janethhealthy_wellness
Punguza uzito kwa njia salama ya muda mfupi na ya kudumu
🔹Lose 5-15+ kgs
🔹Nutritional balanced
Rudisha mwonekano wako wa ujana bila sindano, bila stress!
Umri ni namba tu, lakini ngozi na afya vinaweza kusema vinginevyo.
Forever Marine Collagen ni suluhisho la asili kwa wanaume na wanawake wanaotaka:
✓ Kupunguza mikunjo na mabaka ya uzee
✓ Kuimarisha viungo na mifupa
✓ Kurejesha nguvu za ngozi, nywele, na kucha
✓ Kuongeza kujiamini ndani na nje
Uzee sio mwisho wa kung’aa anza leo!
👉 100% natural na salama
👉 Matokeo huanza kuonekana ndani ya wiki chache
👉 Pia nzuri kwa wataalamu wa skincare
Tuma ujumbe sasa ili kuagiza au kujifunza zaidi!
Bonyeza link au ni DM moja kwa moja.
Kupitia WhatsApp +255 787 655 569
20/07/2024
Je unatamani kupungua lakini hujui kwa kuanzia?
Je umeshajaribu kutumia njia mbalimbali bila matokeo mpaka kupelekea kughairi?
K**a majibu ya maswali hayo ni NDIYO basi ujumbe huu ni wa kwako.
Sasa tumekuandalia DARASA BURE! Ambapo litakusaidia kufikia malengo yako..
Unachotakiwa kufanya ni kubonyeza link au andika UZITO kwenda Whatsapp +255787655569
Wazo la kwamba kula kidogo na kufanya mazoezi zaidi kunaweza kuchangia kupunguza uzito, siyo njia ya kutosha au yenye ufanisi kwa kila mtu kutokana na sababu mbalimbali. Hapa kuna sababu kadhaa kwa nini njia hii inaweza isifanye kazi kwa baadhi ya watu:
Urekebishaji wa kimetaboliki;
Unapopunguza ulaji wa kalori mwili wako unaweza kupunguza kimetaboliki ili kuhifadhi nishati, na kufanya iwe vigumu kupunguza uzito.
Lishe bora;
Kula kidogo hakukuhakikishi kuwa unapata virutubisho vinavyohitajika. Lishe duni inaweza kuathiri viwango vya nishati na afya kwa ujumla unapungua lakini unakuwa hauna nuru.
Ufanisi wa mazoezi;
Mazoezi yanaweza kuongeza hamu ya kula kwa baadhi ya watu, na kusababisha ulaji wa kalori nyingi baada ya mazoezi. Pia, mazoezi peke yake huyeyusha kalori chache kuliko vile watu wengi wanavyofikiria.
Usawa wa homoni;
Homoni k**a vile insulini, cortisol na homoni ya tezi ya thyroid zina jukumu kubwa katika usimamizi wa uzito. Homoni hizi zinavyokuwa hazipo sawa zinazuia juhudi za kupunguza uzito.
Kutokulala na msongo wa mawazo;
Unapokuwa haupati usingizi wa kutosha na viwango vya juu vya msongo wa mawazo vinaathiri kupunguza uzito kwa kuathiri homoni zinazodhibiti njaa na uhifadhi wa mafuta na hivyo kuchangia ongezeko la uzito.
Genesis;
Tabia za genesis zinaweza kuathiri jinsi miili inavyoratibu lishe na mazoezi, na kufanya kupunguza uzito kuwa rahisi kwa wengine na kuwa ngumu kwa wengine.
Afya ya mmengenyo wa chakula;
Muundo wa bakteria wa utumbo unaweza kuathiri kimetaboliki na kuongeza uzito.
Tabia na changamoto za kisaikolojia;
K**a vile kula unapokuwa na hisia, crave ya vyakula hasa vyenye mafuta na sukari nyingi pamoja na sababu nyingine za kisaikolojia zinaweza kuathiri kupunguza uzito.
Njia bora zaidi ya kudhibiti uzito mara nyingi inahusisha mchanganyiko wa lishe bora, mazoezi ya mara kwa mara, kudhibiti msongo wa mawazo, kulala usingizi wa kutosha na ushauri wa kibinafsi wa matibabu au lishe.
02/07/2024
_Kwanini ni muhimu kufanyia mwili wako Detox kwa lengo la kupungua kiuhakika na kiurahisi zaidi?_
Unajua mwili una namna yake ya kila siku ya kuondoa takamwili mwilini mwako. Kupitia mapafu; ini; figo; ngozi
Ila mara nyingi kutokana na dunia tunayoishi sasa; huwa tunaingiza takamwili nyingi zaidi ya uwezo wa kiasili wa mwili wa kuondoa! *Na hii hupelekea kutengenezwa kwa EXCESS taka mwili.*
Na mwili hauziachi zinazunguka tuu kila sehemu. Huwa unazitunza kwenye maeneo mbali mbali k**a fatcells, ubongo, mifupa na misuli etc. Kupelekea changamoto nyingi… kuanzia kuongezeka haraka, ugumu wa kupungua uzito, kinga ya mwili kushuka, hormonal imbalances etc etc
Hivyo unavyotaka kufikia malengo yako ya kupungua vizuri… *Detoxing is very important!* Unahitaji program ambayo itakusaidia kuondoa taka mwili ufanye mwili wako kuwa tayari kuyeyusha zaidi mafuta mwilini mwako!
Our programme ni very nutritionally balanced programme ya kudetox na kusafisha mwili wako ndani ya siku 9! Na ndo maana ina faida kubwa sana kwenye kucontrol uzito as well. Maana uzito wako una uhusiano mkubwa sana na hali ya mwili wako ya takamwili.
Wasiliana nasi
Call/Whatsapp +255787655569
Mwanamke mwenye Fibroid anaweza kupata madhara kadha kulingana na ukubwa na eneo la Fibroid.
Madhara yanaweza kujumuisha maumivu ya tumbo, hedhi nzito sana, kutokwa damu nyingi wakati wa hedhi, maumivu wakati wa tendo la ndoa, na hata matatizo ya kupata ujauzito, mimba kutunga nje ya mfuko wa uzazi au kuharibika kwa mimba.
Fibroid pia inaweza kusababisha matatizo ya kibofu cha mkojo au utumbo kutokana na shinikizo la Fibroid kwenye viungo vya ndani.
Kwa ushauri zaidi
Call/Whatsapp 0787655569
24/06/2023
Mpka sasa umekula chakula gani?
Hawa ni baadhi ya wanafunzi wangu ambao wapo kwenye program wanapangilia milo yao...
Watu wengi wanadhani kwamba kupungua ni kushinda njaa la hasha!! Usichojua ni kwamba unapo lazimisha kupungua kwa kushinda njaa ama kuishia maji tu unafanya ukose viini lishe muhimu ambavyo vinaujenga mwili wako na kufanya uwe na nuru...
..kwa kufanya hivyo ukijichunguza utajikuta umekosa nuru lakini ukiwa utapungua kwa kula vizuri, utapungua na kupendeza, kwahiyo lazima ujue kutofautisha kupungua kwa kula health na ukifanya hivyo hautakonda kwa kukosa lishe
K**a bado haujajua uanzie wapi wasiliana nasi kwa msaada zaidi
Call/Whatsapp +255 787 655 569
21/06/2023
K**a umelala masaa ya kutosha usiku wa leo basi vizuri, ila k**a unahitaji masaa mengi ya kulala au haupati usingizi kabisa.....
...anza na hizi taratibu zitakufanya ujihisi vyema na mwenye nguvu na kukusaidia moyo wako kufanya kazi vizuri.
Hizi njia 6 zitakusaidia uweze kulala vizuri wakati wa usiku💤➡️
Endelea kutufuatialia na kujifunza mengi
20/06/2023
Siku yako inaanza asubuhi kwa kile unachokula
Hata katika hatua zako za kupungua uzito unazozichukua asubuhi ndivyo huamua siku yako itakuwa na mafanikio au la...
Mara nyingi watu wanaofanikiwa katika safari zao za kupungua uzito ni wale wanaoanza siku kwa kufanya mazoezi asubuhi na kula kifungua kinywa sahihi
Baadhi ya vyakula unavyopaswa kuviepuka endapo unatakiwa kupungua
📌 Vyakula vya ngano, k**a vile sambusa,chapati,maandazi, mkate nk
📌 Vyakula visivyo na ngano, k**a vile vitumbua, kachori
📌 Viporo
📌 Mihogo,magimbi na viazi
Vyakula hivi vinawanga na vinasababisha kuongezeka kwa uzito kutokana na utengenezwaji wa insulini mwilini kwa kiasi kikubwa, na hivyo mwili kutunza hicho chakula kilichozidi kwa kubadilisha kuwa mafuta.
FANYA MACHAGUO SAHIHI HASA K**A WEWE UNAHITAJI KUPUNGUA
WASILIANA NASI
Call/ whatsaapp
+255 787 655 569
08/06/2023
🧐🤔 Changamoto za mmengenyo wa chakula zimejuwa zikiwakumba watu wengi na hupelekea kushindwa kupungua uzito kwa urahisi
Uanza kwa kuathiri mfumo mzima wa kimetaboliki na husababisha kutengeneza bakteria wabaya kwa wingi ambao huharibu wale wazuri wanaolinda mfumo mzima wa mmengenyo wa chakula
Kutokana na hilo safari ya kupungua inakuwa ni shida na kuwa ngumu kupata matokeo mazuri
Jifunze zaidi namna unavyoweza kuboresha mmengenyo wa chakula ili uweze kupungua vizuri
WASILIANA NASI
Call/WhatsApp +255 787 655 569
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Address
Dar Es Salaam
