AFYA FIT
Afya yako kwa virutubisho LISHE hivi ni vya uhakika kabisa ( vyenye mchanganyiko wa matunda na mbog
12/09/2023
UFAHAMU UGONJWA WA TEZI DUME NA MADHARA YAKE.
Kila mwanaume anazaliwa na Tezi dume. Tezi dume siyo ugonjwa bali ni kiungo k**a viungo vingine mwilini.
Tezi dume inapatikana katika mfumo wa uzazi wa mwanaume katika shingo ya kibofu cha mkojo.
Kazi yake kubwa nikutengeneza majimaji ya uzazi wa mwanaume (shahawa), ambayo husaidia kurutubisha mbegu za kiume zilizo tengenezwa kutoka kwenye Korodani na husaidia mbegu za kiume kubaki hai kwa muda unaostahili.
Tatizo linakuja kiungo hiki kinapoanza kutanuka. Kiungo hiki kinatanuka taratibu taratibu mno. Hili ni tatizo linalo wakumba wanaume wengi.
Takwimu zinaonesha kwamba kati ya wanaume 10, wa 5 na kuendelea wana dalili za kutanuka kwa Tezi dume.
Ukuwaji wa Tezi dume ni ile hali ya chembe chembe hai katika tezi ya kiume kukua bila kufuata utaratibu wa mfumo wa mwili katika eneo linalo zunguka mirija ya kupitisha mkojo na mbegu za kiume.
Tatizo hili kwa sasa linawapata wanaume kuanzia umri wa miaka 25 na kuendelea, tofauti na awali lilikuwa miaka zaidi ya 50.
Takwimu kutoka kwenye shirika la CHRP (Centre for Human Right Promotion), zinaonesha kwamba kiujumla kila mwanaume katika maisha yake ana 16% za kugundulika na saratani ya Tezi Dume,
mtu 1 kati ya watu 6 analo hili tatizo; 3% (1 kati 33) wanakufa kwasababu ya Saratani ya Tezi Dume.
Saratani hii inaua mwanaume mmoja kila baada ya dakika 13
II. VYANZO VINAVYOPELEKEA TEZI DUME KUTANUKA
Tatizo la kutanuka kwa tezi dume limekuwa kwa kasi sana hii ni kutokana na mitindo ya maisha wanaume wengi wanayoishi.
Pia na elimu ndogo iliyoko kwenye jamii kuhusu afya zao.
Vifuatavyo ni vyanzo vya kutanuka kwa tezi dume
- Ukosefu wa lishe kamili na Virutubisho muhimu mwilini
- Uwepo wa sumu nyingi mwilini
- Kutokufanya mazoezi
- Matumizi ya pombe kali, na uvutaji wa sigara
- Uzito mkubwa (uliopindukia, uliokithiri), na Kitambi
- Kutokukaa sawa kwa vichocheo vya mwili (Hormone Imbalance)
- Msongo wa mawazo ( Stress )
- Magonjwa ya zinaa
- Umri mkubwa
- Upasuwaji wa korodani, kuzaliwa na korodani moja,
ZIFUATAZO NI DALILI ZA TEZI DUME.
- Kukojoa mkojo uliochanganyikana na damu
- Kukojoa mkojo wenye mtiririko dhaifu
- Maumivu kwenye mfumo wa mkojo
- Kuhisi maumivu wakati wa kukojoa.
Inawezekana ushaanza kupata dalili hizo, lakini usiwe na wasiwasi kwa sababu ipo njia rahisi na salama zaidi kutatua hali hiyo bila upasuaaji kabisa.
Jifunze zaidi hapa namna ya kutatua uvimbe wa tezi dume bila upasuaji kwa kugusa maandishi haya ya bluu au sehemu iliyoandikwa 'Learn More'
https://bit.ly/3HN9OIJ
13/07/2023
HAKIKISHA UNAPATA CHOO KWA WAKATI TOA SUMU MWILINI JENGA AFYA
Unakula Milo 3 Kwanini Hupati choo kwa Wakati ? wengine Hadi siku 3 Hupati choo
Anaandika Consultant_Idriss
Kuna msemo wa zamani wa wahenga wanasema
(The Death Begins in the colon) kwa tafsiri ya lugha nyepesi tu ya kiswahili Umauti huanzia kwenye utumbo.
