Dr Isack Tz
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Dr Isack Tz, Health/Beauty, ilala, Dar es Salaam.
14/07/2022
JE! WEWE UNA CHANGAMOTO YA MIWASHO SEHEMU YA HAJA KUBWA?
AU KUOTA KINYAMA
AU KUTOKA DAMU WAKATI WA HAJA KUBWA?
*(BAWASIRI)* KWA MDA MREFU BILA SULUHISHO?
SIKILIZA VIZURI.
▶️Bawasiri sio ugonjwa wa kuambukiza.
▶️Bawasiri ukifanya upasuaji mdogo hospitali inarudi kwa uraisi sana.
▶️Asilimia 92% ya wagonjwa wote wenye tatiz hili hawajui chanzo chake, Na ivyo upelekea kutokupona mala baada ya kutumia dawa mbali mbali.
▶️ *Ofa hii ni bure* . Utapatiwa njia nyepesi kabisa kutatua tatiz lako vizuri kabisa.
🚫Hakikisha unabofya link pale kwenye profile yetu, Uingie kwenye whtspp yetu moja kwa moja ili kupata suluhisho kwa halaka. Au piga simu hii upate msaada kwa halaka sana
( *0752962267* )
23/12/2021
25/11/2021
JE! WE NI MIONGONI MWA WANAO SUMBULIWA NA BAWASIRI KWA MDA MREFU BILA YA MAWANIKIO
*Usikate tamaa* , njoo hakala upewe suluhisho la bawasiri kwa mda mfupi sana
▶️Bawasiri sio ugonjwa wa kuambukiza.
▶️Bawasiri ukifanya upasuaji mdogo hospitali inarudi kwa uraisi sana.
▶️Asilimia 93% ya wagonjwa wote wenye tatiz hili hawajui chanzo chake, Na ivyo upelekea kutokupona mala baada ya kutumia dawa mbali mbali.
▶️ *Ofa hii ni bure* . Utapatiwa njia nyepesi kabisa kutatua tatiz lako vizuri kabisa.
🚫Hakikisha unabofya link pale kwenye profile yetu, Uingie kwenye whtspp yetu moja kwa moja ili kupata suluhisho kwa halaka. Au piga simu hii upate msaada kwa halaka sana
( *0752962267* )
29/08/2021
*FAHAMU SIRI KUBWA YA BAWASIRI YA NDANI NA NJE NA TIBA YAKE*
*BAWASIRI NI NINI?*
*>* Ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa na kupelekea kuota kinyama sehemu ya haja kubwa
*DALILI ZA MTU MWENYE BAWASIRI*
■Kupata muwasho mkali katika eneo la juu ya haja kubwa
■Kujitokeza kwa kinyama katika eneo la haja kubwa.
*BOFYA HAPO CHINI ILI*
*KUFAHAMA ZAIDI DALILI ZA BAWASIRI NA CHANZO CHAKE NA TIBA YAKE SAHIHI*
Bofya hapa wa.me/255752962267
28/08/2021
TIBA YA VIDONDA VYA TUMBO - ( PEPTIC ULCERS )
◇ Vidonda Vya Tumbo ni nini?
■Vidonda vya tumbo (Peptic Ulcers) ni ugonjwa unaompata mtu ambapo kunatokea vijitundu au michubuko katika kuta za ndani za viungo vya mfumo wa uyeyushaji chakula.
■Michubuko hiyo huweza kutokea katika eneo la mfuko wa tumbo, katika duodenum au katika eneo la koo.
■Inakadiriwa kuwa asilimia 5 hadi 10 ya watu hupatwa na ugonjwa huu angalau mara moja katika maisha yao.
■ Huu ni ugonjwa ambao unaweza kumrudia mtu baada ya kupona endapo chanzo chake hakikudhibitiwa.
■ K**a ugonjwa huu utamrudia mgonjwa , mtu huyu atakuwa amejiweka kwenye hatari kubwa ya kupata madhara makubwa zaidi k**a kutokwa na damu au kutokea tundu kubwa katika kuta za mfuko wa tumbo.
◇Dalili za Ugonjwa huu*
● Kukosa hamu na Uwezo Wa Tendo la Ndoa
● Kuchoka choka sana bila sababu maalum.
● Kuuma mgongo au kiuno..
● Kupungukiwa au kupoteza kabisa nguvu za kijinsia
● Kizunguzungu.
● Kukosa usingizi.
● Usingizi wa mara kwa mara.
● Maumivu makali sehemu ya mwili.
●Kifua kwa ndani kana kwamba unachomwa na kitu cha moto au chenye ncha kali. • Maumivu hayo wakati mwingine hutokeza mgongoni na huchoma k**a sindano yenye sumu na kuacha maumivu makali
● Kichefuchefu.
● Kiungulia.
●Tumbo kujaa gesi.
●Tumbo kuwaka moto.
● Maumivu makali sehemu kilipo kidonda.
● Kukosa choo au kupata choo kwa shida tena kikiwa kigumu na chenye kukatika k**a cha mbuzi
●Kutapika nyongo.
● Kutapika damu au kuharisha.
●Sehemu za mwili kupata ganzi.
● Kukosa hamu ya kula.
● Kula kupita kiasi.
● Kusahahu sahau na Hasira bila sababu
◇Chanzo Cha Vidonda vya tumbo ?
■ Linapokuja suala la nini husababisha vidonda vya tumbo unaweza ukapata stori nyingi bila idadi, lakini kwa kifupi kabisa; vidonda vya tumbo ni ishara za mwili kupungukiwa maji na k**a matokeo ya asidi kuzidi mwilini kuliko alkaline. Vinaweza pia kuletwa na bakteria ajulikanaye k**a H.Pyroli.
■Vitu vifuatavyo vinahusika katika kuleta vidonda vya tumbo mwilini:
27/08/2021
Bofya hapa kupata SULUHISHO la magonjwa sugu na mengine mbalimbali
26/08/2021
Tunawasaidia wahanga wa maradhi sugu na maradhi mengineyo bofya hapa kupata SULUHISHO kwa alaka wa.me/255752962267
26/08/2021
*Bawasiri ni nini?*
-Bawasiri ni Ugonjwa unaotokana na kuvimba/kupasuka kwa mishipa ya dawa sehemu ya haja kubwa na kupelekea kuota kwa kinyama amcho ndio huitwa Bawasiri/mgoro/mgongo nk
▶️Sababu kubwa ya mtu kupata Bawasiri ni Mgandamizo sehemu ya haja kubwa ambapo mgandamizo huo hupelekea kupasuka/kuvimba kwa mishipa midogo midogo ya damu aina ya veins sehemu ya haja kubwa hivyo hupelekea kuota kwa kinyama,miwasho,maumivu makali na kutoa damu
Dr Isack Tz
+255752962267
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Ilala
Dar Es Salaam
12345
