Dr Isack Tz

Dr Isack Tz

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Dr Isack Tz, Health/Beauty, ilala, Dar es Salaam.

14/07/2022

JE! WEWE UNA CHANGAMOTO YA MIWASHO SEHEMU YA HAJA KUBWA?
AU KUOTA KINYAMA
AU KUTOKA DAMU WAKATI WA HAJA KUBWA?
*(BAWASIRI)* KWA MDA MREFU BILA SULUHISHO?

SIKILIZA VIZURI.

▶️Bawasiri sio ugonjwa wa kuambukiza.

▶️Bawasiri ukifanya upasuaji mdogo hospitali inarudi kwa uraisi sana.

▶️Asilimia 92% ya wagonjwa wote wenye tatiz hili hawajui chanzo chake, Na ivyo upelekea kutokupona mala baada ya kutumia dawa mbali mbali.

▶️ *Ofa hii ni bure* . Utapatiwa njia nyepesi kabisa kutatua tatiz lako vizuri kabisa.

🚫Hakikisha unabofya link pale kwenye profile yetu, Uingie kwenye whtspp yetu moja kwa moja ili kupata suluhisho kwa halaka. Au piga simu hii upate msaada kwa halaka sana
( *0752962267* )

23/12/2021
25/11/2021

JE! WE NI MIONGONI MWA WANAO SUMBULIWA NA BAWASIRI KWA MDA MREFU BILA YA MAWANIKIO

*Usikate tamaa* , njoo hakala upewe suluhisho la bawasiri kwa mda mfupi sana

▶️Bawasiri sio ugonjwa wa kuambukiza.

▶️Bawasiri ukifanya upasuaji mdogo hospitali inarudi kwa uraisi sana.

▶️Asilimia 93% ya wagonjwa wote wenye tatiz hili hawajui chanzo chake, Na ivyo upelekea kutokupona mala baada ya kutumia dawa mbali mbali.

▶️ *Ofa hii ni bure* . Utapatiwa njia nyepesi kabisa kutatua tatiz lako vizuri kabisa.

🚫Hakikisha unabofya link pale kwenye profile yetu, Uingie kwenye whtspp yetu moja kwa moja ili kupata suluhisho kwa halaka. Au piga simu hii upate msaada kwa halaka sana
( *0752962267* )

29/08/2021

*FAHAMU SIRI KUBWA YA BAWASIRI YA NDANI NA NJE NA TIBA YAKE*

*BAWASIRI NI NINI?*

*>* Ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa na kupelekea kuota kinyama sehemu ya haja kubwa

*DALILI ZA MTU MWENYE BAWASIRI*

■Kupata muwasho mkali katika eneo la juu ya haja kubwa

■Kujitokeza kwa kinyama katika eneo la haja kubwa.

*BOFYA HAPO CHINI ILI*
*KUFAHAMA ZAIDI DALILI ZA BAWASIRI NA CHANZO CHAKE NA TIBA YAKE SAHIHI*

Bofya hapa wa.me/255752962267

28/08/2021

TIBA YA VIDONDA VYA TUMBO - ( PEPTIC ULCERS )

◇ Vidonda Vya Tumbo ni nini?

■Vidonda vya tumbo (Peptic Ulcers) ni ugonjwa unaompata mtu ambapo kunatokea vijitundu au michubuko katika kuta za ndani za viungo vya mfumo wa uyeyushaji chakula.

■Michubuko hiyo huweza kutokea katika eneo la mfuko wa tumbo, katika duodenum au katika eneo la koo.

■Inakadiriwa kuwa asilimia 5 hadi 10 ya watu hupatwa na ugonjwa huu angalau mara moja katika maisha yao.

■ Huu ni ugonjwa ambao unaweza kumrudia mtu baada ya kupona endapo chanzo chake hakikudhibitiwa.

■ K**a ugonjwa huu utamrudia mgonjwa , mtu huyu atakuwa amejiweka kwenye hatari kubwa ya kupata madhara makubwa zaidi k**a kutokwa na damu au kutokea tundu kubwa katika kuta za mfuko wa tumbo.

◇Dalili za Ugonjwa huu*

● Kukosa hamu na Uwezo Wa Tendo la Ndoa

● Kuchoka choka sana bila sababu maalum.

● Kuuma mgongo au kiuno..

● Kupungukiwa au kupoteza kabisa nguvu za kijinsia

● Kizunguzungu.

● Kukosa usingizi.

● Usingizi wa mara kwa mara.

● Maumivu makali sehemu ya mwili.

●Kifua kwa ndani kana kwamba unachomwa na kitu cha moto au chenye ncha kali. • Maumivu hayo wakati mwingine hutokeza mgongoni na huchoma k**a sindano yenye sumu na kuacha maumivu makali

● Kichefuchefu.

● Kiungulia.

●Tumbo kujaa gesi.

●Tumbo kuwaka moto.

● Maumivu makali sehemu kilipo kidonda.

● Kukosa choo au kupata choo kwa shida tena kikiwa kigumu na chenye kukatika k**a cha mbuzi

●Kutapika nyongo.

● Kutapika damu au kuharisha.

●Sehemu za mwili kupata ganzi.

● Kukosa hamu ya kula.

● Kula kupita kiasi.

● Kusahahu sahau na Hasira bila sababu

◇Chanzo Cha Vidonda vya tumbo ?

■ Linapokuja suala la nini husababisha vidonda vya tumbo unaweza ukapata stori nyingi bila idadi, lakini kwa kifupi kabisa; vidonda vya tumbo ni ishara za mwili kupungukiwa maji na k**a matokeo ya asidi kuzidi mwilini kuliko alkaline. Vinaweza pia kuletwa na bakteria ajulikanaye k**a H.Pyroli.

■Vitu vifuatavyo vinahusika katika kuleta vidonda vya tumbo mwilini:

27/08/2021

Bofya hapa kupata SULUHISHO la magonjwa sugu na mengine mbalimbali

26/08/2021

Tunawasaidia wahanga wa maradhi sugu na maradhi mengineyo bofya hapa kupata SULUHISHO kwa alaka wa.me/255752962267

26/08/2021

*Bawasiri ni nini?*
-Bawasiri ni Ugonjwa unaotokana na kuvimba/kupasuka kwa mishipa ya dawa sehemu ya haja kubwa na kupelekea kuota kwa kinyama amcho ndio huitwa Bawasiri/mgoro/mgongo nk

▶️Sababu kubwa ya mtu kupata Bawasiri ni Mgandamizo sehemu ya haja kubwa ambapo mgandamizo huo hupelekea kupasuka/kuvimba kwa mishipa midogo midogo ya damu aina ya veins sehemu ya haja kubwa hivyo hupelekea kuota kwa kinyama,miwasho,maumivu makali na kutoa damu

Dr Isack Tz
+255752962267

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Ilala
Dar Es Salaam
12345