Dukalenu

Dukalenu

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Dukalenu, Health/Beauty, Dar es Salaam.

🔥Suluhisho la bidhaa Bora kwa bei nafuu.

🔥Tunawasaidia Wanawake Na Wanaume Kurejesha Furaha Zao Kwa Kutoa Matibabu Kwa Njia za Asili Bila Kutumia Gharama Kubwa.

04/06/2026

Masikio kupiga kelele kitaalamu hujulikana k**a Tinnitus.
Ni tatizo la kiafya linalomfanya mtu asikie sauti au milio ambayo kihalisia haipo. Sauti hizi zinaweza kuwa k**a miluzi, kengele, upepo, filimbi, au mlio wa mashine. Hizi ni dalili zinazoashiria kuwa kuna tatizo fulani kwenye sikio, mishipa ya fahamu ya kusikia, au mfumo wa masikio kwa ndani.
SABABU / CHANZO;
- Misuli kukaza
- Maambukizi au majeraha kwenye sikio
- Kuziba kwa nta au mfereji wa sikio
- Mabadiliko ya presha ndani ya sikio
- Upungufu wa damu mwilini
- Msongo wa mawazo ( Stress)
- Kukaa kwenye sehemu yenye kelele kubwa muda mrefu na mara kwa mara
- Mafua ya muda mrefu au mzio
- Mtirirolo hafifu wa damu
- Matumizi ya muda mrefu au ya mara kwa mara ya baadhi ya dawa za hospitalini.

MADHARA;
Usipotibu changamoto hii mapema itapelekea;
- Usikivu hafifu
- Kupoteza kabisa usikivu
- Kupata changamoto ya afya ya akili
- Kutotibika tena kwa dawa bali hadi kutumia kifaa maalumu cha kusaidia kusikia vizuri.

🔥 Wasiliana nasi tukupe dawa ya kuondoa changamoto hii
Bei ni 25,000

0713184830
Tupo Dar, Mawasiliano.

04/06/2026

Mrejesho kutoka kwa mmoja wa wateja aliyetumia dawa yetu.

27/05/2026

🌿 Usikubali kuendelea kuteseka na Bawasiri kimyakimya
Pata msaada mapema

🌿 Wahi kupata ushauri mapema

Elezea changamoto yako ilivyo WhatsApp
0713184830

16/05/2026

🔥 SIKU HIZI KUZEEKA KWA NGOZI YAKO NI KUJITAKIA TU!

UNGA WA COLLAGEN ndio siri yako pekee ya ngozi yako yenye afya bora, kucha, nywele, na joints zenye afya nzuri - vyote hivyo kwa pamoja utavipata kwa kutumia vijiko 2 tu kila siku vya UNGA WA HUU WA COLLAGEN wenye mchanganyiko wa Collagen Type I, Ii, Iii, V, X, Hyaluronic Acid, Biotin na Vitamin C.
✔️ Inaondoa makunyazi kwenye ngozi na kukinga ngozi kuzeeka haraka
✔️ Inaamirisha kucha, nywele ,misuli na mifupa
✔️ Inaboresha mmeng'enyeko wa chakula
✔️ Inasaidia kuhifadhi unyevunyevu wa kwenye ngozi

🌿 Anza mabadiliko ya ngozi yako sasa kwa sababu kujisikia vizuri kunakufanya uonekane vizuri.

🔥 30,000 pakiti moja.

TUNAUZA PIA KWA JUMLA kuanzia 3 pcs

📞 0713184830
Tupo Dar, Mawasiliano

14/05/2026

Mteja wetu wa Babati tayari amepokea dawa yake salama na ameshaanza kuitumia ♥️
Tunathamini sana wewe kutuamini sisi🙏
Karibu uagize na wewe leo.

Photos from Dukalenu's post 29/04/2026

🔥 JE UNA BAWASIRI YA NDANI AU YA NJE NA UMESHATUMIA DAWA NYINGI LAKINI HAUJAPONA?

Usihofu tena, Tumekuletea suluhisho la Bawasiri sugu.
✔️ inaondoa uvimbe sehemu ya haja kubwa
✔️ Inaondoa miwasho, na kuzua kutokwa kwa damu sehemu ya haja KUBWA
✔️ Inaondoa maumivu sehemu ya haja KUBWA
✔️ Imetengenezwa kwa mimea asilia

MADHARA YATOKANAYO NA BAWASIRI
🌟 Saratani ya utumbo na ya sehemu ya haja kubwa
🌟 Kukosa choo au choo kigumu
🌟 Kukosa hamu ya tendo la ndoa
🌟 Kupungukiwa nguvu za kiume
🌟 Kupatwa na msongo wa mawazo

Usiache madhara ya Bawasiri yakupate, wahi kutibu sasa.

🔥 Bei ya offer 25,000 tu badala ya ✂️⚒️ 30,000

Delivery ni bure kwa wakazi wa Dar,
Mikoani delivery ni 5000 - 7,000 na unalipia unapoupokea mzigo wako.

https://www.instagram.com/dukalenutz?igsh=bm5xYjFtaXFidjBk

🌿 TUNAUZA PIA KWA BEI ZA JUMLA KUANZIA 3 pcs

📞 0713184830
Tupo Dar, Sinza Mawasiliano

29/04/2026

JE UNATESEKA NA MAUMIVU;
☑️Magoti
☑️Mgongo
☑️ Kiuno
☑️ Pingili
☑️ Mabega

Hauna haja tena ya kuishi maisha ya maumivu, spray dawa hii kidogo sehemu husika na baada ya siku chache hautasukia tena maumivu..

Madhara ya kutotibu mapema changamoto ya mifupa na maungio
🌿Mifupa kuvunjika kwa urahisi
🌿Kupinda mgongo wakati wa uzeeni
🌿Ulemavu wa kudumu.
🌿 Kupata tatizo la kiharusi
Hivyo wahu kutibu, usisubutia madhara hayo yakupate.

🔥 Bei ya offer ni 30,000 tu badala ya ❎ 35,000

🌿 TUNAUZA PIA KWA BEI ZA JUMLA kuanzia 3 pcs

0713184830
Tupo Dar, Mawasiliano.

28/04/2026

Masikio kupiga kelele kitaalamu hujulikana k**a Tinnitus.
Ni tatizo la kiafya linalomfanya mtu asikie sauti au milio ambayo kihalisia haipo. Sauti hizi zinaweza kuwa k**a miluzi, kengele, upepo, filimbi, au mlio wa mashine. Hizi ni dalili zinazoashiria kuwa kuna tatizo fulani kwenye sikio, mishipa ya fahamu ya kusikia, au mfumo wa masikio kwa ndani.
SABABU / CHANZO;
- Misuli kukaza
- Maambukizi au majeraha kwenye sikio
- Kuziba kwa nta au mfereji wa sikio
- Mabadiliko ya presha ndani ya sikio
- Upungufu wa damu mwilini
- Msongo wa mawazo ( Stress)
- Kukaa kwenye sehemu yenye kelele kubwa muda mrefu na mara kwa mara
- Mafua ya muda mrefu au mzio
- Mtirirolo hafifu wa damu
- Matumizi ya muda mrefu au ya mara kwa mara ya baadhi ya dawa za hospitalini.

Usipotibu changamoto hii mapema itapelekea kupoteza kabisa au uhafifu wa usikivu.

🔥 Wasiliana nasi tukupe dawa ya kuondoa changamoto hii
Bei ni 25,000

0713184830
Tupo Dar, Mawasiliano.

13/04/2026

Je unasumbuliwa na maumivu ya Misuli, Mifupa, Meno dhaifu, Kukosa usingizi, Uchovu wa mwili, au Misuli kukaza?
🔥 Virutubisho hivi vyenye Calcium + Magnesium + Zinc + Vitamin D3 ndio suluhisho la uhakika.
✔️ Inaondoa maumivu ya Misuli na Mifupa
✔️ Inaondoa tatizo la kukaza kwa Misuli
✔️ Inaondoa tatizo la kukosa usingizi
✔️ Inaondoa uchovu wa mwili wa mara kwa mara
✔️ Inaimarisha afya ya Meno

🌿 Bei ni 30,000 tu

TUNAUZA PIA KWA JUMLA

0713184830
Tupo Dar, Mawasiliano

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam
255

Opening Hours

Monday 05:00 - 23:00
Tuesday 05:00 - 23:00
Wednesday 05:00 - 23:00
Thursday 05:00 - 23:00
Friday 08:30 - 17:00
Saturday 08:30 - 13:00