Baajun Health CARE

Baajun Health CARE

Share

Ushauri na huduma za kiafya

28/09/2022

SULUHISHO

1. Suluhisho Linalopendwa

Wanawake wengi baada ya kujifahamu kuwa homoni zao haziko sawa huenda mahospitalini ambako hupewa madawa (bioidentical or synthetic hormones) na wengine hufanyiwa hormone replacement therapy.
Tiba hii huandaliwa kwa ajili ya kuzifanya homoni zifanye kazi zake k**a kawaida. Lakini hupelekea madhara yaliyotajwa hapo awali (juu).

2. Suluhisho La kudumu

Mvurugiko wa homoni unasababishwa mara nyingi na upungufu wa lishe, msongo wa mawazo, na uwepo wa sumu mwilini na hivi vyote ni vitu unavyoweza kurekebisha.
Kwa wanawake wenye changamoto ya mvuzugiko wa hormone mwilini, tume waandalia program ya lishe kamili na virutubisho muhimu. Program hii ni ya vyakula; sio dawa wala miti shamba. Inasaidia kuweka sawa homone za mwanamke, kuboresha mfumo mzima wa uzazi, kuleta heshima ya ndoa maana uke utarudi katika hali yake ya asili (mnato na ute ute ukeni wenye kuleta msisimko wakati wa tendo la ndoa, na kupunguza kasi ya uzee). Sumu zikizidi mwilini mwanamke huzeeka kabla ya wakati na kupatwa na changamoto mbalimbali za kiafya ikiwemo: vimbe zinazo jipachika kwenye uzazi wa mwanamke, vidonda vya tumbo, … n.k Pata ushauri na TIBA asili isiyokuwa na madhara katika afya yako karibu....

KWA USHAURI NA TIBA PIGA SIMU NO:-
0757 923 300

AFYA YA UZAZI WA MWANAMKE NI MTAJI WA MWANAMKE

28/09/2022

MADHARA YA MVURUGIKO WA HOMONI

Pamoja na dalili nyingi tulizoziona tungependa wanawake waelewe vitu vifuatavyo hutokea iwapo atatumia njia za kisasa za uzazi wa mpango. Njia hizo husababisha saratani ya kizazi, CD4 kushuka, sehemu ya uke kuwa baridi, huchangia kwa 50% kufanyiwa upasuwaji (operation) wakati wa kujifungua, huathiri mtoto atakayezaliwa, huathri ubongo (inapunguza uwezo wa kufikiria), kutokwa na majimaji yenye harufu mbaya ukeni na magonjwa ya mara kwa mara.
Ukiendelea kubaki na dalili tajwa hapo awali kwa muda mrefu, kinga ya mwili itashuka kwa kiasi kikubwa na kusababisha madhara mengi k**a yafuatayo:
◇ Kutoshika ujauzito kwa muda mrefu
◇ Mimba kuharibika mara kwa mara;
◇ Kukosa mtoto au Ugumba
◇ Maumivu wakati wa tendo la ndoa
◇ Kuwa na tabia na maumbile ya kiume
◇ UTI (Urinary Tract Infection) ya mara kwa mara
◇ Kuzeeka mapema
◇ Kuziba kwa mirija ya uzazi
◇ Saratani
◇ Uvimbe kwenye uzazi wa mwanamke (Fibroids and Cysts)

KWA USHAURI NA TIBA PIGA SIMU NO:-
0757 923 300

AFYA YA UZAZI WA MWANAMKE NI MTAJI WA MWANAMKE

27/09/2022

DALILI ZA MVURUGIKO WA HOMONI

Mfumo wa homoni ni muhimu sana kwa afya ya ubongo na miili yetu. Husaidia kuzuia magonjwa yasiyo ambukizi kadri umri unavyo songa mbele. Baadhi ya dalili zinazoweza kuonekana kwa mtu mwenye changamoto ya mvurugiko wa homoni ni k**a vile:

♡ Ukavu ukeni
♡ Maumivu wakati wa tendo la ndoa
♡ Kutoa jasho usiku
♡ Maumivu chini ya kitovu wakati wa hedhi
♡ Upungufu wa hamu ya tendo la ndoa
♡ Mabadiliko ya siku za hedhi na kupata hedhi kwa muda mrefu unaozidi siku 7. (heavy bleeding, au kujaza pedi moja kwa saa moja)
♡ Kukosa hedhi kwa muda mrefu, na kutoa damu yenye mabonge mabonge wakati wa hedhi
♡ Uchovu wa mara kwa mara
♡ Hasira za mara kwa mara
♡ Kukosa usingizi
♡ Homa za usiku na Kizunguzungu cha mara kwa mara
♡ Mzio wa vyakula (Allergie), kuchagua chagua vyakula
♡ Ongezeko ya tumbo na nyama uzembe
♡ Kuharibika kwa ngozi (chunusi, vipele… n.k)
♡ Maumivu ya viungo
♡ Upungufu wa nywele kichwani.
♡ Kusahau sana (kukosa kumbukumbu)
♡ Kupata hedhi wakati wa ujauzito (progesterone ikiwa imezidi)
♡ Kutokupata hedhi (balehe) adi umri wa miaka 20 na kuendelea
♡ Mwili kutokukua, kuonekana k**a binti mdogo, na kutokukua kwa via vya uzazi
♡ Msongo wa mawazo na kukosa kujiamini
♡ Kusinyaa na kupauka kwa ngozi wakati wa siku za hedhi na wakati wa utumiaji wa njia za uzazi wa mpango
♡ Maumivu ya kichwa mara kwa mara
♡ Kuwa na tabia ya hamaki (kukosa utulivu)
♡ Kutokupata choo kwa wakati
♡ Misuli hudondoka

KWA USHAURI NA TIBA PIGA SIMU NO:-
0757 923 300

AFYA YA UZAZI WA MWANAMKE NI MTAJI WA MWANAMKE

27/09/2022

VYANZO VYA MVURUGIKO WA HOMONI

Mvurugiko wa homoni ni tatizo linalowakumba wanawake wengi kwa sasa, hii ni kutokana na maisha wanayoishi, elimu finyu waliyonayo juu ya afya zao na kutokula kulingana na makundi ya damu. Vyanzo vya kuvurugika kwa homoni ni

♧Uwepo wa sumu mwilini
♧Unbalanced Lifestyle (mfumo mbovu wa maisha)
♧Umri ukienda sana
♧Kukoma kwa hedhi
♧Kutofanya mazoezi, na kutokulala masaa anayostahili kwa siku
♧Uzito mkubwa
♧Mabadiliko ya mazingira au hali ya hewa
♧Msongo wa mawazo
♧Kula vyakula visivyo endana na Blood Group
♧Upungufu wa lishe mwilini
♧Matumizi ya njia za kisasa za uzazi wa mpango
♧Utoaji wa mimba
♧Family History (Upungufu au ongezeko ya homoni ya progesterone na Estrogen)
♧Ongezeko ya homoni ya Androgen (Kuota ndevu, sauti k**a mwanaume)
Bara (Ethnicity): Wanawake wa Afrika wengi wana hili tatizo la ongezeko ya Homoni ya Estrogen, ndiyo maana wana maumbile makubwa

KWA USHAURI NA TIBA PIGA SIMU NO:-
0757 923 300

AFYA YA UZAZI WA MWANAMKE NI MTAJI KWA MWANAMKE

27/09/2022

*FAHAMU AFYA YA UZAZI WA MWANAMKE*

1. MVURUGIKO WA HORMONE NI NINI?

Mvurugiko wa homoni za mwanamke ni kitendo cha kuongezeka au kupungua kwa vichochezi katika mwili wa mwanamke, pale anapo pata hedhi, hivyo hufanya mwili kubadilika.

Mvurugiko huo huathiri kila mwanamke kwa zaidi ya 80%. Asilimia kubwa ya wanawake mabadiliko huanza kati ya miaka 40 na 50, lakini pia kukosekana kwa usawa wa homoni huweza kuonekana mapema zaidi, kuanzia miaka 14.

Mabadiliko haya asilia hutokea wakati wa balehe, hedhi, ujauzito, kabla na baada ya ukomo wa hedhi. Mvurugiko wa homini kwa mwanamke huweza kuchangiwa kutokuwepo na usawa katika homoni zifuatazo Estrogen, Progesterone na Testosterone. Kupungua au kuzidi kwa homoni hizi kupelekea mvurugiko wa homoni kwa mwanamke.

Kwa ushauri na Tiba piga simu no:-
0757 923 300

AFYA YA UZAZI WA MWANAMKE NI MTAJI WA MWANAMKE..

08/08/2022

JINSI YA KUJIKINGA NA MAGONJWA YA MFUMO WA MMENG'ENYO...

Magonjwa hayo yanaweza kuzuiwa kwa kula chakula chenye nyuzinyuzi, kuenda chooni wakati unaofaa pamoja na kuenda kufanyiwa skrini ili kukaguliwa usiende ukawa na saratani ya utumbo.

Hata baada ya kufanya hayo yote, huenda ukapata kwamba bado una shida za mfumo wa mmeng'enyo wa chakula. Hili likifanyika, wafaa umwone daktari anayekabiliana na magonjwa ya mfumo wa mmeng'enyo wa chakula aliyesomea somo la gastroenterolojia..

KARIBU TUKUPATIE TIBA..
Kwa Mawasiliano piga simu no 0757 923300

07/08/2022

AINA ZA MAGONJWA YA MMENG'ENYO WA CHAKULA

Mfumo wa mmeng'enyo wa chakula hukumbwa na magonjwa tofauti ambayo yanaweza kumfanya mtu asile chakula fulani au akose kula chakula kabisa, akonde na hata pengine afe njaa. Magonjwa hayo ni k**a uvimbe wa utumbo (constipation), fistula ya njia ya haja Kubwa, saratani ya utumbo, madonda ya njia ya haja kubwa (perianal infections), bawasiri na colon polyps.

PIGA SIMU NO 0757 923300

05/08/2022

UTUMBO MPANA

Chakula kinachotoka katika utumbo mwembamba na kuingia utumbo mpana huwa ni kile ambacho hakikuweza kumeng’enywa au kimeng’enywa lakini hakikusharabiwa. Sehemu ndogo tu ya chakula kilichomeng’enywa husharabiwa na utumbo mpana. Sehemu kubwa ya maji iliyotokana na mmeng’enyo wa chakula husharabiwa na utumbo mpana. Sehemu iliyobaki ya chakula huelekea puru na kutolewa nje kupitia njia ya haja kubwa k**a kinyesi.

TUPIGIE KWA SIMU NO.0757 923300

01/08/2022

MACHACHE KUHUSU UTUMBO MWEMBAMBA

Kutoka kwenye mfuko wa tumbo, chakula huelekea utumbo mwembamba. Utumbo mwembamba ni mrefu kuliko ogani nyingine yoyote ya njia ya chakula. Chakula huwa ndani ya utumbo mwembamba kwa muda mrefu kuliko sehemu nyingine za njia ya chakula. Katika utumbo mwembamba chakula hukutana na misusumo yenye vimeng’enya ambavyo hutoka kwenye kongosho na utumbo mwembamba. Vimeng’enya hivyo husaidia kuyeyusha chakula.

Utumbo mwembamba umegawanyika katika sehemu mbili, duodenum na ileum.

karibu sanaa... 0757 923300

DUODENUM...

30/07/2022

*LEO TUTAANGALIA MFUMO WA TUMBO*

*MFUMO WA TUMBO*

Mfumo wa tumbo ni wap? ni mahala ambapo Chakula huifadhiwa. Mfuko huo una uwezo wa kupanuka wakati unapopokea chakula na kusinyaa unapokuwa hauna chakula. Chakula huwa katika tumbo mwa muda wa saa tatu hadi nne. Muda huo hutegemea aina ya chakula. Chakula cha kabohaidreti, kwa mfano uji wa [mahindi]], huwa tumboni kwa muda usiozidi saa moja. Chakula cha protini kwa mfano nyama, huweza kukaa tumboni kwa muda wa saa moja au mbili.

Katika mfuko wa tumbo, kuna kuta za tumbo zina tezi (gastric glands) zitoazo misusumo ya gastriki (gastric juice) ambayo huwa na asidi ya haidrokloriki, uteute na kimeng’enya. Vimeng’enya vinavyotolewa tumboni ni pepsinogen, prorennin, rennin.

1. ASIDI YA HAIDROKLORIKI

Asidi ya haidrokloriki (HCl) husaidia kufanya mambo yafuatayo tumboni:

Husaidia kuweka mazingira ya asidi ili vimeng’enya vya tumbo viweze kufanya kazi, vimeng’enya vya tumboni hufanya umeng’enyaji kwa ufanisi katika hali ya uasidi.
Huvunja sukari tata (complex sugar) kuwa sukari rahisi,huua bakteria waliomo katika chakula, huanzisha ufanyaji kazi wa vimeng’enyo vingine katika tumbo. Pepsinogen na prorennin hubadilishwa kutoka katika hali ya awali na kuwa pepsin na rennin kwa mpangilio uliotajwa; hali ambazo hasa ndizo zifanyazo umeng’enyaji.

2.PEPSIN

Pepsin humeng’enya chakula cha protini na kuwa peptides, Pepsin hutolewa katika namna ya pepsinogen. Namna hii haiwezi kufanya mmeng’enyo mpaka itakapokutana na asidi; hivyo kuzuia kumeng’enya seli zinazoitoka katika tezi za tumbo.

3. RENNIN

Rennin hugandisha protini iliyo katika maziwa ili kimeng’enya cha pepsin kiweze kuivunja protini kwenda katika peptides. Kimeng’enya hiki pia hutolewa katika namna ya prorennin, ambacho huhitaji pia asidi ili kiweze kufanya kazi yake. Kimeng’enya hiki hupakitana sana katika matumbo ya mamalia wachanga walio katika kipindi cha kunyonya.

4. UTEUTE

Uteute wa tumbo hulinda kuta za tumbo ili zisikwanguliwe na asidi ya haidrokloriki na pepsin. Bila uteute huu tumbo linaweza kujimeng’enya. Kuna uhusiano wa karibu sana kati ya uteute huu, asidi ya haidrokloriki na ugonjwa wa vidonda vya tumbo (ulcers).

*BASI LEO TUMALIZE NA KAZI ZA TUMBO*

Kwa ufupi kazi za tumbo ni k**a ifuatavyo:

Hutumika k**a sehemu ya kutunzia chakula kwa muda mfupi kabla ya kuendelea umeng’enywaji katika sehemu nyingine za mfumo wa chakula, umeng’enywaji wa chakula cha protini huanzia katika tumbo. Kwa kutumia misuli yake, tumbo husaidia kuchanganya chakula na misusumo ya tumbo, hivyo kuboresha zoezi la umeng’enyaji tumboni.
Usharabiwaji wa maji, alkoholi na baadhi ya vitamini hutokea katika tumbo. Mfuko wa tumbo una misuli ambayo husinyaa na kutanuka mara nyingi, hivyo kwa muda wote chakula kinapokuwa kwenye mfuko huo huchanganywachanganywa. Kitendo hicho, pamoja na athari za misusumo iliyopo kwenye mfuko wa tumbo, husababisha kufanyika kwa tuitumbo (kwa Kiingereza huitwa chyme).

KARIBU KWA MAWASILIANO TUPIGIE SIMU NO
0757 923300.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam
Dar Es Salaam