Njia ya afya nzuri ni utumbo kuwa na Afya kwa kuondoa sumu (detoxification) tumboni na Uchafu wote bila kujali ugonjwa au shida ni nini toa sumu na Uchafu
Unapotoa sumu mwilini sio tu unasafisha na Kutoa Uchafu Katika tumbo Lakini lazima ujue kwamba unaenda kusafisha mrija unaoendelea kutoka mdomoni hadi kwenye haja kubwa , Kumbuka mrija ulotoka kuanzia mdomon Hadi haja kubwa kila sehemu ina kazi yake.
🌿 Usagaji chakula tunachokula
🌿 Mwili kufyonza virutubisho vya chakula ulichokula
🌿Kuchakata taka kutoka kwenye chakula Hicho na kuziondoa mwilini
Sasa Hupati choo kwa Wakati Kwasababu zile stage 6 za digestive system hazifanyi kazi vizuri yaan hauko sawa kufata mtiririko hu
Diet, Digestion, Absorption, Circulation, Assimilation an then Elimination
Kwa mantic hio K**a utasafisha Tumbo , kuondoa sumu ili kujenga Afya lazima program hio ilenge vipengele vyote hivi.
🌿 Kuondoa vitu vyote vya zamani vya kinyesi kwenye utumbo
🌿. Lazima iondoe metal nzito na sumu za madawa au mabaki ambayo yanakusanywa katika mwili.
🌿 Imarisha misuli ya utumbo ili ifanye kazi tena
🌿 Kurekebisha uharibifu wowote k**a vile henia na kuvimba kwa koloni na utumbo mwembamba.
🌿 Kuondoa uwepo wa polyps na ukuaji mwingine usio wa kawaida ambao umeishi katika mazingira yasiyo takiwa
🌿 Kurejesha upya bakteria ambazo wanapaswa kuwepo karibu na mrija wa kutoka mdomoni hadi kwenye njia ya haja kubwa.
TATIZO LA DIGESTIVE UNAOHUSISHWA NA UTUMBO.
🌿 Kuvimbiwa
2. Ugonjwa wa Diverticular (Herniation ya koloni)
🌿 Bawasiri
🌿Tatizo la kuwa na hasira
🌿 Ugonjwa wa vidonda vya tumbo
6.Kisukari
🌿 Saratani ya utumbo mpana au puru
MWISHO
Nipigie tuongee Afya nitakusikiliza nitakushauri vizuri zaidi ndg ikibidi nikupe suluhuhisho sahihi la Tatizo lako nambie nataka Kutoa sumu mwilin
Call me/whtsap
📲📞0717398068
0624813120
🌱
04/07/2023
Tafiti zinasema “Mwanaume baada ya kutafuta mali kwa jasho la damu na akafanikiwa kuzipata hutafuta nani wa kutumia naye”
Mtu wa kwanza ni Mke wako, Mtu wa Pili ni watoto wako na mtu wa tatu ni Familia yako na ndugu zako.
Jiulize sasa una mali nyingi halafu ikifika uwanja wa fundi seremala mwanaume unaweka gia kwa mkeo Gia zikifika 5 wewe unafunga breki na Huna tena mpango wa kusafiri.
Hali hio huwavuruga wanaume wengi sana kiasi kwamba hata pesa zote unazomiliki unaziona hazina thamani.
Unakuwa na Msongo kwamba:
1. Mke wangu ananifikiriaje kwa tukio k**a hili?
2. Mke wangu mbona k**a namtesa ninacho mfanyia?
3. Wivu unakuwa mkali kupita kiasi ukidhania mke wako labda anaweza kutafuta mwanaume mwingine anayeweza kupandisha gia na kuzipangua zote.
Kwa hio basi kwa sababu saikolojia ya mwanaume imetengenezwa kutokubali “Kushindwa kitu”. Jambo hili huwatafuna wanaume wengi sana akijiuliza “Why Why why why”
Ndio maana napenda kuwashauri wanaume mnaosema Pesa ndio kila kitu. Usijisahau kutunza mwili wako unapokuwa unazitafuta pesa.
Tafuta pesa Huku unalinda afya yako ni siri mojawapo ya kukufanya usije kupoteza pesa gafla unazo zitafuta.
Hakuna tajiri duniani anayetafuta pesa kila siku halafu hajifunzi mbinu za kuzitunza pesa zisije kupotea mikononi mwake milele.
Njia mojawapo ni kuwa na Ndoto ya
1. Kumiliki pesa na Mali zote unazotaka kumiliko hapa duniani.
2. Ndoa yako iwe na furaha kwa kuhakikisha nguzo zote za ndoa unazitimiza. Kutoa tumizi kubwa halafu Hujapangua gia za mke wako “Bado mwanaume hutaonekana kichwa cha familia”
3. Uwe na ndoto ya kuwa Tajiri huku ukiwa umekwepa magonjwa yote yakujitakia hasa magonjwa ya lishe na magonjwa ya mfumo wa maisha.
Ni heri mwanaume ukose Pesa ya tumizi nakwambia “Kuliko kushindwa kupangua gia za mwanamke mnapokuwa safarini kwenye uwanja wa Fundi seremala”
Kula vizuri, Pata pesa, Miliki mali, Pangua Gia zote kabla ya kufunga breki, Tengeneza ndoa yenye furaha na amani.
Kwa Uzoefu wangu “Wanaume wanapendwa siku hizi hata k**a hana hata shilingi mia moja ila tu awe na uwezo wa kupangua Gia zote safarini”
Hebu Fikiria “Una uwezo wa kumpa mwanamke vitu vyote vya thamani lakini Huwezi Kupangua gia”
Tumekuandalia njia Mpya ya kuweza kutatua changamoto ya kushindwa Kupangua gia kwa mke ambayo utafanya na ndani ya wiki moja tu utaweza pangua vizuri na kwa uhakika zaidi uweze kufurahia maisha ya ndoa pia ww na mwenza wako💪💪
Kwa ushauri kuhusu afya please nipigie tuongee afya nikushauri vizur zaidi ikibidi nikupe suluhuhisho sahihi la Tatizo lako
Call me/whtsap
📲📞0717398068
0624813120
🌱
03/07/2023
FAHAMU KUHUSU REFLUX YA ACID:
Hii ni hali ambayo hutokea wakati wa yale yaliyomo ndani ya tumbo kurudi Kwenye umio (mrija unaounganisha kati ya tumbo na mdomo).
Unapomeza chakula sphincter muscles ya chini hulegea na kufunguka ili kuruhusu chakula kishuke Kwenye tumbo. Ikiwa misuli hii italegea kusiko Kawaida au kudhoofika , acid iliyoko tumboni inaweza kurudi Kwenye umio na kusababisha ACID REFLUX au KIUNGULIA chenye maumivu.
-Zipo dalili nyingi ambazo huashiria mtu kusumbuliwa na tatizo la kuzidi kwa Acid tumboni,dalili hizo ni zifuatazo:⤵️⤵️
1.🖇️ Kuwaka moto kifuani(Kiungulia) hasa wakati wa usiku au unapolala,hali hii hutokea pia mara baada ya kula.
2.🖇️ Mapigo ya moyo kwenda mbio/kushtuka kwa moyo baadhi ya nyakati.Hali hii hupelekea baadhi ya watu kuhisi wana matatizo ya moyo.
3.🖇️ Kuhisi k**a kichwa kimevurugika na kuhisi kuchanganyikiwa.
4.🖇️ Kuwa na wasiwasi na khofu kubwa na hufikia hatua hata ukipigiwa simu hasa nyakati za usiku moyo huanza kwenda mbio na kujawa na wasiwasi mkubwa.
