Ireneafya
suluhisho la afya na urembo kwa bidhaa zenye matokea ya uhakika na papo hapo hapo(heath and beauty resolution)
22/07/2022
FIBROIDS Ni NiNI?( Uvimbe)
Fibroid ni uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la kizazi ambao hu uvimbe unaweza kuwa ndani ya kizazi ( ukutani mwa kizazi)au ndani ya nyama ya kizazi na nje kwenye ukuta wa kizazi
KUNA AINA KUU ZA FIBROIDS
1. Submucosal fibroids ( ndani ya kizazi)
2. Intramural fibroids ( ndani ya nyama za kizazi
3. Subserosal ( nje ya kizazi)
Watu wafuatao wako hatarini kupatwa na ugonjwa hu fibroids
1. Mwanamke ambae hajawai kupata mtoto mpaka umri mkubwa
2. Miaka kuanzia kubarehe mpaka hedhi kukoma
3. Kurithi
4. Unene
5. Kuingia hedhi mapema
Fibroids sio kansa ni uvimbe wa kawaida ambao unakua kwa kutegemea kichocheo cha estrogen hormone ndomana kuanzia kubarehe mpaka kukomaa kwa hedhi ndio wako hatarini.na mara nyingi uvimbe uwaga unaongezeka.
DALILI ZA FIBROIDS:
1. Tumbo kuuma sana chini ya kitovu
2. Maumivu makali sana wakati wa hedhi
3. Hedhi zisizokuwa na mpangilio
4. Maumivu wakati wa tendo la ndoa
5. Kukosa hamu la tendo la ndoa
6. Kutokwa na damu kwenye via vya uzazi katikati ya mwezi
7. Kutokwa na uchafu wenye harufu mbaya au ambao hauna harufu lakini mwingi na mweupe
8. Maumivu ya kiuno haswa wakati wa hedhi ambayo husababishwa na kizazi kujaribu kusukuma huo uvimbe.
UVIMBE UNAPOKUWA MkUBWA DALILI ZAKE:
1. Kukojoa mara kwa mara kwani uvimbe unakandamiza kibofu cha mkojo
2. Mkojo hubaki kwenye kibofu cha mkojo
3. Haja kuwa ngumu
4. Miguu kuvimba
5. Kupungukiwa damu
Jinsi fibroids zinavyoweza kuzuwia kupata mtoto
1. Uvimbe pia unazuia yai lililorutubishwa kujishikiza kwenye kizazi hasa submucosal fibroids
2. Fibroids zikikuwa sana zinakandamiza mishipa ya kupitishia mayai kutoka kwenye mfuko wa mayai yaani ovari
UKIFANYA OPERATION USIDHANI UVIMBE UMEISHA UNAOTA PEMBENI HADI UTAKAPOWEKA VICHOCHEO SAWA.
Hebu jiulize kwanini mpaka upate dalili ndo uanze kushughulikia au kutafuta matibabu? Kwanini ubebe ujauzito huku una uvimbe kisa bado mdogo sana? Au kwanini ukae na uvimbe kisa bado mdogo? Tambua uvimbe hu sio kansa hivyo hondoa hofu.
MATIBABU:
Tuna dawa ambazo zmetengenezwa kitaalamu katika mfumo wa vidonge na vimetengenezwa kwa mbogamboga na matunda baada ya utafiti na majaribio ya kutosha na wanasayansi hapa duniani.utapata suluhisho lako bila madhara kwani 100% naturally product imefanywa research.
WENGI WAMESAIDIKA WE UNANGOJA NINI? AFYA NI BORA KULIKO PESA.
WASILIANA NASI:0622463770
Follow Ishiutakavyoafya
22/07/2022
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Mwenge Dar Es Salaam
Dar Es Salaam
255
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |
