GEES _perfection
Deals with natural honey business in Tanzania
30/07/2020
Zijue faida muhimu za asali๐ฏ๐ฏ
Asali ni zaidi ya sukari in any kind of tea โโ..it is veery very sweet and very helpful to our body because it has slightly more calories than sugar.
Be young! Be healthy! Be fit! Everyday๐๐
Honey offers so much more than just a taste....natural,rawa honey yields many health benefits for our body
WATCH THAT AND LEARN ๐
Honey offers so much more than just a taste....natural, raw honey yields many health benefits for our body
WATCH THAT AND LEARN๐๐
03/12/2019
Asali ni tiba....
Like the page, share and comment as much as you can
01/12/2019
ASALI NA MAAJABU YAKE
Asali ni miongoni mwa vyakula vitamu zaidi ulimwenguni kushinda nyama na mayai...aidha inaweza kuchanganywa na lishe zinginezo ili kutengeneza dawa za kutibu maradhi
Asali inafaida nyingi sana katika miili yetu
_Asali hulinda mwili zaidi ya magonjwa
_ Hutibu vidonda vya tumbo na tumbo kujaa gesi
_Huondoa sumu mwilini
_Hutibu majeraha na miunguzo (burns)
_Hutibu kikohozi na koo linalowasha
_Hutibu na kuboresha ngozi na kuifanya iwe nyororo na kuvutia
_Hutibu tatizo zima la kukosa usingizi (Sleep aid)
Hizo ni baadhi chache muhimu za faida ya asali....ASALI NI MUHIMU SANA KWA AFYA YAKO, JIRANI YAKO NA FAMILIA KWA UJUMLA
Like this page , comment and share ...It means alot to all of our efforts. THANK YOU !
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Kurasini Ufundi, Kilwa Road
Dar Es Salaam
