Rahma Luzilo

Rahma Luzilo

Share

TUNAWASAIDIA WATU KUPUNGUZA UZITO AU TUMBO KWA KUTUMIA BIDHAA ZA ASILI

06/09/2021

Je una changamoto ya kuumwa nyonga, miguu kuwaka moto, mgongo au changamoto yoyote ya viungo. Ni wewe, wazazi wako au ndugu yako? Forever Freedom , Calcium , Artic sea Omega3,6,9 ni bidhaa asilia ambazo husaidia kuongeza ute(fluid) uliokauka kwenye viungo k**a nyonga, miguu na mgongo. Ni nzuri kutumiwa na wanamichezo, wanawake ambao wametoka kujifungua huwa wanaumwa nyonga na mgongo pia wazee umri ukishaenda viungo huwa vinaisha ute hivyo huumwa sana viungo. Utaletewa ulipo na mkoani na nje ya Tanzania tuna tuma. https://wa.me/255679062862 Hii ni dozi ya mwezi mmoja

16/08/2021

Tunatoa Free delivery kwa Mteja wa C9 popote pale ulipo nia yetu ni kuhakikisha watu wanaishi maisha ya Afya bora.

HUWENDA ILIKUWA NI MOJA KATI YA MIPANGO YAKO KUPUNGUZA UZITO KWA MWAKA HUU LKN MPAKA SASA UMEBANWA NAMAJUKUMU❌
JIPE NAFASI HAKIKISA UNATIMIZA LENGO LAKO ✅

C9 (clean 9) kwa maana Ni Clean ndani ya siku 9

Hii ni program yenye kutumika kwa muda wa siku 9 tu Na kazi yake kubwa ni kufanya Body cleanse ili kusudi kuondoa taka zote Na bad colesterols ambazo Zimeingia Kwenye mwilini Kwa Njia Mbali mbali eidha kwa kula chakula au (kupaka mafuta ya ngozi Na kusababisha mwili kufyonza Zile kemikali mbaya)❌

C9 inakuwa na bidhaa tofauti ambazo zote ni muhimu kwa kila namna yake
Kuna bidhaa za Kupunguza Appetite ya Kula na wakati huo huo kumfanya mtu ajihisi Mwenye kushiba muda wote Na wakati huo huo zinaupa mwili nguvu✅

Kuna zingine kwa ajili ya Kusafisha mfumo wa Chakula (gut) ili kusaidia vidole vya Utumbo (tumboni) kuwa free na kuweza Kufyonza na virutubisho kwa urahisi zaidi na pia kusaidia Utoaji taka mwili kwa urahisi

Kuna Fibers Hizi ni nyuzi nyuzi ambazo zitasimama badala ya vile vyakula vyenya nyuzi nyuzi
Hizi zinaleta nyuzi nyuzi kwa kiasi kikubwa sana Kulinganisha na Chakula cha kawaida

Inakuwa na Futi kamba kwa ajili ya kuchukulia Vipimo sehemu mbali mbali za mwili k**a kiuno mikono n.k inakuwa na Kikopo k**a Glas kwa ajili ya Kufanyia mchanganyiko Wa Virutubisho hivyo

Kuna kuwa na Garcinia plus Vikopo viwili Kwa Ajili ya Kukata hamu ya Kula kabisa pia Hivi vinasaidia katika kuzuia ile homoni inayosababisha uzalishwaji wa mafuta mabaya mwilini

🙏nimeandika kidogo hapa japo ni maelezo marefu kusoma lkn nahisi utakuwa umepata mwanga kidogo kuhusu C9
PIGA SIMU
0679062862

Photos from Rahma Luzilo's post 12/08/2021

*MAMBO 10 YANAYOSABABISHA KITAMBI, UZITO ULIOPITILIZA, MANYAMA UZEMBE, UNENE WA OVYO OVYO (SHAPELESS) UBONGE NYANYA, KUSHINDWA KUVAA NGUO HAZIKAI VIZURI SABABU YA MANYAMA TUMBONI NK*

*JE! WAJUA!!! WATU MILION 4 (NNE) WALIFARIKI MWAKA (2015) KWA AJILI YA UNENE, UZITO ULIOPITILIZA HII NI KWA JAMII YOTE BABA, MAMA, KAKA, DADA ,BABU, BIBI, SHANGAZI, MJOMBA, JIRANI, MTOTO*

*HIZI NI SABABU ZINAZOSABABISHA UNENE*

1 Wanga kwa wingi hasa iliyokoborewa
2 Sukari nyingi hasa ya viwandani.
3 Mafuta mengi hasa katika vyakula k**a chips, mandazi, nyama.
4 Kutokunywa maji ya kutosha.
5 Kutokufanya mazoezi.
6 Utumiaji wa Dawa za kuzuia mimba kwa muda mrefu.
7 Kukaa kwa muda mrefu.
8 Mfadhaiko au stress.
9 Free radicals au ongezeko la takamwili.
10 Kutokula mbogamboga na matunda kwa wingi.

*Njia kuu za kupunguza uzito ni pamoja na*

-Lishe bora.
-Kufanya mazoezi.
-Kunywa maji ya kutosha.
-Kuongeza aman na furaha katika maisha (kupunguza mfadhaiko).
*Hii ni njia asilia kabisa toka kuumbwa kwa ulimwengu.*

Njia mbadala k**a tayari uzito wako sio rafiki na umehangaika kwa muda mrefu aidha

*Miguu inauma*
*Mapigo ya moyo yanaenda mbio.*
*Huwezi kufanya mazoezi sababu mwili hauna balance na nguvu*
*Upo busy na majukumu ya kimaisha.*
*Umekata tamaa kwamba Huwezi kupunguza.*
*Vichomi katika mwili.*

Tumekuandalia Program hizi mbili zitakazo kusaidia katika mambo haya
1.Kusafisha mwili au Cleansing.
2.Kuratibu hamu ya kula ili kuruhusu mafuta yaliyohifadhiwa kutumika k**a nishati.
3.Kupunguza mafuta yaliyozidi.
4.Kuondosha takamwili na uchafu katika utumbo mpana pamoja na kusaidia ngozi kutoa sumu.
5. Kukupa utaratibu mzuri wa kula, kunywa maji na kufanya mazoezi angalau dakika 30 kwa siku.

Karibu ujipatie huduma na muongozo.

Piga +255679062862

10/08/2021

REJESHA HESHIMA YA FAMILIA 💪

10/08/2021

Call/WhatsApp +255679062862

10/08/2021

KWA NINI UTUMIE ARGI+ 👉Argi+ inasaidia kwenye kuondoa takamwili kutokana na matunda ya berries na komamanga. 👉Inasaidia kutanua mishipa ya damu na kurekebisha msukumo wa damu hivyo kusaidia afya ya moyo na magonjwa ya moyo pamoja na pressure. 👉Husaidia kujenga mifupa na misuli hasa kwa wale wanaofanya mazoezi sana. 👉Husaidia mwili kutengeneza homoni zinazopunguza kuzeeka kwa haraka kupitia umri wako. 👉Husaidia kurekebisha matatizo ya nguvu za kiume kwa haraka kwasababu damu itakuwa inatembea vizuri kwenye kila mishipa ya eneo hilo. 👉Husaidia kila mfumo wa mwili na hivyo kukupa afya njema na kuepuka magonjwa yasiyoambukiza. Wasiliana nasi +255679062862

10/08/2021

IMARISHA KINGA YAKO YA MWILI! Call/WhatsApp +255679062862

10/08/2021

BADILI MUONEKANO WAKO LEO 💪

09/08/2021

Asilimia kubwa ya watu, huongezeka uzito kutokana na Vyakula wanavyokula weekends....😂😂😂😂

09/08/2021

Wenye kupata vipele baada ya kunyoa...suluhisho ni GENTLEMEN’S PRIDE Call/WhatsApp 0679062862

09/08/2021

Unahitaji kupungua uzito??suluhisho ni C9 pekee Maelezo zaidi call/WhatsApp 0679062862

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


TAZARA
Dar Es Salaam
255