afya_msifuni
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from afya_msifuni, Health/Beauty, Dar es Salaam.
📌Fikiria furaha utakayo kuwanayo kipindi umemfikisha mwenzawako kileleni na amekushukuru🙏
📌Nilazima Utatembea kwa kujiamini na utakuwa na Confidence kubwa na kujiona wewe ndiyo kidume.
📌Hii ni ndoto ya kila mwanaume..
đź’‰Haya yote hayawezi kutimia k**a hauta jitibia na kuwa imara kwenye mfumowako mzima wa uzazi.
đź’‰ Na unatakiwa ujijali na ujali afyayako kwanza wewe mwanaume kwa kuzingatia vyakula, mazoezi, kunywa maji ya kutosha na Lifestyle kwa ujumla.
27/06/2023
SHAMBULIO LA MOYO (HEART ATTACK) 👇👇
â—ľ Hapa ni pale bonge la damu linapotokea na kuziba mishipa ya damu inayopeleka damu kwenye moyo na kuufanya moyo ukose damu.
â—ľ Moyo unapokosa supply ya damu misuli yake inaoza na kushindwa kusukuma damu.
â—ľ Hivyo hupelekea kifo cha haraka.
22/06/2023
VIDONDA VYA TUMBO👇👇
Vidonda vya tumbo ni michubuko au makovu yanayotokea ndani katika kuta za tumbo au katika kuta za utumbo mdogo.
Vidonda hivi husababishwa na Bacteria anayeitwa Helicobacter pylori (H. Pylori) ambae huharibu utando unaokinga kuta za utumbo kutokuharibiwa na tindikali, hivyo husababisha ukuta wa utumbo kuharibiwa na tindikali na kupelekea vidonda katika kuta hizo za utumbo.
SABABU ZINAZOPELEKEA VIDONDA VYA TUMBO 👇👇
Zipo sababu nyingi lakini zilizo kuu ni hizi mbili:-
1= Bacteria anayeitwa Helicobacter pylori (H. Pylori)
2= Tumbo kuunguzwa na kemikali
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam
