MamaPinky_Accessories
Karibu tukuhudumie, karibu uwe wakala wa bidhaa zetu.
� Tunapatikana kwa mawasiliano na malipo yote 0713609932 Stella Makere
#YourMostlyWelcome�
Kwa Tiba na Ushauri kuhusu,
� Afya:
�Lishe:
�Matumiz Sahihi ya virutubisho lishe
�Naomba kujua Jina lako na changamoto yako ili niweze kukusaidia.
�Brighter future & Better life�Call/text/WhatsApp 0713609932. Karibu MamaPinky_Accessories� Tuna bidhaa mbali mbali za Virutubisho Lishe (Suppliment) za Afya za Asili kwa magonjwa mbalimbali kisukari, pressure, bawasiri, matatizo ya uzazi, Tezi dume, homon imbalance, magonjwa ya ngozi na Kinywa, Matatizo yote sugu.
NAMNA AMBAVYO ACID REFLUX HUATHIRI MIFUMO MINGINE YA MWILI:
Acid reflux ni tatizo linaloanzia kwenye mfumo wa mmeng'enyo wa chakula (Gastrointestinal system) na kuathiri mifumo mingine ya mwili.
Mifumo ya mwili inayoathiriwa na acid ni k**a ifuatavyo :⤵️⤵️
1. Mfumo wa fahamu *(Central nervous system)*
2. Mfumo wa moyo *(Cardiovascular system)*
3. Mfumo wa upumuaji *(Respiratory system)*
4. Mfumo wa mifupa na misuli *(Musculoskeletal system)*
5. Mfumo wa pua,koo na masikio *(ENT)*
DALILI ZINAZOONESHA KWAMBA MFUMO WAKO WA FAHAMU UMEATHIRIWA NA ACID REFLUX:
1. Kusahau mara kwa mara.
2. Macho kupunguza uwezo wa kuona.
3. Kupata ganzi kwenye vidole vya mikono na miguu
4. Kuhisi kuchanganyikiwa *(CONFUSION)*
5. Mwili kuchoma choma
6. Kuwa na wasiwasi na khofu bila sababu za msingi
DALILI ZINAZOONESHA KWAMBA MFUMO WAKO WA MOYO UMEATHIRIWA NA ACID REFLUX:
1. Mapigo ya moyo kwenda mbio/kupaparika ( *Heart palpitations)*
2. Presha kupanda *(temporary hypertension)*
3. Kupata Kizunguzungu
4. Maumivu ya kifua
5. Kupata ganzi mkono wa kushoto
6. Kuhisi Mapigo ya moyo yapo chini sana
DALILI ZINAZOONESHA KWAMBA MFUMO WAKO WA UPUMUAJI UMEATHIRIWA NA ACID REFLUX:
1. Kupumua kwa shida.
2. Mafua ya mara kwa mara
3. Kupata kwikwi za mara kwa mara
4. Mafua yasiyoisha
5. Kikohozi kisichoisha
6. Maumivu makali ya kifua
DALILI ZINAZOONESHA KWAMBA MFUMO WAKO WA MISULI NA MIFUPA UMEATHIRIWA NA ACID REFLUX:
1. Maumivu makali ya mgongo.
2. Maumivu ya viungo.
3. Kuchoka mara kwa mara.
4. Sehemu za mwili kuchezacheza k**a vile chini ya macho nk.
DALILI ZINAZOONESHA KWAMBA MFUMO WAKO WA PUA, MASIKIO NA KOO UMEATHIRIWA NA ACID REFLUX:
1. Maumivu makali ya koo.
2. Kuhisi kitu kimekwama kooni.
3. Kupata Tonsillitis *(mafidofido)* mara kwa mara.
4. Kupata ugumu wa kumeza chakula.
5. Kuhisi masikio mazito.
6. Masikio kupiga kelele.
7. Mafua yasiyoisha.
Kwa tiba na ushauri wasiliana nasi.
0713 609 932
*K**a wapitia dalili hizi njoo inbox
💢CHOO K**A MAVI YA MBUZI SABABU NI NINI?
Ulishaona mtu anaenda chooni anatoa haja kubwa inayofanana na choo cha mbuzi?
Yaani choo k**a kinakua k**a na vigoroli au vimawe vidogo vidogo.
Hii inatokea k**a:-
-Hunywi maji ya kutosha
-Huli mboga za majani
-Huli matunda
-Hufanyi mazoezi au muda mrefu umekaa sehemu moja.
Huambatana na"-
Kujikamua wakati wa haja kubwa
Tumbo kujaa gesi
Kuhisi k**a choo hakijaisha baada ya kujisaidia
💢Chakufanya*:-
Kunywa maji mengi walau lita 2 kwa siku
Kwa siku usikose mboga za
majani, Matunda, karanga,korosho nk
Fanya mazoezi mepesi k**a Kutembea Na Kuruka Kamba
“*By The Way*” K**a Unasumbuliwa Na Bawasiri Na Choo Kigumu Kwa Muda Mrefu tunadawa ambayo ukitumia utapona mala moja
💢Usisahau Kwamba Bawasiri Ukiipuuzia Itakuletea shida Kubwa Mno Katika afya ya Uzazi kwa wanaume Kidudu Kinaweza Kikashindwa Kusimama kabisa_0713609932
17/03/2026
Detoxification Remedies
body detoxification
FAIDA ZA KUTUMIA DETOXILVE SOFT GELS
Bidhaa hii ni muhimu sana kwa kila mtu kutokana na kazi zake mwilini hasa katika organs muhimu k**a vile Figo, Ini, Mapafu, Kongosho, Ubongo n.k.
Tunatumia vyakula , vinywaji na madawa yenye kemikali na sumu lakini hatuli vitu vinavyo toa sumu mwilini. Habari njema ni kwamba DETOXILIVE ni suluhisho.
Hizi ni baadhi ya Faida za DETOXILIVE
1. Huondoa sumu mwilini.
2. Inaimarisha ubongo na kutunza kumbukumbu
3. Inaondoa madhara ya pombe kwa wanywaji na kulinda INI na FIGO
4. Inaondoa mafuta yaliyozidi mwilini, baada ya kula kutumika ili kuzuia kuota kitambi.
5. Inaondoa sukari iliyozidi mwilino na ni nzuri kwa wenye shinikizo la damu (pressure)
6. Huondoa hali ya uzee wa sura na mwili kabla ya wakati
7. Ina ondoa uric acid iliyo zidi mwilini
8. Huondoa maumivu ya viungo hasa kwenye maungio kwani ina balance kiwango cha uric acid.
9. Inaimarisha utendaji kazi mzuri na kuzuia madhara kwenye figo, ini, kongosho na mapafu.
10. Inaleta usingizi mzuri sana n.k..
K**a unahitaji bidhaa hii tupigie simu kupitia namba 0713 609 932.
16/03/2026
JINSI YA KUTUNZA NA KUTIBU NGOZI NA ANATIC HERBAL SOAP
Ni sabuni ya asili iliyotengenezwa kwa asali, green tea(majani ya chai), mbegu za zabibu.
*HAINA KEMIKALI* zimetengenezwa katika maabara na kuthibitishwa Nchini Marekani(FDA) na TFDA(Tanzania) hufanya kazi nyingi na maajabu.
1⃣_ *KUONDOA CHUNUSI SUGU NA MADOA YALIYOSHINDIKANA* .,
hutengeneza seli zilizokufa kwa kuondoa rangi ya madoa, alama za kuungua katika ngozi na kupunguza mlundikano wa mafuta unaosababisha chunusi zisizokwisha.
*2⃣_HUTUMIKA KUSHEVIA NA KUONDOA HARUFU MBAYA YA JASHO KALI* (kikwapa)
ukitumia kushevia italinda hali ya kutoka na mapele yatokanayo na wembe, na huyaponya yote k**a tayari yalishatokea,
*3⃣_HUONDOA WEUSI MAKWAPANI NA SEHEMU ZA SIRI .,*
Huondoa rangi yote isiyohitajika katika ngoz na kuiacha rangi moja tu yenye kupendeza ikibaki na asili yake
*4⃣_HUONDOA MIKUNYANZI
hupambana na hali ya ngozi kuchoka mapema na kurudisha unyevunyevu katka ngoz kwa kuondoa mikunjo mikunjo
*5⃣_HUTIBU FANGASI ZA MIGUU NA MAGAGA .*
huondoa ngozi iliyofubaa kwa kuondoa magaga madogo madogo na fangasi za miguu kwa wale wanaovaa viatu kwa muda mrefu.
*6⃣_HUTIBU M,BA MAPUNYE NA UTANGOTANGO*
Inafaa sana kwa watoto wenye mapunye, inayatibu na kuimarisha ngozi zao kwani ni tofaut na sabun za kawaida, hali kadhalika hutumika kuoshea nywele kwa wenye m,ba kichwani na kuondoa utangatanga kwa jinsia zote.
*7⃣_TUMIA KWA ULINZI TOSHA WA NGOZI YAKO .*
pia unaweza kuitumia hata k**a hauna tatizo lolote, kwani ni tofauti kabisa na sabuni nyingine., Inaharufu nzuri pia huondoa hali ya miwasho mwilini.
*INAPATIKANA KWA GHARAMA YA TSHS 15,000/= delivery ipo
Call/Text/WhatsApp upate yako leo. 0713609932.
17/01/2026
# # #
DODOMA TANZANIA 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
DODOMA sasa ni Zamu yenu
Kampuni ya BFSUMA inayojihusisha na Tafiti,Uzalishaji na Usambazawaji wa BIDHAA BORA ZA AFYA DUNIANI .
Inakualika katika Seminer kubwa ya Biashara ili uweze kuwa Msambazaji wa Bidhaa za AFYA .
Seminer hii itafanyika Weekend hii hapa DODOMA MJINI .
