ABEL NA AFYA
Tunatoa Elimu, Ushauri na Tibalishe bora zilizotengenezwa kwa namna zaidi ya 20 ili kuboresha afya.
13/04/2025
Hili ni tatizo linaloathiri viungo linalotokanana umri. Tatizo hili huathiri viungo na baadae huathiri mfupa/mifupa.
🍇 Hutokea baada ya gegedu (cartilage) kulika kwenye viungo pia uteute kuisha.
🍓 Huathiri viungo mbalimbali k**a vile pingili za ute wa mgongo, nyonga, magoti n. k
1. Viungo ni muunganiko kati ya mifupa miwili (Mfupa na mfupa)
2. Katikati ya viungo kuna gegedu (cartilage), hii ni plastiki ya asili inayozuia mfupa na mfupa visigusane kwenye viungo.
3. Pia kwenye viungo kuna uteute unaoitwa synovial fluid
4. hutokea pale ambapo gegedu (cartilage) imelika na uteute umepungua kwenye viungo.
1. Virutubisho vinavyosaidia kuimarisha gegedu vinapopungua mwilini mfano glucoseamine
🍊 Mara nyingi virutubisho hupungua kwa sababu ya umri unavyozidi kwenda
🍊 Inasemekana mtu akifikisha miaka 30 mwili hushindwa kuendelea kutengeneza virutubisho vinavyotengeneza gegedu (cartilage)
Sababu zinazoongeza kasi ya kutokea kwa osteoarthritis
1. Uzito uliopindukia
2. Historia ya familia
3. Ajali
4. Kutumikisha viungo kupita kiasi mfano wanamichezo, wana mazoezi n. k
Yafuatayo ni yanayowafanya watu wengi waendelee kusumbuliwa na matatizo ya mifupa na maungio:
1. Watu wengi wanatumia dawa za maumivu
👉Dawa za maumivu hupooza/hutuliza maumivu kwa muda tu na baadae maumivu hubakia palepale kwa sababu hazisaidii kuongeza uteute wala gegedu (cartilage)
2. Watu wengi wanafanyishwa mazoezi
👉 Mazoezi pia huwa yanawasaidia watubkwa muda mfupi sana na baadae shida inajirudia pale pale.
👉👉 Kwa hiyo watu wengi ambao wana shida ya viungo kulika na kusagana huishia kufanyiwa upasuaji wa viungo kwa gharama kubwa sana.
DALILI ZA VIUNGO KUSAGANA
1.
🍇 Maumivu kwenye magoti
🍇 Magoti kushindwa kujikunja
🍇Kushindwa kupanda ngazi kwa urahisi
🍇Kusikia milio ya mifupa kusagana kwenye magoti
2. /uti wa mgongo
🥕 Maumivu kwenye magoti
🥕Kushindwa kuinama
🥕Kusikia maumivu makali wakati wa kuinama
🥕Kusikia ganzi kwenye mapaja au miguuni
3. (SHOULDER JOINT)
🍅kshindwa kunyanyua mkono na kusikia maumivu makali kwenye bega.
👉👉👉 Ikiwa unasumbuliwa na tatizo hilo basi habari njema ni kuwa suluhisho lipo. Tunavyo virutubisho ambavyo vitakusaidia kuondoa tatizo hilo kwa haraka. Virutubisho hivi vinafanya kazi zifuatazo pasipo hata mgonjwa kuhitaji kufanyiwa upasuaji ambao ni gharama kubwa sana.
🍓 Vinatengeneza gegedu, kurejesha ute ute (maana imetengenezwa kwa glucoseamine na chondroitin ambavyo ni virutubisho vinavyosaidia kurejesha gegedu na kurejesha uteute)
🍓Kuimarisha mifupa na kutibu majeraha ya ndani.
Usikubali kuendelea kuteseka wakati suluhisho la uhakika lipo.
🍓Vinawezesha mzunguko wa damu na kuondoa hali ya ganzi na viongo kuwaka moto.
