TRACE NA AFYA LEO
Natoa ushauri na Matibabu kuhusu:-
�uzazi mwanaume na mwanamke
�Vidonda vya tumbo
� Pressure
15/08/2024
𝗗𝗔𝗟𝗜𝗟𝗜 𝗭𝗔 𝗩𝗜𝗗𝗢𝗡𝗗𝗔 𝗩𝗬𝗔 𝗧𝗨𝗠𝗕𝗢 (𝗨𝗟𝗖𝗘𝗥𝗦)👇
✍️Kuchoka sana bila sababu maalum.
✍️Kuumwa mgongo/Kiuno.
✍️Kupungukiwa au kupoteza kabisa nguvu za kiume (Wanaume)
✍️Kizunguzungu
✍️Kukosa usingizi
✍️Maumivu makali sehemu ya mwili
✍️Maumivu ya Kifua kwa ndani kana kwamba unachomwa na kitu cha moto au chenye ncha kali.
✍️Kichefuchefu/Kiungulia
✍️Tumbo kujaa gesi
✍️Tumbo kuwaka moto
✍️Maumivu makali sehemu kilipo kidonda
✍️Kukosa choo au kupata choo kwa shida (Constipation)
✍️Kutapika nyongo
✍️Kutapika damu au kuharisha
✍️Sehemu za mwili kupata ganzi
✍️Kukosa hamu ya kula
✍️Kula kupita kiasi
✍️Kusahahu sahau Mara kwa Mara
✍️Hasira bila sababu.
✍️Kuwa na Tatizo la Bawasiri
https://chat.whatsapp.com/Gdh9EprVsMnHnvJRFO3acn
14/08/2024
*Wanaume amka na hii*
https://chat.whatsapp.com/Gdh9EprVsMnHnvJRFO3acn
"Unashindwa kutatua tatizo ulilonalo kwa sababu umeshindwa kukubali kwamba una matatizo"
Ukweli mchungu...🔔
Mwanamke anaweza kuvumilia udhaifu wako mwanaume kitandani huku akiumia kukosa haki ya kuridhishwa..!
Hawezi kujutia hilo k**a mwanaume umekubali una changamoto, na unapambana kupata suluhisho la changamoto, na mpo pamoja Kila hatua..!!
Hamtoelewana k**a anavumilia na wewe haukubali una tatizo, Hata akikueleza ukweli Haukuli na show unajua kabsa ni mbovu.
Usisubiri mpaka file lake la kutaka furaha kwa namna yoyote lifunguke, utachapiwa mke wewe mpaka usande!
Deal na changamoto yako, mshirikishe mkeo na thamani jitihada zake, utapona na Ndoa au uhusiano wenu utadumu na mtavuka hapo...⏰
Be a Man.😡
11/08/2024
MAMBO KUMI [10] USIYOYAJUA KUHUSU UUME...!!
*https://chat.whatsapp.com/Gdh9EprVsMnHnvJRFO3acn*
Maumbile ya mwanaume ni mojawapo ya mada zinazojadiliwa kwa muda mrefu.
Kuanzia kuangalia ukubwa, urefu na ufanisi wake katika tendo
Leo nataka nikujuze mambo saba usiyoyajua kuhusu uume
1. Mzunguko mzuri wa damu ndo unafanya uume usimame vizuri.
2. Uume unatofautiana kwa urefu na upana.
3.Uume ni mrefu zaidi ya unavyoonekana.
4. Ukubwa wa mguu au vidole hauhusiani na saizi ya uume.
5. Uume unaweza kuvunjika.
6. Uume kusimama hakumaanishi umepata msisimko wa kimapenzi.
7. Kadri ya umri unavyosogea hivyo ndivyo hisia na mzunguko wa damu unavyopungua kwenye uume.
8. Ukitumia booster k**a viagrautakua tegemezi wa madawa ya booster ili kushiriki tendo vizuri.
9. Uume mdogo uliyo sinyaa, Ukiwa umelala nimaumbile uliyo zaliwa nayo.
10. Fanya mazoezi ya mwili, Kula vizuri vyakula vya protini, Uume utaongeka kulingana na umri wako na genetic.
10/08/2024
Kuna sababu kadhaa kwa nini mtu haruhusiwi kunywa maziwa au pombe baada ya kumeza dawa. Moja ya sababu ni kwamba baadhi ya dawa huweza kuingiliana na maziwa au pombe na kupunguza ufanisi wa dawa hizo au hata kuongeza madhara kwa mtu aliyekula. Kwa mfano, baadhi ya dawa za antibiotiki hupunguza ufanisi wao wakati zinachanganywa na maziwa au pombe.
Sababu nyingine ni kwamba maziwa au pombe huweza kusababisha madhara ya kiafya au kuongeza madhara ya dawa. Kwa mfano, kumeza dawa za maumivu na pombe pamoja kunaweza kusababisha kuharibika kwa ini au kusababisha kichefuchefu na kutapika.
Kwa hiyo, ili kuhakikisha kuwa dawa inafanya kazi vizuri na kuepuka madhara yoyote, ni muhimu kufuata maelekezo ya daktari au maelekezo yaliyoandikwa kwenye maelekezo ya dawa kuhusu ni nini cha kufanya au kutofanya baada ya kumeza dawa.
08/08/2024
https://chat.whatsapp.com/Gdh9EprVsMnHnvJRFO3acn
Ilisemwa kula chakula k**a dawa usije muda ukatumia dawa k**a chakula..
Ulaji mbovu ni msingi imara wa kusimamisha majengo imara ya magonjwa..
Uzito mkubwa na mlundikano wa mafuta ndani ya mishipa ya damu ndio zawadi ya ulaji usiofaa...
Baada yake msukumo mkubwa wa damu hufuatia na usalama wa moyo huwa mshakani..
Kisukari nacho hua hakichelewi kuja kikitanguliwa na swahiba wake pressure..
Hata ufanisi wa figo hupungua pakubwa pale utendaji kazi wa moyo unapo athirika...
Mafuta yakizuia damu kufikia sehemu yoyote ya ubongo kiharusi hakiepukiki..
Yanini yote hayo? Anza kula kwa afya leo, piga tizi, punguza uzito, pombe na sigara acha,
Enjoy..
08/08/2024
06/08/2024
Bonyeza link kujifunza zaidihttps://chat.whatsapp.com/Gdh9EprVsMnHnvJRFO3acn
Mbegu za mboga zina faida nyingi kiafya, ikiwa ni pamoja na:
1. Vitamin na madini: Mbegu za maboga zina vitamini A, C, E, na K, pamoja na madini k**a vile chuma, zinki, na magnesiamu. Vitamini hizi na madini husaidia katika kuimarisha mfumo wa kinga, kusaidia ukuaji na maendeleo ya mwili, na kusaidia katika kazi za mwili.
2. Nyuzinyuzi: Mbegu za maboga zina nyuzinyuzi ambazo husaidia katika kusafisha njia ya kumeng’enya na kuboresha mwendo wa utumbo. Nyuzinyuzi hizi pia husaidia katika kudhibiti uzito na kuzuia matatizo ya kiafya k**a vile kisukari na ugonjwa wa moyo.
3. Antioxidants: Mbegu za maboga zina antioxidants ambazo husaidia katika kupambana na madhara ya radicals huru mwilini ambayo yanaweza kusababisha magonjwa k**a vile kansa, ugonjwa wa moyo, na magonjwa ya neurodegenerative.
4. Afya ya mfumo wa upumuaji: Mbegu za maboga zina phytochemicals ambazo husaidia katika kudumisha afya ya mfumo wa upumuaji na kuzuia maradhi k**a vile pumu na mafua.
02/08/2024
Fuatilia page zetu kujifunza na kujua mengi kuhusu afya YAKO bonyeza link kuingia darasani moja kwa mojahttps://chat.whatsapp.com/Gdh9EprVsMnHnvJRFO3acn
01/08/2024
Ugonjwa wa P.I.D ni nini?
