WeightLoss Tz

WeightLoss Tz

Share

Tunawasaidia watu kutatua changamoto ya kupunguza Uzito, uzazi kwa Wanaume na wanawake

25/04/2021

UZITO MKUBWA NA KITAMBI NI CHANGAMOTO KWAKO?

Sasa tuna taarifa njema kwako wewe ambae umekuwa ukipata tabu kupunguza uzito na kua na afya njema.
Tumia bidhaa ya C9 ambayo itakusaidia:-

1. Husafisha mwili kwa kuondoa uchafu kwenye utumbo mkubwa wa chakula
2. Huondoa sumu mwilini zitokanazo na mfumo wetu wa maisha, vyakula, vinywaji n.k
3. Huondoa mafuta yaliyozidi mwilini na katika mishipa ya damu.
4. Inakupa mfumo bora wa ulaji wa chakula
5. Husaidia upumuaji mzuri/ utapata usingizi mzuri na utulivu wa akili
6. Hufanya ngozi kuvutia kwa kuongoza ufyonzwaji wa viini lishe
7. Huongeza uwezo wa kufikiri... Kumbukumbuku
8. Husaidia kuwa na energy na kujisikia vizuri mda wote,
PUNGUZA UZITO NA C9 programu, hii ina jumla ya bidhaa zifuatazo
1. ALOE VERA GEL hii ni juice asilia ya zao la aloe vera ina virutubisho zaidi ya 200+ kazi yake ni kutoa sumu na kusafisha mwili na kurudisha nutrients muhimu kwenye mwili wako.

2. GARCINIA PLUS Inafanya kazi ya kufyonza mafuta na kuyabadilisha kwenda kwenye nguvu( energy).

3. FOREVER THERM Ni bidhaa inayoongeza joto la mwili kwa nyuzi joto 1*C hivyo basi husaidia kuyeyusha mafuta haraka zaidi na kuyatoa mwilini.

4. FOREVER LITE Ni bidhaa itokanayo na soya yenye protein na vanilla kiungo ghari zaidi duniani ni protini ya mimea muhimu kwa kujenga mwili, kuimarisha misuli na husaidia kazi ya ubongo k**a kuona vizuri, kufikiri na kuratibu.

5. FOREVER FIBER Ina mchanganyiko wa aina nne(4) za fiber hivyo husaidia kumeng'enya chakula vizuri hivyo damu kusafiri vizuri na kusambaza virutubisho mwilini.

PROGRAM YETU IMEWASAIDIA WENGI KUONDOKANA NA UZITO ULIOKITHIRI K**A UNGEPENDA KUPUNGUZA UZITO ULIOZIDI, C9 ndio chaguo sahihi kuanza kukufanya uhisi na mwonekano utakao.
Kwa mawasiliano piga simu/sms/ whatsapp kwa namba 0772827245

18/04/2021

PUNGUZA UZITO KWA NJIA SALAMA NA RAHISI ZAIDI

Karibu katika program ya siku tisa inayojulikana kwa jina la CLEAN 9 itakayokusaidia kupungua na kuondoa takamwili zote zisizohitajika ndani ya mwili.

Kwa kawaida mwili wa mwanadamu unaweza kubeba takamwili kuanzia kilo 2 hadi 4 hii ni kutokana na maisha tunayoishi, mazingira tunayoishi ( uchafuzi wa mazingira), kutofanya mazoezi na matumizi mabovu ya dawa za hospital.

Kumbuka kuna aina mbili (2) za takamwili ambazo ndio chanzo cha uzito:-

= Zinazoweza kuyeyushwa na maji pamoja na mazoezi (soluble) na,

= Zisizoweza kuyeyishwa na maji (insoluble) hivyo hizi zisizoweza kuyeyushwa na kuondolewa kwa maji na mazoezi zinahitaji PROGRAM MAALUMU k**a vile CLEAN 9 itakayokusaidia kuziondoa kabisa na kufanya upungue kirahisi zaidi.

Mtu yeyote anaweza kugundua kuwa ana takamwili nyingi mwilini mwake kwa kuona dalili k**a kutopata choo, kuchoka sana ( tiredness), kuumwa jointi na misuli, presha, ngozi kuonekana imechoka, vidonda vya tumbo, mwanaume kupungukiwa nguvu za kiume na mwanamke kuwa na homoni imbalance kuwepo kwa michirizi sehemu za mwilini, kushindwa kupumua vizuri, na matatizo kwenye mfumo wa mmeng'enyo wa chakula,

Hivyo program hii ya CLEAN 9 itakusaidia KUPUNGUZA KILO nyingi, kuondoa takamwili na faida zingine k**a vile;

1- kuwa na ngozi nzuri na ya kuvutia
2- kuongeza kinga ya mwili
3- kujihisi mwepesi na mwenye nguvu
4- kuweka homoni sawa
5- hukusaidia kupata usingizi mzuri
6- inasaidia ubongo kufanya kazi vizuri
7- inaondoa vimbe ndani na nje ya mwili
8- inasaidia kuweka sawa mmeng'enyo wa chakula
9- inapunguza kasi ya uzee

Kwa maelezo zaidi na order Whatsapp/ sms/ call 0772827245

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Dar Es Salaam