AFYA YA MAMA.

AFYA YA MAMA.

Share

Tunatoa ushauri na virutubisho lishe mabavyo vitamsaidia mama kuepukana na changamoto za uzazi k**a vile PID,UTI, FANGASI nk.

13/10/2022

UNAPATA UNACHOSTAHILI
1:Huduma bora
2: Ushauri
3:Tiba bora kwa bei nafuu

Tufahamishe tatizo lako tukusaidie leo 0778054128

08/10/2022

Kuuguza Mgonjwa Ni Gharama!

Unapoenda kumwona mgonjwa NENDA NA *PESA* SIO *MATUNDA.*👌🏽

Ukipeleka *Mia Tano* yako wao watajua wafanyie nini kumsaidia mgonjwa.

Sasa unaenda na Sukari Nani kakwambia mgonjwa ana njaa anataka uji wenye sukari😒😁 unapeleka Matikiti nan kakwambia mgonjwa ana hamu na Matikiti😒😁 peleka Pesa hata K**a ni kidogo watajua wafanyie nini.

*Kuuguza ni Gharama!*😊

25/09/2022

JIPATIE SULUHISHO LA CHANGAMOTO ZA
🎤PRESHA
🎤 Maumivu ya joints
🎤Pumu
🎤Kitoto cha jicho
🎤Kupoteza kumbukumbu
🎤Mirija kuziba
🎤Mafuta mabaya mwilini
🎤Macho
🎤Uvimbe aina yoyote
🎤UTI sugu
🎤 Kutokushika ujauzito
🎤 Pelvic inflammatory disease (PID)

Tiba hii itaanza kutolewa kesho.
Kupata ushauri au tiba piga/wasap 0778054128

22/09/2022

Nguvu ya *'COMPLETE'* Kwenye Mfumo wa Uzazi wa Mwanamke

✍🏻Humwezesha mwanamke kupata mimba kwa;
➡️ Hutibu na kuzuia Mvurugiko Wa Vichocheo vya Uzazi (Homon Imbalance)

➡️Hutibu na kuzuia Uvimbe kwenye Mfuko wa uzazi (Fibroids)

➡️Hutibu na kuzuia Uvimbe kwenye Mfuko wa mayai (Ovarian Cyst s)

➡️Huzuia magonjwa ya Mambukizi ya Mfumo wa via vya uzazi (PID)

➡️Tiba ya Maambukizi ya njia ya Mkojo (Urinary Tract Infection, UTI) na Gono (Gonorrhea)

➡️Huondoa Makovu kwenye Mfuko wa uzazi yanayosabishwa na matumizi ya vitanzi au njia za Uzazi wa mpango

➡️Kinga na tiba dhidi ya Ukomo wa hedhi kabla ya wakati (Early Monopause Problems)

➡️Huondoa miwasho na uchafu/Utoko ukeni (Vaginal Discharge/Vaginitis)

➡️Huondoa Maumivu ya tumbo wakati wa hedhi (Abdominal pain)

➡️Huondoa ukavu ukeni

➡️Huzuia mimba kutunga nje ya kizazi (Ectopic pregnancy)

➡️ Husafisha Kibofu cha Mkojo

✍🏻Matumizi yake ni dozi ya siku 30 Hadi siku 90 inategemeana na Aina ya Tatizo na ukubwa wa Tatizo Lako. Pia unaweza kutumia kwa matumizi KUJIKINGA na Magonjwa tu,Usisubiri Uumwe. Kinga Ni Bora Kuliko Tiba.

Karibu tukuhudumie, Wengi Waliotuamini Wamepona!

K**a umekosa mtoto, una matatizo ya Uzazi, Ugumba, hedhi, Uvimbe,Mirija Kuziba, UTI,PID,Mirija Kuziba, Mvurugiko wa hormones nk. Wasiliana nasi kwa piga/WhatsApp📱0778054128

20/09/2022

ZINGATIA HILI KWA AFYA YAKO

15/09/2022

KWANINI UTESEKE NA PID,FANGASI,HARUFU MBAYA UKENI,MIRIJA KUZIBA,HOMONI IMBALANCE nk , wakati suluhisho la kudumu lipo?

AFYA YA MAMA🇹🇿🌎 TUNAJALI piga/wasap 0778054128

13/09/2022

KUPITIA VIDEO HII KUNA WATU WATAPONA.
Kwa msaada piga 0778054128

12/09/2022

Uwekezaji bora unaoweza jifanyia ni afya yako.

11/09/2022

Kuna baadhi ya wanawake huwa wanapata maumivu wakati wa kushiriki tendo la ndoa.
Wataalamu wanasema kuwa hii hali inayojitokeza Mara nyingi ambapo kitaalamu huitwa dyspareunia.
Maumivu haya yanaweza kutokea wakati wa kushiriki ngono au baada ya kumaliza tendo ilo,sababu kuu za maumivu haya Mara nyingi huwa Ni magonjwa ya zinaa na kupungua kwa maji ukeni,maambukiz ya shingo ya kizazi (cervicitis),maambukiz ya mirija ya uzazi Mara nyingi maumivu haya hutokea chini ya kitovu,kwenye kuta za uke,shingo ya uzazi na sababu za maumivu haya muda mwingine Ni kuchubuka ukeni kutokana na kutokuandaliwa vizuri au uke kutotoa maji ya kutosha.

MAUMIVU BAADA YA TENDO LA NDOA
Baada ya kukutana na mwenzi wako kingono unaweza kuanza kupata maumivu dakika chache mpaka siku kadhaa toka mlipokutana,maumivu ya kawaida huwa kwenye uke kutokana na kuchubuka wakati wa tendo,unaweza kuyahisi vizuri hasa pale unapojisafisha kwa maji au wakati wa kujisaidia haja ndogo ikiwa njia ya mkojo imechubuliwa,maumivu ndani ya uke,kiunoni au chini ya kitovu Ni baada ya kufanya ngono Mara nyingi huonesha dalili za maambukiz ya shingo ya kizazi na saratani ya shingo ya kizazi,dalili hii inaweza kuambatana na hali ya homa,kutokwa na damu ukeni baada ya ngono,kutoa uchafu ukeni,kutapika na kichefuchefu.

MATIBABU
Wataalamu wanasema kuwa unapopata hali k**a hii mhusika inapaswa kujichunguza vizuri,K**a maumivu hayajatokana na michubuko wakati wa mapenzi,basi Ni vyema kuonana na daktari haraka iwezekanavyo,maambukiz ya shingo ya uzazi na mirija ya uzazi huchangia kwa Kasi kubwa hali hii,matibabu ya haraka Ni muhimu ili kupunguza madhara ya ugonjwa huu..

04/09/2022

UMUHIMU WA RESTORLYF MWILINI

RestorLyf inasaidia mwili kuzidi kujenga tishu zake na seli zake na kuzilinda dhidi ya mashambulizi ili kuzuia mwili kuchoka na kuzeeka haraka. Bidhaa hii haitumiwi na wanawake wajawazito na watoto chini ya miaka 25 ili kutowafanya kudumaa. Hivyo basi mwanamke mjamzito na mtoto chini ya miaka 25 haruhusiwi kutumia bidhaa hii.

Manufaa yake:
➡️Kupambana na Sumu mwilini
➡️Kuimarisha mfumo wa Kinga ya mwili
➡️Huondoa madhara ya pombe na sigara
➡️Huimarisha ufanisi wa insulin mwilini hasa kwa wagonjwa wa kisukari
➡️Hutibu Saratani
➡️Hutibu magonjwa yote ya uzeeni
➡️Husaidia ongezeko kubwa la CD4 hasa kwa wagonjwa wa UKIMWI
➡️Huondoa Ganzi na hutibu Kiharusi (Stroke)
➡️Huondoa usoni na sumu
➡️Huondoa Kasi ya Uzee
➡️Husaidia watu wenye changamoto ya kutokupata usingizi.

03/09/2022

Mara nyingi mimba zinazotunga nje ya kizazi huwa haziwezi kukua mpaka mwisho wa ujauzito, huweza kuleta hatari kwa afya ya mama hasa pale inapopasuka na kuvujisha damu tumboni mwa mama.

JINSI INAVYOTOKEA

Kwa kawaida mbegu ya kiume na yai la k**e hukutana katika mirija ya uzazi (Fallopian tubes) na mimba hutungwa. Kiinitete husafri polepole kwenda kwenye mji wa uzazi ambako hujipandikiza kwenye ukuta wa uzazi na mimba huanza kukua. Katika ugonjwa huu wa mimba kuwa nje ya kizazi (ectopic pregnancy) mbegu ya kiume na yai huungana kutengeneza kiinitete. Badala ya kupandikizwa kwenye tumbo la uzazi.

Mara chache sana mimba zinazotunga nje ya kizazi huweza kukua mpaka mwisho, nyingi huishia kupasuka na kuondolewa kwa upasuaji.

SABABU ZA MIMBA KUTUNGWA NJE YA KIZAZI

1.Umri wa zaidi ya miaka 40 kwa mwanamke

2.Uvutaji sigara

3.Matumizi ya vijiti vya mji wa uzazi (intrauterine devices)

4.Kutoa mimba zaidi ya 3

5.Upasuaji wa mirija ya maji ya uzazi

6.Ugonjwa wa PID

Ingawa wakati mwingine zinazoweza kutokea bila sababu maalum kujulikana.

DALILI ZAKE NI ZIPI?

Kufuatia wiki kadhaa baada ya kukosa siku zako za hedhi, unaweza kuanza kupata maumivu ya tumbo chini ya kitovu au kiuno, ambayo yanaweza kuwa upande mmoja. Maumivu yanaweza kuja na kuacha, kuwa makali sana kiasi cha kushindwa kuvumilia hii inatokana na unene pia wa mwili wako.

Hali hii inaambatana na kutokwa damu ukeni, mara nyingi ikitoka kidogo kidogo. Inaweza kuwa nyepesi au nzito nyeusi.

Je, una tatizo gani? Tuambie, tunaweza kuwa sehemu ya suluhisho kwako!..
-
Leo nimetoa upendeleo wa kipekee Niko Online

31/08/2022

SIRI YA TATIZO LAKO LA UZAZI IPO HAPA.

tumia CPE-CAPSULES kwa afya ya mfumo mzima wa uzazi.Matokeo utayaona ndani ya siku nne.

Kwa msaada zaidi piga/wasap 0778054128.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Address


Mwenge Dares Salaam
Dar Es Salaam