chubbycosmetics_tz
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from chubbycosmetics_tz, Beauty, cosmetic & personal care, Dar es Salaam.
17/06/2025
We love feedbacks 🥰🥰 customers 🔥🔥💃🏻
13/06/2025
BODY AND FACE SCRUB
Price 15000
Huondoa seli zilizokufa kwenye ngozi
ngozi kuwa laini na nyororo
Bunch cha mzunguko wa damu
Husaidia bidhaa zingine kufyonzwa vizuri
Hupunguza madoa meusi na makovu madogo
Husaidia kuzuia chunusi na vinyweleo kuziba
Hufanya ngozi kung’aa na kuonekana yenye afya
Mwananyamala A
0654117669
Delivery mahali popote
09/06/2025
DISAAR GLYSERIN
Faida za hii glycerin
Huongeza unyevu kwenye ngozi
Hulainisha na kufanya ngozi kuwa nyororo
Hulinda ngozi dhidi ya uchafuzi wa mazingira
Hupunguza uwezekano wa chunusi
Hafai kwa ngozi nyeti
Husaidia kupunguza madoa na makovu
Hulinda ngozi dhidi ya ukavu wa hewa
Bei 15000
09/06/2025
SERUM SOAP
Husafisha ngozi kwa undani
Huondoa mafuta na uchafu usoni
Hupunguza madoa na makovu
Hulainisha na kung’arisha
ngozi
Huimarisha ngozi kuwa laini na nyororo
Inasaidia kupunguza chunusi na vipele
Ina viambato vya kutunza ngozi k**a vitamin C, collagen
09/06/2025
MY CHOICE SUNSCREEN
Faida za hii sunscreen
Hulinda dhidi ya miale ya jua (UVA & UVB)
Kupungua madoa meusi na mikunjo
Hulainisha na kutuliza ngozi
Ina SPF 60 PA+++ kwa ulinzi wa hali ya juu
Ni nyepesi na haina mafuta mengi
Inafaa kupaka usoni na mwilini
09/06/2025
HALF CAST 24K GOLD OIL
*HII OIL NI BALAAA NA NUSU
BEI 30,000/=
FAIDA ZA HII OIL
Kung’arisha ngozi
Kupunguza mikunjo na dalili za uzee
Kuzuia na kutuliza muwasho/madoa
Kulinda ngozi dhidi ya uchafuzi na jua
Kulainisha na kuipa ngozi unyevu
Kusaidia ngozi kufyonza vipodozi vizuri
09/06/2025
DREAM WHITE SHOWER GEL💥
*inasaidia kuondoa sugu
*inasafisha Ngozi na kuondoa take zote
*inalainisha ngozi
Kwa matokeo Mazuri tumia kila unapooga
Price 30000/=
Piga namba 0654117669
Delivery mikoa yote
16/05/2025
*Ina uwezo mkuubwa sana wakutunza unyevu wa ngozi..
*Ina uwezo mkubwa wa kung’arisha ngozi bila kuchubua.
*Imechanganywa na sunscreen SPF yake ni 50. Yani ni sawa na kusema ni full body sunscreen
*Wale wa Age go huyu ndio mkombozi wao. Inapunguza na kuzuia ngozi kuzeeka kwa haraka. Yani ni best ant- age oil.
*inapunguza dark spot kwa haraka sana.
*Wale wanaotaka ku glow basi huyu ndio mwamba wao. Inakusaidia kungozi kuonekana ya ujana.🔥🔥🔥🔥🔥🔥
*inapunguza pigmentation
* unapaka usoni na mwilini
* ujazo mls 210
Tsh 20000
Tupo Mwananyamala A
Delivery mikoa yote
09/05/2025
EYE CREAM
*Inaondoa mikunjo
*Inaondoa wekundu
*Inaondoa WEUSI
Inatibu MATATIZO ya ngoz. Kuungua ngozi inayozunguka jicho.
15000
Tupo Mwananyamala A
Tunafanya delivery magali popote
Piga namba 0654117669
08/05/2025
COLLAGEN POWDER tsh 15000
*Inaondoa age spot
*Mikunjo ya uzee
*Walioharabika na jua
*Inaziba matundu/vishimo kwenye ngozi
*Inasolve ngozi YENYE hyperpigmentation
*Inaoifanya ngozi kuwa softi.
*Inakaza ngozi iliyolegea
Tupo Mwananyamala A
Tunafanya delivery mikoa yote
#
08/05/2025
VITAMIN E SERUM (15000)
*Inaindoa makunyanzi
*Inaongeza collagen kwenye ngozi
*Inapambana na uzee
*Inaipa ngozi unyevu na monekano wa ujana.
VITAMIN E LOTION (20000)
*imechanganywa na serum kabisa
*ina Harufu nzuri ya kitajiri
*inaipa ngozi unyevu na kuifanya iwe laini
VITAMIN E FACE WASH(15000)
* Mbali na kusafisha ngozi pia inaiandaa ngozi kupokea Vipodozi ili vifanye kazi
Tupo Mwananyamala A
Piga/ WhatsApp 0653117669
Delivery ipo mikoa yote!!
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam
