakula vyenye acidi.
2.Hawatakiwi kula ngano.
3.wanahitaji protein kwa wingi.
4.Mahindi,Ugali pia sio vyakula vyao.
5.Maharage pia ni mazuri kwao.
6.Wanahitaji kula Nyama kwa wingi.
7.Matunda yafuatayo ni mazuri kwao Papayi,ndizi, maembe,nanasi.
MAGONJWA WANAYO YAPATA K**A WASIPOKULA VYAKULA VINAVYOENDANA NA WAO
1.Vidonda vya tumbo k**a wakila vyakula vyenye acidi
2.Magonjwa ya kuambukizwa i.e mafua.
3.kansa
4.Choo cha shida kwa sababu ya ngano.
5.Kisukari
6.Pressure
7.Mgongo na Magoti.
8.Wanaongoza kwa kupata marelia kwa sababu damu yao ni nyepesi sana.
GROUP A
1.Ni wasiri sana,wanaweka kinyongo.
2.Hawapendi kuongea,wana aibu.
3.Wanajitahidi kufuata sheria sana.
4.Ni wapole.
5.Ni wabinafsi sana.
6.Ni wavivu.
7.Wako sensitive mnoo.
VYAKULA
1.Wanahitaji mboga mboga kwa sana.
2.Wana upungufu wa acidi kwa hiyo ni vema wapate Limao, ndimu,Ukwaju.
MAGONJWA YANAYOWEZA KUWAPATA WASIPOKULA VYAKULA VINAYOENDANA NA WAO.
1.Wanapata upungufu wa acidi tumboni
2.Kansa
3.Wanapata mak**asi sana asubuhi,hawaishiwi mafua.
4.Pressure.
GROUP B
1.Ni waongeaji mnoo....Mara nyingi ukitaka kuwatambua wengi ni ma Mc,wanamuziki.
2.Wanapenda Uongozi pia.
3.Wanapenda kuonekana.
4.Ukimchokoza anakushughulikia.
5.Wako balanced, wanaelewana na groups zote za damu.
VYAKULA.
1.Karanga na korosho sio vizuri kwao.
2.Nyanya na kuku pia sio nzuri kwao pia.
GROUP AB
1.Hawaeleweki eleweki,sio rahisi kumuelewa tabia yake.
2.Wanayo Strong Immune system.
3.Ni wachache duniani.
4.Hawajali (they don't care)
VYAKULA
Group AB Mara nyingi anashauriwa kula vyakula anavyokula group A.
Na magonjwa yanayowapata muda mwingi ni yale wanayoyapata A.
Lakini tambua kuwa vyakula tunavyokula Mara nyingi vimejazwa sumu za aina mbalimbali kutokana na mbolea zinazowekwa,utayarishaji wake pamoja na uzalidhaji
Angalia upo kwenye group gani kisha uzingatie nini cha kufanya.
KWA WANAUME TU.
Yawezekena unapitia mojawapo au changamoto hizi;
👉kuwahi kufika kileleni/kumwaga mapema
👉Kushindwa kurudia tendo
👉Kukosa hamu ya tendo
👉kutoa mbegu chache au dhaifu
👉Misuli kulegea ama ulishawahi kujichua na umekumbana na hizo changamoto
👉 Kushindwa kutungisha mimba
👉Tezi dume n.k
Pengine umejaribu dawa mbalimbali bila mafanikio na umeshakata tamaa,sasa nasema kuwa mwanaume tena tumia BEDROOM PACK kurudisha uimara wako k**a zamani.
KUMBUKA:
Hizi sio DAWA bali ni Virutubisho (SUPPLEMENTS) Zinatatua tatizo moja kwa moja, (SIO BOOSTER)
Kwa maelezo zaidi juu ya bidhaa zetu..
Piga/text/whatsup +255 752319732
13/03/2023
TATIZO LA NGIRI
Ngiri ni nini?
Ngiri hutokea wakati kiungo kinaposukuma upenyo kwenye misuli au tishu inayokishikilia mahali pake. Kwa mfano, matumbo yanaweza kuvunja kupitia eneo dhaifu katika ukuta wa tumbo.
Ngiri nyingi hutokea kwenye tumbo kati ya kifua na nyonga, lakini pia zinaweza kuonekana kwenye sehemu za juu za paja na groin.
AINA ZA NGIRI
Kuna aina kadhaa tofauti za ngiri.
👉 Ngiri ya inguinal
Ngiri ya inguinal ni aina ya kawaida ya hernia. Hutokea wakati matumbo yanaposukuma sehemu dhaifu au kupasuka kwenye ukuta wa chini wa tumbo, mara nyingi kwenye mfereji wa inguinal.
Mfereji wa inguinal hupatikana kwenye groin yako. Kwa wanaume, ni eneo ambalo kamba ya manii hupita kutoka kwa tumbo hadi kwenye korodani. Kamba hii inashik**ana na korodani . Kwa wanawake, mfereji wa inguinal una ligament (inayoitwa ligament ya pande zote) ambayo husaidia kushikilia uterasi mahali pake.
👉 Ngiri ya Hiatal
Ngiri ya Hiatal hutokea wakati sehemu ya tumbo lako inapojitokeza kupitia diaphragm kwenye patiti la kifua chako. Diaphragm ni karatasi ya misuli inayokusaidia kupumua kwa kukandamiza na kuvuta hewa kwenye mapafu. Inatenganisha viungo vya tumbo lako kutoka kwa kifua chako.
👉 Ngiri ya tumbo
Ngiri ya tumbo hutokea wakati tishu bulges kupitia ufunguzi katika misuli ya tumbo yako. Unaweza kugundua kwamba hernia ya tumbo hupungua kwa ukubwa unapolala.
👉 Ngiri ya kitovu
Ngiri ya umbilical inaweza kuathiri watoto na watoto. Wanatokea wakati matumbo yanajitokeza kupitia ukuta wa tumbo karibu na kifungo cha tumbo. Unaweza kuona uvimbe kwenye au karibu na kitufe cha tumbo cha mtoto wako, hasa wakati analia.
DALILI ZA NGIRI
Dalili ya kawaida ya ngiri ni uvimbe au uvimbe katika eneo lililoathiriwa. Kwa mfano, katika kesi ya ngiri ya inguinal, unaweza kugundua uvimbe upande wowote wa mfupa wako wa kinena ambapo kinena chako na paja hukutana.
Unaweza kupata kwamba uvimbe "hutoweka" unapolala. Kuna uwezekano mkubwa wa kuhisi Ngiri yako kwa kuguswa unaposimama, kuinama au kukohoa. Usumbufu au maumivu katika eneo karibu na uvimbe inaweza pia kuwepo.
CHANZO CHA MSHIPA WA NGIRI
Ngiri husababishwa na mchanganyiko wa udhaifu wa misuli na mkazo . Kulingana na sababu yake, ngiri inaweza kuendeleza haraka au kwa muda mrefu.
Baadhi ya sababu za kawaida za udhaifu wa misuli au mkazo unaoweza kusababisha hernia ni pamoja na:
👉 Hali ya kuzaliwa, ambayo hutokea wakati wa maendeleo ndani ya tumbo na iko tangu kuzaliwa kuzeeka
👉 Uharibifu kutoka kwa jeraha au upasuaji
👉 Mazoezi ya nguvu au kuinua uzito mkubwa
kikohozi sugu au ugonjwa sugu wa kuzuia mapafu (COPD)
👉 Kuvimbiwa , ambayo inakufanya uwe na mkazo wakati wa kutoa haja kubwa
👉 Kuwa na uzito kupita kiasi au kuwa na unene kupita kiasi
K**a unapitia changamoto k**a hiyo usisite kuwasiliana Nami Kwa namba
+255752319732
Hizi ni sababu kuu 7 za kwa nini utumie Program Ya virutubisho vyetu vya MEN VITALITY PACK kwa ajili ya kuimalisha, kulinda, kutunza na kutibu kabisa tatizo la nguvu za kiume hata k**a hali yako ikiwa mbaya kiasi gani zitakupatia matumain mapya na kurudi katika hali yako bila kutumia madawa hatarishi kwa afya yako kwa ujumla.
1. Kuimalisha mzunguko wa damu.
Package hii itakusaidia kuimarisha mzunguko wa damu mwili mzima na kwenye mfumo wa uzazi na kuufanya uume uweze kupata damu ya kutosha hivyo kuwa na uwezo wa kusimama k**a msumari,
Huondoa mafuta mabaya kwenye mishipa, hubalance presha na kuimalisha utendaji kazi wa moyo.
Ili uweze kusimamisha vizuri, damu inatakiwa ifike ya kutosha katika Dhakari yako, hivyo bidhaa hii itafanya uume unakuwa unasimama imara zaidi na unakuwa na uwezo wa kuludia tendo la ndoa mara nyingi zaidi.
2. Kuimarisha mishipa ya damu.
Mzunguko wa damu ukiwa vizuri kwenye uume husaidia kuimalisha mishipa au misuli yake, hata k**a ulijichua yaani punyeto mishipa inaludi kawaida na maumbile k**a yalipungua kwa sababu ya kujichua uume unaongezeka na kuludi k**a awali,
naomba uelewe k**a umezaliwa hivo hivo uume wako mdogo hautaongezeka lakin k**a uume ulipungua kwa sababu zozote mwanzoni ulikuwa mkubwa unaludi ukubwa ule unaotakiwa.
3. Kubalance hormone
K**a hamu ya tendo la ndoa imepungua, huhisi hisia wakati wa tendo la ndoa pia k**a ukimaliza bao la kwanza hisia/hamu zinapotea zinakusaidia kuludisha hormone sawa ambapo hamu ya tendo la ndoa inaongezeka.
4. Kuimarisha na kulinda tezi dume.
Hii k**a wewe unaumri kuanzia miaka 40 kwenda juu hii ni muhim sana kwako kwani unapoitumia unaepuka kutanuka kwa tezi dume mapema na kuzidi kuwa na nguvu za kiume k**a kijana wa miaka 25, waliopata shida ya tezi dume nadhani watanielewa ninachokimaanisha tezi dume ikianza kusumbua mambo yako katika tendo pia nayo yana haribika.
5. Huongeza wingi na ubora wa mbegu.
Kwa mtu ambae anakiwango kidogo cha mbegu hii itamsaidia sana kuimalisha na kuongeza wingi na ubora, k**a unashindwa kumpa ujauzito mwanamke au mwanamke anashindwa kupata mimba na mmefanyiwa check up hakuna tatizo lolote na mambo mengine yako sawa hii itakusaidia sana kuludi kawaida,
Hii nakupa asilimia 100% kabsa kwani nina shuhuda za wanaume wengi sana na wanawake pia shida zao za kapata watoto kupitia hizi wamefanikiwa
6. Nguvu za kiume
Kuwahi kufika kilelen yaani kumaliza ndani ya dakika chache, uume kusimama lege lege, kuchelewa kuendelea na tendo baada ya bao la kwanza na kushindwa kumaliza au kuchukua mda mlefu wakati mwingine kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa shida hio inaisha, kwasababu mzunguko wa damu utakuwa sawa, nguvu na stamina pia.
7. Pumzi
Wanaume wengine huishiwa nguvu haraka wakati wa tendo la ndoa yaani huchoka haraka mwingine akimaliza tendo anaweza kupitiwa mpaka na usingizi mzito kweli, Sasa hizi zitakusaidia kuupa mwili nguvu ambapo mishipa hulishwa protin ya asili ambapo mwili unakuwa na nguvu za kudumu.
*HILI NI SULUHISHO SAHIHI NA LA KUDUMU KWA CHANGAMOTO HIZO.*
*Note:*
*Hizi siyo dawa ni ni lishe yaani virutubisho havina athari zozote mbaya kwa mtumiaji.*
*Hazina masharti yoyote wakati wa matumizi.*
Kwa mawasiliano zaidi contact me +255752319732
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Website
Address
Makumbusho
Dar Es Salaam
16103
