Daima Health Care

Daima Health Care

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Daima Health Care, Kigamboni, Dar es Salaam.

Yoyo Foundation is committed to supporting children with disabilities by providing essential medicines, therapeutic tools, nutritious food, and specialized care.We strive to create an inclusive environment where every child can reach their full potential.

21/01/2023

Hizi ni dalili za saratani ya shingo ya kizazi

Dalili hizi hufanana na dalili za magonjwa mengine hivyo hupelekea mwanamke kushindwa kufahamu mapema na kuanza matibabu .
Hivyo basi wanawake wanashauri kuwa na tabia au desturi ya kwenda kufanya vipimo walau kila baada ya miaka mitatu ili kujua usalama wa hali zetu .
Saratani inatibika inapogundulika mapema zaidi kabla ya kuozesha kizazi na kupelekea kutolewa kabisa.

K**a unaziona dalili tajwa hapo
Kwa ushauri na matibabu ya haraka.
0752535364

21/01/2023

Habari

Katika mtiririko wa masomo yetu leo tutaangalia changamoto ambayo imeshika hatamu sana kwa miaka ya hivi karibuni.

Takwim za sekta ya afya zinasema kwa sasa kiasi cha wanawake wenye saratani ya shingo ya kizazi au ambao wako kwenye hatari ya kupata madhara hayo imeongezeka sana .

Pia kitengo cha saratani pale ocean road wanasema sikuizi saratani inaua kuliko malaria .

Leo tuangazie Saratani ya Shingo ya kizazi .

Shingo ya kizazi (cervix) ni sehemu tu katika mfumo wa uzazi wa mwanamke lakini inapopata maambukizi ya virusi ya muda mrefu hupelekea saratani .Na virusi hivi husambazwa kwa njia ya kujamiiana .

Kwa maswali zaidi na ushauri
Karibu
0752535364

18/01/2023

Jilinde ,na ujiepushe na bawasili
Weka sawa mtindo wako wa maisha ili usipate madhara makubwa k**a saratani ya utumbo mpana na kufanyiwa upasuaji katika njia ya haja kubwa

18/01/2023

Dalili za bawasili ya ndani ni hizi

K**a unahisi dalili yoyote kati ya hizi wasiliana nami 0752535364

18/01/2023

Habari

Tukiendelea na masomo yetu

Tulisema kuna aina mbili za bawasili na hizi ni dalili zake kulingana na aina husika

Fuatana nami kujifunza zaidi

17/01/2023

Ziko aina mbili za Bawasili

Bawasili ya ndani na
Bawasili ya nje

Endelea kufatilia mtiririko huu wa masomo ili kujua nini dalili zake na namna ya kutibiwa na vipi ufanye ili ujikinge

Kwa maswali na maulizo
Karibu 0626558326 whatsapp
0752535364

17/01/2023

Hii ndio maana ya bawasili kwa jina lingine huitwa PILES au HEMOROIDI au MGOLO

Endelea kufatilia ili ujifunze zaidi .....

17/01/2023

Habari
Katika muendelezo wa masomo yetu

Kuna magonjwa yasiyo ya mfumo wa uzazi lakini yanaweza kupelekea ugumba mojawapo ni Bawasili

Je unafahamu kuwa bawasili inaweza kupelekea ugumba ?

K**a unafahamu karibu tuwafahamishe wengine BAWASILI ni nini ?

10/01/2023

Hizi ni njia za kuzuia maambukizi ya PID

K**a bado huna jikinge vyema haswa wenye umri chini ya miaka 25

K**a unamaambukizi tayar njoo tuzungumze

#0626558326

Karibu katika muendelezo masomo yetu

10/01/2023

Karibu uungane nami tujifunze kwa pamoja ....

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Website

Address


Kigamboni
Dar Es Salaam
90

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00