Juma Hamady

Juma Hamady

Share

Nasaidia Wanaume kuboresha Afya za Uzazi kwa kutumia Virutubisho lishe. Call /text 0745655201

14/02/2023

Ulishawahi kujiuliza kwanini huwa Korodani zina ning'inia na hazipo ndani ya mwili ? 🤔

Ipo sababu ya msingi kabisa kwamba Korodani ziliwekwa nje ya mwili wako , yani zilitengwa zikakaa zenyewe kwenye kifuko chake
Lengo ni kwamba korodani zipate hali ya hewa isiyo ya joto kali.
Maana korodani zinapokua kwenye mazingira ya joto kali hazitengenezi mbegu za kutosha
Zingatia mambo haya ili kusaidia korodani zako zisikae kwenye mazingira ya joto kali :
☂ Usivae nguo za kubana ( mfano nguo za ndani za kubana sana wala usivae jeans za kubana )
☂ Vaa boxer za cotton zisizobana , ziwe na upana kiasi
☂ Lala bila boxer au vaa bukta kubwa ili Korodani zako zipate hewa ya kawaida kusudi kusiwe na joto kali
☂ Epuka kuoga kwa kukaa kwenye maji moto sana au sauna

Call 0745655201

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Makumbusho
Dar Es Salaam