ritapeter_afya
health and beauty magonjwa yoote sugu yanatibika
23/02/2023
*AINA ZA SARATANI(CANCER)/MAKUNDI YA AINA ZA CELL ZA ENEO HUSIKA.*
🛑Mara nyingi aina za kansa hutajwa kutokana na kiungo ambako kansa hiyo ilianzia. Kwa mfano, kansa iliyoanzia kwenye mapafu itaitwa kansa ya mapafu na ile iliyoanzaia kwenye ubongo itaitwa kansa ya ubongo. Kuna namna nyingine za kuzitofautisha kansa, k**a vile kwa kutaja aina ya seli zilizozijenga kansa hizo.
_Hapa chini ni baadhi ya makundi ya kansa zilizoanzia kwenye aina fulani ya seli:_
*✅Carcinoma*
Carcinomas ndizo kansa zinazoshambulia zaidi watu kuliko aina nyingine zote za kansa. Kansa hizi zinajengwa na seli zinazofunika maeneo ya ndani na ya nje ya mwili (epithelial cells) ambazo zipo za
aina nyingi.
⛔ *Adenocarcinoma* ni kansa zinajojenga seli za epithelial zinazozalisha majimaji au ute. Kansa nyingi za maziwa, utumbo na tezi kuu huwa ni za aina hii ( _adenocarcinomas_ ).
⛔ *Basal cell carcinoma* ni aina ya kansa inayoanzia kwenye tabaka la chini la epidermis – _epidermis_ ni sehemu ya juu ya ngozi ya mwili.
Squamous cell carcinoma ni kansa inayojenga kwenye seli ziitwazo squamous cells – ambazo ni seli za epithelial zilizo chini ya ngozi mara baada ya sehemu ya juu kabisa ya ngozi. seli za Squamous pia hufunika viungo vingine vingi vya mwili ikiwa ni pamoja na tumbo,mapafu, kibofu cha mkojo na figo. Kansa za aina hii pia huitwa _epidermoid carcinomas_ .
Pia kuna aina ya kansa iitwayo
*⛔Transitional cell carcinoma* ambayo hushambulia ngozi inayofunika kibofu cha mkojo, ureters, sehemu za figo na maeneo mengine.
*✅Sarcoma*
Kundi hili la kansa linajumuisha saratani zinazojenga kwenye mifupa na sehemu laini za amwili k**a kwenye misuli, mafuta, mishipa ya damu. mishipa ya lymph, tendons na ligaments.
Katika kansa za mifupa,
*⛔osteosarcoma* ndiyo inayoshambulia idadi kubwa zaidi ya watu. Osteosarcoma huanzia kwenye seli za kuzalisha mifupa mipya ( _osteoblasts_ ) na ni aina saratani ambayo hushambulia zaidi vijana wa umri mdogo. Saratani hii mara nyngi hujenga sehemu inapoishia mifupa mirefu ya mwili ambayo ni mifupa ya mikono na miguu. Kwa watoto wachanga na wale wa umri wa zaidi ya miaka kumi, hujenga zaidi karibu na magoti.
📌 _Dalili kuu za osteosarcoma_ ni kwenye eneo la mfupa, kwenye mfupa au joint na kwa mfupa kusikoambatana na sababu yo yote ile. Kansa hii huchochewa na tiba ya mionzi na matumizi ya vidonge vya kuzuia kansa vinavyoitwa alkylating agents.
*✅Ewing sarcoma.*
Aina za kansa zinazoshambulia viungo laini vya mwili ni leiomyosarcoma, Kaposi’s sarcoma, malignant fibrous histiocytoma, liposarcoma na dermatofibrosarcoma protuberans.
*⛔Kaposi sarcoma* au kaposi’s sarcoma ni aina ya kansa inayojenga au kuleta mabadiliko kwenye viungo vya ngozi, utando laini wa kwenye midomo, pua na koo na maeneo mengine ya mwili.
*⛔Leukemia*
Hizi ni kansa zinazoanzia kwenye sehemu za uzalishaji wa chembechembe za damu zilizopo ndani ya mifupa
( _bone marrow_ ). Kansa hizi hazijengi uvimbe wa namna yo yote bali huongeza idadi kubwa ya chembechembe nyeupe za damu zilizo za kipekee katika damu na katika eneo la uzalishaji wa chembechembe za damu (bone marrow) na kuzizidi kabisa chembechembe nyekundu za damu kiidadi. Hali hii ikitokea mwili hushindwa
kupata kiwango cha hewa ya oksijeni kinachotakiwa ili viungo vyake vifanya kazi vizuri, hushindwa kudhibiti utokwaji wa damu mwilini na kupambana na maambukizi.