!_
Katika kusherehekea pasaka tumeamua kuweka punguzo la bei kwa wiki hii yote kwa ajili ya kuwasaidia wale walioshindwa kupata tiba hizi katika awamu zilizopita kwa imani kuwa wataweza kufanya hivyo k**a walivyokuwa wakitusihi. Hivyo nikusihi jipatie tiba hizi kabla ya siku ya Jumapili ya pasaka ambapo ofa hii itaisha.
Karibuni.
Kwa ushauri zaidi na tiba juu ya tatizo hili usisite kuwasiliana nasi kupitia
0713 - 569663
09/10/2022
MAANA YA ARTHRITIS (MAUMIVU YA VIUNGO) NA AINA ZAKE
Arthritis ni mjumuisho wa magonjwa yote yanayohusu maumivu ya viungo pamoja kusagana kwa viungo k**a magoti, pingili za mgongo n.k.
ARTHIRITIS imegawanyika katika aina nne kulingana na chanzo cha tatizo ambayo ni:-
1. OSTEO ARTHIRITIS
Hili ni tatizo la maumivu ya viungo na kusagana linalotokana na umri. Watu wenye umri zaidi ya miaka 30 wengi wao ndio wahanga wa osteoarthiritis
2. RHEUMATIC ARTHIRITIS
Hili ni tatizo la maumivu viungo na kusagana linalotokana na kinga za mwili kutafuna gegedu.
3. OSTERPOROSIS ARTHIRITIS
Hili ni tatizo la mifupa kuvunjika kiurahisi kutokana upungufu wa calcium.
4. GAUT ARTHIRITIS
Hili ni tatizo la maumivu ya viungo na viungo kusagana linalosababishwa na na uric acid (kemikali inayotoka na protini ya nyama)
K**a unachangamoto mojawapo Kati ya hizo Hapo wasiliana nasi tukuhudumie.
Kumbuka kushare na kucomment hapo chini au wasiliana nasi kwa simu
0752805036 au 0658050366
27/09/2022
KIBOKO YA MATATIZO YA MIFUPA NA VIUNGO
Watu wengi wamekuwa wakisumbuliwa na matatizo ya mifupa haswa Nyonga, Mgongo, na Magoti bila kupata suluhisho lakudumu
Wameishia kuchomwa sindano na kutumia dawa za kuchua ,na dawa za maumivu Ila tatizo linabaki palepale
Ukweli nikwamba huwezi kupona kwakutumia njia hizo kwakuwa haziondoi chanzo Cha tatizo Hilo
Ili upone lazima utumie virutubisho maalumu kwa ajili ya kuondoa chanzo Cha matatizo ya mifupa K**a kukosa uteute gauti au uric acid
Wasiliana NASI tuweze KUKUSAIDIA
0658 05 03 66
14/09/2022
Hili ni tatizo linaloathiri viungo linalotokanana umri. Tatizo hili huathiri viungo na baadae huathiri mfupa/mifupa.
🍇 Hutokea baada ya gegedu (cartilage) kulika kwenye viungo pia uteute kuisha.
🍓 Huathiri viungo mbalimbali k**a vile pingili za ute wa mgongo, nyonga, magoti n. k
1. Viungo ni muunganiko kati ya mifupa miwili (Mfupa na mfupa)
2. Katikati ya viungo kuna gegedu (cartilage), hii ni plastiki ya asili inayozuia mfupa na mfupa visigusane kwenye viungo.
3. Pia kwenye viungo kuna uteute unaoitwa synovial fluid
4. hutokea pale ambapo gegedu (cartilage) imelika na uteute umepungua kwenye viungo.
1. Virutubisho vinavyosaidia kuimarisha gegedu vinapopungua mwilini mfano glucoseamine
🍊 Mara nyingi virutubisho hupungua kwa sababu ya umri unavyozidi kwenda
🍊 Inasemekana mtu akifikisha miaka 30 mwili hushindwa kuendelea kutengeneza virutubisho vinavyotengeneza gegedu (cartilage)
Sababu zinazoongeza kasi ya kutokea kwa osteoarthritis
1. Uzito uliopindukia
2. Historia ya familia
3. Ajali
4. Kutumikisha viungo kupita kiasi mfano wanamichezo, wana mazoezi n. k
Yafuatayo ni yanayowafanya watu wengi waendelee kusumbuliwa na matatizo ya mifupa na maungio:
1. Watu wengi wanatumia dawa za maumivu
👉Dawa za maumivu hupooza/hutuliza maumivu kwa muda tu na baadae maumivu hubakia palepale kwa sababu hazisaidii kuongeza uteute wala gegedu (cartilage)
2. Watu wengi wanafanyishwa mazoezi
👉 Mazoezi pia huwa yanawasaidia watubkwa muda mfupi sana na baadae shida inajirudia pale pale.
👉👉 Kwa hiyo watu wengi ambao wana shida ya viungo kulika na kusagana huishia kufanyiwa upasuaji wa viungo kwa gharama kubwa sana.
DALILI ZA VIUNGO KUSAGANA
1.
🍇 Maumivu kwenye magoti
🍇 Magoti kushindwa kujikunja
🍇Kushindwa kupanda ngazi kwa urahisi
🍇Kusikia milio ya mifupa kusagana kwenye magoti
2. /uti wa mgongo
🥕 Maumivu kwenye magoti
🥕Kushindwa kuinama
🥕Kusikia maumivu makali wakati wa kuinama
🥕Kusikia ganzi kwenye mapaja au miguuni
3. (SHOULDER JOINT)
🍅kshindwa kunyanyua mkono na kusikia maumivu makali kwenye bega.
👉👉👉 Ikiwa unasumbuliwa na tatizo hilo basi habari njema ni kuwa suluhisho lipo. Tunavyo virutubisho ambavyo vitakusaidia kuondoa tatizo hilo kwa haraka. Virutubisho hivi vinafanya kazi zifuatazo pasipo hata mgonjwa kuhitaji kufanyiwa upasuaji ambao ni gharama kubwa sana.
🍓 Vinatengeneza gegedu, kurejesha ute ute (maana imetengenezwa kwa glucoseamine na chondroitin ambavyo ni virutubisho vinavyosaidia kurejesha gegedu na kurejesha uteute)
🍓Kuimarisha mifupa na kutibu majeraha ya ndani.
Usikubali kuendelea kuteseka wakati suluhisho la uhakika lipo.
🍓Vinawezesha mzunguko wa damu na kuondoa hali ya ganzi na viongo kuwaka moto.
!!
Tumeamua kuweka punguzo la bei kwa wiki hii yote kwa ajili ya kuwasaidia wale walioshindwa kupata tiba hizi katika awamu zilizopita kwa imani kuwa wataweza kufanya hivyo k**a walivyokuwa wakitusihi. Hivyo nikusihi jipatie tiba hizi kabla ya siku ya Jumatano ya wiki ijayo ambapo ofa hii itaisha.
Karibuni.
Kwa ushauri zaidi na tiba juu ya tatizo hili usisite kuwasiliana nasi kupitia:
0658050366 au 0752805036
27/08/2022
/ MFUMO WA UZAZI
-Hubana uke
-Hutibu tatizo la uke kuwa mkavu.
- Hutibu U.T.I sugu
- Hutibu tatizo la fungus ukeni
-Huzibua mirija ya uzazi iliyoziba
-Huondoa tatizo la uke kujaa maji mengi wakati wa sex/tendo la ndoa.
- Huondoa hali ya uke kupwerepeta
- Huondoa tatizo la mwanamke kukosa hisia ya mapenzi
- Huufanya uke kubana/kuwa mnato
- Huondoa harufu mbaya ukeni
- Hutibu tatizo la kutokwa uchafu wenye harufu mbaya ukeni
- Huondoa maumivu kipindi cha hedhi
- Hurudisha furaha na kuleta heshima ya ndoa kwa mwanamke.
- Huufanya uke kuwa mdogo na misuli kubana na huondoatatizo la misuli kulegea
na uke kuwa mpana/mkubwa sana. nk.
- Huua bacteria wanaosababisha magonjwa ukeni/uzazi
- Hutibu tatizo la ugumba
- Hutibu P.I.D, FANGASI na HUONDOA UVIMBE KWENYE KIZAZI
HUTUMIWA ENDAPO HAUUMWI K**A KINGA, USAFI SEHEMU ZA SIRI, KUONGEZA HALI YA KUJIAMMINI ZAIDI MWANAMKE.
INASHAURIWA KILA MWANAMKE ATUMIE TIBA HII MARA KWA MARA ILI KUONDOA MAAMBUKIZI UKENI.
📢 Usisahau kulike, kukoment na kushare ili wanawake wengi zaidi waweze kufikiwa na elimu hii.
📢 Nimewasaidia wanawake wengi sana waliokuwa na changamoto k**a hizo na wamerejesha furaha yao iliyokuwa imepotea.
Ikiwa unahitaji kupata elimu, ushauri na hata tiba basi wasiliana nasi kupitia
0658050366 au
0752805036.
: MAISHA NI AFYA NA AFYA NI MAISHA -Chagua kuwa na afya bora kuanzia leo.
20/08/2022
!!
.
Bawasiri ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine kwenye njia ya haja kubwa na kusababisha kutoka kinyama au uvimbe. Tatizo hii huathiri watu wote ila zaidi huathiri watu wazima kuliko watoto, na inakadiriwa kuwa asilimia 50 ya watu wote wako katika hatari ya kupata tatizo hili katika umri wa miaka 30 mpaka 40.
AINA ZA BAWASIRI
Kuna aina mbili za bawasiri ambazo ni Bawasiri ya ndani na bawasiri ya nje.
1. BAWASIRI YA NDANI
Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa. Huwa haiambatani na maumivu na wengi huwa hawajitambui kuwa wana tatizo hili.
2. BAWASIRI YA NJE
Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa na huambatana na maumivu makali na kuwashwa kwa ngozi katika eneo la tundu na husababisha mishipa ya damu kupasuka na damu kuganda.
CHA TATIZO LA BAWASIRI
Kuna vitu ambavyo huwa chanzo cha ugonjwa wa bawasiri ambavyo ni :
1. Kupata choo kigumu
2. Kukaa kitako muda mrefu
3. Gesi kujaa tumboni
4. Magonjwa ya moyo na figo
5. Uzito kupita kiasi
6. Kufanya mapenzi kinyume na maumbile
7. Matumizi ya vyoo vya kukaa kwa muda mrefu
1. Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa
2. Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
3. Kutoka uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa
4. Kujitokeza kinyama katika eneo la tundu la haja kubwa
5. Choo kigumu k**a cha mbuzi
6. Kutopata choo kwa muda mrefu
7. Kutoka damu wakati wa kupata haja kubwa
MATATIZO YATOKANAYO NA BAWASIRI
1. Kupata upungufu wa damu
2. Kupata tatizo la kutoweza kuhimili choo
3. Kupunguza nguvu za kiume na kuondoa hamu ya tendo la ndoa
4. Kuathirika kisaikolojia
5. Kukosa morari ya kufanya kazi kutokana na maumivu makali
Zipo njia 2 ambazo zitakusaidia kuondoa tatizo la bawasiri pasipo upasuaji ndani ya siku 30 tu kwa kutumia tibalishe pekee. Njia hizi ni :-
1. Kurekebisha mfumo wa chakula na kuondoa choo kigumu
2. Inaondoa uvimbe wa bawasiri pasipo upasuaji
!
Promotion hii maalum kwa ajili ya sensa itahusisha punguzo la 20% kwa wateja 5 wa kwanza kila siku. Itaanza Jumapili ya tarehe 21 August na kuisha Alhamisi ya tarehe 25 August. Kumbuka kuwa promotion hii iko limited maana kwa siku ni wateja 5 tu wa kwanza watakaonufaika na punguzo hilo. Karibu.
Call/Whatsapp/sms
0658050366
0752805036
!
~Ni ugonjwa ambao mtu hupata michubuko au vijitundu katika kuta za ndani za viungo vya umeng'enyaji au uyeyushaji chakula.
•AINA ZA VIDONDA VYA TUMBO.
1/ Oesophagael Ulcers - ni vidonda ambavyo hutokea kwenye koo.
2/Duodenum ulcers - ni vidonda ambavyo hutokea kwenye utumbo Mdogo.
3/Gastric Ulcers - ni vidonda ambavyo hutokea kwenye mfuko wa chakula (TUMBO).
"CHANZO CHA VIDONDA VYA TUMBO.
~Kushinda mda mrefu bila kula.
~Msongo wa mawazo (Stress).
~Matumizi ya dawa kwa mda mrefu,mfano aspirin
~H plyori hutengeneza enzymes (urease)ambayo hupunguza makali ya tindikali.
~Matumizi ya pombe na tumbaku kwa mda mrefu.
~Bacteria(helicobacteria).
•DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO.
~Maumivu ya tumbo
~Tumbo kujaa gesi/kunguruma
~Kichefuchefu na kutapika.
~Kupungua uzito
~Kupata choo cheusi
~Kupatwa na kiungulia
~Kushiba kwa mda mfupi
~Kutapika damu au k**a mabaki ya kahawa.
MADHARA YA VIDONDA VYA TUMBO
~Kupata saratani ya tumbo
~Kuziba Kwa njia ya chakula
~Kuathiri ini na kongosho
~Kusababisha tundu kafika tumbo na kusababisha tumbo kutoboka Kwa ukuta wa tumbo
Tatizo la vidonda limekuwa changamoto Kwa watu wengi na hawajui ni Kwa namna gani wataliondoa. Habari njema ni kuwa Sasa suluhisho lake lipo na la uhakika. Zipo tibalishe Bora kabisa ambazo ikiwa mgonjwa atazitumia Kwa usahihi basi tatizo lake litabaki kuwa historia yaani litakwisha kabisa.
Kuzipata tibalishe hizi tafadhali wasiliana nasi kupitia nambari zifuatazo:
0658050366 au
0752805036
Njoo unufaike na punguzo kabambe wakati wa msimu huu wa sensa. OFA hili itaisha Jumatano ya tarehe 24 August 2022. Utapata tibalishe hizi Kwa punguzo la 15% Kwa Kila moja.
07/08/2022
PID SASA BASI! KWA HIZI NJIA TATU ITABAKI HISTORIA.
Pelvic Inflammatory Disease
Ni maambukizi katika via vya uzazi. Wanawake wengi husumbuliwa na tatizo hili kulingana na sababu zifuatazo:-
Matumizi ya antibiotics Kwa wingi, kimsingi matumizi haya huuwa bacteria wote, hivy wanapokufa unakosa ulinzi wa bacteria wa kupambana na maambukizi. Kadhalika ujauzito ikiwa ni pamoja na kujifungua. Pia sababu nyingine ni matumizi ya condoms na kufanya ngono zembe.
DALILI ZA UGONJWA WA PID
1️⃣Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa ni mweupe, njano, au maziwa
2️⃣Kuwashwa sehemu za siri
3️⃣Uke kutoa harufu mbaya
4️⃣Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
5️⃣Uke kuwa wa ulaini sana
6️⃣Maumivu wakati wa tendo la ndoa
7️⃣Kuvurugika Kwa hedhi
8️⃣Kutokwa majimaji ukeni kupita kiasi
9️⃣Maumivu wakati wa kukojoa na wakati wa choo kubwa
🔟Homa, uchovu,kizunguzungu na kukosa hamu ya kula
MADHARA YA PID
•Ugumba
•Kansa ya shingo ya kizazi
•Mirija ya uzazi kuziba
•Majeraha kwenye mirija ya uzazi
PID inatibika na kupona Kwa haraka jwa kutumia tibalishe tatu tu ambazo ni maalumu kwa ajili ya kuyaondoa maambukizi hayo.
Kwa ushauri au tiba ya uhakika ya tatizo hili wasiliana nasi sasa kupitia 0658050366 au 0752805036
NANE NANE OFA!
Kwa msimu huu wa nane nane kuanzia tarehe mpaka tarehe 10/8/2022 tiba hizi zitapatikana kwa bei ya punguzo ambayo haijawahi tokea. Ni punguzo la 20% kwa kila tiba husika. Weka oda yako leo.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam
2222
