Dukalenu
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Dukalenu, Health/Beauty, Dar es Salaam.
🔥Suluhisho la bidhaa Bora kwa bei nafuu.
🔥Tunawasaidia Wanawake Na Wanaume Kurejesha Furaha Zao Kwa Kutoa Matibabu Kwa Njia za Asili Bila Kutumia Gharama Kubwa.
04/06/2026
Masikio kupiga kelele kitaalamu hujulikana k**a Tinnitus.
Ni tatizo la kiafya linalomfanya mtu asikie sauti au milio ambayo kihalisia haipo. Sauti hizi zinaweza kuwa k**a miluzi, kengele, upepo, filimbi, au mlio wa mashine. Hizi ni dalili zinazoashiria kuwa kuna tatizo fulani kwenye sikio, mishipa ya fahamu ya kusikia, au mfumo wa masikio kwa ndani.
SABABU / CHANZO;
- Misuli kukaza
- Maambukizi au majeraha kwenye sikio
- Kuziba kwa nta au mfereji wa sikio
- Mabadiliko ya presha ndani ya sikio
- Upungufu wa damu mwilini
- Msongo wa mawazo ( Stress)
- Kukaa kwenye sehemu yenye kelele kubwa muda mrefu na mara kwa mara
- Mafua ya muda mrefu au mzio
- Mtirirolo hafifu wa damu
- Matumizi ya muda mrefu au ya mara kwa mara ya baadhi ya dawa za hospitalini.
MADHARA;
Usipotibu changamoto hii mapema itapelekea;
- Usikivu hafifu
- Kupoteza kabisa usikivu
- Kupata changamoto ya afya ya akili
- Kutotibika tena kwa dawa bali hadi kutumia kifaa maalumu cha kusaidia kusikia vizuri.
🔥 Wasiliana nasi tukupe dawa ya kuondoa changamoto hii
Bei ni 25,000
0713184830
Tupo Dar, Mawasiliano.
04/06/2026
Mrejesho kutoka kwa mmoja wa wateja aliyetumia dawa yetu.
27/05/2026
🌿 Usikubali kuendelea kuteseka na Bawasiri kimyakimya
Pata msaada mapema
🌿 Wahi kupata ushauri mapema
Elezea changamoto yako ilivyo WhatsApp
0713184830
🔥 SIKU HIZI KUZEEKA KWA NGOZI YAKO NI KUJITAKIA TU!
UNGA WA COLLAGEN ndio siri yako pekee ya ngozi yako yenye afya bora, kucha, nywele, na joints zenye afya nzuri - vyote hivyo kwa pamoja utavipata kwa kutumia vijiko 2 tu kila siku vya UNGA WA HUU WA COLLAGEN wenye mchanganyiko wa Collagen Type I, Ii, Iii, V, X, Hyaluronic Acid, Biotin na Vitamin C.
✔️ Inaondoa makunyazi kwenye ngozi na kukinga ngozi kuzeeka haraka
✔️ Inaamirisha kucha, nywele ,misuli na mifupa
✔️ Inaboresha mmeng'enyeko wa chakula
✔️ Inasaidia kuhifadhi unyevunyevu wa kwenye ngozi
🌿 Anza mabadiliko ya ngozi yako sasa kwa sababu kujisikia vizuri kunakufanya uonekane vizuri.
🔥 30,000 pakiti moja.
TUNAUZA PIA KWA JUMLA kuanzia 3 pcs
📞 0713184830
Tupo Dar, Mawasiliano
14/05/2026
Mteja wetu wa Babati tayari amepokea dawa yake salama na ameshaanza kuitumia ♥️
Tunathamini sana wewe kutuamini sisi🙏
Karibu uagize na wewe leo.
29/04/2026
🔥 JE UNA BAWASIRI YA NDANI AU YA NJE NA UMESHATUMIA DAWA NYINGI LAKINI HAUJAPONA?
Usihofu tena, Tumekuletea suluhisho la Bawasiri sugu.
✔️ inaondoa uvimbe sehemu ya haja kubwa
✔️ Inaondoa miwasho, na kuzua kutokwa kwa damu sehemu ya haja KUBWA
✔️ Inaondoa maumivu sehemu ya haja KUBWA
✔️ Imetengenezwa kwa mimea asilia
MADHARA YATOKANAYO NA BAWASIRI
🌟 Saratani ya utumbo na ya sehemu ya haja kubwa
🌟 Kukosa choo au choo kigumu
🌟 Kukosa hamu ya tendo la ndoa
🌟 Kupungukiwa nguvu za kiume
🌟 Kupatwa na msongo wa mawazo
Usiache madhara ya Bawasiri yakupate, wahi kutibu sasa.
🔥 Bei ya offer 25,000 tu badala ya ✂️⚒️ 30,000
Delivery ni bure kwa wakazi wa Dar,
Mikoani delivery ni 5000 - 7,000 na unalipia unapoupokea mzigo wako.
https://www.instagram.com/dukalenutz?igsh=bm5xYjFtaXFidjBk
🌿 TUNAUZA PIA KWA BEI ZA JUMLA KUANZIA 3 pcs
📞 0713184830
Tupo Dar, Sinza Mawasiliano
JE UNATESEKA NA MAUMIVU;
☑️Magoti
☑️Mgongo
☑️ Kiuno
☑️ Pingili
☑️ Mabega
Hauna haja tena ya kuishi maisha ya maumivu, spray dawa hii kidogo sehemu husika na baada ya siku chache hautasukia tena maumivu..
Madhara ya kutotibu mapema changamoto ya mifupa na maungio
🌿Mifupa kuvunjika kwa urahisi
🌿Kupinda mgongo wakati wa uzeeni
🌿Ulemavu wa kudumu.
🌿 Kupata tatizo la kiharusi
Hivyo wahu kutibu, usisubutia madhara hayo yakupate.
🔥 Bei ya offer ni 30,000 tu badala ya ❎ 35,000
🌿 TUNAUZA PIA KWA BEI ZA JUMLA kuanzia 3 pcs
0713184830
Tupo Dar, Mawasiliano.
28/04/2026
Masikio kupiga kelele kitaalamu hujulikana k**a Tinnitus.
Ni tatizo la kiafya linalomfanya mtu asikie sauti au milio ambayo kihalisia haipo. Sauti hizi zinaweza kuwa k**a miluzi, kengele, upepo, filimbi, au mlio wa mashine. Hizi ni dalili zinazoashiria kuwa kuna tatizo fulani kwenye sikio, mishipa ya fahamu ya kusikia, au mfumo wa masikio kwa ndani.
SABABU / CHANZO;
- Misuli kukaza
- Maambukizi au majeraha kwenye sikio
- Kuziba kwa nta au mfereji wa sikio
- Mabadiliko ya presha ndani ya sikio
- Upungufu wa damu mwilini
- Msongo wa mawazo ( Stress)
- Kukaa kwenye sehemu yenye kelele kubwa muda mrefu na mara kwa mara
- Mafua ya muda mrefu au mzio
- Mtirirolo hafifu wa damu
- Matumizi ya muda mrefu au ya mara kwa mara ya baadhi ya dawa za hospitalini.
Usipotibu changamoto hii mapema itapelekea kupoteza kabisa au uhafifu wa usikivu.
🔥 Wasiliana nasi tukupe dawa ya kuondoa changamoto hii
Bei ni 25,000
0713184830
Tupo Dar, Mawasiliano.
13/04/2026
Je unasumbuliwa na maumivu ya Misuli, Mifupa, Meno dhaifu, Kukosa usingizi, Uchovu wa mwili, au Misuli kukaza?
🔥 Virutubisho hivi vyenye Calcium + Magnesium + Zinc + Vitamin D3 ndio suluhisho la uhakika.
✔️ Inaondoa maumivu ya Misuli na Mifupa
✔️ Inaondoa tatizo la kukaza kwa Misuli
✔️ Inaondoa tatizo la kukosa usingizi
✔️ Inaondoa uchovu wa mwili wa mara kwa mara
✔️ Inaimarisha afya ya Meno
🌿 Bei ni 30,000 tu
TUNAUZA PIA KWA JUMLA
0713184830
Tupo Dar, Mawasiliano
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam
255
Opening Hours
| Monday | 05:00 - 23:00 |
| Tuesday | 05:00 - 23:00 |
| Wednesday | 05:00 - 23:00 |
| Thursday | 05:00 - 23:00 |
| Friday | 08:30 - 17:00 |
| Saturday | 08:30 - 13:00 |