Leukemia ni kansa inayowapata zaidi watu wenye umri wa zaidi ya miaka 55 na watoto wadogo chini ya miaka 15 na mara nyingi hutibiwa kwa chemotherapy.
⛔ *Lymphoma* ni kansa inayoanzia kwenye Tcells au B cells au kwa neno jingine lymphocytes ambazo ni seli nyeupe za kupambana na magonjwa – ni sehemu ya kinga za mwili. Saratani hii inapotokea, seli hizi zisizo za kawaida hujijenga kwenye mishipa ya lymph na sehemu nyingine za mwili.
*📌Kuna aina kuu mbili za lymphoma:*
_💢Hodgkin lymphoma_ – hizi huanzia kwenye B cells
Non-Hodgkin lymphoma – Hiki ni kikundi kikubwa cha kansa zinazoanzia kwenye lymphoctes. Kansa hizi hukua haraka sana au taratibu na zaweza kuanzia kwenye B cells au T cells.
_💢Multiple Myeloma_
Hii ni aina ya kansa inayoanzia kwenye seli za plasma, ambayo ni aina nyingine ya seli zinazohusika na kinga ya mwili. Seli hizi za kansa zisizo za kawaida ( _myeloma cells_ ) hujengwa kwenye sehemu ya mifupa inayohusika na ujenzi wa seli za damu (bone marrow) na husababisha uvimbe kwenye mifupa yote ya mwili. Kansa ya aina hii pia huitwa _plasma cell_ myeloma au ugonjwa wa Kahler.
*⛔Melanona* ni aina ya kansa inayoanzia kwenye seli zinazojenga melanin – vitu vinavyoipa ngozi ya mwili rangi yake. Melanomas nyingi hujenga juu ya ngozi ya mwili lakini mara nyingine huweza kujenga kwenye sehemu tofauti ya mwili yenye rangi, k**a kwenye macho.
23/02/2023
*UTANGULIZI – UJUE UGONJWA WA KANSA(CANCER)*
🛑Kansa ni ugonjwa unaotokea baada ya kuharibika pia kubadilika kwa seli na kuanza kuzaliana katika mili nazo huitwa seli za kansa, Kansa hutokea kwa binadamu, wanyama na viumbe hai wengine. Seli huharibika,hurekebishika au kufa, ila seli zisipokufa au zisipo rekebishika huwa seli zisizo za kikawaida (hazihitajiki mwilini) ndipo huanza kuzaliana na kuwa seli za kansa. Seli za kansa hutumia seli za kawaida kuzaliana, kusafiri kwa kutumia damu na lymph. Seli za kansa huzaliana na kuhama tokea upande mmoja wa mwili kwenda mwingine hii hali huitwa metastasis
Kansa ni ugonjwa unaouwa kwa kiasi kikubwa duniani, idadi ya watu millioni 8.2 walikufa (Ikiwa ni asilimia 22% ya vifo vyote; Hizi ni taarifa kutoka Shirika la Afya duniani (World Health Organization,2016)). Na ikikadiriwa kufika mwaka 2030 idadi ya vifo kuwa million 13.1. _Aina ya kansa zinazoongoza kuua kila mwaka ni pamoja na kansa ya mapafu, kansa ya tumbo, kansa ya ini, kansa ya utumbo, kansa ya matiti nk._
*🛑Kansa au Saratani(cancer)* ni neno lililotolewa kwenye kundi la magonjwa yanayosabahiana. Kuna aina tofauti zaidi ya 100 ya magonjwa yanayoitwa kansa au saratani. Katika aina zote hizi za saratani, baadhi ya seli za mwili huanza kujigawa bila kusimama na kuenea kwenye maeneo ya karibu ya mwili. Kansa huweza kuanza kwenye sehemu yoyote ya mwili.
_Kwa kawaida seli za mwili hujigawa na kuzalisha seli mpya kulingana na mahitaji ya mwili, seli za zamani zikiharibika au kuzeeka, seli mpya huchukua nafasi ya seli hizo._
🛑Saratani inapotokea, mpangilio huu huvurugika. Kadri uvurugikaji huu unavyozidi, seli za zamani zinaendelea kuishi badala ya kufa na seli mpya hutengenezwa bila mahitaji ya mwili.
🛑Seli hizi za ziada huendelea kujigawa na kujenga uvimbe (tumors). Saratani za aina nyingi hujenga uvimbe isipokuwa saratani za damu, k**a leukemia, ambapo ugonjwa huu huzuia ufanyajikazi wa kawaida wa damu kwa kusababisha kugawanyika kwa seli za damu kusiko kwa kawaida.
📌Uvimbe unaotokana na saratani ni hatari kwa maisha, huweza kuenea kwenye maeneo ya karibu ya mwili na kadiri unavyokua baadhi ya seli huweza kujitoa kutoka eneo moja zikasafiri kupitia mfumo wa damu hadi eneo jingine la mwili na kuanza kujenga uvimbe mpya kwenye eneo hilo jipya mbali kabisa na eneo la
awali.
🛑Uvimbe wa saratani huweza ukakua na kuvuruga utendaji kazi wa mfumo wa mmeng’enyo wa chakula, ubongo na mfumo wa damu. Uvimbe unaotokana na saratani ukiondolewa, huweza kurudia kujijenga upya kabisa.
*CHANZO CHA SARATANI/KANSA(CANCER)*
📌Kansa ni ugonjwa unaotokea katika viini vya mwili vinavyohusika na kurithisha tabia kutoka kizazi kimoja hadi kingine (genes) – ni ugonjwa unaotokana kwa kubadilika kwa genes zinazohusika na ufanyaji kazi wa seli za mwili, na hasa zile zinazohusika na namna seli zinavyokua na kujigawa.
📌Mabadiliko katika genes yanaweza kuwa ya kurithi kutoka kwa wazazi au yanaweza kutokea katika kipindi cha maisha ya mtu kutokana na hitilafu zilizotokea wakati wa kugawanyika kwa seli au kutokana na uharibifu wa DNA uliotokana na vitu vilivyopo kwenye mazingira viitwavyo carcinogens.
📌Vitu vya kwenye mazingira vinavyosaidia kuharibu DNA na kukua kwa kansa (carcinogens) ni k**a kemikali zilizopo ndani ya moshi wa tumbaku, asbestos, arsenic, mionzi ya gamma, X-rays, moshi wa magari na mionzi ya jua (UV rays).
📌Umri wa mtu unapokuwa mkubwa uwezekano wa kutokea dosari katika mabadiliko ya DNA yanayosababisha kansa huongezeka na kufanya umri kuwa ni sababu moja ya kuweza kupata kansa kirahisi. Kuna virusi wanaohusishwa na kansa k**a human papillomavirus (wanaosababisha kansa ya cervics ), hepatitis B na C (wanaosababisha kansa ya ini), Epstein-Barr virus (anayesababisha baadhi ya kansa za utotoni), Human immunodeficiency virus (HIV) -na kitu chochote kinachodhoofisha kinga za mwili.
📌Kila mtu mwenye saratani ana mmchanganyiko tofauti wa sababu zilizopelekea kutokea mabadiliko hayo katika genes zake. Kansa inavyozidi kukua, mabadiliko za ziada huongezeka. Uvimbe mmoja unaweza kuwa na seli zilizozalishwa kutokana na aina tofauti ya badiliko katika genes.
📌Kansa iliyoenea kutoka sehemu moja ya mwili ilipoanzia hadi sehemu nyingine huitwa metastatic cancer na tendo la kansa kuenea kutoka sehemu moja hadi sehemu nyingine ya mwili huitwa metastasis. Kansa iliyoenea kutoka sehemu moja ya mwili hadi sehemu nyingine huwa na aina ya seli zilezile za sehemu ambako ilitokea na hupewa jina lile lile la aina ya kansa ya sehemu ya mwanzo ilikotokea.
🛑Kwa mfano, kansa ya ziwa iliyoenea na kwenda kujenga uvimbe katika mapafu haitaitwa kansa ya mapafu bali metastatic cancer ya ziwa na uchunguzi kwa vyombo maalumu wa seli za sehemu hizi mbili utaonyesha kufanana kwa seli za sehemu hizo mbili toauti. Kansa hizi zinazotokea kwa kuenea kutoka sehemu moja ya mwili hadi nyingine *(metastatic cancers)* huleta madhara makubwa kwa ufanyaji kazi wa mwili na idadi kubwa ya watu
wanaofariki kwa saratani, hufariki kwa sababu ya aina hii ya kansa.
14/09/2021
*TIBA YA KUDUMU YA BAWASIRI {NDANI NA NJE}*
*BAWASIRI {HEMORRHOIDS/PILE*
➖ Ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa na kuoelekea kuota kinyama sehemu ya haja kubwa
*✅CHANZO CHA BAWASIRI*
➖ Tabia ya kuketi sehemu moja kwa muda mrefu mfano; madereva
➖ Tatizo sugu la kuharisha
➖ Ujauzito
➖ Uzito wa mwili kupita kiasi
➖ Kufanya ngono kupitia tundu la haja kubwa (kulawitiwa)
➖ Kupata haja kubwa ngumu
➖ Kua na mgandamizo mkubwa tumboni
➖ Kunywa pombe
➖ Kula sana nyama nyekundu
➖ Vidonda vya tumbo
➖ Ngiri(Chango/Hernia
➖ Kula sana pilipili
➖ Kunyanyua vitu vizito
*✅DALILI ZA BAWASIRI*
➖ Kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa
➖ Kujitokeza kwa kinyama eneo la haja kubwa
➖ Kutokewa na kiuvimbe katika tundu ya haja kubwa
➖ Kupata kinyesi chenye damu
➖ Kupata maumivu makali wakati wa
kujisaidia haja kubwa
➖ kutokwa na uteute sehemu ya haja kubwa
➖ Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia haja kubwa na kusababisha mishipa ya sehemu ya haja kubwa kukwanguliwa
➖ Kuna uwezekano mkubwa wa kupata saratani ya utumbo (Cancer) kwasababu kile kinyama kinakaa k**a kidonda
➖ Uume kusinya (unapoteza urefu na ukak**avu)
*✅MADHARA YA BAWASIRI*
➖ Upungufu wa damu mwilini
➖Kutokwa na kinyesi bila kujitambua
➖ Kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
➖ Kupungukia nguvu za kiume (kwa wanaume)
➖ Kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
➖ Kupata tatizo la kisaikolojia
➖ Kutopata ujauzito
➖ Mimba kuharibika
*Piga 0752321629WhatsApp* Http://wa.me/+255755087195?text=NahitajiBidhaa%20Ya%20KuondoaMaradhiYa%20Bawasiri%20Sasahivi
PIGA 0752321629 WHATSAPP /SMS
Je unasumbuliwa na mifupa na maungio na ganzi kwa mda mrefu bila mafanikio?..... na hujui wapi utapata suluhisho la kudumu ............
Ondoa hofu mpendwa nakuletea virutubisho maalumu na asilia kwa ajili ya tatizo lako na huu👆 ndo ukombozi wa tatizo lako
➡️ArthroXtra Tablets
♦ Huongeza ute ute(synovial fluid) kwenye maungio ya mifupa
♦ Huondoa maumivu ya maungio k**a nyonga,magoti na mgongo n.k
♦ Huzuia kulika na kusagana kwa maungio kwa kuzalisha gegedu mpya(ar-
ticulate cartilage)
♦ Huzuia kulika kwa mifupa na maungio
♦ Huondoa tatizo la Athritis
♦ Huongeza Glucose Amine na Chrondroitin kwenye maungio
➡️Zaminocal Plus Capsules
♦ Mchanganyiko wa Zinc,Calcium, magnezium na amino acidi(protini)
♦ Huboresha mifupa na meno
♦ Husaidia mfupa uliovunjika kupona haraka
♦ Husaidia sana mfumo wa fahamu
♦ Huwafaa watoto wanaochagua chakula kula vizuri
♦ Huongeza hamu ya kula
♦ Huwafaa sana wamama wajawazito kwani husaidia kupata
mtoto na misuli ya ikulu kurejea kwa wepesi baada ya
kujifungua
22/07/2021
SARATANI YA KOO (OESOPHAGEAL CANCER):
Saratani ya koo ni miongoni mwa magonjwa ya kutisha. Ingawa baadhi ya wagonjwa wa saratani ya koo wanaweza kutibiwa na kupona kabisa, kuna mjadala miongoni mwa matabibu juu ya tiba sahihi ya ugonjwa huu. Bila kujali ni aina gani inayotumika, karibu aina zote za tiba za saratani hii huwa na madhara kwa mgonjwa na wakati mwingine kusababisha kifo badala ya kuponya.
VISABABISHI VYA SARATANI YA KOO;
Ingawa chanzo halisi cha kansa ya koo hakijulikani, mambo yafuatayo yanaweza kusababisha mtu kupata saratani ya koo.
1.Umri: Hatari ya kupata saratani ya koo huongezeka zaidi kwa watu walio na umri wa miaka 65 na kuendelea. Hata hivyo saratani ya koo aina ya adenocarcinoma inaweza kutokea hata kwa wanawake walio na umri kuanzia miaka 40 na kuendelea.
2.Jinsia:
Tafiti nyingi zimeonesha kuwa wanaume wana uwezekano wa kupata saratani ya koo mara tatu zaidi ya wanawake.
3.Uvutaji sigara:
Wavutaji sigara wapo katika hatari ya kupata saratani ya koo ukilinganisha na wasio wavutaji.
4.Unywaji pombe wa kupindukia: Unywaji wa pombe kwa kiasi cha chupa tatu na zaidi kwa siku unamuweka mnywaji katika hatari ya kupata saratani ya koo ikilinganishwa na mtu asiyekunywa kabisa pombe. Aidha wanywaji wa kupindukia ambao pia ni wavutaji sigara wana hatari kubwa zaidi ya kupata saratani ya koo ikilinganishwa na wanywaji wa pombe wasio wavutaji sigara. Kwa maneno mengine, unywaji pombe pamoja na uvutaji sigara hufanya kazi kwa pamoja kuongeza uwezekano wa mtu kupata saratani ya koo.
5.Lishe:
Kuna mjadala kuhusu mchango wa aina fulani za vyakula katika kusababisha saratani ya koo. Wakati watafiti wengine wanasema ulaji wa matunda na mboga mboga husaidia kupunguza uwezekano wa kupata saratani ya koo, watafiti wengine wanapinga kuhusu suala hilo.
6.Unene kupindukia :
Unene wa kupitiliza huongeza uwezekano wa kupata saratani ya koo
7.Matatizo sugu katika tumbo yanayosababisha tindikali kurudi kwenye koo (acid reflux): kutoka tumboni husababisha madhara katika seli za koo na hatimaye kupelekea saratani ya koo kwa baadhi ya watu.
KWA TIBA NA USHAURI PIGA NAMBA 0755087195/0752321629
06/07/2021
TEZI DUME NI NINI?.
Tezi dume hii kitaalamu hufahamika k**a (PROSTATE GLAND) ,
Hii Ni tezi inayopatikana katika mfumo wa uzazi wa kiume
Tezi hii inapatikana jirani na kibofu Cha mkojo na mirija ya mkojo
Tezi hii Ina kazi ya kuzalisha majimaji ambayo hubeba mbegu za kiume
Majimaji hayo ndio Yale anayotoa mwanaume anapofikia kilele
Hivyo tezi hii Ni muhimu sana katika mfumo wa kizazi wa mwanaume
Tezi hii si kubwa saana inapata sentimita zisizozidi 4,lakini tezi hii hukuwa kadiri umri unavyoenda
DALILI ZA KUVIMBA KWA TEZI DUME:-
✓Kukojoa Mara kwa mara
✓kubakiza mkojo kwenye kibofu
✓kukojoa saana usiku
✓Maumivu wakati wa kukojoa na mkojo usioenda mbali
✓Kupungukiwa nguvu za kiume
✓UTI ya Mara kwa mara
✓Mawe kwenye kibofu kutokana na mrundikaniko wa mkojo
✓Figo kujaa maji,hii Ni kwasabab mkojo huo unarudi nyuma kuelekea kwenye figo
✓Kupoteza fahamu
✓Maumivu ya Mara kwa mara ya kiuno kwa nyuma ya mgongo na mapaja
✓Uume kushindwa kusimama vizur
✓Kuwa na wakati mgumu wakati wa kukojoa na kuzuia mkojo
ATHARI ZA TEZI DUME K**A HAITAWAHI KUTIBIWA:-
1)Kushindwa kabisa kukojoa
2)Kupatwa na maambukizi ya UTI
3)Kupatwa na vijiwe kwenye kibofu
4)Uharibifu wa kibofu unaweza kutokea
5)Figo inaweza kuharibika
Suluhisho la kumaliza hili tatizo lipo:
KARIBU UPATE HUDUMA YA VIRUTUBISHO LISHE BILA UPASUAJI.
Bofya Link 👇🏽👇🏽👇🏽hapo chini kupata Tiba Lishe
https://wa.me/255755087195?text=Nahitaji%20Bidhaa%20Ya%20KuondoaMaradhiYa%20TeziDume%20Sasahivi
30/06/2021
*KISONONO(GONORRHEA)*
*♐KISONONO/GONORRHEA* ni ugonjwa kati ya magonjwa ya zinaa unaosababishwa na bakteria aina ya *_Neisseria gonorrhoeae_* , bakteria ambao hukuwa na kuzaliana kwa haraka katika sehemu zenye unyevunyevu na joto mwilini k**a kwenye shingo ya kizazi kwa wanawake (cervix), mirija ya kupitisha mkojo au shahawa (urethra), mdomoni na kwenye puru.
⭕Maambukizi mengi kwa wanawake hutokea kwenye shingo ya kizazi (cervix). Asilimia 75 ya ugonjwa wa gono hutokea kwa watu wenye umri wa miaka 15-19 wanawake walio katika umri wa miaka 15 -19 na wanaume walio katika umri wa miaka 20 and above wako kwenye hatari zaidi ya kupata ugonjwa huu.
*♐MAAMBUKIZI*
Ugonjwa huu huambukizwa kupitia vitendo vya ngono kupitia uke(normal s*x), njia ya haja kubwa (a**l s*x), kupitia mdomoni (oral s*x).
Watu walio kwenye hatari yakupata ugonjwa huu ni pamoja na⭕kutokuwa na mpenz zaid ya mmoja,⭕watu wanaoshirki saana a**l s*x pamoj na oral s*x,⭕watu wenye upungufu wa kinga mwili,⭕magonjwa ya mda mrefu eg. Sukari,pressure na moyo⭕rishe duni na mazingira yasiyo rafiki kiafya.
*♐DALILI ZAKE*
_Dalili za ugonjwa wa kisonono huanza kujitokeza kuanzia siku ya 2 hadi ya 7 baada ya mtu kupata maambukizi na huweza kuchelewa kwa wanaume. Dalili ni k**a zifuatazo;_
*✅Kwa wanaume:*
⭕Kuhisi k**a kichomi wakati wa kukojoa (burning sensation)
⭕Kutokwa na majimaji ya njano au meupe au ya kijani kutoka kwenye uume yanayoambatana na maumivu makali sana
Wakati mwengine maumivu au kuvimba kwa korodani (swollen testicles)
⭕Maambukizi yakiwa kwenye puru (re**um) huambatana na maumivu wakati wa kujisaidia haja kubwa, kuwashwa sehemu za haja kubwa, na hata haja kubwa inaweza kutoka ikiambatana na damu, hii inatokea kwa wanaume na wanawake.
*⭕Kwa wanawake:*
Dalili kwa wanawake huwa si nyingi lakini wanawake wengi hawaonyeshi dalili zozote
⭕Maumivu au kuhisi k**a kichomi wakati wa kukojoa
⭕Kuongezeka kwa kutoka majimaji kutoka kwenye tupu ya mwanamke ambayo ni ya njano au yamechanganyika na damu
⭕Kutokwa na damu kupitia tupu ya mwanamke kabla ya hedhi kufika.
⭕Kutokwa na damu baada ya kujamiana au baada ya tendo la ndoa
⭕Kichefuchefu
⭕Homa (fever)
⭕Kutapika
*♐VIPIMO*
Vipimo vya ugonjwa wa kisonono
⭕Swab for culture Kipimo hiki hufanyika maabara kwa kupandikiza bakteria baada ya kufuta sehemu za siri kwa kutumia swab ili kuona k**a kuna bakteria wanaosababisha gono.
⭕Polymerase Chain Reaction (PCR) Kipimo cha kuangalia vina saba (DNA) ya bakteria, ni ghali sana.
*♐TIBA*
⭕Tiba ya gono inahusisha na tiba ya ugonjwa wa Chlamydia kwani mara nyingi magonjwa haya huambatana kwa pamoja.
_Tiba hutegemea na umri wa mgonjwa na k**a mtu ni mjamzito au la. Tiba ya gono ambayo sio sugu iliyo kwenye shingo ya kizazi (cervix), urethra na puru_
*⚠️KUWA MUAMINIFU NA KUJITHAMINI*
28/06/2021
*FAHAMU HIZI SABABU KUMI(10) ZINAZOWEZA KUPELEKEA UJAUZITO KUHARIBIKA.*
✍️kuna sababu nyingi zinazoweza sababisha mimba kutoka lakini leo nteanda kongelea zile muhimu ili kila mtu k**a iko ndani ya uwezo wake aweze kuzuia pale anpopata mimba.
✍️matatizo ya vimelea vya urithi: kawaida mbegu za mwanaume huchangia pea 23 za vimelea vya urithi yaani chromosomes na yai la k**e hichangia vimelea 23 pia kwa ajili ya mtoto atakayezaliwa, lakini kwenye hali isiyo ya kawaida namba hiyo ikiongezeka au kushuka husababisha mimba kutoka ndani ya muda mfupi.
✍️magonjwa; kuna magonjwa mengi endapo hayatatbiwa wa muda muafaka husababisha mimba kutoka muda wowote ule yaani inaweza kua mwanzoni au mwishoni.mfano. malaria, kisukari, pressure, kaswende, virusi vya ukimwi, U.T.I, toxplasmosis,rubella, na herpes simplex virus.
✍️matatizo ya kizazi; kuna magonjwa mengi yanayoathiri kizazi moja kwa moja na huweza kuleta kutoa mimba kirahisi sana mfano wa magonjwa hayo ni uvimbe wa ndani ya kizazi,ulegevu wa mlango wa uzazi na kadhalika.
