SAIDA NA AFYA

SAIDA NA AFYA

Share

MTABIBU WA MATATIZO YA WANAWAKE NA WANAUME YA UZAZI

17/08/2023
10/07/2023

*KILA MWANAMKE ANAWEZA KUSOMA HII KWA FAIDA YAKE*
*MWANAMKE JALI AFYA YAKO*
__________
Hapa nimekuandikia Mambo Rahisi Ambayo NI Muhimu uyafahamu Kwa ajili ya Kuongeza usalama katika via vyako vya uzazi.

*HATUA BORA ZA KUSAFISHA UKE*
_________________
Kuwa na usafi mzuri wa uke ni muhimu kwa afya ya wanawake. Hapa kuna hatua za kuosha uke kwa njia nzuri:

*1. Osha mikono yako kabla ya kushika sehemu za siri.*
Hakikisha unaosha mikono yako kwa sabuni na maji safi kabla ya kugusa uke wako ili kuzuia maambukizi.

*2. Tumia maji safi na ya joto la Wastani.*
Epuka kutumia maji moto au baridi sana, kwani inaweza kusababisha uke kuwa mkak**avu na hivyo kuchubuka Kwa urahisi.

*3. Tumia sabuni laini na Yenye pH inayofaa (plain soap) kuoshea sehemu ya juu ya uke.*
Epuka kutumia sabuni ngumu au yenye kemikali nyingi (Mfano medicated soap), kwani inaweza kusababisha usumbufu na kuvuruga usawa wa bakteria wa uke (Ambao husaidua kuzuia Maambukizi ya bacteria wabaya). Chagua sabuni inayofaa kwa matumizi ya uke ambayo haina harufu kali au kemikali zenye nguvu.

*4. Usioshe ndani ya uke mara Kwa mara .*
Epuka kuingiza maji ndani ya uke, mara Kwa mara kwani inaweza kusababisha usumbufu na kuvuruga usawa wa bakteria wa uke. Kwa kawaida uke Huwa Una namna yake ya Asili ya kujisafisha, Kwa Hiyo Awamu chache Tu zinatosha.

*5. Futa na kukausha uke vizuri.*
Baada ya kuosha, tumia taulo safi na laini kusafisha uke vizuri na kuukausha. Hakikisha unafuta kutoka mbele kwenda nyuma ili kuepuka kupeleka bakteria kutoka njia ya haja kubwa kwenda ukeni, Maana usipofanya hivyo utapata U.T.I Za mara Kwa mara.

*6. Epuka kutumia dawa za kunukia uke na douching.*
Dawa hizi zinaweza kusababisha usumbufu na kuvuruga usawa wa bakteria wa uke na Uwiano Wa pH ya ukeni. Uke una mfumo wa kujisafisha asili, hivyo hakuna haja ya kutumia bidhaa hizo.

*7. Vaa nguo za ndani safi- za Pamba.*
Badilisha nguo za ndani kila siku na chagua nguo za pamba ambazo zinaweza kupitisha hewa vizuri na kufyonzwa unyevu ili kuzuia Maambukizi ya Fangasi na kusaidia kudumisha usawa wa bakteria wa uke.

Ni muhimu kukumbuka kuwa uke una mfumo wa kujisafisha asili, Ikiwa una wasiwasi wowote juu ya afya yako.
Kutokwa na uchafu wenye Harufu ukeni una dalili za wasiwasi, ni vizuri kuongea na daktari wako.

# *UKE*

👉Uke ni kiungo kinachounda sehemu ya mfumo na mfereji wa uzazi wa mwanamke ambacho hufanya kazi kuu 3 ambazo ni;

1. Kuruhusu utoaji wa masalia ya damu na tishu za mji wa uzazi kupitia hedhi.

2. Kupokea uume wakati wa kushiriki tendo la ndoa pamoja na kuhifadhi mbegu za kiume kwa mda hadi zitakapo ufikia mji wa uzazi.

3. Kuruhusu kupita kwa mtoto wakati wa uchungu wa kuzaa.

👉Kimuundo, uke humaanisha tundu la ndani ambalo urefu wa kina chake hubadilika kulingana na hali anazopitia mwanamke.

👉Mathalani, kabla ya msisimko wa kihisia, pasipo kujali ukubwa wa midomo, wastani wa kawaida wa kina chake huwa ni nchi 2.74-3.25 huku kina chake kikiongezeka hadi kufikia wastani wa nchi 4.25-4.75 wakati wa msisimko wa kihisia.

👉Mashavu yanayozunguka uke ambayo kitaalamu huitwa l***a huwa na muonekano wa aina nyingi ambazo hutofautiana miongoni mwa wanawake. Kwa baadhi yao, l***a hizi huwa ni kubwa, huonekana zimevimba, nyembamba, zimechomoza nje na wengine huwa wazi kiasi cha kufanya baadhi ya sehemu za ndani zionekane kirahisi.

✍️Inatambulikaa kuwa ukuaji wa uke na l***a zake pamoja na ukuaji wa midomo vyote kwa pamoja huongozwa na taarifa za kijenetiki (Genetics) na homoni za mwili.

Natumai umejifunza😊

Kwa matibabu na ushaur wasiliana nasi
Whaatspp:0675917999
Call:0675917999

09/07/2023

```*JINSI YA KUTATUA CHANGAMOTO YA VIDONDA VYA TUMBO NDANI YA MDA MFUPI*

Vidonda vya tumbo ni michubuko au vidonda vinavyoweza kutokea sehemu yoyote katika mfumo wa usagaji wa chakula ( digestive system) ambapo kitaaalam vinaweza kugawanyika katika aina NNE
1. Throat ulcers,( kwenye koromeo)
2. Gastric ulcers( tumboni))
3.Doudenal ulcers ( utumbo mwembamba
4.colon ulcers (utumbo mpana)

SABABU ZA VIDONDA VYA TUMBO
1. Helicobacter phlory huyu ni bacteria ambae kwa asilimia kubwa husababisha vidonda vya tumbo kwa kuharibu kuta za tumbo( layers) na kusababisha vidonda .
Lakini pia kuna mazingira ambayo yanaweza kufanya mtu akaugua vidonda vya tumbo k**a
▪️stress's
▪️kutozingatia mda wa kula
▪️kula vyakula vyenye Acid
▪️uvutaji wa sigara
▪️unywaji wa pombe
▪️madawa ya hospitalin (Antibiotics)
Na wengi huwa wnapata maumivu makali sana baada ya kuungua vidonda vya tumbo

Suluhisho sahihi la vidonda vya tumbo Ni virutubisho asilia vyenye uwezo wa kuboresha Mfumo mzima wa tumbo, kuongeza Kinga ya mwili na kuondoa mazingira ya kuzaliana bakteria wabaya. KARIBU KWA SULUHISHO

Whatsap:0675917999
Call:0675917999

09/07/2023

*K**A UNA DALILI HATA MOJA KATI YA HIZI, WAHI OFFA MAPEMA*

- Ukavu ukeni
- Maumivu wakati wa tendo la ndoa

- Maumivu chini ya kitovu wakati wa hedhi

- Upungufu wa hamu ya tendo la ndoa

- Mabadiliko ya siku za hedhi na kupata hedhi kwa muda mrefu unaozidi siku 7. (heavy bleeding, au kujaza pedi moja kwa saa moja)

- Kukosa hedhi kwa muda mrefu, na kutoa damu yenye mabonge mabonge wakati wa hedhi

- Uchovu wa mara kwa mara

- Hasira za mara kwa mara

- Kukosa usingizi

- Homa za usiku na Kizunguzungu cha mara kwa mara

- (Allergie), kuchagua chagua vyakula

- Kuharibika kwa ngozi (chunusi, vipele… n.k) hapa wengi wananiambia _Amos ngozi yangu siielewi, nawauliza mzunguko wao upoje ndipo nagundua homoni zina changamoto_

- Maumivu ya viungo

- Upungufu wa nywele kichwani.

- Kusahau sana (kukosa kumbukumbu)

- Kupata hedhi wakati wa ujauzito (progesterone ikiwa imezidi)

- Kutokupata hedhi (balehe) adi umri wa miaka 20 na kuendelea

- Mwili kutokukua, kuonekana k**a binti mdogo, na kutokukua kwa via vya uzazi

- Msongo wa mawazo na kukosa kujiamini

- Kusinyaa na kupauka kwa
ngozi wakati wa siku za hedhi na wakati wa utumiaji wa njia za uzazi wa mpango

- Maumivu ya kichwa mara kwa mara

- Kuwa na tabia ya hamaki (kukosa utulivu)

- Kutokupata choo kwa wakati

*USHAURI*

Kunywa maji mengi, maji ni dawa namba moja ya matatizo yote ya kiafya ndipo dawa nyingine zinafuata.

Tumia dozi ya vitunguu swaumy punje 3x3

Kunywa Tangawizi kikombe kimoja asubuhi na jioni.. twanga, chemsha kunywa kikombe kimoja asubuhi na jioni.

Ukipata asali itakuwa nzuri pia tumia kijiko kimoja cha asali asubuhi na jioni...

Ukifanya ha unaweza kujikuta unapata mabadiliko makubwa sana...

MWISHO KABISA USISAHAU GWP NI HAKI YA KILA MWANAMKE.

_BORESHA AFYA FURAHIA MAISHA_

_Tunapenda kujua je kitu gani umejifunza kwenye hii makala na k**a umeguswa zaidi

Photos from SAIDA NA AFYA's post 16/06/2023

Embu tuongee ww mwanaum unasumbuliw na changamoto gan kati ya hizo:

Njoo ujipatie bedroom pack kwa tatizo linalokukabil niweze kukusaidia
Kwa mawasiliano zaid no 0675 917 999

Photos from SAIDA NA AFYA's post 16/06/2023

Kila mwanamke anandoto ya kuitwa mama,mungu awabarik wamama wote 🤱 na ambao bado mungu awajaalie matumbo yenu mtimize ndoto ya kuitwa mama☺️

Usikate tamaa kutimiza ndoto yako karibu nikusaidie kwa mawasiliano zaid no: 0675 917 999

23/05/2023

*⛔ FAHAMU NJIA ZA KUONGEZA JOTO UKENI*
👇🏾👇🏾👇🏾

1) *MAZOEZI YA KEGEL* (kubana na kuachia uke)

Namaanisha bana banduka......sina haja ya kuielezea .....basi
ukitumia hii njia kitu kinajipa chenyewe

2) *ASALI NA MDALASINI*

tumia hii mala kwa mala kwa matokea mazuri,

3) *TANGAWIZI*

hii ukiamka asubuh anza kunywa changanya na sukari kidog ukipata asali itapendeza zaidi.....basi k**a unakutana kimwili na mume jion wewe shinda unaitumia hii...ukiona nusu saa karibia aje wewe kunywa inasaidia mwili kupata joto na uke kuwa wa moto.....

4) *PILIPILI.*

pilipili inafanya uke uwe na karadha flani hivi amazing uko ukeni yani kamuwasho sio kamuwasho yani sijui nsemeje jaman mnielewe👌👌👌👌👌.....pendelea kula pilipili kwenye chakula chako yaani kwenye kila mlo basi weka kapilipili kidog yani kale kamuwasho ka juu kanahamia ukeni yani mume atakua anakuuliza mama umeweka nini humu jaman🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪 mbona sielew basi wewe jibu hata mimi sielew mume wangu.......

*Note* : k**a una vidonda vya tumbo usitumie pilipili.

5) *MITINDI*

hii inasaidia kuua bakteria wabaya kwenye uke na kusafisha uke jitahidi kwa wiki unakunywa mtindi angalau mala 3 kwa afya ya uke wako

6) *USAFI.*

Uke mchafu unashambuliwa na wadudu wabaya hatimae zinapanuka na kukosa ladha.

🛑Natumai utakua umejifunza kidogo hapo.

10/05/2023

DAWA BORA YA KINYWA CHAKO (TIBA NA KINGA YA MENO).

•DrTs Toothpaste🦷

•Ni Dawa ya meno ya asili (Herbal Toothpaste) YENYE NGUVU KUU NNE, Kuimarisha, Kuboresha, Kutibu na Kukinga meno Dhidi ya Bacteria katika KINYWA.

~VIAMBATA KATIKA DAWA TOOTHPASTE & KAZI ZAKE.

•Honey suckle-Huzuia Kuvimba kwa Fizi.

•Nitoginseng- Huzuia Fizi kutoka damu.

•Bleaning Cleaning Factor- Hung'arisha meno, huondoa ganzi na ufubavu wa meno.

•Green Factor; ambayo hufanya kazi ya kuondoa vimelea waharibifu katika kinywa......

FAIDA ZA KUTUMIA DR TS TOOTHPASTE.
✓Dawa asilia haina viambata vyenye kemikali hivyo ni salama zaidi kwa matumizi ya kawaida.

✓Huzuia kuendelea kutoboka kwa meno (kuoza).

✓Huzuia tatizo la Fizi kutoa Damu

✓Hupunguza Maumivu ya meno.

✓Huondoa tatizo la meno kufa Ganzi.

✓Huondoa tatizo la harufu mbaya katika kinywa ambalo husababishwa na kuongezeka kwa bacteria wengi katika kinywa.

Wasiliana nasi tafadhali:0675917999

10/05/2023

🛑 *ZIJUE FAIDA 9 ZA FEMININE* (femicare)

1⃣huondoa harufu mbaya ukeni, uchafu na kuongeza bacteria walinzi, ni nzuri kwa wanaoshare vyoo

2⃣inatibu Fangasi sugu ukeni, na U.T.I sugu
3⃣Ni nzuri sana kwa wenye P.I.D
4⃣huondoa maumivu wakati wa tendo la ndoa na kurudisha ute ute unaohitajika

5⃣Inafanya uke kuwa msafi na mkavu muda wote.
6⃣Inazibua Mirija ya Uzazi iliyoziba na kurekebisha hedhi iliyovurugika.

7⃣Inakaza misuli ya uke uliolegea na kuwa tight.
8⃣Inaondoa maumivu ya tumbo chini ya kitovu. (chango)
9⃣ inaondoa michubuko ukeni.

Karibuni, hata k**a hauumwi ni vizuri uwe nayo hii dawa ili kujilinda dhidi ya mashambulizi ya bacteria ukeni.

Kumbuka:KINGA NI BORA KULIKO TIBA.

Afya yako ni jukumu lako✍️

19/04/2023

SUPPLEMENTS 👇🏻

🔰👉ni bidhaa za kipekee zilizotengenezwa kwa teknolojia mpya ya hali ya juu, Ni kinga na suluhisho kwa magonjwa mengi bila kujali yamekuwa mwilini kwa muda mrefu au mfupi, magonjwa k**a👇👇👇
▪️Kisukari/Diabetes mellitus
▪️Saratani/Cancer aina zote
▪️Kiharusi/Stroke
▪️Arthritis
▪️Fibroids
▪Tezi dume
▪️Ovarian Cysts/Uvimbe kwenye kizazi
▪️HIV/AIDS/CD4 Count
▪️Kupoteza kumbukumbu
▪️Vidonda vya tumbo/Stomach Ulcers
▪️Mirija ya uzazi kuziba kwa wanawake
▪️Asthma/Pumu/Allergies
▪️High Blood Pressure/Hypertension
▪️Matatizo ya Moyo
▪️Matatizo ya Figo
▪Matatizo ya Ini
▪Matatizo kwenye ngozi/ Vidonda
▪Pneumonia/Homa ya mapafu kwa watoto
▪️Matatizo ya macho/Pressure Ya Macho
▪Kuotesha nywele kwenye vipara
▪Matatizo ya Magoti, Mgongo, Mifupa n.k
▪️Matatizo ya uzazi kwa wanawake na wanaume Kupunguza kasi ya kuzeeka na kuifanya ngozi kua nyororo na kutoa Mikunjo
▪️Pamoja na magonjwa mengine zaidi ya 100

*⛔👉USISUBIRI MPAKA UGONJWA UKULAZE KITANDANI YAANI HIZI BIDHAA ZITAKWENDA KUTEMBEA KILA PEMBE YA MWILI WAKO NA KUTOA MAGONJWA YOTE*
Suppliments zetu ni 100% NATURAL (isiyo na kemikali) na 100% HALALI.


Karibuni sana🙏
Kwa mawasiliano zaidi no 0675 917 999

13/04/2023

*JE, NINI KINASABABISHA* *MWANAMKE KUTOKWA NA* *UCHAFU UKENI WENYE* *HARUFU MBAYA (VAGINAL* *DISCHARGE)?*

Kutokwa na uchafu ukeni wenye harufu mbaya ni moja ya ugonjwa unaowapata wanawake, lakini bado kuna suluhisho lake. Ni vyema sana wanawake kuwa makini wanapoona dalili za kutokwa na uchafu wenye harufu mbaya ukeni. Wahi haraka kufika kwa mtaalamu hospitali ili uweze kupata vipimo na uanze matibabu mapaema bila kuchelewa.

*Je, Nini Husababisha* *Kutokwa Na Uchafu Ukeni* *Wenye Harufu Mbaya?*

Kuna vyanzo vingi mno lakini nitapenda kuonyesha baadhi ya visababishi vya uchafu kutoka ukeni ambavyo ni:

👉. Maambukizi ya fangasi sehemu za siri yanapokaa muda mrefu

👉. Kuvimba kwa mrija wa mkojo

👉. Maambukizi ya kisonono

👉. Pangusa

👉. Maambukizi ya PID

*Visababishi vingine* *vinavyomfanya mwanamke* *kutokwa na uchafu ukeni ni* *Pamoja na:*

👉. Kuvimba kwa mlango wa kizazi

👉. Saratani ya shingo ya kizazi

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Mwalimu House Ilala Boma
Dar Es Salaam