SIKU : Jumapili
TAREHE :18/01/2026
MUDA :Saa NANE MCHANA
MAHALI :EMMAUS IPAGALA
Thibitisha Ushiriki wako upate Card ya Kuingilia Ukumbini kwa kupiga 0713609932
Kwa Tiba na Ushauri kuhusu,
� Afya:
�Lishe:
�Matumiz Sahihi ya virutubisho lishe
�Naomba kujua Jina lako na changamoto yako ili niweze kukusaidia.
�Brighter future & Better life�Call/text/WhatsApp 0713609932.
20/10/2025
NTDiarr Pills
Nini Maana Ya Antidiarr pills ?
Hiki ni kirutubisho kilichotengenezwa kiasili na ni maarufu kwa kuitwa Magical pills for Diarrhea
VIAMBATA VYAKE👇
☆ Creosote
☆ Cortex phellodendri chinensis
☆ Cortex cinnamomi
☆ Flos caryophylli
☆ Pericarpium citri reticulate
☆ Menthol
☆ Radix et rhizoma glycyrrhizae.
Kwa ujumla wa viambata hivi kirutubisho hiki kinafaida kubwa katika mwili
FAIDA ZA NTDIARR
● Huondoa mvurugiko wa tumbo
●Huondoa kwa haraka maumivu makali ya tumbo
●Inazuia na kuondoa hali ya mtu kuhara
● Humsaidia mtu anayejisikia kichefuchefu na kutapika
● Huzuia na kuondoa hali ya tumbo kujaa gesi
● Husaidia kupunguza maumivu ya jino
● Husaidia kuondoa vidonda vya tumbo ikitumika na Constirelax prebiotics
● Husaidia Kupunguza maumivu ya period
●Huimarisha zaidi mfumo wa chakula
Kopo 1 Elfu 10,000/= Full doses ni Kopo 3. PLACE UR ORDER CALL/TEXT/WHATSAPP 0713609932.
Karibu MamaPinky_Supplements 🌸 Tuna bidhaa mbali mbali za Virutubisho Lishe (Suppliment) za Afya za Asili kwa magonjwa mbalimbali kisukari, pressure, bawasiri, matatizo ya uzazi, Tezi dume, homon imbalance, magonjwa ya ngozi na Kinywa, Matatizo yote sugu. Karibu tukuhudumie, karibu uwe wakala wa bidhaa zetu.
🌸 Tunapatikana kwa mawasiliano 0713609932, na Malipo yote
Lipa Namba: 37272994
Jina: LIPA STELLA NICHOLAUS MAKERE.
na Instagram 🌺
10/10/2025
LEO NI SIKU YA AFYA YA AKILI DUNIANI 👇👇
KARIBUNI TUJIFUNZE PAMOJA...
08/10/2025
TUANGALIE DALILI ZA KUTANUKA KWA TEZI DUME
Katika hatua zake za awali, saratani ya tezi dume hazitofautiani sana na zile za kuvimba kwa tezi dume (BPH). Dalili hizo ni pamoja na:-
1. Kupata shida unapoanza kukojoa
2. Kutiririka kwa mkojo baada ya kumaliza kukojoa
3. Kukojoa mkojo wenye mtiririko dhaifu
4. Kukojoa mara kwa mara hasa nyakati za usiku
5. Kujikakamua wakati wa kukojoa na kudhindwa kumaliza mkojo wote
6. Kutoa mkojo uliochanganyika na damu
7. Kutoa shahawa zinazochanganyika na damu
8. Maumivu makali ya mifupa katika maeneo ya nyonga, mapajani na kiunoni
9. Uume kushindwa kusimama (uhanisi)
10. Kushindwa kabisa kukojoa au kupitisha mkojo.
Aidha mgonjwa huwa na dalili nyingine zinazoweza kumpata mgonjwa mwingine yeyote wa saratani k**a vile kupungua uzito, kuhisi kichefuchefu, uchovu, kizunguzungu n.k
TEZI DUME NI UGONJWA HATARI TAKRIBAN 85% YA WAGONJWA WANAOFANYIWA MATIBABU KWA NJIA YA OPERATION HUWA HAWAPONI ENDAPO UTAKUWA UMECHELEWA KUFANYIWA MATIBABU.
TUNAWEZA KUZUIA KUTANUKA KWA TEZI DUME AU KUSAIDIA TEZI DUME ILOTANUKA IRUDI KWENYE HALI YA KAWAIDA KWA KUTUMIA VIRUTUBISHOLISHE
USHAURI KWA WANAUME WA MIAKA 35+ KULINGANA NA MTINDO WA MAISHA YA SASA KUANZIA VYAKULA, VINYWAJI, KUJICHUA,NK BASI UNAPASWA KUTUMIA VIRUTUBISHOLISHE KUILINDA TEZI DUME YAKO ILI KUEPUKA ATHARI ZA KUPUNGUKIWA NA NGUVU ZA KIUME, NA KUPATA MADHARA YA KUTANUKA KWA TEZI DUME
/text/WhatsApp 0713609932.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam
