tuongeeafya01

tuongeeafya01

Share

Nasaidia Wanaume kutatua changamoto za Uzazi, Tezi Dume na Nguvu za kiume

30/11/2024

Shout out to my newest followers! Excited to have you onboard! Pastorbizmungu Macha, Mkacs Aino, Peter Mbezi, Dickson Theodory, Jean Pierre Bemba, James Jacobo, Rajabu Salamba, Kajoro Juma, Peter Victor, Dickison Mashauri Bwile Bwile, Efroni Keya, Xarah Brooklyn, Vincent Akhwale, Odas Onesmo, Kasereka Guerchome, Mwajuma Banda, Simon Mdoe, Alany Arde, Bakari Saidy, Brown Donard, Josue Kiyombo, Jordan Ahadi Cibojo, Mariammohamedy Kiyanga, Msafiri Mgomba, Faridah Sevelin, Naziru M Matwera Matwera, Ditto Msemwa, Lawi Sagi, Simon Goodlack, Manancin Kadenge, Sarah Lwinga, Ramadhani Sarimu, Vitar Irakoze, Bahati Anastasia, Amos Msunga, Dizo Dizonga, Credo Sikalengo, Chunk Minoma, Grace Mweya, Rashid Momoo, Fiston Munguiko, Pasifique Mugisha, John Mutuku, Tuma Brvo, Damas Kilale, Masubuko Daudi, Kiza Sadiki WA Vumi, Simon Ponela, Adnan Kongo, Fatuma Masai

27/07/2023

Tembelea kurasa etu za kijamii facebook,instagram na tiktok kwa maelezo zaidi

27/07/2023

FAIDA ZA KUTUMIA DETOXFICATION CAPSULE (KUONDOA SUMU /KUSAFISHA MWILI)

Kutokana na mitindo yetu ya maisha , ulaji mbovu na kutokufanya mazoezi kumefanya mwili kuwa na mrundikano mkubwa wa sumu na hivyo kupelekea magonjwa mengi yasiyo ya kuambukiza k**a vile kisukari, presha, vodonda vya tumbo, uzito mkubwa, kiharusi, bawasiri, kufeli kwa ini na figo nk. Hivyo ni muhimu kufanya detoxfication yaani kuondoa sumu mwilini. Kwani huleta faida k**a

01. MZUNGUKO WA DAMU
(KISUKARI,PRESSURE & CHOLESTEROL,KUONDOA SUMU,MAFUTA,UNENE, KULINDA OGAN ZA MWILI)

✓ Detoxilive Huboresha mzunguko wa Damu mwilini, kuzibua mishipa midogo midogo ya Damu na hivyo kusaidia matibabu ya magonjwa ya Pressure na dalili Zake.

✓Husaidia kuzuia unyonywaji na kuongeza uyeyushwaji wa Mafuta, kupunguza glucose mwilini hivyo kusaidia matibabu ya Kisukari na cholesterol.

✓HUTIBU DALILI K**A
Ganzi, Maumivu ya Viungo, Kizunguzungu, Uchovu wa Mwili, Maungio kukak**aa nk.

02. MISHIPA YA FAHAMU (KUSAHAU, KUPOTEZA KUMBUKUMBU,MATATIZO YA MACHO)

✓Detoxilive huboresha utendaji kazi wa mishipa ya Fahamu, na usafirishwaji wa taarifa hivyo kutibu Tatizo la kusahau na Kupoteza kumbukumbu

✓Huboresha mishipa ya macho, Kuondoa ukungu machoni na kutibu Matatizo ya uoni (Kutokuona na Maumivu ya macho)

✓Hutibu Matatizo ya kichwa kuuma Mara kwa Mara.

03. SARATANI
✓Husaidia kuzuia na kutumika kwenye matibabu ya Saratani haswa ya Tezi Dume na Saratani ya Matiti.

04. UZAZI (MENOPAUSE NA NGUVU ZA KIUME)
✓Huboresha Nguvu za kiume na pia kusaidia Kuondoa Matatizo Wakati wa ukomo wa hedhi kwa wanawake (MENOPAUSE)

05. NGOZI NA NYWELE
✓Huboresha muonekano mzuri wa ngozi, Kuondoa free radicals, na kuzuia kuzeeka kwa ngozi.

✓Husaidia Sana uotaji wa nywele na kusaidia Watu wenye Tatizo la kunyonyoka na Kupoteza nywele (Upaa)

06. Kusaidia sana kupunguza uzito na mafuta yaliyozidi mwilini yaani cholesteral .

07.Husaidia kutoa sumu zote mwilini yaani kusafisha figo, ini , mapafu na kongosho hivyo kukulinda kutokupatwa na magonjwa yasitoambikiza.

08 . Huwafaa pia watumiaji wa vilevi kwani huwasaidia kuondoa sumu zote zilizotokana na vilevii mbalimbali hivyo kukuepusha kupata matatizo ya figo na ini.

Wasiliana nasi leo
0758 999 109

21/07/2023

Pitia kurasa zetu za kijamii kwa jina la facebook na instagram

Photos from tuongeeafya01's post 21/07/2023
Photos from tuongeeafya01's post 21/07/2023

Mbali na kutokujiamini unapokua umepatwa na changamoto ya upungufu wa nguvu za kiume. Jambo lingine ni kuongezeka kwa mawazo, sonona kupata mfadhaiko na kadhalika

Photos from tuongeeafya01's post 19/07/2023

Changamoto nyingine inayowakuta wanaume wenye upungufu wa nguvu za kiume ni kushindwa kufanya tendo la ndoa sababu kiungo kile kinakua hakina uwezo wa kusimama kabisa au kusimama kwa muda mrefu hivyo kushindwa kulifanya kabisa tendo la ndoa

Photos from tuongeeafya01's post 19/07/2023

Moja kati ya madhara yanayomkuta mwanaume mwenye changamoto ya nguvu za kiume ni kukosa kujiamini hivyo kupata shida sana katika kudumisha mahusiano yake na mwenza wake au kushindwa kuilinda ndoa yake kwa wakati ule.

17/07/2023

Uzito kupita kiasi au unene unaweza kusababisha upungufu wa nguvu za kiume kwasababu unene huo unachangia kuharibu mishipa ya damu, kupungua kwa homoni za testosterone na kusababisha hali ya uvimbe wa jumla mwilini.

Mishipa yako inapokuwa imeziba inaweza kuzuia mtiririko sahihi wa damu kwenye uume wako na maeneo mengine muhimu ya mwili na hivyo njia kufunguka kwa shida hivyo kutokea changamoto ya nguvu za kiume.

Pia kula mlo ulio na mafuta mengi yasiyofaa na sukari iliyoongezwa kunaweza kuzidisha utokeaji wa suala hili

Kwa maelezo na msaada zaidi piga namba hii 0758999109

17/07/2023

Ugonjwa waKisukari ni mojawapo ya maradhi yanayopelekea mtu kupata changamoto ya nguvu za kiume kwasababu

1. Unaweza kuharibu mfumo wa usambazaji wa damu kwenye uume na mishipa ya neva. Hivyo damu haitofika sehemu husika kwa spidi inayotakiwa hivyo uume kutokua na nguvu

2. Pindi kiwango cha sukari kwenye damu kinapoongezeka kemikali ya oksidi ya nitriki huzalishwa kidogo, hivyo kupelekea kutokuwa na utiririkaji wa damu ya kutosha kwenye uume

Kwa msaada zaidi piga 0758999109

15/07/2023
Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam
P.O.BOX78804

Opening Hours

Monday 08:00 - 17:00
Tuesday 08:00 - 17:00
Wednesday 08:00 - 17:00
Thursday 08:00 - 17:00
Friday 08:00 - 17:00
Saturday 08:00 - 16:00