Ilham Afya

Ilham Afya

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Ilham Afya, Health/Beauty, Sinza, Dar es Salaam.

ILHAMafya is a morden health company work with BRIGHT FUTURE HEALTH COMPANY from USA committed to improve quality of life by offering excellent health products and services inside and outside country

29/04/2022

Kiboko ya ngozi walioathirika na cream, muwash na makovu sugu.. Wanawake wengi wamekuwa wakihangaika na matatizo mbalimbali ya ngozi kam vile
✅Chunusi sugu usoni na mgongoni
✅mabaka, makovu, upele na harara
✅ngozi kuwa kavu na inayotoa jasho sana
✅ngozi iliyoungua kutokana na matumizi ya vipodozi
✅kukosa unyevu katika ngozi
✅makunyanzi na ngozi iliyozeeka
✅madoa meusi yasiyoisha
Suluhisho ni feminergy
Ni bidhaa maalumu iliyotengenezwa kwa mimea asilia ya zabibu kwaajili ya mwanmke yoyote na huanza kutibu tatizo kuanzia ndani mpaka nje
Karibu ILHAMafya kwa tiba na ushauri 0745124432

21/04/2022

JINSI YA KUTATUA TATIZO LA KUWAKA MOTO MIGUU NA KUFA GANZI

Huu ni ugonjwa unaowasumbua watu wengi sana na mara nyingi humfamnya mtu mwenye tatizo hilo kushindwa kusinzia japo anahisi kusinzia.

Miguu kuwaka moto ni ugonjwa unaotokea ambapo katika mwili wa binadamu kutakuwa na matatizo k**a kudhoofika kwa neva za pembezoni mwa mwili yani za miguuni hivyo kupoteza uwezo wa utendaji kazi wa neva miguuni.

Sababu zingine ni k**a kutokuwa na mzunguko mzuri wa damu, kuwa na sumu nyingi mwilini, kurithi au mwili kushindwa kufanya kazi zake vizuri.

Dalili za ugonjwa wa miguu kuwaka moto
Ugonjwa huu una dalili nyingi zikiwemo:
• Kuhisi ganzi
• kuhisi kuchomwa na kitu chenye ncha Kali miguuni
• kuhisi miguu kuwa na majimaji kwa ndani
• joto Kali miguuni
• kuhisi k**a unaungua miguuni,kushindwa kushika au kubeba vitu na maumivu makali.

Vitu/ mambo yanayoweza kupelekea mtu miguu yake kuwaka moto
Kuna mambo mengi sana yakiwemo:
• Uzito mkubwa wa mwili (hii husababisha uti wa mgongo kukaa tofauti na unavyostahili hivyo baadhi ya neva kukandamizwa na uzito wa mwili au misuli hivyo kusababisha miguu kupata maumivu na kufa ganzi.

• Matumizi ya baadhi za dawa zenye kemikali kwa muda mrefu au mara kwa mara mfano dawa za TB, HIV nk.

• Upungufu wa virutubusho mwilini hasa mkusanyiko wa Vitamini B

• Magonjwa ya sukari na Shinikizo la damu , magoti , mzio na fangasi
• Matatizo ya moyo
• Matatizo katika mishipa ya damu
• Ulevi wa kupindukia kwa muda mrefu

Jinsi ya kuepuka ugonjwa wa miguu kuwaka moto
• Kuwa na uzito unaoenda na na kimo chako
• Fanya mazoezi ya mwili
• Kula chakula kinachokupatia virutubisho mwili hasa VITAMINI B
• Usafi wa viatu, sox na miguu
• Ondoa sumu au kemikali mara kwa mara mwilini(kwa kutumia virutubisho lishe)

Matibabu:

Kula vyakula vyenye mkusanyiko wa vitamini B za kutosha
Fanya mazoezi ya mwili k**a kukimbia, Kutembea n.k

Pia kufanya massaging

Punguza uzito uliopitiliza

Tumbukiza miguu katika maji ya vuguvugu yenye chumvi

Tibu maradhi ya sukari hakikisha sukari ipo sawa

Ondoa sumu kali mwilini mara kwa mara

Karibu ILHAMafya kwa tiba na ushauri 0745124432

20/04/2022

*NIAMBIE K**A HUYU NI WEWE?*

1.✍️ Unawahi kufika kileleni mapema. Chini ya dakika saba.

2.✍️Unashindwa kurudia tendo kwa mara ya pili au zaidi.

3✍️.Uume Unashindwa kusimama au unasimama ukiwa legelege kwa mara ya pili au zaidi

4.✍️Unashindwa kumpa mwanamke mimba Kutokana na uchache au udhaifu wa mbegu (shahawa)

5.✍️Unapata maumivu kwenye korodani au misuli ya UUME baada ya tendo

6.✍️Unakosa hamu ya kufanya mapenzi au hamu ya kurudia tendo baada ya kufanya kwa mara ya kwanza

7. Umeathirika na Punyeto ulizopiga zamani au Sasa na uume umekosa Nguvu.

8. Una magonjwa mengine nyemelezi yanakusumbua k**a vile pressure, kisukari, Tb, ini, Nk?

8.Umetumia Dawa nyingi na virutubisho lakini hujapata matokeo, umekosa Uaminifu kwenye dawa.

Tutakusaidia.

Wasiliana nasi Sasa tukupatie Tiba uweze Kumudu tendo. Tiba zetu ni asili na zinatoa matokeo haraka na kutibu tatizo kabisa. Tuambie tatizo lako tukusaidie utapona kabisaaa.

Tuwasiliane kwa namba;

Piga/Text WhatsApp
No 0745124432

19/04/2022

Dozi kiboko ya maambukizi UKENI ipo;
- Inawahisha ujauzito,
- Inazuia ujautizo kuharibika,
- Inatibu PID, UTI, na fangasi,
- Inazibua mirija,
- Inarekebisha homoni,
-Inayeyusha vimbe za cyst,
- Inaongeza ute ukeni ili ufurahie tendo la ndoa🔥

Karibu ILHAMafya kwa tiba na ushauri 0745124432

19/04/2022

Karibu ILHAMafya kwa tiba na ushauri 0745124432
Vidonda vya tumbo ni michubuko inayotokea kwenye kuta za mfumo wa chakula, hasa kwenye sehemu ya tumbo au pia sehemu ya kwanza ya utumbo mdogo. Ukubwa wa vidonda hivi hutofautiana, kuanzia millimita chache hadi sentimita kadhaa.

Dawa za hospitalini husaidia kwa kiasi kikubwa katika kupambana na changamoto ya vidonda vya tumbo. Lakini, upande wa pili wa tiba asili na tiba mbadala huwa pia na nafasi kubwa katika kutatua changamoto hii.

Tafiti nyingi za afya zinataja matumizi ya mboga za majani hasa spinach, cabbage, broccoli, matunda hasa apple, vitunguu saumu pamoja na manjano husaidia katika kupambana na aina ya vidonda vya tumbo vilivyo sababishwa na matumizi ya dawa za kupunguza maumivu.

Hata hivyo, tunatatua kabisa changamoto hii ya vidonda vyatumbo ndani ya siku10 usiendelee kuteseka tena✅✅

17/04/2022

*DALILI ZA HATARI KWA MWANAMKE ZINAZO MFANYA ASIPATE MIMBA.*

🙆Ukavu ukeni
🙆Maumivu wakati wa tendo la ndoa
🙆Kutoa jasho usiku
🙆Maumivu chini ya kitovu wakati wa hedhi
🙆Upungufu wa hamu ya tendo la ndoa
🙆Mabadiliko ya siku za hedhi na kupata hedhi kwa muda mrefu unaozidi siku 7. (heavy bleeding, au kujaza pedi moja kwa saa moja)
🙆Kukosa hedhi kwa muda mrefu, na kutoa damu yenye mabonge mabonge wakati wa hedhi
🙆Uchovu wa mara kwa mara
🙆Hasira za mara kwa mara
🙆Kukosa usingizi
🙆Homa za usiku na Kizunguzungu cha mara kwa mara
🙆Mzio wa vyakula (Allergie), kuchagua chagua vyakula
🙆Ongezeko ya tumbo na nyama uzembe
🙆Kuharibika kwa ngozi (chunusi, vipele… n.k)
🙆Maumivu ya viungo
🙆Upungufu wa nywele kichwani.
🙆Kusahau sana (kukosa kumbukumbu)
🙆Kupata hedhi wakati wa ujauzito (progesterone ikiwa imezidi)
🙆Kutokupata hedhi (balehe) adi umri wa miaka 20 na kuendelea
🙆Mwili kutokukua, kuonekana k**a binti mdogo, na kutokukua kwa via vya uzazi
🙆Msongo wa mawazo na kukosa kujiamini
🙆Kusinyaa na kupauka kwa ngozi wakati wa siku za hedhi na wakati wa utumiaji wa njia za uzazi wa mpango
🙆Maumivu ya kichwa mara kwa mara
🙆Kuwa na tabia ya hamaki (kukosa utulivu)
🙆Kutokupata choo kwa wakati
🙆Misuli kudondoka

MADHARA YA DALILI HIZO

🤔Kutokushika ujauzito Kwa muda mrefu
🤔Mimba kuhalibika mala kwa mala
🤔 Maumivu wakati wa tendon
🤔UTI kujirudia
🤔Kuziba Kwa mirija ya uzazi

Wasiliana nasi Kwa tiba na ushauli Kwa number 0745124432

Photos from Ilham Afya's post 14/04/2022

Kiboko ya matatizo ya meno
Inatibu maumivu ya jino kwa haraka
Inaondoa bacteria wabaya mdomoni
Inafanya meno yang'ae
Inaondoa harufu mbaya mdomoni
Inazuia fizi kutoa damu/kuvimba
Karibu ILHAMafya kwa tiba na ushauri 0745124432

14/04/2022

Kiboko ya matatizo ya meno
Inatibu maumivu ya jino kwa haraka
Inaondoa bacteria wabaya mdomoni
Inafanya meno yang'ae
Inaondoa harufu mbaya mdomoni
Inazuia fizi kutoa damu
Karibu ILHAMafya kwa tiba na ushauri. 0745124432

09/04/2022

Je?Unasumbuliwa na matatizo ya mfumo wa uzazi wako mwanaume,baba au Kijana?! Ipo njia rahisi ya uhakika na ya kudumu ya kutatua suluhisho lako! Njoo Tuzungumze. ILHAMafya inakupatia Tiba kwa njia ya virutubisho lishe, haina madhara kwa afya yako.

WhatsApp, Call AND Msg 0745124432

09/04/2022

Je?Unasumbuliwa na matatizo ya mfumo wa uzazi wako mwanamke?! Ipo njia rahisi ya uhakika na ya kudumu ya kutatua suluhisho lako! Njoo Tuzungumze. ILHAMafya inakupatia Tiba kwa njia ya virutubisho lishe, haina madhara kwa afya yako.

WhatsApp, Call AND Msg 0745124432

Photos from Ilham Afya's post 07/04/2022

*K**a Una Dalili Hizi Hapa Chini Huenda Zikakusababishia Kutozaa Kabisa*

👉🏽Maumivu makali wakati wa hedhi

👉🏽kichefu chefu kikali kila ukikaribia hedhi

👉🏽Maziwa kujaa kila ukikaribia hedhi

👉🏽Maziwa kuuma kila ukikaribia hedhi

👉🏽Mwili kuchoka ukikaribia hedhi na kujihisi mjamzito

👉🏽Maumivu chini ya kitovu,upande wa kulia na kushoto karibu na nyonga

👉🏽hedhi inayojirudia mara mbili ndani siku 30

👉🏽kukosa hedhi kwa kipindi cha mwezi mmoja au zaidi

👉🏽Kukosa hamu tendo la ndoa na ukavu ukeni

👉🏽Uchafu kutoka ukeni na maumivu wakati wa tendo la ndoa

👉🏽Kukosa UTE wa uzazi (EVOLUTION)

👉🏽Joto la mwili kushuka katika siku za hatari

*Haya Matatizo ni visababishi vya Ugumba

Pia hupelekea kutokushika ujauzito kabisa

Kwa maelekezo kuhusu homon imbalance na p i d
Wasiliana nami kwa simu namba 0745124432

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Sinza
Dar Es Salaam