AFYA NJEMA NI MTAJI

AFYA NJEMA NI MTAJI

Share

FOREVER LIVING PRODUCTS Business concerning with Food Supplements

02/12/2021

FAHAMU NAMNA FOREVER C9 INAVOFANYA KAZI YA KUPUNGUZA UZITO.

🎯 Forever C9 ni program ya awali kabisa ya kudhibiti uzito. Inafanywa kwa siku tisa kwa kuzingatia uwiano mzuri wa lishe inayotakiwa kwenye mwili. Kazi yake kubwa ni kusafisha (cleansing/detox) na pia kupunguza uzito kwa kuondoa mafuta ya ziada; na hivyo basi kutengeneza msingi mzuri wa kupunguza na kudhibiti uzito.

🎯 Forever C9 ina mchanganyiko wa vitutubisho vitano k**a ifuatavyo.

1. Forever Aloe Vera gel
🎯 Hii kazi yake ni kusafisha mmeng’enyo wa chakula, kuondoa mafuta yaziada, kuimarisha Kinga ya mwili, kulisha seli na kuimarisha afya ya ngozi.

2. Forever Garcinia plus
🎯 Hii kazi yake kubwa ni kuyeyusha mafuta na kukontro hamu ya kula. Hii hufanya vizuri pale ambapo mtu anafanya mazoezi.

3. Forever Therm
🎯 Hii kazi yake kubwa ni kuwezesha metabolism ya mwili na kuzalisha joto hasa wakati mtu anafanya Mazoezi. Hivyo kuwezesha kuchoma mafuta kiurahisi. Lakini pia inasaidia sana kumpa mtu nguvu na stamina wakati wa kuifanya Forever C9 program.

4. Forever Lite Ultra
🎯 Hii Ni protein shake ambayo imetengenezwa kwa soya na kuongezewa aminotein ambayo hutumika kwa kuchanganya na maji au juice fresh (ingawa kwa matokeo mazuri ya kupunguza uzito itumie na kwa kuchanganya na maji). Hii inamfanya mtu asijisikie njaa wakati wa program kwasababu inakaa tumboni kwa muda mrefu.

5. Forever fiber
🎯 Hii inasaidia sana kwenye mmeng’enyo wa chakula. Ina nyuzi nyuzi nyingi sana kwaajili ya kuhakikisha mmeng’enyo wa chakula haupati shida yoyote k**a vile choo kigumu au kutopata choo, tumbo kujaa gas n.k

Hivi Ndiyo virutubisho vitano vilivyo ndani ya Forever C9. Atakayefanya hii program anauhakika wa kupungua kuanzia kg 5 hadi 10.

Ushauri na ya kupungua,
Tuma ujumbe neno UZITO kwenda Whatsap namba +255 714243426

25/11/2021

JINSI YA KUTAMBUA K**A UZITO WAKO UNAENDANA NA UREFU WA MWILI WAKO (BODY MASS INDEX, *BMI*):

Watu wengi tumekuwa tukiishi kwa kutojua miili yetu k**a ipo sawa, hii ni kutokana na kile kitendo pengine cha kutougua, hutufanya tujisahau kabisa katika kujua undani wa Afya zetu.

Leo napenda tujifunze namna ya kujua jinsi gani utatambua kuwa UZITO WAKO UNAENDANA NA UREFU WA MWILI WAKO(BODY MASS INDEX kwa kifupi BMI)
Kwa kifupi kitendo hiki huhusisha vitu viwili ambavyo ni uzito wako katika kilogram(kg) pamoja na urefu wako katika mita(m). Tutajifunza kwa kutumia mifano.
Uhusiano huo upo katika mpangilio k**a ifuatavyo:

●BMI ikiwa chini ya 18.50 hapa inakuwa mtu huyu uzito wake upo chini kuliko kawaida(UNDER WEIGHT)
●BMI kuanzia 18.50 hadi 24.99 huyu mtu ni mwenye Afya njema na yuko vizuri kabisa(HEALTHY)
●BMI kuanzia 25.00 hadi 29.99 huyu ni mtu ambaye amezidi uzito(OVER WEIGHT) hivyo uzito wake na urefu wake haviendani kabisa.
●BMI kuanzia 30.00 na kuendelea basi huyu mtu ni yule aliyepitiliza kabisa kiwango cha uzito na anaingia katika kundi la Obesity.

Sasa unapata vipi uhusiano wa uzito na urefu wako(BMI)?
Angalia hapa chini
👇

Kanuni(BMI)=uzito ÷ (urefu)kipeo cha pili



$Tuangalie mfano; mimi Imma nina uzito wa kg 64 na urefu wa sentimeta 162 ambao ni sawa na mita 1.62
BMI ya Imma=64/1.62×1.62

BMI=64/2.6244

BMI=24.386
Kwa mfano huo basi Imma yupo kwenye kundi salama japo bado kidogo tu afikie 25 ambapo siyo pazuri.
Sasa tufanye ya kwamba Imma ana uzito wa kilo 74 na urefu uleule
BMI= 74/2.6244

BMI=28.196

Hapa anakuwa OVER WEIGHT
Na endapo Imma ana uzito wa kg 91;

BMI=91/2.6244

BMI=34.6745

Hapa ni OBESITY!!
Ndugu msomaji wa makala hii nadhani sasa umeshafahamu namna ya kujua k**a una uzito unaoendana na urefu wako, hivyo unaweza kujifanyia tathimini wewe mwenyewe.

NOTE: Urefu wako uwe katika kipimo cha mita(metre).

YAFUATAYO NI BAADHI YA MADHARA YA KUWA NA UZITO ULIOZIDI(KUANZIA BMI 25 NA KUENDELEA):-

-Magonjwa/matatizo ya Ini na Figo

-Magonjwa ya Kisukari, Shinikizo la damu, Kiharusi na matatizo ya Moyo

-Tatizo la kutopumua vizuri wakati wa usingizi

-Kiwango cha juu cha mafuta mabaya(Bad cholesterols)

-Ugonjwa wa mifupa k**a yabisi(osteoarthritis)

-Matatizo ya hedhi kwa akinamama na upungufu wa nguvu za kiume kwa wanaume

Unaweza ku-share zaidi makala hii kwa watu wengi kadri uwezavyo ili nao waweze kujifunza k**a ulivyojifunza wewe.
Pia huwa tunatoa suluhisho kupunguza uzito/kitambi na nyamauzembe kwa muda mfupi zaidi.

Kwa ushauri zaidi,
Tuma ujumbe neno UZITO kwenda Whatsap namba +255 714243426/Nipigie

24/11/2021

PUNGUZA UZITO, KITAMBI NA NYAMAUZEMBE.
JE umekuwa ukifanya mazoezi kwa nia ya kupunguza uzito bila mafanikio au kupungua kwa kiasi/kiwango kidogo sana, Na ikitokea umeacha kufanya mazoezi kwa muda wa siku chache tu Kg's zinarudi pale pale?
JE umekuwa ukijinyima kula kwa nia ya kufanya diet ili upungue ila pia imekuwa ni changamoto kwako? Lakini je unayajua madhara ya kujinyima kula?
THE SOLUTION IS HERE
FIT PROGRAMS ni program maalum kwaajili ya kupunguza uzito kitambi na nyama uzembe, program hizi inaambatana na aina tano tofauti ya products ambazo utazitumia kwa muda wa siku 9, zitakusaidia sana wewe kupunguza uzito wako KIAFYA bila kuathiri utendaji kazi wako na majukumu yako ya kila siku.

NI PRODUCT SALAMA KABISA KWA MTUMIAJI, IMETHIBITISHWA NA MASHIRIKA MAKUBWA YA AFYA NA CHAKULA DUNIANI.

Mawasiliano zaidi;
Tuma ujumbe neno UZITO kwenda Whatsap namba +255 714243426/Piga simu

10/11/2021

MADHARA YA KUWA NA KITAMBI NA UZITO MKUBWA!!

Ukiwa na unene au uzito mkubwa itasababisha madhara yafuatayo;
1.Kwa wanaume upungufu wa nguvu za kiume, asilimia kubwa uume husinyaa unarudi ndani unakua mdogo.
2.Kwa wanawake mzunguko wa hedhi kutoeleweka zinavurugika.
3. Uwezo wako wa kufikiria hupungua. IQ yako itakuwa chini kwa kufikiri.
4. Tatizo ya fibroids kwa wanawake (uvimbe katika kizazi)
5. Tatizo la hormonal imbalance kwa wanaume na wanawake (Homoni kukosa uwiano)
6. Magonjwa sugu k**a vile kisukari, shinikizo la damu, matatizo ya figo, ugonjwa wa moyo, matatizo ya tezi dume.
7.Ugumba kwa wanawake na mwanaume
8. Muonekano mbaya ,kila nguo unayoivaa haikupendezi hadi inakua kero.

Kumbuka umepambana Sana kuijenga future yako. Lakini unapokua na kitambi au uzito mkubwa hautoifurahia hiyo future. Utaanza kuhudhulia Clinic za gharama kubwa kwa ajili ya matatizo ya Presha, kisukari, stroke na upungufu wa nguvu za kiume. Kwa Nini usubirie matatizo yote hayo yakufike wakati suluhisho salama lipo?

SULUHISHO:
Tuma ujumbe neno UZITO kwenda Whatsap +255 714243426/Piga.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam