Happy Liven Coffee Store

Happy Liven Coffee Store

Share

▪️The World's first Alkaline Coffee☕
▪️Contains more than 16,000 nutrients
▪️Call/ SMS +255763455850

25/05/2023

Kitaalam inashauriwa kutumia maji wakati wa asubuhi ni jambo zuri, lakini pia tafiti zinaonyesha kutumia maji ya limao asubuhi ni jambo zuri zaidi.

*LEO TAREHE 25/5/2023 TUJIFUNZE FAIDA 5 TU ZA KUTUMIA MAJI YA LIMAO/NDIMU ASUBUHI*

1️⃣Inasaidia kuondoa sumu ambazo hujilimbikiza mwilini. Hivyo kuondoa sumu hizo kila siku ni njia moja ya kusaidia mwili kuwa na afya

2️⃣Husaidia kuyeyusha mafuta mabaya mwilini hivyo ni njia nzuri ya kupunguza uzito

3️⃣Husaidia kuimarisha kinga ya mwili kutokana na kuwepo kwa vitamin C kwenye limao, hivyo ni rahisi kupambana na magonjwa k**a mafua, kukohoa

4️⃣ Husaidia kutokupata choo kigumu kwa kuimarisha mfumo wa umeng'enyaji chakula

5️⃣Huongeza uchangamfu na kunifanya siku yako ianze vizuriii.

📍Hii ni njia rahisi mno ambayo ina manufaa mengi kiafya. Hakikisha kila siku asubuhi unatumia glasi moja tu ya maji moto /vuguvugu yenye limao/ndimu

24/05/2023

*Je, ni changamoto ipi hasa hasa inayokunyima usingizi na unahitaji kuitatua haraka?👇*

1️⃣Ni changamoto ya uchovu kila siku kiasi kwamba unashindwa kufanya kazi zako kwa ubora?

2️⃣Ni changamoto za kuvurugika kwa homoni ( Kwa mwanamke wakati mwingine unakuwa na dalili zote za ujauzito lakini huna ujauzito)?

3️⃣Unatamani kuacha kutumia vilevi k**a sigara na pombe lakini umeshindwa? Au unatamani upate suluhusho la athari zitokanazo na matumizi ya vilevi lakini hujui unapata wapi suluhusho?

4️⃣Huwa unapata maumivu ya kichwa mara kwa mara kiasi kwamba unashindwa kufanya majukumu yako kwa ubora?

5️⃣Je, una changamoto ya kupata choo ( constipation)?

▪️Kwa changamoto hizo 👆 unaweza kunijulisha kwa kunitumia ujumbe 📩 au kupiga simu 📞. Tutakusaidia kukupa USHAURI wa kutumia lishe sahihi ili kuondokana na hizo changamoto huku ukiendelea kutumia kahawa ya Liven Coffee.

Wasiliana nasi kupitia 📩📞 +255 763 455 850

23/05/2023

Kwa mujibu wa shirika la Afya duniani (WHO) linashauri, binadamu yeyote kiafya anatakiwa atumie angalau matunda aina tano Kila siku ili kuimarisha seli za mwili na kukukinga dhidi ya magonjwa mbalimbali na kuimarisha kinga yako ya mwili kiujumla.

Je , wewe unatumiaga matunda mangapi kwa siku? Au mara ya mwisho kula matunda ilikuwa lini?🤷‍♀️☺️

Ikiwa kununua matunda na kuyaandaa kila siku kwako inakuwa changamoto basi HAKIKISHA unakuwa na mbadala mwingine wa kukupa virutubisho vyenye kiwango stahiki ili kuimarisha afya yako .

Kwa wewe mwenye hiyo changamoto, habari njema ni kwamba tumekuletea kinywaji kirutubishi chenye virutubisho kutoka kwenye aina 12 za matunda katika kiwango stahiki kinachotakiwa .

HAKIKISHA unatumia packet yako moja tu ya kinywaji kirutubishi ( LIVEN COFFEE) , inatosha kabisa kukupa virutubisho muhimu unavyokosa kwenye mlo wako wa kila siku.

📍Hakuna kazi utakayoifanya zaidi ya kuandaa maji moto au baridi na kuweka kahawa yako , unakoroga vizuri kisha unakunywa.

▫️Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kupitia 📩📞 +255-763-455-850

22/05/2023

IJUE SIRI YA KUNYWA MAJI YA LIMAO /NDIMU KILA ASUBUHI

Inashauriwa kunywa maji wakati wa asubuhi ni vizuri sana lakini pia unaweza kuongeza limao/ndimu ni vizuri zaidi

Kila mtu anaweza kunywa maji haya bila tatizo lolote

FAIDA YA KUNYWA MAJI YA NDIMU /LIMAO KILA ASUBUHI

1️⃣ Inaimarisha kinga ya mwili
2️⃣ Inasaidia kuondoa sumu mwilini
3️⃣Husaidia kuondoa mafuta mabaya mwilini na kupunguza uzito
4️⃣Huleta hamu ya chakula

Hili ni zoezi rahisi sana , weka maji ya uvuguvugu kwenye kikombe / glasi kisha kata limao au ndimu vipande Kisha kamua ndani ya glasi yenye maji.

Ni vizuri ukitumia maji ya ndimu au limao dakika 30 hivi kabla ya kula kingine.

16/05/2023

HIZI HAPA SABABU KUU 5 KWANINI UNAPASWA KUTUMIA LIVEN ALKALINE COFFEE 👇

1️⃣Ipo katika mfumo wa alkaline ambayo inakusaidia kuondokana na changamoto za kujaa kwa gesi na vidonda vya tumbo

2️⃣Inaondoa uchovu wa mwili . Ikiwa unaamka asubuhi na uchovu au unatumia muda mwingi sana kukaa hakikisha unatumia LIVEN COFFEE itaondoa uchovu na kuongezea utulivu kwenye kazi zako baada tu ya kuitumia.

3️⃣Inaboresha afya ya uzazi wa mwanaume na mwanamke na kuimarika zaidi kwenye suala la tendo la ndoa

4️⃣Ina kiwango kidogo sana cha caffeine kinachokadiriwa kuwa sifuri . Na pia imeongezewa aina 12 za matunda yenye virutubisho vitakavyoimarisha afya ya seli za mwili . Hivyo afya yako itaimarika zaidi

4️⃣Inaboresha mfumo wa umeng'enyaji chakula . Hivyo inakusaidia dhidi ya changamoto ya kupata choo.

📍Uzuri wake sasa, huhitaji kuongeza sukari wala maziwa, Ina utamu wake asilia😋

Je, wewe ungependa kutumia liven Coffee ili kutatua changamoto ipo kati ya hizo?👆😊

▪️Nijulishe kwa kutuma ujumbe📩 au kupiga simu 📞 sasa hivi kupitia+255 763 545 850
* * ☕

30/03/2023

Kikombe kimoja tu cha Liven Coffee kinatosha kuondoa uchovu uliolala nao usiku kucha na kukupa nguvu siku nzima.

Jaribu box lako moja tu , uone utofauti.

Box moja = TSH 45, 000 TU.

Unatumia siku 20 hadi 25.

Namna ya kuipata tuma ujumbe 📩au piga📞 kupitia+255 763 455 850

30/03/2023

*JINSI PUNYETO /KUJICHUA KUNAVYOHARIBJ MFUMO WA UZAZI WA MWANAUME KIAFYA NA KISAIKOLOGIA*

1. _Kukosa hamu ya tendo la ndoa Kukosa_

2. *_Uume kusimama legelege hivyo kushindwa kutoa mbegu kwa kasi_*

3. _Kutoridhika uwapo na MWANAMKE_

4. *_Uume kusinyaa na kuonekana k**a wa mtoto Mdogo_*

5 _Aibu, msongo wa mawazo na kushindwa kurudia tena_

6. *_Kuwahi kumwaga mbengu kabla ya dakika 5 au chini na hapo_*

Ikiwa unachangamoto, imekuwa bahati kwako Leo kuwa jupitia KAHAWA ya LIVEN COFFEE na kirutubisholishe cha C24/7 ni suluhisho pekee na ya kudumu kuhusu changamoto yako.
Namna ya kupata huduma ya bidhaa hizo wasiliana nasi kupitia +255 763 455 850

Chukua hatua ondoa aibu

29/03/2023

KINYWAJI MUHIMU KWA AFYA YAKO 🍵☕.

LIVEN COFFEE.

Ipo katika ladha nne tofauti, ni wewe tu kuchagua🥳😋

Jaribu box moja tu , uone utofauti

Box moja = TSH 45, 000. ila ukichukua box 2 utapata kwa TSH . 80, 000.

NAMNA YA KUPATA HUDUMA YA LIVEN COFFEE, TUMA UJUMBE AU TUPIGIE KUPITIA 📩📞 +255 763 455 850

29/03/2023

Leo, sijui nitumie kahawa yenye ladha ya cappuccino au latte? AU nitumie sugar free au original?? 😃😅😅

AU nitumie zote kwani kuna shida gani?😄😄

27/03/2023

JE, WEWE NI MPENZI WA KAHAWA??

Leo, nina habari njema kwa ajili yako. Kwanza kabisa usitumie KAHAWA yoyote tu bali tumia KAHAWA LISHE yenye manufaa ya kujenga mwili wako .

Moja ya KAHAWA nzuri zenye kujenga afya ni LIVEN COFFEE . kahawa hii Iko na mchanganyiko maalumu wa matunda pamoja na mimea mbalimbali.

FAIDA UNAZOPATA UKITUMIA KAHAWA HII .

☑️Kuondoa sumu mwilini zinasobabishwa na vyakula tunavyokula na hewa za mazingira

☑️ Kuondoa uchovu na athari za msongo wa mawazo

☑️Kuondoa tatizo la gesi tumboni
☑️Kuongeza ufanisi kwenye tendo la ndoa Kwasababu inasaidia damu ipite vizuri mwilini
☑️Kuongeza utulivu na umakini kwenye kazi
☑️Kuondoa ukavu ukeni kwa wanawake .

Huhitaji kuongeza sukari wala maziwa , ina utamu wake asilia yaani ni ya kipekee sana.

Namna ya kupata KAHAWA HII , tuma ujumbe 📩au piga📞 +255 763 455 850

Tupo Mikocheni Dar Es Salaam.

23/03/2023

WANAUME mmefikiwa 😋😀😀 👇
OFA YA KUONDOA SUMU MWILINI KWA WANAUME TU.

Kwa asilimia kubwa watu wengi Kwa sasa tunaishi nje ya utaratibu wa LISHE BORA ambayo inapelekea kukaribisha magonjwa nyemelezi yasiyoambukiza k**a vile

KISUKARI
PRESHA
BAWASILI
KUKOSA CHOO MUDA MREFU
UCHOVU WA MWILI
CANCER YA AINA ZOTE

Hayo magonjwa kwa asilimia kubwa huleta athari kwenye mfumo wa uzazi . Kwa Sasa wanaume wengi wanachangamoto za nguvu ya kiume , unajua moja ya sababu kubwa ni ipi? chanzo chake ni ulaji wa vitu visivyofaa kwani husababisha kujaa kwa SUMU NYINGI MWILINI

Leo nakushauri jipatie dawa nzuri itakayokusaidia kukinga na hayo magonjwa na kukusaidia pia kuondoa hizo SUMU zitokanazo na ulaji wetu mbovu .

Tafadhali usipuuzie ujumbe huu na JITAHIDI uwe balozi Kwa wengine wapate ujumbe huu ili kusaidia watu wengi zaidi kupitia wewe

Jipatie dawa yako safi siku ya jumamosi mpaka saa 10 juoni uanze kutumia ili kuweka mwili wako safi na uukinge mwili wako dhidi ya magonjwa hayo .

OFA HII UTAIPATA KWA TSH. 60,000 BADALA YA TSH. 95,000

OFA HII NI KWA WATU 5 TU WATAKAO WAHI KUTOA ODA ZAO.

KUWAHI KWAKO NDO KUPONA KWAKO😊

Tunapatikana MIKOCHENI DAR ES SALAAM

📩📞+255 763 455 850

22/03/2023

KOROSHO HAZIBA BAYA😅😅

Uko na changamoto za kukosa hamu ya tendo la ndoa au hufurahii kabisa tendo aisee inabidi tu uanze kutumia korosho mara kwa mara utaona matokeo yake baadae .

Happy Liven Coffee Store

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam
Dar Es Salaam