5.🖇️ Kukosa usingizi ama kushtuka mara kwa mara kutoka usingizini.
6.🖇️ Kupumua kwa tabu baadhi ya nyakati.
7.🖇️ Kuvimba Tonsillitis/mafidofido mara kwa mara.
8.🖇️ Mdomo kuwa mchachu na huwez kupelekea kutoa harufu mbaya ya kinywa.
9.🖇️ Kuhisi k**a kuna kitu kimekwama kooni lakin kila unavyojaribu kukitoa hakitoki.
10.🖇️ Kupata maumivu ya mgongo hasa sehemu ya mabega,maumivu makali kana kwamba umenyanyua vitu vizito.
11.🖇️ Mwili kuwa na uchovu usioisha utadhani unafanyakaz ngumu kila siku.
12.🖇️ Mwili kupata baridi na wakat mwingine kuhisi homa kabisa.
Kwa ushauri kuhusu afya please nipigie tuongee afya nikushauri vizur zaidi ikibidi nikupe suluhuhisho sahihi la Tatizo lako
Call me/whtsap
📲📞0717398068
0624813120
🌱
21/06/2023
Upungufu wa protein mwilini Sababu zinazopelekea Kula vyakula visivo na virutubisho vya kutosha hupelekea pia Tatizo kwenye maini au mafigo
Dalili zake ni
🚫Kuwa dhaifu Sana
🚫Kuchoka Sana
🚫Kupata maradhi ya maambukizi mara Kwa mara
🚫Kuchoka Sana
🚫Nywele kuanguka Sana
🚫Ngozi kuwa kavu
🚫Kucha kuwa nyepesi Sana
🚫Mood yako kutokuwa Sawa
🚫Hamu ya Kula Sana mara Kwa mara
🚫Hatari ya upungufu wa protein mwilini
🚫Kuvimba mwilini k**a miguu , mikono , nk
🚫Maini kujaa mafuta
🚫Matatizo ya ngozi, nywele na kucha
🚫Muscle za mwili kuwa nyepesi Sana
🚫Mifupa kupasuka haraka
🚫Kwa watoto wanakuwa wanazorota kwenye ukuaji wao
🚫Kupata infection mara Kwa mara
Kwa ushauri kuhusu afya please nipigie tuongee afya nikushauri vizur zaidi ikibidi nikupe suluhuhisho sahihi la Tatizo lako
Call me/whtsap
📲📞0717398068
0624813120
🌱
06/04/2023
MWANAUME SOMA HAPA ITAKUSAIDIA KUOKOA MAISHA YAKO NA NDOA YAKO PAMOJA NA KUPUNGUZA GHARAMA!
ZIJUE DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME,
Kwanza unatakiwa kufaham UPUNGUFU wa nguvu za kiume sio ugonjwa bali ni dalili za ugonjwa inamaanisha kuna dosari au udhaifu katika utendaji wa viungo vyako ndani ya mwili,
NGUVU ZA KIUME NI NINI?
ni neno la jumla lenye mjumuisho wa mambo mengi ambayo yamegawanyika katika sehem MBALI MBALI
1. Hamu ya tendo la ndoa
2. Kusimama kwa uume barabbara k**a kipande cha mti au msumari)
3. Stamina kiasi cha kukupelekea kufurahia tendo
4. Pumzi
5. Uwezo wa kurudia tendo
6. Wepesi na uchangamfu wa mwili katika kutenda
*Kwa lugha nyepesi Hii ndio maana ya neno nguvu za kiume*
Sasa basi tumeona hapo juu kuwa k**a kuna udhaifu au dosari katika utendaji wa BAADHI ya viungo ndani ya mwili wako basi sio mbaya tukajua BAADHI ya viungo vinavyohusika kuwasha umeme kwa mwanaume / namaanisha nguvu za kiume na viungo hivi hufanya kazi zingine pia katika mwili
Kuna viungo zaidi ya 50 ila kwa uchache ni ivi vifuatavyo
1. Ubongo
2. Moyo
3. Mishipa
4.mirija iliyo ndani ya uume
5. Neva maalum za parasympathetic
6. Uti wa mgongo
7. Kiuno / nyonga
8. Misuli
9. Tezi ya pituitari
10. Utando maalum wa uumeni.
*HIVYO BASI TUNAPOONGELEA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME TUNAMAANISHA KUWA NDANI YA MWILI WAKO KUNA VITU HAVIFANYI KAZI VIZURI LABDA NI INI , FIGO , TEZI DUME LIMETANUKA , AU HOMONI HAZIJA WIANA HAPA SASA NDIPO HUTOKEA NENO NA KITENDO CHA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME*
JIJUE JITAMBUE HIZI NI DALILI ZA UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME
1. kukosa hamu ya tendo la ndoa
2. Uume kusimama kwa ulegevu, kusinyaa na kurudi ndani AU KUTOWEZA KUSIMAMISHA KABISA
3. Kuwahi kufika kileleni
4. Kusimamisha ikiwa legelege
5. Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa au baada
6. Kukosa pumzi hivyo hupelekea kusimamisha zoezi Mara kwa Mara
7. Kukosa uchangamfu wa mwili katika utendaji .
8. Kuchoka sana baada ya tendo na hata kuskia kichefchef au kuskia usingizi MZITO SANA MARA TU UMALIZAPO ..
9. KUSHINDWA KURUDIA TENDO ZAIDI YA MARA MOJA
KWA LUGHA NYEPESI NGUVU ZA KIUME NI K**A SERIKALI AMBAYO INA WIZARA MBALI MBALI ILI SERIKALI IFIKE KULETA MATUNDA MAZURI KWA JAMII HIZI WIZARA LAZMA ZIWE THABIT KATIKA MASLAHI YA JAMII NA SERIKALI KWA UJUMLA NA ENDAPO WIZARA MOJA ITAKUWA INA HITILAFU BASI LENGO HUSIKA KUTOKA KWA SERIKALI KUJA KWA JAMII HALITATOKEA ASILANI MF. WIZARA YA NISHATI NA MADINI IGOME , WIZARA AFYA IGOME , UNAFIKIRIA SERIKALI HII ITAFIKIA MALENGO ??? BASI NDIVYO HIVYO NDANI YA MWILI WAKO .. TEZI IKIKOSA AFYA , MOYO , UBONGO NK NK LAZIMA EFFECT ITATOKEA NA MOJA YA EFFECTS NI UPUNGUFU WA NGUVU ..
Au tuseme kiwanda kuna wafanya kazi , kuna maji , umeme , madawa ivi ikotokea WAFANYAKAZI TU WAKAGOMA je hiki kiwanda kitazalisha bidhaa itayofika Sokoni?
MSICHOKIJUA WANAUME WENGI kupungukiwa nguvu za kiume ni kasoro za kiutendaji wa viungo ndani ya mwili hii ni kengele ya tahadhari kipo kitu hakifanyi kazi vizuri ..
Sasa KOSA kubwa wanalolifanya wanaume wengi TANZANIA NA NJE ni kuanza kutafuta suluhisho la dawa za nguvu za kiume na kuzibugia bila kuangalia chanzo, inatakiwa kutibiwa chanzo cha tatizo sio matokeo ya tatizo ... na hamshangai dawa hiyo inaweza kumtibu mmoja na mwengine akasema haifanyi kazi ?? Unajua Kwanini... vyanzo vya matatizo yao ni tofauti
Mfano ... Mwanaume mwenye sukari , mwenye presha , mwenye kansa ya tezi , mwenye stress , mwenye unene uliopitiliza, watu Hawa lazma tiba zao ziwe tofauti sio dawa za nguvu za kiume moja kwa moja lazma kuanza na mzizi wa tatizo k**a ni mnene tupunguze mwili , k**a anasukari tutibie sukari kwanza
BAADHI YA SABABU ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME (MUENDELEZO)
1. KUTOKUNYWA MAJI YA KUTOSHA
2. KUPATA CHOO KIGUMU AU KUTOPATA KABISA, UNATUMIA NGUVU NYINGI KWENYE KUSUKUMA
3. UZITO ULIOPITILIZA
4. KITAMBI
5. VYAKULA VYA BANDIA VILIVYOWEKWA HOMONI ZA K**E
6. VYAKULA VYENYE MAFUTA SANA
7. ULAJI WA NYAMA KWA SANA
9. ULAJI WA FAST FOODS NA VINYWAJI VYA VIWANDANI IKIWEPO POMBE
10. ULAJI WA MIRUNGI/ MIRAA
11. KUTOSHIRIKI MAZOEZI YA VIUNGO
12. KUTOKULA BALANCED DIET
13. KISUKARI
14. TEZI DUME
15. PRESHA na mengine mengi
**********************************************
JE WEWE NI MWANAUME NA YALIYOONGELEWA HAPO YAMEKUGUSA NA UNGEPENDA KUONDOKANA NA CHANGAMOTO YA UKOSEFU AU UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME? TUNA HABARI NZURI KWAKO TUNA SPECIAL PACKAGE YA BEDROOM PACK AMBAYO ITAKUSAIDIA KURUDISHA HESHIMA YAKO, PIA UTAELEKEZWA VYAKULA VYA KUKUIMARISHA ZAIDI NA AINA ZA MAZOEZI UNAYOTAKIWA KUFANYA KWA MUDA WA MWEZI MMOJA TU UTAKUWA UMEPONA.
Call me/whtsap
📲📞0717398068
0624813120
🌱
28/03/2023
Hata k**a huumwi ni muhimu kila baada ya muda kuwa na ratiba ya kutumia detox kwa ajili ya kutoa sumu mwilini ikiwemo kuondoa mabaki kwenye mfumo wa mmeng’enyo wa chakula
Kumbuka madini,maji na virutubisho vyote muhimu hufyonzwa kutoka kwenye utumbo kurudi mwilini
Endapo kuna mgando wa mabaki zoezi hili huwa ni gumu na kusababisha mwili kukosa baadhi ya vitu muhimu mwilini
Je unajua asilimia kubwa ya watu tunatembea na uchafu(kinyesi)tumboni??
Unaweza ukashangaa inakuwaje lakini magonjwa mengi huanza endapo mwili unakusanya uchafu na kushindwa kutoa
Kuta za utumbo mkubwa wa chakula huwa na uchafu mwingi ambao unanaswa na mwili wenyewe hushindwa kuutoa
Hii husababisha kuzaliana kwa bacteria wengi wabaya kwenye mfumo wa mmeng’enyo wa chakula hivyo mwili kuingia kwenye mashambulizi ya bacteria
Hapo sasa dalili k**a tumbo kujaa gesi,tumbo kuongezeka ukubwa,kichwa kuuma,kuchoka sana,kukosa usingizi,kiuno kuuma etc huanza kujitokeza taratibu
Fanya utaratibu wa kutumia detoxification program hata kwa mwezi mmoja utaona tofauti kubwa mwilini 🙏🏻🙏🏻
KINGA NI BORA KULIKO TIBA JITAHIDI SANA KUEPUKA VITU VINAVYO CHAKAZA MWILI WAKO KIDOGO KIDOGO.
Kwa ushauri kuhusu afya please nipigie tuongee afya nikushauri vizur zaidi ikibidi nikupe suluhuhisho sahihi la Tatizo lako
Call me/whtsap
📲📞0717398068
0624813120
🌱
27/03/2023
JE! WAJUA FAIDA ZA KUTUMIA ALKALINE THERAPY WAKATI WA KULA DAKU??
Kutumia Kikombe Cha maji ya Uvuguvugu na Sachet 1 ya Alkaline Coffee wakati wa Daku au Baada ya Daku Ina Faida Nyingi;
1️⃣Kuondoa maumivu ya tumbo yanayokuwa k**a ya moto (kuunguza) baada na kabla ya kula na maumivu ya kifua pale unapokaa muda mrefu bila kupata chakula
2️⃣ Kutibu na kukinga na kiungulia & kubeua mara kwa mara
3️⃣Huepusha tumbo kujaa gesi na kuvimbiwa
4️⃣Husafisha Utumbo na tumbo (Colon Cleanse)
5️⃣Huimarisha sukari kwenye damu
6️⃣Huondoa uchovu na usingizi wakati wa mchana
7️⃣Huimarisha Mfumo wa upumuaji
8️⃣Huondoa maumivu ya mgongo au kiuno
9️⃣Hutibu tatizo vidonda vya tumbo
🔟Huimarisha Mfumo wa chakula na kuepusha choo kigumu, k**a Cha mbuzi au kukosa choo.
✍🏻Nyingine ni k**a;
➡️Huupa Mwili nguvu kutwa nzima na kuzuia kulegezwa na Swaumu
➡️Huondoa maumivu makali sehemu kilipo kidonda
➡️Huzuia kutapika nyongo
➡️Huzuia kutapika damu au kuharisha
➡️Hutibu ganzi zinazosababishwa vidonda.
Tumia Naturalceutrical Alkaline & Anti-oxidant Therapy wakati wa Kufutari na wakati wa Daku.
Tsh 45,000/= tu. BEI YA OFFER YA RAMDADHAN🙏
Em tuwasiliane kwa WhatsApp/Call 👇👇
Call me/whtsap
☎📞📲0717398068
0624813120
🌱
#
25/03/2023
💥💥💥💥💥💥💥💥
JE,MWANAO ANASUMBUA KULA ??
ANASUMBULIWA NA MAGONJWA YA UTOTONI??
PACK MUHIMU KWA AFYA YA MTOTO .
Call/watsap
https://wa.me/+255717398068
Free Delivery
Je Umewahi kutumia Mychoco kwa Mtoto wako?
Je mwanao anasumbua kula au afya yake sio nzuri ,anakosa Choo nk
Ni Package ambayo ndani ina virutubisho 16,000 ikiwemo matunda 12,mboga mboga 12,mimea ya kijani 12,uyoga 12 DHA n.k
1️⃣Kuongeza Hamu ya Kula
2️⃣Kuongeza Kinga ya Mwili
3️⃣Kuongeza Uzito
4️⃣Kumkinga na Magonjwa yote ya Utotoni
5️⃣Kuboresha Afya ya Ubongo Wake kuweza kutunza kumbukumbu kwa muda mrefu Ina Super Omega 3 pamoja na DHA ambayo nichakula cha ubongo🧠🧠
6️⃣Kuongeza Damu Mwilin
7️⃣Kuongeza CD4
8️⃣Inamkinga na Kutibu kubwanwa na Kifua
Pia tuna package maalumu kwa watoto wote wanaosumbuliaa na Sickle cell (TOTO PACK) tutafanya program ya siku 60 tu pekee na mtoto atakuwa vizuri amepona utarudisha afya ya mwanao👌👼
BOX MOJA KWA BEI YA OFFER NI TSH: 45000/=
Kwa order na maelezo zaidi tuwasiliane
https://wa.me/+255717398068
Rudisha Tabasamu la Mwanao Kwa Kutumia TOTO PACK Pia Boresha afya ya akili ya mwanao Darasani utanishuru baadae🙏.
12/03/2023
Afya ya Mwili wako ndio kitu cha kwanza unachohitaji kuchunga kila siku,
Tupigie au tutumie ujumbe inbox K**a una matatizo haya:👇
• Kushindwa kusimamisha
• Uume Mdogo kwaajili ya Punyeto umeharibiwa haukui.
• Kushindwa kuendelea na round.
• Kukosa Hamu
• Uume kukosa nguvu (Kusimama legelege)
KUMBUKA: Haya matatizo yote yanatibika K**a utapata Tiba ya Kutibu kiini na sio reaction ya tatizo. Na kwasasa tumeimprove Bedroom Packages ni within two weeks yaani ndani nawiki mbili mambo bulibuli🫶🥰💪🏻💪🏻
Usikubali fedheha ya kila siku.
Nipigie simu ama nitumie ujumbe WhatsApp sasaivi pindi uanapoona post hii.
Kwa ushauri na suluhisho
Call me/whtsap
☎📞 +255717398068
+255624813120
Consultant_Idriss ☘🌱
10/03/2023
Mwanaume K**a ukiona Dalili hizi ujue afya yako k**a mwanaume inayumba
1️⃣Ukienda Safari Moja Mwili unachoka alafu unahisi usingizi .
2️⃣Mwili unapata ganzi na Sehemu za ikulu Zinasinyaa taratibu baada ya kufunga goli la kwanza
3️⃣Hamu inakata ghafla Mara baada ya kutoa wazungu ,ule uchangamfu unapotea kabisa.
4️⃣Jogoo anasimama Vizuri Lakini ukitaka kumtumia anasinyaa .Hapa Wengi huhisi kwamba Wamerogwa Lakini ukweli Ni Kwamba hawajarogwa .
5️⃣Kupoteza hamu ya kula chakula cha wakubwa
6️⃣Mashine kuzima katikati ya gemu ,unakuta upo katika ya Game , jogoo analala ghafla na kulegea Ndani kwa Ndani.
K**a una dalili tajwa hapo juu tuwasliane kwa msaada zaidi tumekuandalia Special Program ya siku 30 kwaajili changamoto hapo juu Pia unaweza bonyeza link hapa chini kwaajili ya KUJIFUNZA zaidi sababu zinazopelekea hizo changamoto mwisho kabisa unaweza jaza FOMU maalumu kwa ajili ya msaada zaidi pia unaweza kuwasiliana nasi Moja kwa Moja kupitia namba za simu hapo chini 👇👇
KUFAHAMU SABABU ZINAZOPELEKEA USHINDWE KUMUDU TENDO BOFYA LINK HAPO CHINI NIMEKUWEKEA KWA UREFU SASAIVI 👇👇
https://bit.ly/3HN9OIJ
Kwa ushauri na suluhisho
Call me/whtsap
☎📞 +255717398068
+255624813120
Consultant_Idriss ☘🌱
https://chat.whatsapp.com/IT4JkbDV6umIUAIFr32feV
13/02/2023
Umeshawahi kufanya tendo la ndoa ukafika kileleni haraka🙊 kwa safari ya kwanza, ukapumzika kidogo ulivyotaka kwenda safari ya pili dhakari ikasimama lakini ni kwa hali ya kulegea legea hivi?
K**a yalikutokea hayo basi dhakari yako inawezekana ina tatizo la Vain Leak😢
Vain Leak ni hali ya mishipa iliyopo kwenye dhakari kulegea hivyo kushindwa kushikilia (hold) damu kwa muda mrefu ili dhakari isimame.
Ndio maana unakuta dhakari🍆 inasimama vizuri kwa kasi kubwa lakini ndani sekunde kadhaa inakua lege lege, haisinyai moja kwa moja lakini inasimama kwa ulegevu, maana yake mzunguko wa damu upo hafifu sana kwenye maeneo ya dhakari yako.
Kwa mwanaume aliyejichua anaumiza sana mishipa ya dhakari yake hasa pale anafika kutoa mbegu, kwaio baada ya hapo kinachofuata ni vain leakage🥺
Vain leakage haisababishwi na kujichua tu pekeake, pia kuna magonjwa k**a pressure, na coronary artery diseases yanaweza kusababisha tatizo hili 🫀
Nimeakuandalia package ya virutubisho muhimu ambayo itakusaidia kuimarisha mishipa ya dhakari na kuboresha mzunguko wa damu ili uweze kuwa na nguvu na uwezo wa kuendelea kushiriki tendo la ndoa😊💪🏽
Tuwasliane
Kwa ushauri na suluhisho
Call me/whtsap
☎📞 +255717398068
+255624813120
Consultant_Idriss ☘🌱
# # # ❤️
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Address
Makumbusho
Dar Es Salaam
