Health Issues
A healthy body is a wealthy body
28/08/2023
EWE MWANAMKE,JALI AFYA YA UZAZI WAKO
Kuna hali usiruhusu zikupe madhara badae..Ni mda uanze kujitibia ili uwe salama
Piga/whatsapp +255693653573 kwa ushauri
07/08/2023
03/08/2023
UKITAFUTA HELA TAFUTA NA AFYA.....
LA SIVYO WEWE NA HELA MTAANZA KUMTAFUTA AFYA NA INAWEZA KUWA TOO LATE👈👈👈
01/08/2023
*PID( PELVIC INFLAMMATORY DISEASE)
-Haya ni maambukizi ya bakteria wabaya kwenye mfumo wa uzazi wa mwanamke.
-Maambukizi haya hupelekea uharibifu mkubwa kwenye mfuko wa uzazi wa uzazi, mirija ya uzazi au sehemu nyingine za uzazi wa mwanamke pia ni chanzo cha ugumba.
DALILI ZA MAAMBUKIZI KWENYE MFUMO WA UZAZI WA MWANAUMKE( PID)
1.Maumivu makali ya nyonga, tumbo au chini ya kitovu.
2.Kutoka maji maji yasiyo ya kawaida yenye harufu mbaya.
3. Kutoka maji maji yasiyo ya kawaida baada ya kufanya tendo la ndoa au baada ya kuingia hedhi.
4. Maumivu makali wakati wa kufanya tendo la ndoa.
5. Homa kali
6. Maumivu kipindi cha kukojoa, kukojoa mara kwa mara, kukojoa kwa shida.
7.Maumivu makali chini ya kitovu, kichefuchefu, kutapika, homa kali kupita kiasi.
8. Kutokwa na uchafu sehemu ya siri wa rangi ya maziwa mtindi, kijani au mweupe unaoambatana na harufu kali.
MADHARA YA PID
1. Kupata ugumba na kupata utasa.
2. Kukosa kujiamini.
3. Mimba kutoka.
4.kuharibu mfumo wa uzazi.
5. Kuvurugika kwa homoni na mtu huanza kupata hedhi isiyo na mpangilio.
6. Kati ya wanawake 10 waliathiriwa na PID, Mmoja anakuwa tasa kwasababu ya PID hupelekea makovu kwenye mirija ya uzazi.
7. Kutofurahia tendo la ndoa.
KWA MAHITAJI NA USHAURI
🇹🇿0693653573
23/07/2023
Hii si ya kukosa kwa ajili ya kila mtu kwenye familia hasa watoto.Inaondoa mafua makali,uchovu unaotokana na safari,kichwa kuuma,kutuliza maumivu ya viungo na pia ukiipaka mbu hakusogolei hata...Ina faida nyingi mnoo..
Tunazitoa kwa dozen(12)
Kwa mahitaji piga/whatsapp 0693653573
SULUHISHO LA KUDUMU LA CHANGAMOTO YA VIUNGO
Je,unafahamu athari ya kudungwa sindano au kufanyiwa operation ya kwenye goti?Usisubiri kufikia stage hii.
Iwapo unapitia changamoto ya goti kuwa na maumivu makali,kupiga kelele au kushindwa kulikunja basi fahamu kuwa suluhisho la kudumu lipo bila operation,sindano au kumeza dawa za maumivu..
Wasiliana kwa kupiga/whatsapp 0693653573 kwa ushauri zaidi
Health Issues A healthy body is a wealthy body
SULUHISHO LA KUDUMU LA CHANGAMOTO YA MAUMIVU YA MIFUPA NA MAUNGIO KULIKA
+255 693653573
Changamoto hizi za maumivu makali ya mifupa na maungio kusagana husababishwa na
👉Ukosefu wa uteute kwenye maungio na kulika kwa gegedu na kupelekea mifupa kugusana
VYANZO VINGINE NI K**A IFUATAVYO
1;Kutumikisha viungo kupita kiasi
Mf,Michezo,riadha, mazoezi nk
2; Umri mkubwa 40+
3; Uzito uliopitiliza
4; Kurithi
5; Ukosefu wa calcium.
6;Kupata Ajali
GEGEDU NA UTEUTE VIKIKOSEKANA HUPELEKEA MIFUPA KUSAGANA NA KUSABABISHA
1; Maumivu makali ya mgongo
2; Maumivu makali ya nyonga
3; Maumivu makali ya magoti
4; Maumivu makali ya bega
CHUKUA HATUA MAPEMA KUEPUKA
1; Saratani ya mifupa
2; Ulemavu
KWA USHAURI ZAIDI
+255 693653573
Health Issues A healthy body is a wealthy body
03/02/2023
Watu wengi hawajajua siri ya kupambana na changamoto zao za afya...
Mojawapo ya siri hizi ni kuondoa sumu mwilini...Detox program ni mapambano ya kuondoa sumu mwilini.katika maisha haya tunakula vitu vingi vyenye kemikali na wengine madawa ya hospitalini na masindano ya dawa..hii inapelekea mlundikano wa mabaki ya kemikali mwilini mwisho wa siku vinakuwa sumu mwilini....Unapofanya detoxification ni kwamba unaondoa hizi sumusumu mwilini..
Ukifanya hivyo utaondokana na changamoto k**a:
1)Uzito uliopitiliza,vitambi na nyama uzembe
2)Kuumwa kichwa ovyo
3)Kisukari
4)Vidonda vya tumbo
5)Bawasiri na mmeng'enyo wa chakula kwa ujumla
6)Uzazi na mvurugiko wa hormones
7)Matatizo ya ngozi
8)Viungo kusagana na kuuma......
Na changamoto zingine nyingi
Wasiliana nasi kwa kupiga/whatsapp 0693653573
01/02/2023
Epuka madhara makubwa ya badae kwa kutatua changamoto ya viungo kwa njia rahisi na nafuu
Wasiliana nasi kwa kupiga/whatsapp 0693653573
Maumivu ya mifupa na viungo kusagana imekuwa changamoto ya wengi....Hii changamoto ina suluhisho la kudumu kwa muda mfupi endapo utafuata ushauri na kufanya maamuzi ya kuitatua..
Utaepuka madhara ya baadae k**a vile kufanyiwa operation kwa mamilioni ya hela, kukaa ndani ukiuguza kidonda cha operation na kuacha shughuli zako za kila siku
Kwa ushauri zaidi wasiliana nasi kupitia whatsapp 0693653573 au unaweza kupiga simu.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam
