medics_zonetz

medics_zonetz

Share

Tunatoa huduma zinazohusu afya,urembo na utimamu kupitia virutubisho tiba visivo na kemikali.We care!

19/02/2023

Medics_zonetz
+255 674 013 464

ANATIC HERBAL ESSENCE SOAP
Leo nawaletea kitu tofauti sana. Ni sabuni, wengi wetu hutumia sabuni za viwandani ambazo zimewekwa magadi, sasa leo nakuletea sabuni ambayo imetengenezwa kiasili na kwa kutumia teknolojia kubwa sana, nzuri sana kwa watoto,wasichana,wavulana,wazee nk

I: ANATIC HERBAL ESSENCE SOAP

Hii sabuni imetengenezwa na:

1)Asali wa nyuki wa mwitu
2)Mafuta ya n**i
3)Mafuta ya mchikichi
4)Majani ya mchaichai

FAIDA ZA ANATIC SOAP

1;Inaondoa makovu na mabaka mwilini
2:Inaondoa miwasho,vipele
3:Ni nzuri kuitumia k**a after shave kwa wanaume
4:Huua bakteria kwenye ngozi
5:Inatibu chunusi, upele, harara
6: Nzuri kwa watu wenye mapunye,mafua
7:Inasaidia kukuza nywele na kulinda zisikatike hovyo kwa kuoshea k**a shampoo
8:Inalinda ngozi yako na mionzi ya jua. Nzuri pia hata kwa wale wanaotumia cream kali
9: Nzuri kwa watoto hata awe mchanga
10:Inazuia malengelenge unapokuwa umeungua na maji au mafuta baada ya kupaka povu lake

Wanaoitumia wanajua hii ni sabuni kwa nje lakini kwa ndani ni zaidi ya sabuni kwa kazi zake. Mnunulie mwanao au familia yako leo

Ijaribu leo hakika hutojuta na utapenda uitumie kila siku na kila mara.hii ndio mkombozi wa ngozi yako na matatizo yako.

đź’ĄInunue Leo kwa ofa đź’Ą

Utaipata kwa elf 10,000/=, Punguzo kwa atae weka order kuanzia sabuni 3.

Utaipata popote Tanzania
Wahi mapema mzigo umebakia kidogo.

Bofya link hapo chini kwa Order yako
WhatsApp
0674 013 464

Piga/sms
+255 0674 013 464

19/02/2023

â—Ź *FAIDA ZA CONSTIRELAX*

â—‹ Inasafisha tumbo vizuri mno na kuondoa hari ya kuvimbiwa (constipation)
â—‹ Inaondoa sumu zote tumboni
â—‹ Inaondoa dalili za Bawasiri sugu (Acute Hemorrhoids) k**a kuvimba, kutoka damu.
â—‹ Inaboresha mzunguko wa maji maji mwilini na kuondoa viuvimbe vinavyo sababishwa na maji maji.
â—‹ Inasaidia kutibu aina mbali mbali ya vidonda vya tumbo (Peptic & Gastric)
â—‹ Tiba nzuri ya Mawe kwenye figo.
â—‹ Inaboresha ngozi yako kwa kuondoa sumu ndani.
â—‹ Inaondoa gesi na uchafu wote usiotakiwa tumboni.

â—Ź *VIUNGO* (INGREDIENTS)
â—‹ FOS (Fructo-oligosaccharide
â—‹ Radix Astragali
â—‹ Prebiotic

â—Ź *MATUMIZI*
â—‹ Sachet 1 mala 2 kwa siku kabla ya chakula â—‹ Kwa watoto nusu Sachet mala 2 kwa siku kabla ya chakula kwa siku.
â—Ź *TAHADHARI*
â—‹ Kwa watakaotumia mala ya kwanza wengine itawaletea hari ya kuvulugwa tumbo na hata kuhara au gasi na kuunguruma kwa tumbo Hii ni kawaida inatokana na kusafisha tumbo na kuondoa bacteria (phenomenon) hari itaisha kadri anavyoendelea kutumia.

đź’ĄInapatikana kwa Tsh85,000/=
weka oda yako Sasa.

Piga
Medics_zonetz
+255 674 013 464
+255 674 013 464

WhatsApp
0674 013 464

19/02/2023

JINSI YA KUEPUKANA NA UGONJWA WA BAWASIRI
Njia bora ya kuepuka/kuzuia bawasiri ni kuweka kinyesi chako laini, kwa hivyo hupita kwa urahisi. Ili kuzuia bawasiri na kupunguza dalili za bawasiri, fuata vidokezo hivi:

1. Kula vyakula Asilia kwa wingi. Kula matunda zaidi, mboga mboga na nafaka nzima(zisizokobolewa). Kufanya hivyo kunalainisha kinyesi na kuongeza wingi wake, ambayo itakusaidia kuepukana na shida inayoweza kusababisha bawasiri.

2. Kunywa maji mengi. Kunywa glasi sita hadi nane za maji (au lita 2~3) na vimiminika vingine k**a chai au juisi za matunda halisi (sio pombe) kila siku kusaidia kuweka kinyesi laini.

3. Kula virutubisho vya nyuzi. Watu wengi hawapati kiwango cha nyuzi kilichopendekezwa – gramu 20 hadi 30 kwa siku – katika lishe yao. Uchunguzi umeonyesha kuwa virutubisho vya nyuzinyuzi, k**a vile psyllium (Metamucil) au methylcellulose (Citrucel), huboresha dalili za jumla na kutokwa na damu kutoka kwa bawasiri.

4. Vuta pumzi kisha shikilia pumzi yako wakati wa kujaribu kupitisha kinyesi kutengeneza shinikizo kubwa kwenye mishipa kwenye shimo la kutolea kinyesi puru ya chini.

5. Nenda haja mara tu unapohisi hamu. Ikiwa unasubiri na hamu inakwenda, kinyesi chako kinaweza kukauka na kuwa kigumu kupitisha.

6. Fanya mazoezi. Kua imara kunasaidia kuzuia kuvimbiwa na kupunguza shinikizo kwenye mishipa, ambayo inaweza kutokea kwa muda mrefu wa kusimama au kukaa. Mazoezi pia yanaweza kukusaidia kupoteza uzito kupita kiasi ambao unaweza kuchangia Bawasiri.

7. Epuka kukaa kwa muda mrefu. Kukaa muda mrefu sana, haswa kwenye choo, kunaweza kuongeza shinikizo kwenye mishipa kwenye sehemu ya haja.

19/02/2023

DALILI ZA UGONJWA WA BAWASIRI
Ishara na dalili za bawasiri kawaida hutegemea aina ya Bawasiri
BAWASIRI YA NJE
Hizi ziko chini na nje ya ngozi karibu na sehemu ya kutolea haja kubwa. Ishara na dalili zinaweza kujumuisha:

1. Kuwasha katika maeneo yaliyozunguka sehemu ya haja kubwa

2. Maumivu au usumbufu

3. Kuvimba kuzunguka sehemu ya kutolea haja kubwa

4. Mara nyingine yaweza Kuvujadamu au k**a michubuko

5. Kutokwa na kinyama baada ya kwenda haja.

BAWASIRI YA NDANI
Bawasiri ya ndani iko ndani ya sehemu ya kutolea haja. Kawaida huwezi kuziona au kuzihisi, na mara chache husababisha usumbufu. Lakini kukaza au kuwasha wakati wa kupitisha kinyesi kunaweza kusababisha:

1. Kutoa haja/kinyesi chenye damu na maumivu yasiyo makali. Unaweza kuona kiasi kidogo cha damu nyekundu kwenye haja yako.

2. Maumivu na muwasho sehemu ya haja

19/02/2023

CHANZO CHA UGONJWA WA BAWASIRI

Bawasiri hutokea pindi mishipa inayozunguka sehemu ya kutolea haja kubwa kwa ndani kwenye kuta zake kuumia au kukandamizwa kwa kushuka chini na kuvimba.

Bawasiri inaweza kukuza kutoka kwa shinikizo lililoongezeka kwenye puru ya chini kwa sababu ya:

1. Kuwa na Kinyesi kigumu (Constipation)
2. Kuketi kwa muda mrefu kwenye choo
3. Kuharisha (Kuhara) mara kwa mara
4. Kuvimbiwa
5. Kuwa mnene au mzito
6. Kuwa mjamzito
7. Kuingiliwa nyuma kimaumbile
8. Kutokula vyakula vyenye nyuzinyuzi
9. Kuinua/Kunyanyua vitu vizito mara kwa mara
10. Kunyoosha wakati wa haja kubwa

18/02/2023

~Hii Ni ndani ya siku 15-30 TU kwa wale wenye bawasiri sugu hata K**a umewahi kufanya operation na ikarudi Tena hapa ndio mwisho haitarudi tena.

MSHAURI MAKINI
0674 013 464

SOLUTION DIPILE
🩸Inaondoa kabisa kuwashwa sehemu ya tundu la haja kubwa
🩸Inamaliza kabisa Maumivu makali wakati wa kujisaidia haja kubwa ambayo kupelekea mtu kushindwa kukaa kwa muda

🩸Inaondoa choo chenye damu ,na kigumu K**a Cha mbuzi
🩸Inafanya kijinyama kilichtokeza sehemu ya haja kubwa kunywea chenyewe bila operation
🩸Inaondoa tatizo la Kukosa choo kwa muda mrefu

~MATOKEO NI NDANI YA SIKU 4 TU
DOZI NI ELF 75,000 TU.

~Utafatiliwa maendeleo yako mpaka utakapopona kabisa
~Tafadhari Soma maelekezo kabla ya kupiga simu
~Tunapatikana dar es salaam
~Ili kupata huduma hii mkoani kwako

piga /sms

Medics_zonetz

0674 013 464
0674 013 464
0674 013 464

KARIBUNI

18/02/2023

IT'S A TIME TO DETOX
# ondosha madhara Mbali mbali kwa kutoa sumu mwilini

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Mlimani City's
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 22:00
Sunday 09:00 - 17:00