Nassoro160 AFYA TIPS

Nassoro160 AFYA TIPS

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Nassoro160 AFYA TIPS, Health/Beauty, Dar es Salaam.

05/12/2021

kujizawadia hata wewe binafsi & wale uwapendao kwa msimu huu wa .
bora ni zaidi ya zawadi kwa uwapendao na kuwathamini💪💪💞

[ Makala BURE ] Namna Ya Kujenga Nidhamu Ya Fedha. 02/11/2021

[ Makala BURE ] Namna Ya Kujenga Nidhamu Ya Fedha. Makala iliyowasaidia wengi.

08/07/2021

Moja kati faida kubwa ya kutumia bidhaa hii ya Asili ni kupambana na magonjwa yanayosababishwa na umri mkubwa. Magonjwa k**a ,Kukosa usingizi,Maumivu ya mifupa,Gout na kusagika kwa mifupa,,,,Kirutubisho hiki kitakuondolea changamoto hizo.

Photos from Nassoro160 AFYA TIPS's post 28/04/2021

Yamkini umeteseka sana na ya meno,fidhi kuvimmba na kutoa damu, meno kutoboka na kufa ganzi, kinywa kutoa harufu mbaya na n.k....
Haijarishi pia ni wewe, ndugu au jamaa yako wa karibu.....
Baasi mpe habari njema hii, Suruhisho la kudumu limepatikana sasa tena kwa gharama nafuu zaidi,,, Herbal Toothpaste ni Dawa asili ya meno yenye virutubisho zaidi ya elfu 16 (16,000+ phyto-nutrients) vitakavyo kuondolea adha na kero ya muda mrefu ya meno na kinywa ulio nayo.
Watu 10 wa mwanzo kwa offer ya Mfungo wa Ramadhani tu. Wasiliana na Dr.+255768784896/ +255785402827

09/01/2021

nakupa hii k**a #
Pendelea kula aina hiyo hapo chini ya vyakula ili kutatua Changamoto tajwa hapo chini, hususani ya .

Ikiwa hutopata matokeo mazuri, usisite kuwasiliana nami moja kwa moja.
Simu:+255764784896/+255785402827

#
from any Orign #
& Joints pain #
& constipation etc #

Photos from Nassoro160 AFYA TIPS's post 08/12/2020

*JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!!*

👇🏽
~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na Inje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe.

*CHANZO CHA TATIZO*
~chanzo halisi cha kupata ugonjwa wa bawasiri ambayo ni ÷
👉KUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE
👉KUHARISHA KWA MUDA MREFU
👉TATIZO LA KUTOPATA CHOO KWA WAKATI na au KUPATA CHOO KIGUMU KUPITA KIASI.
👉MATATIZO YA UMRI
👉KUKAA KITAKO KWA MUDA MREFU
👉UZITO KUPITA KIASI
👉MATUMIZI YA VYOO VYA KUKAA KWA MUDA MREFU

*DALILI ZA BAWASIRI*
👉Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa
👉kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
👉kutokea uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa
👉kujitokeza kwa kinyama katika eneo la tundu hilo
👉kinyesi kuwa na damu na kunuka harufu mbaya sana
👉kupata upungufu wa damu (anemia)
👉Kupata tatizo la kutokuweza kuhimili choo
👉hupunguza nguvu za kiume na kuondoa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake
👉kuathirika kisaikolojia
👉kukosa morali ya kufanya Kazi kutokana na maumivu makali.
*NB:*
*Bawasiri INATIBIKA*

Kwa msaada zaidi tucheki whtsap/call 0765784896/0785402827

15/11/2020

Inawezekana hata kwako pia,,,usikate TAMAA ya kuitwa MAMA.
Nipo hapa kukusaidia na kukupa ushauri wa kitiba.

21/10/2020

Be Healithly always💪💪make sure you use some of these Food Supplements every day for better health.
Coz PREVENTING is Better than to CURE👌👌.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Dar Es Salaam