✍️matumizi ya dawa; ukiwa mjamzito hutakiwi kutumia dawa yeyote bila kuandikiwa na daktari, kuna dawa nyingi sana zinaweza kutoa mimba mfano fragile, albendazole,misoprostol, dawa ya mseto ya malaria, doxycline, na nyingine nyingi.
✍️utapiamlo; mwanamke mwenye upungufu wa madini muhimu mwilini k**a calcium, potassium na sodium lakini pia wanga, protini, vitamini na kadhalika. upungufu huu humfanya mwanamke ashindwe kubebeba mimba mpaka kujifungua na hata akijifungua huweza kuzaa mtoto mwenye mapungufu fulani ya kiakili.
✍️matatizo ya homoni; mwanamke ana kiwango maalumu cha homoni za uzazi ambacho anatakiwa awe nacho ili mimba iweze kutungwa na kukua. kiwango hiki kikiwa juu sana au chini sana husababisha mimba kuharibika.
✍️Aina ya maisha ya mjamzito; matumizi ya pombe na sigara kipindi cha ujauzito ni hatari sana kwani huingilia mfumo wa homoni na uzazi na kusababisha mimba kuharibika.
✍️umri mkubwa; kubebe mimba kwenye umri mkubwa huchangia sana mimba kuharibika kwani kipindi hiki viungo vya uzazi na mfumo wa homoni unakua umepungua nguvu sana hivyo mimba.
🔹 _USIANGAIKE NA KULAUMU KWANINI WEWE,KARIBU
*WE CARE WE SHARE*
25/06/2021
*‼️‼️OFA OFA OFA‼️‼️*
Habari za mchana huu..!!
Kutokana na Maombi ya wengi,tumeomua kutoa *OFA* ya kumaliza wiki.
*Ofa* hii itakuwepo Kuanzia tarehe *25 Leo mpka tarehe 30 siku ya Jumatano..🔥🔥🔥*
OFA hii itakua kwa:-
*ANATIC Soap*
Ni dawa inayosaidia;-
•Inaondoa makovu,Alama na mafuta yanayo sababisha chunusi kujirudia.
•Inaondoa Harufu Mbaya na Jasho kali.
•Inaondoa Mapele na weusi kwapani pamoja na nje ya Uke.
•Inalainisha ngonzi kavu.
Sabuni hii utaipata kwa *Tzs 8000* baadala ya *~Tzs 10000~*🔥
*Dawa Ya FEMICARE*
Ni dawa inayosaidia;-
•Kuondoa na kuzuia Maambukizi ya Fangasi ukeni.
•Inaondoa Miwasho na Kutokwa na uchafu ukeni.
•Inasafisha Uke,Kuondoa Harufu Mbaya ukeni.
•Inaondoa na kuzuia vipele na vidonda sehem za Siri.
•Inaondoa Maumivu Wakati wa Tendo la Ndoa na Kukojoa.
Dawa hii Utaipata kwa *Tzs 28,000* kwa bei ya *OFA* badala *Tzs ~35000~*🔥
*Dawa ya REFINED Yunzhi Essence*
Ni dawa inayosaidia;-
•Kuondoa Matatizo ya mzunguko wa Hedhi kutokuwa na Mpangilio.
•Kukosa Hedhi wakati sio mjamzito na Maumivu makali sana wakati wa Hedhi.
•Husaidia kuratibu Mabadiliko ya Vichocheo Mwilini k**a upungufu wa Homoni ya Estrogen.
•Husaidia kuondoa uvimbe Kwenye mji wa Mimba I.e Fibroids
•Husaidia kuondoa vijivimbe vidogo vidogo kwenye ovari (Ovarian Cyst)
•Itumikapo na dawa Ya Femicare huondoa na Kuzuia Maambukizi ya Bakteria (PID)
•Husaidia kuzibua mirija ya Mayai iliyoziba.
Utaipata kwa *Tzs 65,000)* badala ya *Tzs ~75000~*🔥
*Dawa ya Zaminocal Plus*
Ni dawa inayosaidia;-
•Husaidia kuondoa maumivu ya viungo mbali mbali kwenye mwili.
•Husaidia kuondoa Maumivu ya kiuno na Mgongo.
•Husaidia Kuimarisha afya ya uzazi kwa wanaume na wanawake.
•Husaidia kuhimarisha afya ya Mifupa kwa wazee na kuzuia magonjwa mbali mbali ya mifupa.
•Husaidia kuhimarisha afya ya mama mjamzito na mtoto.
Utaipata kwa *Tzs 55,000* badala ya *Tzs ~80000~*🔥
Dawa ya *Femicare* ikitumika na dawa ya *yunzhi* itakusaidia sana kutokomeza tatizo la *PID* na *fangasi sungu*🔥🔥🔥
Dawa Ya Femicare ikitumika na REFINED Yunzi pamoja na ZAMINOCAL plus inasaidia kwa mwanamke mwenye changamoto za Kutopevusha Mayai,Kutoshika Mimba na Kuporomoka kwa mimba.
Weka order yako inbox na uapate Bidhaa hizi Kabla ya OFA kuisha.
Bofya👇🏼👇🏼
https://wa.me/255752321629
Mwisho wa mwezi huu Tutafunga GROUP number (09-10) tukiamini kila mtu amepata huduma na Suluhisho la tatizo lake.
Asante🙏🏻🙏🏻
*Afya Yako kwanza I Tunajali Afya Yako*
25/06/2021
JE MWANAMKE KUKOSA HEDHI KABLA YA UMRI WA KUKOMA HEDHI KUNA ATHARI GANI KIAFYA YA UZAZI?????
Mara nyingi mwanamke anayekosa hedhi yaani hupata kila mwezi kitu kinaitwa INTERNAL BLEEDING.Maana yake ni kwamba huyu mama anableed ndani kwa ndani, ndio maana kuna wakati mwanamke huhisi dalili k**a yupo hedhi lakini haitoki nje, hizo dalili zikitokea ndipo ufahamu kwamba upo period but uchafu ule huishia ndani kwa ndani.
✍️MRUNDIKANO WA UCHAFU
HUO NDIYO HUJA KUUNDA/
KUSABABISHA MATATIZO
MBALIMBALI KWENYE VIA VYA
UZAZI K**A;-
➡➡Uvimbe kwenye kizazi au kwenye
mayai (Ovarian Cysts)
➡➡Maambukizi kwenye via vya
uzazi yaani PID.
➡➡Mirija kuziba.
➡➡Mvurugiko wa vichocheo
(hormonal imbalance)
➡➡Hali hizi huweza kusababisha
ugumba kabisa.
*NOTE;-* HEDHI ndiyo inayoonyesha
k**a afya ya uzazi ya mama iko
vizuri au laa Hivyo akina mama
k**a una changamoto ya hedhi
na bado hujajaaliwa bado mtoto
ni vyema kupambana kuhakikisha
hedhi inakaa sawa sawa ndiyo
mambo mengine yatatiki.
*✔K**A UMEHANGAIKA SANA
KUTATUA CHANGAMOTO HII
BILA MAFANIKIO UNAWEZA
KUWASILIANA NA 0752321629/
0755087195 kwa ushauri na tiba
Wasiliana
22/06/2021
Piga 0752321629 whatsapp 0755087195
JE WEWE NI MWANAMKE NA UNAHITAJI KUBEBA MIMBA NA HUJAFANIKIWA?
ONDOA SHAKA SULUHISHO NINALO TUMIA UZAZI PACKAGE UPATE MIMBA NDANI YA SIKU 20 hadi 30.
UZAZI PACKAGE ITAKUSAIDIA YAFUATAYO
🔸KUBORESHA UWIANO WA HOMONI
~Kwa mwanamke ambae anasumbuliwa na maswala yote ya hedhi package hii itamsaidia kuweka homoni kuwa na uwiano.
🔹HUONDOA TATIZO LA PID NA FANGASI
~Changamoto hii ni tatzo linalowakumba wanawake wengi sana ila Uzazi package ndo suluhisho la changamoto yako.
🔸HUBORESHA MBEGU ZA KIUME
~Kwa mwanaume ambae anachangamoto ya kutoa mbegu zisizo na rhutuba.
🔹HUZUIA MIMBA KUTOKA
~Kama unabeba mimba na zinatoka package hii ni muhimu itakusaidia.
🔸HUKOMAZA MAYAI
~Kwa mwanamke ambae Siku zake zipo sawa lakini mayai hayapevuki au kukomaa package hii itamsaidia kukomaza mayai na kumuwezesha yeye kubeba ujauzito.
🔹HUYEYUSHA VIMBE
~Vimbe k**a fibroids, ovarian cyst package hii itakusaidia kumaliza vimbe hizo na kuweka ulizi usijirudie
🔸HUZIBUA MIRIJA
~Kutokana na changamoto mbalimbali mirija ya mwanamke huweza kuziba na kufanya mimba isitokee
➡️Kuna wale ambao wamepima hawana tatizo lakini hawabebi mimba package hii inakufaa sana itakusaidia
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Mlimani City
Dar Es Salaam
