chubbycosmetics_tz

chubbycosmetics_tz

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from chubbycosmetics_tz, Beauty, cosmetic & personal care, Dar es Salaam.

17/06/2025

We love feedbacks 🥰🥰 customers 🔥🔥💃🏻

13/06/2025

BODY AND FACE SCRUB

Price 15000

Huondoa seli zilizokufa kwenye ngozi

ngozi kuwa laini na nyororo

Bunch cha mzunguko wa damu

Husaidia bidhaa zingine kufyonzwa vizuri

Hupunguza madoa meusi na makovu madogo

Husaidia kuzuia chunusi na vinyweleo kuziba

Hufanya ngozi kung’aa na kuonekana yenye afya

Mwananyamala A
0654117669
Delivery mahali popote

09/06/2025

DISAAR GLYSERIN

Faida za hii glycerin

Huongeza unyevu kwenye ngozi

Hulainisha na kufanya ngozi kuwa nyororo

Hulinda ngozi dhidi ya uchafuzi wa mazingira

Hupunguza uwezekano wa chunusi

Hafai kwa ngozi nyeti

Husaidia kupunguza madoa na makovu

Hulinda ngozi dhidi ya ukavu wa hewa

Bei 15000

Photos from chubbycosmetics_tz's post 09/06/2025

SERUM SOAP

Husafisha ngozi kwa undani

Huondoa mafuta na uchafu usoni

Hupunguza madoa na makovu

Hulainisha na kung’arisha
ngozi

Huimarisha ngozi kuwa laini na nyororo

Inasaidia kupunguza chunusi na vipele

Ina viambato vya kutunza ngozi k**a vitamin C, collagen

09/06/2025

MY CHOICE SUNSCREEN

Faida za hii sunscreen

Hulinda dhidi ya miale ya jua (UVA & UVB)

Kupungua madoa meusi na mikunjo

Hulainisha na kutuliza ngozi

Ina SPF 60 PA+++ kwa ulinzi wa hali ya juu

Ni nyepesi na haina mafuta mengi

Inafaa kupaka usoni na mwilini

Photos from chubbycosmetics_tz's post 09/06/2025

HALF CAST 24K GOLD OIL

*HII OIL NI BALAAA NA NUSU

BEI 30,000/=

FAIDA ZA HII OIL

Kung’arisha ngozi

Kupunguza mikunjo na dalili za uzee

Kuzuia na kutuliza muwasho/madoa

Kulinda ngozi dhidi ya uchafuzi na jua

Kulainisha na kuipa ngozi unyevu

Kusaidia ngozi kufyonza vipodozi vizuri

09/06/2025

DREAM WHITE SHOWER GEL💥

*inasaidia kuondoa sugu
*inasafisha Ngozi na kuondoa take zote
*inalainisha ngozi

Kwa matokeo Mazuri tumia kila unapooga

Price 30000/=

Piga namba 0654117669

Delivery mikoa yote

Photos from chubbycosmetics_tz's post 16/05/2025

*Ina uwezo mkuubwa sana wakutunza unyevu wa ngozi..
*Ina uwezo mkubwa wa kung’arisha ngozi bila kuchubua.
*Imechanganywa na sunscreen SPF yake ni 50. Yani ni sawa na kusema ni full body sunscreen
*Wale wa Age go huyu ndio mkombozi wao. Inapunguza na kuzuia ngozi kuzeeka kwa haraka. Yani ni best ant- age oil.
*inapunguza dark spot kwa haraka sana.
*Wale wanaotaka ku glow basi huyu ndio mwamba wao. Inakusaidia kungozi kuonekana ya ujana.🔥🔥🔥🔥🔥🔥
*inapunguza pigmentation
* unapaka usoni na mwilini
* ujazo mls 210

Tsh 20000


Tupo Mwananyamala A

Delivery mikoa yote

09/05/2025

EYE CREAM
*Inaondoa mikunjo
*Inaondoa wekundu
*Inaondoa WEUSI
Inatibu MATATIZO ya ngoz. Kuungua ngozi inayozunguka jicho.
15000

Tupo Mwananyamala A

Tunafanya delivery magali popote

Piga namba 0654117669

08/05/2025

COLLAGEN POWDER tsh 15000
*Inaondoa age spot
*Mikunjo ya uzee
*Walioharabika na jua
*Inaziba matundu/vishimo kwenye ngozi
*Inasolve ngozi YENYE hyperpigmentation
*Inaoifanya ngozi kuwa softi.
*Inakaza ngozi iliyolegea

Tupo Mwananyamala A

Tunafanya delivery mikoa yote

#

08/05/2025

VITAMIN E SERUM (15000)
*Inaindoa makunyanzi
*Inaongeza collagen kwenye ngozi
*Inapambana na uzee
*Inaipa ngozi unyevu na monekano wa ujana.

VITAMIN E LOTION (20000)
*imechanganywa na serum kabisa
*ina Harufu nzuri ya kitajiri
*inaipa ngozi unyevu na kuifanya iwe laini

VITAMIN E FACE WASH(15000)
* Mbali na kusafisha ngozi pia inaiandaa ngozi kupokea Vipodozi ili vifanye kazi

Tupo Mwananyamala A


Piga/ WhatsApp 0653117669

Delivery ipo mikoa yote!!

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Website

Address


Dar Es Salaam