MasterEnergy98

MasterEnergy98

Share

๐ŸŸข ๐‡๐ž๐š๐ฅ๐ญ๐ก ๐œ๐จ๐ง๐ฌ๐ฎ๐ฅ๐ญ๐š๐ง๐ญ ๐š๐ง๐ ๐ฉ๐ž๐ซ๐ฌ๐จ๐ง๐š๐ฅ ๐œ๐š๐ซ๐ž

08/09/2023

Amazing package
๐Ÿ†๐ŸŒ

17/08/2023

I've received 300 reactions to my posts in the past 30 days. Thanks for your support. ๐Ÿ™๐Ÿค—๐ŸŽ‰

17/08/2023

*Hii imekuwa changamoto kubwa sana kwa watu wengi wakigundua kuwa wana tatizo la upungufu wa nguvu za kiume na kukimbilia kutumia boosters k**a pfizer na vi**ra wakizan kuwa ndio suluhisho kwao, lakin hiyo itaongeza zaidi ukubwa wa tatizo hapo baadae maana itafikia wakati hata ukitumia boosters zisifanye kazi kabisa, vilevile inaweza ikaketea athari zingine za kiafya k**a shinikizo la damu.,maumivu ya kichwa ,kukosa usingizi,maumivu ya viungo,uoni hafifu, kutokwa na damu puani n.k~~ Njia pekee ya kumaliza changamoto ya nguvu za kiume ni kutumia virutubisho vyenye wingi wa madini na vitamin muhimu kwa ajili ya kulisha afya yako ya uzazi na kupata matokeo ya kudumu na uhakika ukisindikiza na mazoezi ya kegel..hapo utakuwa upo salama zaidi๐Ÿ’ฏ*
๐Ÿ“ž0743187042

Photos from MasterEnergy98's post 17/08/2023

Wasiliana nasi kwa changamoto yoyote ya nguvu za kiume

Photos from MasterEnergy98's post 11/08/2023

Hii imeenda yan๐Ÿ˜€๐Ÿ”ฅ๐Ÿ’ช

10/08/2023

Tuliye mtaka tumempata๐Ÿ”ฅ๐Ÿฆ๐Ÿ”ฅ

Photos from MasterEnergy98's post 09/08/2023

Matokeo ni lazima upate kwa sababu tunatoa huduma bora kabisaa na salama unayokupa matokeo ndani ya muda mfupi tuu
๐Ÿ“ž0743187042

08/08/2023

Chelewa kufika kilele kwa kufanya hili zoezi kila siku asubuh na jioni

Send a message to learn more

07/08/2023
07/08/2023

Bedroom pack

06/08/2023

Kusimama kwa uume pale unapoamka asubuhi hili ni jambo la kawaida kwa wanaume wengi tu.

Na mara nyingi wanaume tukiamka asubuhi tunakuta uume wetu umesimama hata k**a hatujawaza mambo yoyote kuhusu ng'ono.

Kitaalamu hali hii hujulikana k**a ๐—ป๐—ผ๐—ฐ๐˜๐˜‚๐—ฟ๐—ป๐—ฎ๐—น ๐—ฝ๐—ฒ๐—ป๐—ถ๐—น๐—ฒ ๐˜๐˜‚๐—บ๐—ฒ๐˜€๐—ฐ๐—ฒ๐—ป๐—ฐ๐—ฒ (๐—ก๐—ฃ๐—ง).

Watu wengi hudhania kuwa kusimama wa uume wakati wa asubuhi huchangiwa tuu na kuwaza mapenzi ila ukweli ni kwamba mara nyingi hutokea kwa sababu za kiasili ndani ya mwili.

Je nini huwa kinasababisha uume kusimama asubuhi?

Zifuatazo ni miongoni mwa Sababu zinazopelekea kusimama Kwa Uume nyakati za asubuhi:

1.Uume husimama Asubuhi kwasababu mzunguko wa damu kwenye uume unakuwa vizuri na kusababisha tishu zilizo k**a sponji kujaa damu na kuwa ngumu hivyo kusababisha uume kusimama.

2. Kusisimshwa kingono, kisa umelala usingizi usidhani kuwa hisia zako za kingono bado zimelala. K**a umelala na mpenzi wako na akawa anakugusa gusa hasa katika maeneo ya uume bado unaweza kusimamisha ilihali umelala.

3. Mabadiliko ya kihomoni, inadaiwa kuwa kiwango cha homoni ya testosterone ambayo ni homoni ya kiume huwa cha juu zaidi wakati wa asubuhi, hivyo basi bila hata mawazo ya kingono homoni hii hupelekea mzunguko mzuri wa damu kwenye uume na kusababisha uume kusimama wakati wa asubuhi

4. Kutulia waubongo, amna wakati ambao ubongo unaacha kufanya kazi lakini wakati umelala ubongo hutulia kidogo, Uume kusimama wakati wa asubuhi ni ishara kwamba mfumo wako wa neva unafanya kazi vizuri.

Uume kutosimama wakati Mwanaume yupo usingizini na pale anapoamka ni Moja wapo ya dalili ya Upungufu wa nguvu za Kiume!

Hii Ina maana kwamba Mwanaume huyu atakuwa ana hitilafu za kiafya k**a kwenye mfumo wa fahamu, mfumo wa homoni na mfumo wa mzunguko wa damu

Hakikisha unatutafuta tuweze kukusaidia kuboresha Afya yako kupitia ushauri wa kitaalam

Tuwasilane ๐Ÿ‘‡

๐‚๐€๐‹๐‹/ ๐–๐‡๐€๐“๐’๐€๐๐ 0743187042

31/07/2023

wanawake wengi wanagombana na wenza wao na hata wengine kufikia hatua ya kusaliti mahusiano yao kwa sababu hawavutiwi kuwaona wanaume zao wakiwahi kufika kileleni huku wao wakiwa bado hawajapata dozi kamili.

Zifuatazo ni njia nne zitakazo kusaidia Mwanaume uchelewe kufika kileleni na umridhishe Mwanamke wako ili uepuke fedheha;

1. Fanya maandalizi ya kutosha;

Ni muhimu sana kumuandaa mpenzi wako kabla ya kuanza kufanya "tendo". Kamwe usikurupuke tu na kutaka kuanza tendo ikiwa mwenza wako hayupo tayari! kwani hili linaweza kukusababisha wewe kumaliza wakati mwenzako akiwa ndio anajiandaa kuanza.

Tambua kuwa maandalizi yatasaidia kufanya mhemko wako ushuke, kukuongezea kujiamini na pengine kukuwezesha wewe na mwenza wako kuanza na kumaliza safari kwa pamoja.

2. Idanganye akili yako;

Idanganye akili ili kuzima taarifa za juu ya uzuri wa mwanamke unayefanya nae tendo. hii itasaidia "effects" za uzuri wa maumbile na raha ya starehe isipokelewe kwa nguvu kubwa mwilini.

Ukifanikiwa hili basi hata mwitikio wa hisia zinazopelekea kufika kileleni zitachelewa hivyo kukuwezesha kudumu katika tendo kwa muda mrefu zaidi na pia itakuondolea hali ya kuweweseka na kuhema hovyo.

3. Jiachie mnapokuwa faragha;

Inashauriwa kuwa Mwanaume na Mwanamke wanapoingia katika uwanja wa mapenzi wakae kwanza kwa muda, huku wakiwa wamejiachia na mavazi mepesi na ikiwezekana pia wacheze michezo mingi kwa muda mrefu bila kuanza ile "kazi" yenyewe. Hii inaongeza kujiamini na kupunguza uwezekano wa kufika haraka mwisho wa safari.

4. Jibane unapokaribia kumaliza;

Mwanaume unapaswa kujibana ukiona dalili za awali za kumaliza bila kujali umetumia muda gani. Unachopaswa kufanya ni kukaza misuli ya miguu na kuzuia mbegu kwa mtindo utumiao kuzuia haja ndogo isitoke.

Ni vyema ukiona unakaribia mwisho wa safari basi umtoe nyoka pangoni kwa muda ili joto la kwenye shimo liondoke, hii itakuongezea muda zaidi wa kufanya tendo hilo.

Karibu nikusaidie kuimarisha mfumo wako wa Uzazi Kupitia program za Virutubisho vya asili Ili uwe na Uwezo wa kulimudu vizuri tendo la ndoa.

WHATSAPP ๐Ÿ“ž 0743187042

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Victorial
Dar Es Salaam