Zeni Health
Huduma zote muhimu za afya na tiba ya magonjwa mbalimbali kwa gharama ndogo sana.
12/12/2025
I found some interesting short drama on GoodShort! Life is short——Watch GoodShort!
Dah..
Hii kazi bhana
10/05/2025
Tumeweza kuondoa na kutibu kabisa hizi changamoto kwa wanawake. Kutoka uchafu ukeni, Harufu mbaya, Fangus ukeni, Mimba kutoka, Hormone imbalance, Kutoshika Mimba bonyeza hapa --> wa.me/+255747531853 Kupata tiba na ushauri kwa kuafisha na kurudisha usichana wako
04/05/2025
Habari wakuu
Je Unafahamu umuhimu wa Vitunguu swaumu.
Basi leo ngoja nikupe faida chache ya Vitunguu swaumu
1. Huimarisha kinga ya mwili:
Vitunguu swaumu vina virutubisho vinavyosaidia kuongeza uwezo wa mwili kupambana na magonjwa na maambukizi.
2. Hupunguza shinikizo la damu:
Tafiti zinaonyesha kuwa ulaji wa vitunguu swaumu unaweza kusaidia kushusha presha ya damu kwa watu wenye shinikizo la juu la damu.
3. Hudhibiti kiwango cha cholesterol:
Vitunguu swaumu husaidia kupunguza cholesterol mbaya (LDL) bila kuathiri cholesterol nzuri (HDL), hivyo kuboresha afya ya moyo.
4. Huondoa sumu mwilini (detox):
Vina uwezo wa kusaidia kuondoa sumu mwilini, hasa kwenye ini, kwa kuchochea utendaji wa vimeng’enya vya mwili.
5. Huzuia magonjwa ya moyo:
Kwa kupunguza cholesterol na shinikizo la damu, vitunguu swaumu vinasaidia kupunguza hatari ya kupata magonjwa ya moyo.
6. Huwa na sifa ya kupambana na bakteria na fangasi:
Vitunguu swaumu vina kiambato kinachoitwa allicin ambacho kina uwezo wa kuua bakteria na fangasi mbalimbali.
7. Hupunguza hatari ya saratani:
Kuna ushahidi kuwa ulaji wa mara kwa mara wa vitunguu swaumu unaweza kupunguza uwezekano wa kupata saratani fulani, k**a saratani ya tumbo au utumbo.
Hizi ni baadhi tu ya faida za Vitunguu swaumu, najua inaweza ikawa kero kula Vitunguu swaumu.
Sasa zenihealth tumekuletea vidonge maalum ya Vitunguu swaumu ambavyo ukila kidonge kimoja ni sawa na kuwa umekula Vitunguu swaumu vitatu.
Na unaweza kupata bidhaa kwa kupiga simu nambari 0747 531 853.
Karibu Sana
04/05/2025
Tumeweza kuondoa na kutibu kabisa hizi changamoto kwa wanawake. Kutoka uchafu ukeni, Harufu mbaya, Fangus ukeni, Mimba kutoka, Hormone imbalance, Kutoshika Mimba bonyeza hapa --> wa.me/+255747531853 Kupata tiba na ushauri
30/04/2025
Hello Dada
Je unasumbuliwa na changamoto yoyote ya afya ya uzazi k**a vile;
1. Uvimbe kwenye mayai (ovarian cyst)
2. Fangasi sugu
3. UTI isio kwisha
4. PID
5. Kutoshika Mimba au Mimba kuharibika mara kwa mara.
6. Harufu mbaya ukeni.
7. Maumivu chini ya kitovu na kiuno.
Basi k**a jibu ni ndio au unasumbuliwa na moja kati ya changamoto hizi Suluhisho lake limepatikana na Suluhisho hili ni la kudumu kabisa.
Wasiliana nasi kupitia nambari 0747 531 853
17/11/2024
FOHOW MERIDIAN MASSAGE NDIO MKOMBOZI WA MIFUPA YAKO.
Je unasumbuliwa Na changamoto ya Mifupa.!?
Basi changamoto yako imepata suluhisho la kudumu kwa sababu Tuna kifaa chenye uwezo wa kurekebisha mifupa yako na kuondoa maumivu yoyote yale ya viungo ndani ya masaa yasiyo zidi matatu.
Ndani ya masaa matatu tu unapata Tiba ya Tatizo lako.
Tupigie kupitia Nambari 0747 531 853
Karibu Sana
06/10/2024
Je unasumbuliwa na changamoto ya upungufu wa nguvu za kiume.? Basi dawa ya asili ya kutatua Tatizo lako hii hapa.
DAWA YA ASILI YA NGUVU ZA KIUME KUTOKA CHINA Makala Hii Imeandikwa Na Doctor Abdul Anaepatikana Kupitia Nambari +255 747 531 853. Vidonge vya Long Lu vinafanywa kwa kutumia mimea na viungo vya kiasili vinavyotambulika sana katika dawa za jadi…
10/09/2024
Hello Mwana familia
Je unasumbuliwa na Changamoto yoyote Ya Afya k**a vile;
VIDONDA VYA TUMBO
BAWASILI
PRESHA
NGIRI
MAUMIVU YA MGONGO NA KIUNO
UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
UGUMBA
P.I.D
KISUKARI
UVIMBE KWENYE VIA VYA UZAZI
MZIO (ALLERGY)
NA MARADHI MENGINEYO.
NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0747 531 853
LAKINI PIA PITIA POST HII KWA KUBONYEZA HIYO PICHA HAPO CHINI
HELLO MWANA FAMILIA HII NI POST YAKO UNAESUMBULIWA NA MATATIZO MBALIMBALI YA KIAFYA GOUT Je unasumbuliwa na matatizo ya Magoti kujaa au kuvimba pia maumivu makali ya Magoti lakini pia vidole gumba vya miguu kujaa au kuvimba.? Huo ni ugonjwa unaoitwa GOUT na huwapata sana watu weny…
10/09/2024
Hello Mwanafamilia K**a Unasumbuliwa na Tatizo lolote la Afya usisite Kupitia Hapa.
Tunatoa Tiba kwa Maradhi mbalimbali k**a vile;
VIDONDA VYA TUMBO
BAWASILI
PRESHA
NGIRI MAJI
MATATIZO YA NGUVU ZA KIUME
MATATIZO YA UGUMBA
MAGOTI KUVIMBA NA KUUMA
KISUKARI
MZIO (ALLERGY)
MAUMIVU YA MGONGO NA KIUNO
MATATIZO YA PID
NA MENGINEYO
http://afyahealthhub.health.blog/2024/09/10/hello-mwana-familia-hii-ni-post-yako-unaesumbuliwa-na-matatizo-mbalimbali-ya-kiafya/
23/07/2024
Je Unasumbuliwa Na Changamoto Ya Uume Kulala katikati ya tendo la ndoa. Uume kulala ukiwa ndani ya uke. Pitia u*i na utapata majibu ya uhakika
Tatizo la uume(mboo) kulala katikati ya tendo la ndoa/ uume kulala ukiwa ndani ya uke Makala hii imeandikwa na Doctor Abdul anaepatikana kupitia nambari 0747 531 853 Tatizo la uume kulala katikati ya tendo la ndoa au uume kulala ukiwa ndani ya uke linaweza kuwa jambo lenye changamot…
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Mbagala Zakhem
Dar Es Salaam
Opening Hours
| Monday | 08:00 - 16:00 |
| Tuesday | 08:00 - 16:00 |
| Wednesday | 08:00 - 16:00 |
| Thursday | 08:00 - 16:00 |