Pelvic inflammatory disease (PID) ni maambukizi yanayotokea kwenye mfuko wa uzazi, aidha katika mirija ya uzazi au ovari.Hadi hapo tushajua p.i.d ni nini, sasa twende mbele zaidi.
kwa kawaida husababishwa na Maambukizi ya zinaa .
Dalili za P.I.D Za haraka haraka ni pamoja na maumivu ya tumbo, maumivu yanakuwa chini ya tumbo na pia kutokwa uchafu ukeni.
Jitahidi kupata matibabu kuepuka matatizo makubwa zaidi k**a vile utasa.
Unapobainika kuwa na hili tatizo Mpenzi wako anapaswa kupimwa na kutibiwa pia.
Kwa ushauri na matibabu follow linkhttps://chat.whatsapp.com/Gdh9EprVsMnHnvJRFO3acn
28/03/2024
FAIDA ZA STRAWBERRY MWILINI NI PAMOJA NA;
📍. Husaidia katika kuimarisha uwezo wa ubongo katika kuweka na kutunza kumbukumbu,hivo kumfanya mtu kuwa na kumbukumbu zaidi
📍. Matunda haya yana kiwango kikubwa cha Madini aina ya Zinc, hivo kusaidia katika maswala mazima ya uzazi kwa mwanaume
📍. Matunda haya pia husaidia katika kuimarisha afya ya Ngozi
📍. Strawberry husaidia sana hata kwa wagonjwa wa Presha aina zote mbili (presha ya kupanda na kushuka)
📍. Strawberry husaidia pia katika kuimarisha afya ya mifupa
📍. Pia matunda ya Strawberry yana madini mazuri ambayo husaidia kwa kiwango kikibwa katika ukuaji wa mtoto tumboni,hivo yanafaa sana kwa mama Mjamzito.
📍 Strawberry husaidia pia katika kuimarisha kinga ya mwili dhidi ya magonjwa
📍 Matunda haya ya strawberry husaidia pia katika kuweka vizuri mzunguko mzima wa Damu mwilini
📍Strawberry pia ni kinga dhidi ya kutokea kwa kansa mbali mbali katika mwili wa binadamu
📍Matumizi ya Strawberry ni njia nzuri ya kusaidia katika kupunguza uzito kwa watu wenye uzito kupita kiasi
📍 Kwa mtu ambaye kaumia au ana kidonda,matumizi ya strawberry husaidia vidonda kupona kwa haraka.
Kujifunza zaidi wahi kwenye page zetu/ bonyeza linkhttps://whatsapp.com/Gdh9EprVsMnHnvJRFO3acn
27/03/2024
*faida za kiafya za stafeli* (soursop)
Stafeli lina virutubisho k**a vitamini A na C. pia lina protini, na madini ya potassium na magnessium.
📍Husaidia katika kulinda miili yetu dhidi ya kemikali ndani ya mwili
📍Husaidia katika kuuwa seli za saratani
📍Husaidia mwili katika kupambana na bakteria
📍Husaidia mwili dhidi ya kupata vimbe na mashambulizi ya mara kwa mara
📍Husaidia katika kudhibiti kiwango cha sukari mwilini
📍Husaidia kwa wenye kisukari
Bonyeza link kujifunza zaidi kuhusu afyahttps://chat.whatsapp.com/Gdh9EprVsMnHnvJRFO3acn
11/03/2024
*Faida za kiafya za tope tope* (accustard apple au sweetsop)
Tope tope lina virutubisho k**a vitamini C na B. pia lina madini ya potassium na magnessium
📍Husaidia kulinda mwili dhidi ya pumu
📍Husaidia kudhibiti kiwango cha sukari kwenye damu
📍Kufanya moyo uwe katika afya salama
📍Husaidia kushusha presha ya damu
📍Husaidia katika kuupa mwili nguvu
📍Huboresha na kuimaisha afya ya mifupa
📍Hufanya tezi ya thyroid iwe salama
📍Huzuia matatizo ya ujauzito
Karibu tuendelee kujifunza pamojakupitia link https://whatsapp.com/Gdh9EprVsMnHnvJRFO3acn
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Website
Address
Mwenge Mlimani City
Dar Es Salaam
