Mwanaume Halisi
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Mwanaume Halisi, Health/Beauty, Dar es Salaam.
02/08/2023
Habari Ndugu!
Naamini utajifunza mambo wengi sana yanayohusu Afya ya Mwanaume kwa KUJOIN hili GROUP. Umepata nafasi hii, nikiwa naamini ya kwamba wengi wanasumbuliwa na matatizo ya kiafya kutokana na kukosa Elimu sahihi juu ya namna ya kuepukana na changamoto hizo au kuzitatua kwa usahihi.
Hivyo k**a ungependa kuwepo kwenye Group hili, ili na wewe Unufaike. Bofya hio link 👇
AFYA YA MWANAUME. 3 WhatsApp Group Invite
24/07/2023
*CATARACTS*
Cataracts are a condition in which the lens of the eye (crystalline) becomes cloudy or opaque. It becomes difficult to focus on objects and things seem dark to the person.
The whitish or opaque appearence indicates a change in the lens fibers. It is similar to the change in color of an egg white when it's coked.
*System*
Progressive loss of vision, no pain but some sensitivity to light. Sometimes you can see a radiance around points of light.
*The most common causes *are*
A. Diabetes and the combination of drinking large quantities of milk and not being able to process galactose, which is sugar abundant in milk.
B. Deposit of calcium and cholesterol in the Capillaries of the eyes which reduce blood circulation to the eyes.
C. They can also be caused by a blow or injury to the eye, and by inadequate nutrition.
D. Too much sun tanning can cause cataracts since the sun's ultraviolet rays cloud the crystalline lens causing opacity of the lens. The effect light produces on the lens is similar to that of heating an egg white, it becomes opaque. Cataract also seem to be part of the normal aging process. Also, exposure to X - rays can cause them.
23/07/2023
Karibu ujifunze hatua kwa hatua za kutatua tatizo la kibamia au nguvu za kiume kwa kutumia virutubisho lishe bora pamoja na mazoezi
21/06/2023
Kuwahi kufika kileleni inakera sana kwa mwanamke...
Hivi imeshawahi kukutokea Ile unaanza kupiga show ndani ya muda mfupi mkonga umelegea na umegoma kuamka tena..
Ulijisikiaje, vipi mwanamke wako alikuangalia kwa jicho gani...
Bila shaka alikushangaa, au alikuuliza vipi bby uko Sawa, au alikaa kimya..
Kiukweli hii hali inakera sana, ilifika hatua nilikuwa naogopa kuwa na mahusiano...
Nakumbuka nikiwa kijana mdogo wa miaka 19 nikiwa boding school, nilianza kujifunza kupiga punyeto...
Nilikuwa najisiki amani sana kwasababu muda wowote nilikuwa huru kijiridhisha kupitia sabuni na mkono wangu...
Nilipiga sana nyeto k**a miaka miwili hivi,
sikuona madhara yoyote kwasababu niliendelea kufanya vizuri mchezoni.
Nikiwa na miaka 25 kipindi nipo chuo kikuu (udom) nilifanikiwa kupata mchumba.
Alikuwa mtoto wa kinyambo alikuwa mzuri sana utafikiri mnyarwanda,
Tulianza dating k**a kawaida, hapa ndipo Nilijuta kwanini nilijichukulia sheria mkononi kwa kupiga puchu..
Hiyo siku sitoisahau ilikuwa siku ya Jumatano mida ya saa mbili usiku.
Nilifanikiwa kumpeleka mtoto wa watu lodge kali, kulala tu usiku mmoja nililipa tsh 100k.
Ile mida ya game ikafika baada ya mtoto kula pizza nakumbuka kula tu tulitumia TSh 60k
Ile nimemuandaa mtoto amelegea, amelowa kiufupi yupo tayari kwa pambano.
Ile kugusa tu kwenye kinu, sikuamini macho yangu mazungu walitoka hapo hapo hata kabla sijaanza kutwanga na kupepeta..
Hiyo ilikuwa haina shida sana, kimbembe ni pale mjomba alipogoma kuamka, huku mwanamke ananisubiria.
Mpaka inafika saa nne asubuhi muda wa kukabidhi chumba ngoma ilikuwa bado Imelala.
Mwanamke alichukia sana ila kwa siku ya kwanza hakusema kitu.
ILA
Hali ilizidi kuwa mbaya kila siku hadi yule mwanamke akaniacha kwasababu sikuwa na maajabu yoyote.
Nilivyoona tatizo limekuwa baya zaidi ndipo nikaanza kuhangaika kutafuta Tiba.
Nilikuwa mapita mitandaoni kila siku, kila tangazo la nguvu za kiume nilikuwa na bonyeza.
Nilitumia Madawa mengi sana, ikiwemo miti shaba, Vi**ra, mkongo, na mengine mengi.
Nilitumia pesa nyingi sana zaidi ya 2M lakini siku pata matokeo.
Kuna kipindi nilikuwa nimeshakata tamaa kabisa, nikiwa mtandaoni nikaona sponsored ads tangazo la kulipia.
Kuhusu darasa Bure namna ya kuondokana na tatizo la Kuwahi kufika kileleni mapema.
Nilivyoona ni bure nikasema Acha na mimi nikasikilize, Nikafuata maelekezo ya kujiunga na Darasa nikajiunga.
Sikuamini k**a ingekuwa rahisi vile yaani ndani ya siku saba tu nilianza kuona mabadiliko.
Nakumbuka ndani ya lile darasa tulijifunza mambo ya fuatayo.
1. Jinsi ya kupona matatzo ya saikolojia
2.mbinu saba za kupona tatizo la Kuwahi kufika kileleni Bila Madawa.
3.formula maalum ya chakula na zoezi muhimu kwaajili ya afya ya tendo la ndoa kwa wanaume.
By the way k**a unahangaika na hii changamoto ya Kuwahi kufika kileleni mapema.
Basi Nimekuandalia Darasa Bure ndani ya siku 5 kupitia whatsapp group.
Kujiunga ni bure tuma ujumbe NENO NIUNGE Kwenda whatsApp namba 0620207788
Kisha nitakutumia utaratibu wa kujiunga na Darasa Bure (link ya group).
Pia utapata Elimu ya bure kupitia status
mbinu za kupona upungufu wa nguvu za kiume Bila ya kutumia Madawa.
Ps, hakikisha umri wako ni Miaka 25-59,
umri chini ya hapo hutoruhusiwa kuingia kwenye darasa.
11/06/2023
*Sometime ili mbegu ziruke kwa Speed yaani zifyatuke kwa Mwendo kasi hadi mwanamke wako asisimke unahitaji vitu vitatu tu , cha kwanza unahitaji madini ya kutosha mwilini ili uzalishe mbegu nyingi zenye Energy na Mikia, pili unahitaji uume wako usimame imara K**a msumari, tatu unahitaji mirija iwe inanyumbulika vizuri inapopitisha mbegu. Dozi ya virutubisho Asilia ARG PLUS , NATUREMIN na MULTIMACA inakuwezesha kuwa bora kwenye hivyo vitu vyote vitatu*. KARIBU SANA NDUGU UPATE USHAURI NA UIMARA ZAIDI.* Utaheshimika sana kwa Mwenza wako*
09/06/2023
Protect your skin
*TEZI DUME (PROSTATE GLAND)*
Tezi dume ;- Ni tezi inayopatikana katika mfumo wa uzazi wa mwanaume.
Tezi hii ipo chini ya kibofu cha mkojo na linazunguka njia ya mkojo toka kwenye kibofu kwenda kwenye Uume.
Visababishi vya Tezi dume.
1. Umri mkubwa kuanzia miaka 50
2. Nasaba (kurithiwa).
3. Uzito uliokithiri / unene
4. Ukosefu wa Mazoezi.
5. Upungufu wa virutubisho mfano Madini ya zink, selenium na Vitamini D.
Dalili ya Tezi Dume.
1. Kukojoa Mara kwa Mara, ama kuhisi kukojoa mara kwa mara.
2. Kukojoa Mara kwa mara Usiku.
3. Maumivu ya kiuno na mifupa ya nyonga. Wagonjwa wengi huanza maumivu ya nyonga k**a dalili za awali.
4. Damu kwenye mkojo na kushindwa kumaliza mkojo ni ishara tosha ya kuwa na tezi dume imeathirika.
5. Kuwahi haraka kufika kileleni wakati wa Tendo
NB
Tezi hii ina kazi ya kutengeneza Majimaji meupe mepesi yenye unato kidogo.. Majimaji haya husaidia mbegu za kiume kutembea kwa urahisi.
Kwa maelezo zaidi wasiliana nami 0620207788
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Culinary Team
Attire
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam
